MGOKAA WAPIGWA MARUFUKU COUNTY YA MOMBASA | STREET DA'AWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • MGOKAA WAPIGWA MARUFUKU COUNTY YA MOMBASA | STREET DA'AWA

Комментарии • 110

  • @jimalhussein3215
    @jimalhussein3215 4 месяца назад +8

    Hapo sawa ata khat na ogoro pia ipigwe marafuku

  • @menejakabaysa7843
    @menejakabaysa7843 3 месяца назад

    Huyo bloody wa mwisho kw kuweka wazi swala la mgokaa ametuelewesha deeply na tumeridhika nalo mashallah barakallahu fiikum

  • @RamadhanRamadhan-uq2qi
    @RamadhanRamadhan-uq2qi 4 месяца назад +7

    Waanze kupanda mahindi inshaallah hao wameru sababu kama mgokaa unawapatia pesa vilevile mahindi yatawapa pesa za kusomesha watoto wao

  • @jumahamisi9328
    @jumahamisi9328 4 месяца назад +1

    Mmelala sana kimeharibika ndo mwapiga marufuku

  • @abdulJambe
    @abdulJambe 4 месяца назад +2

    Aa ukiuliza mtu swali akisema mogokaa iko sawa kula..rudisha swali kwake jee mtoto wk unaweza kumrusu akule mogokaa jibu utapata shukran

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 4 месяца назад +2

    Bado miraa mirungi pia angepiga marufuku kma Tz wallah

    • @Kipash
      @Kipash 4 месяца назад

      Miraa ndio mtu atie steam ni 500/- kwenda mbele. Muguka wa 50/- vijana watatu Wana lewa.😅

  • @hamisrashid6985
    @hamisrashid6985 4 месяца назад +2

    A.a
    Mchango wangu ninge muomba gavana anunue cherahani Mia moja wafundishwe vijana kushona kwa kila sub County wachukuliwe vijana Mia moja wakisha jua kushona wanze biashara ya kushona uniform za shule watu wahamasishwe kununua na ziwe bei nafuu wafungua maduka kwa kila County vijana wetu watapata kazi

  • @eshasaid3258
    @eshasaid3258 4 месяца назад +1

    Asalamu aleykum amefanya vizuri kumaliza huo mmea ❤❤❤❤❤ hakika umeadhiri vijana❤❤❤ wengi mombasa ❤❤❤ natutaichukuliya ni sheriya❤❤❤❤itafuwatwe ❤❤❤ magojwa ni megi ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @broadcentrix9466
    @broadcentrix9466 4 месяца назад +2

    Ugoro na Miraa kwa ujumla pia ipigwe marufuku

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 4 месяца назад +1

    Waalekum musalam warahmatullah wabarakatu
    Waachane na huo mkongaaa unawalemazaa Sana wanaume kutofanya kazi na wamawake pia kutoshuhulila kwenye majukumu Yao ya kinyumbani NI kuwaxaa kupata Mia ama hamsini ya mgoookaa
    AKA BACHUCHU MOMBASA 001
    +254

  • @JosephNdumia-ny3ow
    @JosephNdumia-ny3ow 4 месяца назад

    Kazi zuri governor

  • @MohammedMuya-b5d
    @MohammedMuya-b5d 4 месяца назад +2

    Allah Baarek Governor umefanya jambo kubwa na Allah akuhifadhi na makri ya waovu wanaoeneza machafu

    • @JacintaWambui-jt4od
      @JacintaWambui-jt4od 4 месяца назад +1

      Afungie na unga wanao uza hao mabwenyenye

    • @alialmaawy8865
      @alialmaawy8865 3 месяца назад

      ​@@JacintaWambui-jt4odKabisa umpetatia.Zote ziwekewe kali.

  • @salimsibabu9027
    @salimsibabu9027 4 месяца назад +1

    Good move wacha wauze sehemu zengine. Isiwe km vile kaunti ya Kwale ilivyo tangaza wkt wa mvurya kumbe ni danganya toto. Sheria hii ifanye kazi bila ufisadi.

