SNAKE BOY | ep 8 | SEASON TWO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 апр 2024
  • Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    people/CLAM-...
    #clamvevo
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 1,5 тыс.

  • @gersonissa9124
    @gersonissa9124 2 месяца назад +278

    Nani kasikiya tena kipara Ku sema siyo michongo yangu nisha achaga agonge like APA 😂😂😂😂😂😂 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @user-bg9ss1lz5v
    @user-bg9ss1lz5v 2 месяца назад +273

    tuko ewani kabisa kufatiliya SNAKE BOY nipeni liké zangu kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ata 10 basi

    • @kipzik8029
      @kipzik8029 2 месяца назад +3

      Cette série snake boy est plus 🔥🔥🔥🔥🔥 Clam est une vraie star avec son groupe.

    • @user-dd9ti3vv6c
      @user-dd9ti3vv6c 2 месяца назад +1

      Tuko tu

    • @YusuphKassoga
      @YusuphKassoga 2 месяца назад

      hongera sana

    • @enriquechatilah8246
      @enriquechatilah8246 Месяц назад

      Congo vita vp uko mana kila cku timbwili🤣

  • @zuanshimchina2278
    @zuanshimchina2278 2 месяца назад +110

    Namaliza kurudi kuswali nasema leo clam lazima movie itoke eeeee nawasha data naona chuma hicho anaoamini kijana mm ni nyota shusha like bila ya wivu

    • @JaneSwira
      @JaneSwira 2 месяца назад

      Ila zinachelewa sana adi tunasahau

  • @user-lu8jk3pi1q
    @user-lu8jk3pi1q 2 месяца назад +3

    Tuko ewani tena makini kufuatilia SNAKE BOY NIPE LIKE ZANGU toka Congo

  • @GabrielNicholaus-eo9ci
    @GabrielNicholaus-eo9ci 2 месяца назад +92

    Wakwanza leo APA congo nipe liké zangu 🎉🎉

  • @user-xn6ky1vk2g
    @user-xn6ky1vk2g 2 месяца назад +50

    Wow nimependa iyo move yenu nawafuatilia mpaka mwisho ❤❤❤

  • @eviepretty2646
    @eviepretty2646 2 месяца назад +39

    Uyo dada aliegiza kama kakoso yupo vizur kwakweli anajua 🎉 na mwakatobe anavyosema mshangazi ananiacha hoi🤣

  • @MoTalentTz
    @MoTalentTz 2 месяца назад +11

    Mwakatobe anataka kumla mshangazi😂😂😂😂😂😂

  • @mozahnzole3265
    @mozahnzole3265 2 месяца назад +46

    Sio michongo yangu nilishachaga zamani😅😅😅

  • @jakupamumo8669
    @jakupamumo8669 2 месяца назад +70

    Niko ndani number one from kenya

  • @EmmyBaisa
    @EmmyBaisa 2 месяца назад +41

    Uyo mwasi yani kakoso kafanana na rose ndauka kama umeona gonga like rose yakeeee

  • @nzizajovinpaul4955
    @nzizajovinpaul4955 2 месяца назад +40

    Wenye tabia zaumbea umbea muache kabisa sio kitu kizuri😂😂😂😂😂

    • @ernestgumha3186
      @ernestgumha3186 2 месяца назад +2

      Siyo mchongo yangu nilishaachaga😂😂😂

  • @JhesonJems
    @JhesonJems 2 месяца назад +86

    Wa kwanja Léo Ku toka Congo naomba liké zangi

  • @Linalina-mo8xg
    @Linalina-mo8xg 2 месяца назад +38

    Jaman nyie watu mnalala mtandaoni au 😢❤ hat lake Tani tu

  • @fundiseif1096
    @fundiseif1096 2 месяца назад +6

    Snake boy ni yamoto kinoma sana 🔥🔥🔥umetisha clam vevo 🙌🙌🙌💪

  • @reenymadeba4298
    @reenymadeba4298 2 месяца назад +10

    Me nae tangia nianze kufwatilia clam from big boss mpaka hapa,hakuna yeyote aliwai kulike comment yangu😢😢team strong wen enta kul shughul 😂😂

