A.a Mchango wangu ninge muomba gavana anunue cherahani Mia moja wafundishwe vijana kushona kwa kila sub County wachukuliwe vijana Mia moja wakisha jua kushona wanze biashara ya kushona uniform za shule watu wahamasishwe kununua na ziwe bei nafuu wafungua maduka kwa kila County vijana wetu watapata kazi
Waalekum musalam warahmatullah wabarakatu Waachane na huo mkongaaa unawalemazaa Sana wanaume kutofanya kazi na wamawake pia kutoshuhulila kwenye majukumu Yao ya kinyumbani NI kuwaxaa kupata Mia ama hamsini ya mgoookaa AKA BACHUCHU MOMBASA 001 +254
Good move wacha wauze sehemu zengine. Isiwe km vile kaunti ya Kwale ilivyo tangaza wkt wa mvurya kumbe ni danganya toto. Sheria hii ifanye kazi bila ufisadi.
toa na hizo club zilizo Bamburi za mashoga acheni kuangazia muguka wakati vinavyo mchukiza Allah subhana wa taalah mnaviacha ama pia mwaunga mkono kaumurut naomba njibiwe hili
Yaani nyinyi hamuoni dawa za kulevya zilivyo athiri vijana mombasa mnaona mgokaa bangi,bugizi na unga upo mombasa gavana haoni hilo vijana wamekua mateja.Tusiangalie mgokaa tu hauezi fanya mtu akawa teja, gavana umechemka hapo unaogopa kufuatilia unga ban unga mombasa mateja wapungue
Taaliq yangu kuhusiana na hii executive order ni hii kuwa huu ni usanii wa kisiasa tu wa kisiasa katika kucheza na hisia za watu: 1) Mugokaa athari zake na marungu (marungi) ni hizo; kuruhusu kimoja na kupiga marufuku chengine ni kama mtu kukataa kula boilo ya mfu lakini badala akanywa supu pekee. 2) Ulevi haubaguliwi, kama kweli anajali mental health ya raia wake executive order ilistahili kupiga marufuku vileo na sio kimoja na kuacha vyengine mia moja kuendelea kutawala. 3) Sioni hii executive order ikidumu ikizingatiwa kuwa waziri wa kilimo na DP wote wanamtazamo kuwa ni category ya cash crop. Hivyo kuna mgongano na msuguano wa moja kwa moja baina ya mtazamo wa county na national govt naona hili likielekea high court for legal redress.
Hawa viongozi washangaza nawasikia wakilalamika na mugoka tu lakini miraa ni halali kwa sababu wao wanakula miraa ndio maana hawapigi marufuku miraa na ukweli wa mambo baba mugoka ni miraa
Hapo sawa ata khat na ogoro pia ipigwe marafuku
😂
😂😂😂😂
😂,😅😅😅😅
Huyo bloody wa mwisho kw kuweka wazi swala la mgokaa ametuelewesha deeply na tumeridhika nalo mashallah barakallahu fiikum
Waanze kupanda mahindi inshaallah hao wameru sababu kama mgokaa unawapatia pesa vilevile mahindi yatawapa pesa za kusomesha watoto wao
Mmelala sana kimeharibika ndo mwapiga marufuku
Hata kama hatutaki
Aa ukiuliza mtu swali akisema mogokaa iko sawa kula..rudisha swali kwake jee mtoto wk unaweza kumrusu akule mogokaa jibu utapata shukran
Bado miraa mirungi pia angepiga marufuku kma Tz wallah
Miraa ndio mtu atie steam ni 500/- kwenda mbele. Muguka wa 50/- vijana watatu Wana lewa.😅
A.a
Mchango wangu ninge muomba gavana anunue cherahani Mia moja wafundishwe vijana kushona kwa kila sub County wachukuliwe vijana Mia moja wakisha jua kushona wanze biashara ya kushona uniform za shule watu wahamasishwe kununua na ziwe bei nafuu wafungua maduka kwa kila County vijana wetu watapata kazi
Asalamu aleykum amefanya vizuri kumaliza huo mmea ❤❤❤❤❤ hakika umeadhiri vijana❤❤❤ wengi mombasa ❤❤❤ natutaichukuliya ni sheriya❤❤❤❤itafuwatwe ❤❤❤ magojwa ni megi ❤❤❤❤❤❤❤❤
Ugoro na Miraa kwa ujumla pia ipigwe marufuku
Waalekum musalam warahmatullah wabarakatu
Waachane na huo mkongaaa unawalemazaa Sana wanaume kutofanya kazi na wamawake pia kutoshuhulila kwenye majukumu Yao ya kinyumbani NI kuwaxaa kupata Mia ama hamsini ya mgoookaa
AKA BACHUCHU MOMBASA 001
+254
Kazi zuri governor
Allah Baarek Governor umefanya jambo kubwa na Allah akuhifadhi na makri ya waovu wanaoeneza machafu
Afungie na unga wanao uza hao mabwenyenye
@@JacintaWambui-jt4odKabisa umpetatia.Zote ziwekewe kali.