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht
    @ARNOLDKARISA-fs3ht 4 месяца назад +1

    next ikuwe wines and spirit shops zote completly zifuate

  • @timaidarus4220
    @timaidarus4220 4 месяца назад +1

    Wakulima wa mogokaa wabadilishe mmea . Mogokaa Hatutaki

  • @mohamedhamdan4956
    @mohamedhamdan4956 4 месяца назад

    Waaleikumsalaam huyo jamaa wa mwisho nimekubaliana naye MashaAllah anatoa maAyaat na kauli nzuri kabisa

  • @eshasaid3258
    @eshasaid3258 4 месяца назад

    Allah atawezesha ❤❤❤❤County ya mombasa kufwatiya sana ❤❤❤wamepoteza watu pesa kwa ajili ya biashara hiyo❤❤❤❤ tuna furahi ❤❤❤kupigwa❤❤❤❤

  • @aminayusuf3051
    @aminayusuf3051 4 месяца назад

    May Allah bless you sheikh

  • @aishamohamed9981
    @aishamohamed9981 4 месяца назад +2

    Zetu ni Dua... Tunaomba na mengi mengine mazuri yafwate... Inshaallah

  • @FaizaSalim-y6v
    @FaizaSalim-y6v 4 месяца назад

    tulilala kweli lakini alalae pia huamka allah atupe nguvu

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore2236 4 месяца назад

    Hongera Muheshimiwa! Kutuokolea watoto wetu didhi ya kukula nyasi

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 4 месяца назад

    Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh..Masha ALLAH ❤❤❤🎉🎉

  • @Ashunemum
    @Ashunemum 4 месяца назад

    Masha Allah neema Allah

  • @مريمنيجيريا-د5ل
    @مريمنيجيريا-د5ل 4 месяца назад

    Wengin wanaeka kw mitungiiii😮😮n inapita

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 4 месяца назад

    Mashallah Mashallah Mashallah

  • @popod177
    @popod177 4 месяца назад +1

    Si wauze kwao jamani...kwani coast ndo lazima kila kitu kifanyike...

  • @johnlobuin4212
    @johnlobuin4212 4 месяца назад +2

    Na Umalaya ! Lini itapigwa marufuku?

    • @froma3732
      @froma3732 4 месяца назад

      Na huko tunakuja mdogo mdogo

  • @hamadmohammed9928
    @hamadmohammed9928 4 месяца назад

    Iko sawa ufungiwe kabsaaa

  • @DinahMwadime
    @DinahMwadime 4 месяца назад

    Barikiwa government.umeokoa watoto wetu.kama ni cash crop wakule wenyewe.hatuna wajukuu vijana hawawezani.

  • @manefuture8212
    @manefuture8212 4 месяца назад

    Salam haleikum ni pigieni simu inshallah

  • @MrIssa-mb8vx
    @MrIssa-mb8vx 4 месяца назад +1

    Vizuri kabisa lakini chanzo ya vijana kutafuna miguka ni idling so suluhisho nikufungua milango ya kazi kwa vijana...

  • @KennedyWekesa-wu9hk
    @KennedyWekesa-wu9hk 4 месяца назад +1

    Hi yute ni siasa kama hujui haijakubalika kisherea hio plz

  • @khamisisuedi1056
    @khamisisuedi1056 4 месяца назад

    Mashaalah Allah na tutakaye mshika yuwala ole wako

    • @chibudangote0126
      @chibudangote0126 4 месяца назад

      WANAOVUTA BANGI NA UNGA KWANI HUWA MWAWAFANYA NINI CSE MATEJA NI WENGI KWELI

  • @jafharmwenyemaulana6866
    @jafharmwenyemaulana6866 4 месяца назад

    toa na hizo club zilizo Bamburi za mashoga acheni kuangazia muguka wakati vinavyo mchukiza Allah subhana wa taalah mnaviacha ama pia mwaunga mkono kaumurut naomba njibiwe hili

  • @FaizaSalim-y6v
    @FaizaSalim-y6v 4 месяца назад

    mahindi maharage viazi na mboga zote tutakula muna ruhusa ya kuuza mombasa tena mutabarikiwa

  • @KennedyWekesa-wu9hk
    @KennedyWekesa-wu9hk 4 месяца назад +1

    Serekali ndio kusema

  • @abdibagaja857
    @abdibagaja857 4 месяца назад

    Congrant

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 4 месяца назад +2

    Good safi kabisa funga huo upuzi wapeleke kilifi na gavana wa kilifi yy pia atamka tu ss

  • @oyay2821
    @oyay2821 4 месяца назад

    Safi sana. Sasa tutakaempata na mogokaa atakiona chamtema kuni

    • @chibudangote0126
      @chibudangote0126 4 месяца назад +1

      MUTAMTIA ADABU KAMA VILE WANAOVUTA BANGI NA UNGA MNAVOWATIA ADABU KWA KWENDA KUWATOLEA BOND WAKISHIKWA 😂😂😂😂

  • @مريمنيجيريا-د5ل
    @مريمنيجيريا-د5ل 4 месяца назад

    Lkn governor akue seriouskw sababu wamama wanajifanya wana mimbaa kumbe n mfuko wa mugoka ameufunga n leso tumboni😢