  • @ZahraAlly-wq4ku
    @ZahraAlly-wq4ku 2 месяца назад +58

    Wale wa Kuomba Like Typing...😂😂😂

    • @Shazzy2
      @Shazzy2 2 месяца назад +1

      End delete 😂😂😂

    • @ppt1258
      @ppt1258 2 месяца назад

      😂 noma

  • @Felix-alimasi
    @Felix-alimasi 2 месяца назад +27

    Nakubali sana snake 🐍 boy

  • @mirachinanjirawanyanga8991
    @mirachinanjirawanyanga8991 2 месяца назад +5

    Kipara hua ananibamba i sey ety sio michongo yangu hio mara boom kasharopokwa😂😂😂team Gulf twende nalo

  • @youthssuccesstv3162
    @youthssuccesstv3162 2 месяца назад +30

    Jaman mm ndio sijawah kupata like wakat mashabik kindakindak wa clam

  • @SergekabiriziFerdinand-jk9jw
    @SergekabiriziFerdinand-jk9jw 2 месяца назад +51

    Tatizo unachelewa sana mpaka tunakuwa km tumesahau kbs ila big up sana brother

    • @HASHIMMAKUNGUHAMDANI
      @HASHIMMAKUNGUHAMDANI 2 месяца назад +1

      Mbona hata hachereweshi

    • @paulokemark7398
      @paulokemark7398 2 месяца назад +1

      Baada ya siku mbili new episode na ww unasema anachelewa? Hivi unajua maana ya kuchelewa?? Tafuta Boss mchawi ujionee. Episode mpya baada ya wiki moja na sai wamemaliza wiki mbili bila episode. Content creation ni kazi kubwa sana sio rahisi unavyofikiria, Clam na team yake wanajituma sana.

    • @necramsonpate
      @necramsonpate 2 месяца назад

      ​@@paulokemark7398safi

  • @qaseed2001
    @qaseed2001 2 месяца назад +51

    safi alhamdulillah dakika umeongeza Jah bless you king clam🐐

  • @user-jg1no4uw1t
    @user-jg1no4uw1t 2 месяца назад +27

    Atakama nimechelewa wanaho kubali snake boy wanipe like ata 2 basi

  • @mwanjifilms123
    @mwanjifilms123 2 месяца назад +4

    Nyama nyama nyama.....nyamaaaaa kazi yet nikula nyamat najivunia kushiliki katika kazi kubwa na pendwa kama hii. Mungu zaidi kufungua njia kwa viongozi wote na washiliki wote👏👏👏

  • @finestabuu
    @finestabuu 2 месяца назад +25

    Lakini MSHANGAZI anakaa ni mtamu sana😅😂😂

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 2 месяца назад +118

    Oya nikiwa wa kwanza team clam like apa team strong hoyeeeeeeeeee ulikua unategea ukiwa wapi like apa comment please 🇸🇦🇰🇪 love u all watu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️usipite bila like

    • @SerenakaremboDzombo
      @SerenakaremboDzombo 2 месяца назад +2

      Watching from algumfidha

    • @user-tl8df9fx3r
      @user-tl8df9fx3r 2 месяца назад +2

      Nko ready

    • @elizabethcatherine-jm8fr
      @elizabethcatherine-jm8fr 2 месяца назад +1

      🎉🎉🎉❤❤❤

    • @user-xv9me9lm6g
      @user-xv9me9lm6g 2 месяца назад

      Kuma nyoko mamaeeee mwakatobe zuchu wewe kobe la mchana wala kuku kisiri wafanya ati n drama kumbe wewe zuchu tuu kulalina zako

    • @user-ch2gp5rf3k
      @user-ch2gp5rf3k 2 месяца назад +2

      Looking good 🎉🎉🎉❤❤❤ from mozambique 💪💪🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @MeshMesh-rk9km
    @MeshMesh-rk9km 2 месяца назад +7