Good move wacha wauze sehemu zengine. Isiwe km vile kaunti ya Kwale ilivyo tangaza wkt wa mvurya kumbe ni danganya toto. Sheria hii ifanye kazi bila ufisadi.
next ikuwe wines and spirit shops zote completly zifuate
Wakulima wa mogokaa wabadilishe mmea . Mogokaa Hatutaki
Waaleikumsalaam huyo jamaa wa mwisho nimekubaliana naye MashaAllah anatoa maAyaat na kauli nzuri kabisa
Allah atawezesha ❤❤❤❤County ya mombasa kufwatiya sana ❤❤❤wamepoteza watu pesa kwa ajili ya biashara hiyo❤❤❤❤ tuna furahi ❤❤❤kupigwa❤❤❤❤
Allah ni nani
May Allah bless you sheikh
Zetu ni Dua... Tunaomba na mengi mengine mazuri yafwate... Inshaallah
Dua kwa Mungu 1 , ambaye hana Roho,
tulilala kweli lakini alalae pia huamka allah atupe nguvu
Hongera Muheshimiwa! Kutuokolea watoto wetu didhi ya kukula nyasi
Hamna lolote
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh..Masha ALLAH ❤❤❤🎉🎉
Masha Allah neema Allah
Wengin wanaeka kw mitungiiii😮😮n inapita
Mashallah Mashallah Mashallah
Si wauze kwao jamani...kwani coast ndo lazima kila kitu kifanyike...
Na Umalaya ! Lini itapigwa marufuku?
Na huko tunakuja mdogo mdogo
Iko sawa ufungiwe kabsaaa
Barikiwa government.umeokoa watoto wetu.kama ni cash crop wakule wenyewe.hatuna wajukuu vijana hawawezani.
Salam haleikum ni pigieni simu inshallah
Vizuri kabisa lakini chanzo ya vijana kutafuna miguka ni idling so suluhisho nikufungua milango ya kazi kwa vijana...
Hi yute ni siasa kama hujui haijakubalika kisherea hio plz
Mashaalah Allah na tutakaye mshika yuwala ole wako
WANAOVUTA BANGI NA UNGA KWANI HUWA MWAWAFANYA NINI CSE MATEJA NI WENGI KWELI
toa na hizo club zilizo Bamburi za mashoga acheni kuangazia muguka wakati vinavyo mchukiza Allah subhana wa taalah mnaviacha ama pia mwaunga mkono kaumurut naomba njibiwe hili
mahindi maharage viazi na mboga zote tutakula muna ruhusa ya kuuza mombasa tena mutabarikiwa
Serekali ndio kusema
Congrant
Good safi kabisa funga huo upuzi wapeleke kilifi na gavana wa kilifi yy pia atamka tu ss
Safi sana. Sasa tutakaempata na mogokaa atakiona chamtema kuni
MUTAMTIA ADABU KAMA VILE WANAOVUTA BANGI NA UNGA MNAVOWATIA ADABU KWA KWENDA KUWATOLEA BOND WAKISHIKWA 😂😂😂😂
Lkn governor akue seriouskw sababu wamama wanajifanya wana mimbaa kumbe n mfuko wa mugoka ameufunga n leso tumboni😢
hamuwezi kuondoa mugokaa kwa sababu munapenda pesa wanafik wakubwa wana siasa
Alxamdulilah 🤲
Bado Upoo
Yaani nyinyi hamuoni dawa za kulevya zilivyo athiri vijana mombasa mnaona mgokaa bangi,bugizi na unga upo mombasa gavana haoni hilo vijana wamekua mateja.Tusiangalie mgokaa tu hauezi fanya mtu akawa teja, gavana umechemka hapo unaogopa kufuatilia unga ban unga mombasa mateja wapungue
🙏🏽🙏🏽
Alhamdhulillah
😮 kwani lazima kuuza Mombasa tuuu.wauze kwengine.mbona pombe Haramu mwalifanyia KAZI.basi na hii pia
Lakini mbona unga haujazuiliwa ama wauzaji ni wazito ama ni wenyeji
Taaliq yangu kuhusiana na hii executive order ni hii kuwa huu ni usanii wa kisiasa tu wa kisiasa katika kucheza na hisia za watu:
1) Mugokaa athari zake na marungu (marungi) ni hizo; kuruhusu kimoja na kupiga marufuku chengine ni kama mtu kukataa kula boilo ya mfu lakini badala akanywa supu pekee.
