MPAKA FULL MOVIE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 май 2024
  • #mpaka full movie#butua magingaTz#comedy #funny #clam #clamvevo# viral#clam #heart

Комментарии • 61

  • @SamuelKatana-gk1yt
    @SamuelKatana-gk1yt 26 дней назад

    Butua Kazi poa Sana ...@ katana uweeeeh aweee..gotea wanaman...karibuni Kenya pwani

  • @jumannemalungo5018
    @jumannemalungo5018 14 дней назад

    Kazi nzuri Butua

  • @user-ee2wd3fv1s
    @user-ee2wd3fv1s Месяц назад +2

    Good job good idea and good talent bro god bless you in your hands jobs

  • @rajabunyumba4706
    @rajabunyumba4706 Месяц назад +2

    Iko vizuri sana

  • @halemamoon1782
    @halemamoon1782 Месяц назад +1

    Mashaa Allah❤...ila ktu ninachojiulza mm n kwamba uchawi na tamaa vinawafaidsha na nn....

  • @fatumakushonda4277
    @fatumakushonda4277 Месяц назад +1

    Kipara ashaanza kizungu chake😂😂😂😂nyie watu nawakubali kinoma yani ❤

  • @user-cr8cs2qc8f
    @user-cr8cs2qc8f Месяц назад +1

    Safi sana butua,tuko pamoj from kenya,penda wew 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki Месяц назад +1

    Ndo kuingiya kwa butuwa ❤🎉🎉🎉🎉

  • @FundiSamuel
    @FundiSamuel Месяц назад +1

    Wew zombie aujui

  • @elmatiitijos9368
    @elmatiitijos9368 Месяц назад +1

    Sema OMAYI WE ZOMBI HAUJUI 😂😂

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt Месяц назад +1

    Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha 🤣😂😂😂 we zombie sijui hahaha hahaha hahaha hahaha 🤣🤣😂

  • @zuhuramwamba
    @zuhuramwamba Месяц назад +1

    nikionaga mihogo hivyo mate yananijaa 😋😋😋😋yaan natamani kisavu hadi nashidwa kusikia wanaongea nn kwenye move

  • @ZaituniKondo
    @ZaituniKondo Месяц назад +1

    😂😂ety watto wakiume wamekalia gogo😅

  • @mwanasitizuma
    @mwanasitizuma Месяц назад +1

    kazi nzuri sana ❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-zp4zc2ln2n
    @user-zp4zc2ln2n Месяц назад +1

    Nzuri sana❤

  • @user-ce1vh4rl5c
    @user-ce1vh4rl5c Месяц назад +1

    Tupo pamoja butua 🥰😁😍😍

  • @StanleyaStella
    @StanleyaStella Месяц назад +3

    We butua mi nataka kuigiza na wewe bhana nakuelewa sana ukiwa aujalewa 🥰🥰🥰🥰

    • @butuamaginga
      @butuamaginga  Месяц назад +1

      Karibu tuigize wote

    • @StanleyaStella
      @StanleyaStella Месяц назад +1

      @@butuamaginga waaah asante kwa kujibu comenti yangu🥰🥰🥰

    • @butuamaginga
      @butuamaginga  Месяц назад

      @@StanleyaStella karibu sana mi mashabiki wangu ni marafiki zangu

  • @mwarabumbarak4342
    @mwarabumbarak4342 Месяц назад +1

    Iko vzr

  • @jamillahassan3405
    @jamillahassan3405 Месяц назад +1

    Hii movie iko sawa kabisa .kwakweli haya mambo hutokea sana kwa familia.hadi tunauwana sisi wenyewe kwa wenyewe

  • @abubacarassanetoziy4747
    @abubacarassanetoziy4747 Месяц назад

    Butuwa ni mlevi MWenye akir sana

  • @SantanaMjeuri
    @SantanaMjeuri Месяц назад

    nakubali

  • @user-lv5iw6wn6q
    @user-lv5iw6wn6q 26 дней назад

    ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @user-mi2ex7ul8p
    @user-mi2ex7ul8p Месяц назад +1

    💓💓💓💓💓

  • @sharlnanyanje1930
    @sharlnanyanje1930 Месяц назад +1

    Very educative much love from 🇰🇪

  • @jamillahassan3405
    @jamillahassan3405 Месяц назад

    Huyu shangazi pia yupo vizuri kwakweli .napenda sana part zake

  • @adamseif535
    @adamseif535 Месяц назад +1

    Pamoja

  • @jamillahassan3405
    @jamillahassan3405 Месяц назад +1

    Hii movie hija isha vile inatakiwa.plz part 2

    • @butuamaginga
      @butuamaginga  Месяц назад +1

      Shukrani sana nitalifanyia kazi

  • @marangotv7748
    @marangotv7748 Месяц назад +1

    Kwani movie zote kipala anakuaga msaliti?

  • @MafundiMkojera
    @MafundiMkojera Месяц назад +1

    Butua huo mguu wa kulia una shda gan ukilewa 😅😅😅😅

  • @aganzeroger
    @aganzeroger Месяц назад +1

    Uyu kipara kuna wakati ana nikera na umbea wake

  • @MudrickMtinginya
    @MudrickMtinginya Месяц назад +1

    Hii location n wap Jmn mbn unyam san, n mji gn huu

  • @NuruMpanda
    @NuruMpanda Месяц назад +1

    Butua❤❤❤

    • @butuamaginga
      @butuamaginga  Месяц назад +1

      Naam

    • @NuruMpanda
      @NuruMpanda Месяц назад +1

      @@butuamaginga nakupenda jamaniii

    • @butuamaginga
      @butuamaginga  Месяц назад +1

      @@NuruMpanda nakupenda pia jitahidi tu uwe ume subscribe nitazidi kuonyesha mavitu uzidi kunipenda mama

    • @NuruMpanda
      @NuruMpanda Месяц назад

      👍🏼❤️

  • @user-rg5vl7mk9q
    @user-rg5vl7mk9q Месяц назад +1

    Hebu tujitahidi ku subscribe tumpe sapoti❤

  • @lukmanfafa1997
    @lukmanfafa1997 Месяц назад

    Wakwanza naomba like zangu japo tano

  • @kukuzambawazambanga
    @kukuzambawazambanga Месяц назад +1

    Wapi huyu mwakatobe
    show haileti bila mwakatobe
    😂😂😂😂

  • @RhodaJaphet
    @RhodaJaphet Месяц назад +1

    Jamani, na mim naitaj kuigiza, hakuna nafac??

    • @butuamaginga
      @butuamaginga  Месяц назад +1

      Karibu dp tuma namba zako afu tuone tunasaidiana vp inshallah

    • @RhodaJaphet
      @RhodaJaphet Месяц назад

      @@butuamaginga ok

  • @TantineZuzu
    @TantineZuzu Месяц назад

    Najua sana sio rahisi acha tu niwapongeze kwa kazi nzuri sana yani bonge la kazi ❤❤❤