    Kipara ety sio michongo yngu niliachagaaaaa 😂😂😂😂

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 2 месяца назад +4

    Asante sana kwa muenderezo kipenzi changu cram vevo nakupenda sana ❤❤❤❤🎉🎉

  • @muhiyadinbarre5550
    @muhiyadinbarre5550 2 месяца назад +34

    Bruh unaiwezaa bloody nawatch bt mnakawiaa sanaa

  • @salmasalam3268
    @salmasalam3268 2 месяца назад +47

    Afadhari imetoka tu nilsubiri sana❤❤❤

  • @SulletzMichelenje
    @SulletzMichelenje 2 месяца назад +10

    Kaz saf tumeishia patam sana kwahy tunaomb mtuwaishie part 9

  • @user-br4tl7jv9j
    @user-br4tl7jv9j 2 месяца назад +19

    Ila mwakatobe anazingua 😂😂😂😂😂😂

  • @fredrickanathesarakikya1890
    @fredrickanathesarakikya1890 2 месяца назад +23

    Naombeni like 10 tuu

  • @gogozitodumelannzi5
    @gogozitodumelannzi5 2 месяца назад +58

    Nimesubiri lakini nimechelewa naombe like sijawaipata hata kidogo

  • @ikizakubuntukelvin5839
    @ikizakubuntukelvin5839 2 месяца назад +10

    jamani mimi namupenda sana cram vevo kwa movie zuri kama hizi naomba like hata kumi jamani tunaomupenda kanumba wetu zote😢😢

  • @user-mb7oe3pg3y
    @user-mb7oe3pg3y 2 месяца назад +13

    Leo mi wa mwisho naomba. Like hata moja pia😂

  • @Mhando94
    @Mhando94 2 месяца назад +19

    KAZi nzuri sana,Ila Big boss nmb 2 tunaisubir

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 2 месяца назад +10

    Nimekuja kucoment kwanza alafu niendelee na weekend yangu, ongereni wooote mlioshiriki kwa kazi nzuri.🎉🎉🎉

  • @user-yl4kd2xv2u
    @user-yl4kd2xv2u 2 месяца назад +7

    Clam pole sana maana unajua kupanga filamu❤❤

  • @kipzik8029
    @kipzik8029 2 месяца назад +19

    Nipeni like zangu, SNAKE BOY from Kongo 🇨🇩

  • @dadyTrevor
    @dadyTrevor 2 месяца назад +17

    Weee Clam VEVO aisee nakukubali sana kaka uwa auna kazi chafu ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @magdulahplatnumz2015
    @magdulahplatnumz2015 2 месяца назад +27

    Ni miongoni mwa watu wa mwanzoniiii kabisa. Naombeni like zangu na mimi

  • @RonaldMulongo-xp3ps
    @RonaldMulongo-xp3ps 2 месяца назад +17

    I just love clam...with his team kongole Kwa kazii

  • @user-jf3qz3il3u
    @user-jf3qz3il3u 2 месяца назад +8

    Wakwanza leo ni mm i like that work much love from saudia Arabia really appreciate vevo❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-cu9mo3rf4t
    @user-cu9mo3rf4t 2 месяца назад +37

    Wapili Léo from Congo nataka liké yako hata kumi tu ❤

  • @Monystar01
    @Monystar01 2 месяца назад +23

    Wakwanza mm leo ngoja tuone sasa naomben likes 👍

  • @user-uf8hq3ei6e
    @user-uf8hq3ei6e 2 месяца назад +8

    Mbona Kama clam VEVO ana vitakubwa sana na babu yake walimpindua

    • @user-he3me7co9y
      @user-he3me7co9y 2 месяца назад

      Hatari na nusu yaan amezungukwa na maadui

  • @user-cx6bf7rt5v
    @user-cx6bf7rt5v 2 месяца назад +6

    Like zangu wakwanza kuangalia toka chunya makongolos ❤clam VEVO bro unatisha

  • @husseinramadhani2041
    @husseinramadhani2041 2 месяца назад +23

    Nice

  • @PeterChengo
    @PeterChengo 2 месяца назад +14

    Mm wakwanza naomba lk zanguuu

  • @ntahondereyeissa661
    @ntahondereyeissa661 2 месяца назад +1

    Wakwanza mimi kutokeya Burundi nipeni like zangu

  • @IllestTrippingtripper
    @IllestTrippingtripper 2 месяца назад +7

    Oya team clam ,,natokea 🇰🇪 wpii like zangu jamenii

  • @Efootball2028
    @Efootball2028 2 месяца назад +38

    Asilimia zote kwa vevo unatisha sana bro 🎉🎉 wa kwanza leo like ni zakwangu

  • @Jaydannychawaboy.
    @Jaydannychawaboy. 2 месяца назад +9

    Nishatokea jamani nipeni like zangu basi hata tano tuh inatosha ❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-rj2qv7cw5g
    @user-rj2qv7cw5g 2 месяца назад +2