2) Ulevi haubaguliwi, kama kweli anajali mental health ya raia wake executive order ilistahili kupiga marufuku vileo na sio kimoja na kuacha vyengine mia moja kuendelea kutawala.
3) Sioni hii executive order ikidumu ikizingatiwa kuwa waziri wa kilimo na DP wote wanamtazamo kuwa ni category ya cash crop. Hivyo kuna mgongano na msuguano wa moja kwa moja baina ya mtazamo wa county na national govt naona hili likielekea high court for legal redress.
Mwajifanya wema lakini nyinyi ndio wabaya dawa zimewamaliza vijana sana
Hapo sasa
Good
piga marufuku kabisa ya nini watu wakule vitu ambavyo havina faida soma Isaiah 55 :2
Hawa viongozi washangaza nawasikia wakilalamika na mugoka tu lakini miraa ni halali kwa sababu wao wanakula miraa ndio maana hawapigi marufuku miraa na ukweli wa mambo baba mugoka ni miraa
Shukran
Angalieni na sector ya passport ziwe zinatoka kwa haraka sio mtu kurenew passport inachukua mwaka mtu hujapata na kazi Kenya hakuna.
Munaongea ujinga to nyinyi na ni kitu hakiwezekani hicho kabisaa yani Kenya sio nyenu mujuwe hvyo 😂
Niya babako wewe
Walipewa nafasi ya kujipanga lkn walijifanya Kenya ni yao Sasa ndio tunawapa taarifa Kama Mombasa Ina wenyewe
Good move. Hawa watoto wanamaliza class 8 then wizi, pikipiki na muguka. Very useless drug.
Na umalaya, sigara, pombe, chuki, wivu, madawa ya kulevya, usaliti, mmepiga marufuku enyi watakatifu?
Pia tobacco ya aina yoyote ile ipigwe marufuku kabsa
Takbir Allah Akbar....hiyo ni jihad kubwa umefanya .. swali jee yule anaeonekana anatafuna utanichukulia hatua ipi?
Mmezoea kuhukumu,ndio maana mnaulizaaswali hilo
@@AtangaWilfred-tl4uv hukumu ni lazima ....
Governor anafaa a ban kila kitu ambacho si halali - miraa, pombe, bangi na dawa za kulevia. Hafai kuwachia matajiri starehe za nyani
Ata ban lakini ameanza moja kwa lengine
Pls mheshimiwa bado ugoro.jaribu ukomeshe kwani wanachanganya na dawa za kulevya.
Weekend malindi kula mgokaa
Mombasa ni Kenya asianze kuleta Sheria zake
Haikua kenya ata wana faa ku jidivide mkae na kenya yenu.
ni muguka pekee ama ni miraa kwa jumla.
Bado na unga na bagi
Mngepiga marufukuu madawa yote sio muguka tuu
Tutakula Miraa
Hawa ndio watu wa mombasa!!? Hata kujieleza hawajui.
Pana haja gani yakukazana?Kama mtu ameamua kukufa na malaria ama homa kali ya mugoka ya mvua basi potelea mbhali
Umetuokoa sana governor hasa sisi wanawake.
Hamna lolote
Willy si mugoka tuu jee unga hakuna msa. Wangeanza na hio sumu mwanzo na wauzaji wanajulikana
Bado pombe,and illegal drugs zipigwe marufuku
Upuuzii tu badili ya kuwatafuta wanao pora watu governor mzima ajiingiza kwa ujiinga wa mongokaa. Bado utaletwa na huna lolote utafanya
Kama hakuna kazi opportunity watu wataendelea kuchonga
Na madawa zakulevya hizo awaongelei upuzi tu hii watoto wa watu wanakua kama ma zombies hio haoni
Na pombe pia na bangi unga yote fungeni
Wasisahau na sigara pia
Kati ya mughoka na dawa yakolevya ni gani mbaya
USTADH WALLAHI NAKUPA MKONO .SEMA WAZI USTADH MWENYE KUTAFUNA MOGOKAa NIMBUZI😅
Empty heads opinions 😂😂...
Na heroine na cocaine?
na huku pia tutafika...One step at a time
Je kufira wake zenu pia vipi.marufuku ama ni mogoka tu
Ende ukafirw ma dada zako utapata jibu nonsense.uliza maswLi ya adabu
Kwanza muguka uchemshe uwangalie vile ulivyo wallahi ni sumu kumbwa ndio ujuwe simzuri
Niwapande sukuma wiki
Safi sana no more ngoksii