  • @MohammedKhalid-qt1sq
    @MohammedKhalid-qt1sq 4 месяца назад

    hamuwezi kuondoa mugokaa kwa sababu munapenda pesa wanafik wakubwa wana siasa

  • @MahamudBay
    @MahamudBay 4 месяца назад +1

    Alxamdulilah 🤲

  • @MohamedAli-mn8xf
    @MohamedAli-mn8xf 4 месяца назад

    Bado Upoo

  • @samueledward109
    @samueledward109 4 месяца назад +1

    Yaani nyinyi hamuoni dawa za kulevya zilivyo athiri vijana mombasa mnaona mgokaa bangi,bugizi na unga upo mombasa gavana haoni hilo vijana wamekua mateja.Tusiangalie mgokaa tu hauezi fanya mtu akawa teja, gavana umechemka hapo unaogopa kufuatilia unga ban unga mombasa mateja wapungue

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 4 месяца назад

    🙏🏽🙏🏽

  • @abuuqamar58
    @abuuqamar58 4 месяца назад

    Alhamdhulillah

  • @shhjab3621
    @shhjab3621 4 месяца назад

    😮 kwani lazima kuuza Mombasa tuuu.wauze kwengine.mbona pombe Haramu mwalifanyia KAZI.basi na hii pia

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu2408 4 месяца назад

    Lakini mbona unga haujazuiliwa ama wauzaji ni wazito ama ni wenyeji

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz1503 4 месяца назад

    Taaliq yangu kuhusiana na hii executive order ni hii kuwa huu ni usanii wa kisiasa tu wa kisiasa katika kucheza na hisia za watu:
    1) Mugokaa athari zake na marungu (marungi) ni hizo; kuruhusu kimoja na kupiga marufuku chengine ni kama mtu kukataa kula boilo ya mfu lakini badala akanywa supu pekee.
    2) Ulevi haubaguliwi, kama kweli anajali mental health ya raia wake executive order ilistahili kupiga marufuku vileo na sio kimoja na kuacha vyengine mia moja kuendelea kutawala.
    3) Sioni hii executive order ikidumu ikizingatiwa kuwa waziri wa kilimo na DP wote wanamtazamo kuwa ni category ya cash crop. Hivyo kuna mgongano na msuguano wa moja kwa moja baina ya mtazamo wa county na national govt naona hili likielekea high court for legal redress.

  • @KennedyWekesa-wu9hk
    @KennedyWekesa-wu9hk 4 месяца назад +1

    Mwajifanya wema lakini nyinyi ndio wabaya dawa zimewamaliza vijana sana

  • @atwowa6380
    @atwowa6380 4 месяца назад

    Good

  • @EliasTumaini-ml1mp
    @EliasTumaini-ml1mp 4 месяца назад

    piga marufuku kabisa ya nini watu wakule vitu ambavyo havina faida soma Isaiah 55 :2

  • @amirmohamedali7922
    @amirmohamedali7922 4 месяца назад

    Hawa viongozi washangaza nawasikia wakilalamika na mugoka tu lakini miraa ni halali kwa sababu wao wanakula miraa ndio maana hawapigi marufuku miraa na ukweli wa mambo baba mugoka ni miraa

  • @kimanga0014
    @kimanga0014 4 месяца назад

    Shukran

  • @answarsalim220
    @answarsalim220 4 месяца назад

    Angalieni na sector ya passport ziwe zinatoka kwa haraka sio mtu kurenew passport inachukua mwaka mtu hujapata na kazi Kenya hakuna.

  • @ShammyDrlove
    @ShammyDrlove 4 месяца назад +1

    Munaongea ujinga to nyinyi na ni kitu hakiwezekani hicho kabisaa yani Kenya sio nyenu mujuwe hvyo 😂

    • @AdamBilal-sd8uv
      @AdamBilal-sd8uv 4 месяца назад +1

      Niya babako wewe

    • @froma3732
      @froma3732 4 месяца назад +1

      Walipewa nafasi ya kujipanga lkn walijifanya Kenya ni yao Sasa ndio tunawapa taarifa Kama Mombasa Ina wenyewe

  • @Kipash
    @Kipash 4 месяца назад

    Good move. Hawa watoto wanamaliza class 8 then wizi, pikipiki na muguka. Very useless drug.

  • @trutharchaeologist
    @trutharchaeologist 4 месяца назад

    Na umalaya, sigara, pombe, chuki, wivu, madawa ya kulevya, usaliti, mmepiga marufuku enyi watakatifu?

  • @josephmwangi5644
    @josephmwangi5644 4 месяца назад

    Pia tobacco ya aina yoyote ile ipigwe marufuku kabsa

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 4 месяца назад +3

    Takbir Allah Akbar....hiyo ni jihad kubwa umefanya .. swali jee yule anaeonekana anatafuna utanichukulia hatua ipi?