    Bravoo bravo clam vevo bonge la tambala hili bravo clam vevo

  • @LilmmyCrazyfficial
    @LilmmyCrazyfficial 2 месяца назад +315

    WA KWANZA MIMI LEO HEBU NIPENI LIKE ZANGU 😅😅😅

    • @kichbosanga2188
      @kichbosanga2188 2 месяца назад +15

      Kipara. Sio michongo yangu iyo nisha achaga😂😂😂😂😂

    • @mg_panther
      @mg_panther 2 месяца назад +7

      Kuma wewe

    • @user-sb8mg9pz6n
      @user-sb8mg9pz6n 2 месяца назад +6

      Sa we like za nn unaenda kula au

    • @Edith-rq3mm
      @Edith-rq3mm 2 месяца назад +5

      Ikiwa WA kwanz anapewa like je wote tukiwa WA kwanza nani atakaempa like mwenzie

    • @LilmmyCrazyfficial
      @LilmmyCrazyfficial 2 месяца назад +3

      @@kichbosanga2188 baba ako. Ndo kuma wala mimi sio kuma KENGE BIKRA WEEH?👊👊

  • @JinioreMumbere-dv9yb
    @JinioreMumbere-dv9yb 2 месяца назад +26

    Mimi hapa mwa kwanza tokea Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @valinemkanamkuverammbone-ci9ou
    @valinemkanamkuverammbone-ci9ou 2 месяца назад +4

    Great job watching from Kenya 🇰🇪 🎉🎉

  • @Professor.Irene95
    @Professor.Irene95 2 месяца назад +2

    Sengo ❤❤❤❤❤❤❤ kazi nzuli Yan uo mkono na ububu umetisha sana❤❤❤❤❤😊

  • @alphonce04
    @alphonce04 2 месяца назад +14

    Mwamba Anajua❤

  • @razesdragon
    @razesdragon 2 месяца назад +21

    Nilichelewa msikitini kupata ftari kidogo lakini nimerudi
    Please naomba ata like 10 kutoka Congo Lubumbashi DRC 🇨🇩🇨🇩

    • @HASHIMMAKUNGUHAMDANI
      @HASHIMMAKUNGUHAMDANI 2 месяца назад

      Safi sana mm Leo sikucherewa ftari

    • @razesdragon
      @razesdragon 2 месяца назад

      @@HASHIMMAKUNGUHAMDANI
      Sawa kabisa bro 🤜🤛

  • @Ivan-pr9ry
    @Ivan-pr9ry Месяц назад +3

    😂😂😂😂😂 siyo mchongo yangu nisha chaga, kama umesikia tena likes twende kisawa

  • @mwakiretililian3530
    @mwakiretililian3530 2 месяца назад +4

    Sio michongo yangu...nishaachaga😂😂😂

  • @maqumqumstudios5244
    @maqumqumstudios5244 2 месяца назад +10

    Clam's fan base is insane . Big ups my G . Congrats ❤

  • @Mnyaturu980
    @Mnyaturu980 2 месяца назад +20

    Wakwanza na mm leo nipeni zangu kila siku tatu huaga wa kwanza na mm nimebahatika

