MATATIZO 5 YA BLENDA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 май 2021
  • Karibuni sana kwenye kipindi chetu ya fundi dsm...kwenye video hii tutawaonyesha matatizo 5 ya blenda.
    / bombaywallla​
    / ​

Комментарии • 41

  • @hannachaula7033
    @hannachaula7033 3 месяца назад +1

    viwembe vinazunguka sana ila n kama panalik pale kwenye meno kuja kwenye mota huku chini af inavuja juyc

  • @ChristopherPeter-hk4rd
    @ChristopherPeter-hk4rd 16 дней назад

    Blender yangu inatoa harufu

  • @anithakalumuna9965
    @anithakalumuna9965 7 месяцев назад

    Asante sana kwa somo nimejifunza kitu

    • @user-ku9ts1iw9d
      @user-ku9ts1iw9d 2 месяца назад

      kaka habari naomba msaada brender yangu inavujisha kwa chini naomba msaada

  • @kashindishomary7046
    @kashindishomary7046 2 года назад +1

    Habari mimi brenda yangu imetoa harufu ya kuungua na sina matumizi makubwa hatimae imezima kabisa naitwa kashindi nipo mwanza

    • @cities-flavors
      @cities-flavors  2 года назад

      habari kashindi, aidha motor yako ilizidiwa na kuungua kabisa au ilikata overload yake, unaweza kumpelekea fundi wako akuchekie ili upate uhakika zaidi

    • @annaanthony2850
      @annaanthony2850 10 месяцев назад

  • @devothakilanzi198
    @devothakilanzi198 3 года назад

    Asante ni Aina ipi nzuri ya Brenda.

    • @cities-flavors
      @cities-flavors  2 года назад

      blenda zote ni nzuri, inategemea na matumizi yako boss wangu

  • @lucywensilaus6264
    @lucywensilaus6264 Год назад

    Burenda nzur ya nyumbani ni ipi

  • @allymbaruku7072
    @allymbaruku7072 Год назад

    Nisaidie brendayangu imeharibika imekatamoto nimpya

  • @hassankindamba6633
    @hassankindamba6633 Год назад

    Blenda yangu ukisaga inatoamoto kwa chini tatizo ni nn

  • @AnnaRogert-qh8dh
    @AnnaRogert-qh8dh 11 месяцев назад

    Nimenunua blenda hata mwez hujaisha imekataa kuwaka

  • @bibiekumtupa1597
    @bibiekumtupa1597 Год назад +1

    Hello Blender yangu inawaka langu nyekundu nimeweka chaji ila Bado red light

  • @ibrahimn6190
    @ibrahimn6190 Год назад +1

    Kama hakuna fundi karibu nitumie gundi gani KWA blender inayovuja KWA chini kwasababu ya pasuka KWA chini ?

  • @annaanthony2850
    @annaanthony2850 10 месяцев назад

    Ahsante sana Kwa maelezo mazuri

  • @fatmavuai8547
    @fatmavuai8547 3 года назад +1

    Mko wapi hivi Sasa kwa biashara za blenda

    • @cities-flavors
      @cities-flavors  2 года назад

      sisi tunarekebisha tu boss wangu, hatuuzi mapya

  • @neemamteki2127
    @neemamteki2127 Год назад +1

    Sasa blenda ya chuma inafunguliwaje inayo vuja ili nirekebishe

    • @cities-flavors
      @cities-flavors  Год назад

      Hio huwezi kufungua na kurekebisha, hio inabidi uipeleke kwa fundi ili aweze kurekebisha hio boss wangu

  • @anselmokasipa-rn2zl
    @anselmokasipa-rn2zl Год назад +1

    Bleder yangu inavuja nifanyeje

    • @cities-flavors
      @cities-flavors  Год назад

      Ni aina gani boss, nitumie picha yake whatsapp 0684017700 nikujulishe boss

  • @josephinenoah8559
    @josephinenoah8559 3 года назад +1

    Kwani baadhi ya blends ikianguka Ina kufa?

    • @cities-flavors
      @cities-flavors  2 года назад +1

      ndio blenda nyingi zikianguka zinaweza kufaa, hasa zenye control ya card ya digital zinaharibika boss

  • @felistermelkiorbayyo2330
    @felistermelkiorbayyo2330 Год назад +1

    Samahani kaka blender yangu imeweka kutu nifanyaje ili isiharibike

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Год назад +1

    Mtu wa kawaida atakuaje blenda Bora au blenda yenye bei kubwa ndio imara?

    • @cities-flavors
      @cities-flavors  Год назад

      Hapo kuna changamoto kidogo kwenye kununua blenda boss, bei kubwa ni mojawapo tu ya ishara ya ubora, nyingine ni imetengenezwa wapi, quality yake ya jagi na wembe zake, nk, nimeelezea jinsi ya kununua blenda kwenye video nyingine kwa ufasaha zaidi boss wangu

  • @enockkiwelu4851
    @enockkiwelu4851 Год назад +1

    Je unatengeneza microwave

    • @cities-flavors
      @cities-flavors  Год назад

      Ndio tunarekebisha ila inategemea na changamoto zake

  • @razibchowdhury9869
    @razibchowdhury9869 3 года назад +2

    Toa.namba.yako

    • @cities-flavors
      @cities-flavors  3 года назад

      tafadhali jiangalie kwenye instagram [page yetu boss instagram.com/fundi_dsm/

    • @vickyvicky6415
      @vickyvicky6415 3 года назад

      Dukarenu rikowapi naitaji burd biyashara

    • @ashurasaidi3967
      @ashurasaidi3967 2 года назад

      Burend yangu ni mbovu unapatikana wp nikuletee unitengenezee

    • @cities-flavors
      @cities-flavors  2 года назад

      @@vickyvicky6415 hatuuzi brenda boss tunazirekebisha tu

    • @cities-flavors
      @cities-flavors  2 года назад

      @@ashurasaidi3967 Mwisho/zaramo Street, Opp Furniture Centre/ Libya Post office, karibu na kituo cha MWENDOKASI kisutu, daressalaam

  • @rdxgaming3387
    @rdxgaming3387 3 года назад +1

    Op