  • @tradetech6202
    @tradetech6202 4 месяца назад

    Governor anafaa a ban kila kitu ambacho si halali - miraa, pombe, bangi na dawa za kulevia. Hafai kuwachia matajiri starehe za nyani

    • @fatumajuma592
      @fatumajuma592 4 месяца назад

      Ata ban lakini ameanza moja kwa lengine

  • @DinahMwadime
    @DinahMwadime 4 месяца назад

    Pls mheshimiwa bado ugoro.jaribu ukomeshe kwani wanachanganya na dawa za kulevya.

  • @ottohilfiker6005
    @ottohilfiker6005 4 месяца назад

    Weekend malindi kula mgokaa

  • @ErickNjoroge-fn4ob
    @ErickNjoroge-fn4ob 4 месяца назад

    Mombasa ni Kenya asianze kuleta Sheria zake

    • @MaMa-gp1pw
      @MaMa-gp1pw 4 месяца назад

      Haikua kenya ata wana faa ku jidivide mkae na kenya yenu.

  • @anthonykariuki2438
    @anthonykariuki2438 4 месяца назад

    ni muguka pekee ama ni miraa kwa jumla.

  • @mohdkassam
    @mohdkassam 4 месяца назад

    Bado na unga na bagi

  • @MaMa-gp1pw
    @MaMa-gp1pw 4 месяца назад

    Mngepiga marufukuu madawa yote sio muguka tuu

  • @ottohilfiker6005
    @ottohilfiker6005 4 месяца назад

    Tutakula Miraa

  • @eddyedduu6912
    @eddyedduu6912 4 месяца назад

    Hawa ndio watu wa mombasa!!? Hata kujieleza hawajui.

  • @mahbubdawood2909
    @mahbubdawood2909 4 месяца назад

    Pana haja gani yakukazana?Kama mtu ameamua kukufa na malaria ama homa kali ya mugoka ya mvua basi potelea mbhali

  • @mwanarusimusa3620
    @mwanarusimusa3620 4 месяца назад

    Umetuokoa sana governor hasa sisi wanawake.

  • @chochozdallas6367
    @chochozdallas6367 4 месяца назад

    Willy si mugoka tuu jee unga hakuna msa. Wangeanza na hio sumu mwanzo na wauzaji wanajulikana

  • @BMboss108
    @BMboss108 4 месяца назад

    Bado pombe,and illegal drugs zipigwe marufuku

  • @tonygee5680
    @tonygee5680 4 месяца назад +1

    Upuuzii tu badili ya kuwatafuta wanao pora watu governor mzima ajiingiza kwa ujiinga wa mongokaa. Bado utaletwa na huna lolote utafanya

  • @farajomar8678
    @farajomar8678 4 месяца назад

    Kama hakuna kazi opportunity watu wataendelea kuchonga

  • @atururusaga879
    @atururusaga879 4 месяца назад

    Na madawa zakulevya hizo awaongelei upuzi tu hii watoto wa watu wanakua kama ma zombies hio haoni

  • @HakeemAbdulkareem-l9q
    @HakeemAbdulkareem-l9q 4 месяца назад +1

    Na pombe pia na bangi unga yote fungeni

  • @jesmilinaom6989
    @jesmilinaom6989 4 месяца назад

    Kati ya mughoka na dawa yakolevya ni gani mbaya

  • @aishasalim9546
    @aishasalim9546 4 месяца назад

    USTADH WALLAHI NAKUPA MKONO .SEMA WAZI USTADH MWENYE KUTAFUNA MOGOKAa NIMBUZI😅

  • @bonfacewachira3297
    @bonfacewachira3297 4 месяца назад

    Empty heads opinions 😂😂...

  • @ismailfami4168
    @ismailfami4168 4 месяца назад +1

    Na heroine na cocaine?

    • @maryamkamau3415
      @maryamkamau3415 4 месяца назад

      na huku pia tutafika...One step at a time

  • @adnanadan457
    @adnanadan457 4 месяца назад

    Je kufira wake zenu pia vipi.marufuku ama ni mogoka tu

    • @MaMa-gp1pw
      @MaMa-gp1pw 4 месяца назад

      Ende ukafirw ma dada zako utapata jibu nonsense.uliza maswLi ya adabu

  • @KassimAli-n7b
    @KassimAli-n7b 4 месяца назад

    Kwanza muguka uchemshe uwangalie vile ulivyo wallahi ni sumu kumbwa ndio ujuwe simzuri

  • @beirut9750
    @beirut9750 4 месяца назад

    Niwapande sukuma wiki

  • @sultaking8719
    @sultaking8719 4 месяца назад

    Safi sana no more ngoksii