  • @user-yv1bl7iw1b
    @user-yv1bl7iw1b 2 месяца назад +3

    Imuv tam utazan kanumba ajafa anatunga stol kumbe clam umemlis baba hongera

  • @everdhekay4924
    @everdhekay4924 2 месяца назад +2

    We mbwela sijaribu kumdhuru mkobozi wa imaya,, 🎉🎉 much 💕 from 🇰🇪

  • @Tinahwawudah98
    @Tinahwawudah98 2 месяца назад +8

    Sio michongo yangu nilishaachaga😂😂😂😂

  • @lowelawira8061
    @lowelawira8061 2 месяца назад +10

    First

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp 2 месяца назад +7

    This is more than fire 🔥
    Clam vevooooooo Nakuitaaa simbaaaaaaa😂

  • @godfreymsafiri6508
    @godfreymsafiri6508 2 месяца назад +2

    Msenge ww et nishaachaga 😅😅😅 kipara

  • @zomasamweli
    @zomasamweli 2 месяца назад +7

    ila mwakatobe Nikiduu mtu gani anaepunguza idadi Yakuku😂😂😂😂

  • @amisindondi4549
    @amisindondi4549 2 месяца назад +6

    Kutoka Pemba Mozambique tuna sapata vizuriiii

  • @yusuphmyinga
    @yusuphmyinga 2 месяца назад +4

    Kipara mzee wa nshaachaga😂😂😂😂😂😂

  • @elikana_5masks
    @elikana_5masks 2 месяца назад +8

    nakubali sana kazi zako master ClamVevo pamoja na timu yako nzima.💪💪💪

  • @FgfgyGfyghhgft
    @FgfgyGfyghhgft 2 месяца назад +9

    Kaz nzuri sana vevo tulishika tama sasa tunaanza ku enjoy big up kwako

  • @CarolyneMhina
    @CarolyneMhina 2 месяца назад +2

    Mwendelez boxx maan ni tamu balaa yan

  • @Krod23-p8s
    @Krod23-p8s 2 месяца назад +3

    Kilamu Kama kilamu tena hajawahi kufeli😂😁😁😂😂

  • @mohamedsheealom8745
    @mohamedsheealom8745 2 месяца назад +5

    Sio michongo yangu hio nshaachaga😂kipara kwakweli..

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 2 месяца назад +6

    Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI

  • @DaysonGodfrey-rq1ps
    @DaysonGodfrey-rq1ps 2 месяца назад +1

    Iven me nahitaji hizo lake jamn❤❤

  • @sajolenox3180
    @sajolenox3180 2 месяца назад +2

    wa 10leo Toka Kenya nmpe like zangu

  • @fatmamohammed8346
    @fatmamohammed8346 2 месяца назад +5

    woyooooioo wa kwanza lrooooooo naombeni like japo kadhaaaa hiviiiii😂😂😂

  • @mutindangei9732
    @mutindangei9732 2 месяца назад +12

    Wa Kwanza Leo wap likes zangu kama wamtabua kijana nyoka

  • @mumbimumbi5950
    @mumbimumbi5950 2 месяца назад +3

    Kipara ako na haga 😂😂😂😂

  • @PENETRATOR.002
    @PENETRATOR.002 2 месяца назад +2

    Mshangaziiii😂😂Kama umeskia hii kauli eka like❤.......Kutokea Mombasa Kenya tuko Locked

    • @mylekaka4630
      @mylekaka4630 2 месяца назад +1

      Is it a slung ama maana yake nini bro..??😊

    • @PENETRATOR.002
      @PENETRATOR.002 2 месяца назад +1

      @@mylekaka4630 Shangazi ...... Aunt

    • @PENETRATOR.002
      @PENETRATOR.002 2 месяца назад

      Sister to your father

    • @mylekaka4630
      @mylekaka4630 2 месяца назад +1

      @@PENETRATOR.002 Thank you i appreciate for that info my G!

    • @PENETRATOR.002
      @PENETRATOR.002 2 месяца назад

      @@mylekaka4630 hope

  • @user-ll3pp4gv3w
    @user-ll3pp4gv3w 2 месяца назад +4

    I love the actors and actress my favourite ni tabia za umbea niliacha😅😅😅😅

  • @user-jj4id8vq2d
    @user-jj4id8vq2d 2 месяца назад +8

    Wa mwisho Leo kama unakubali kijana nyoka na kagozo weka like apa

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy8499 2 месяца назад +3

    Clam imekua family kubwa sana hongereni kazi nzuri

  • @ayubuzayumba
    @ayubuzayumba 2 месяца назад +9

    Bwana sengo bubu apewe sifa zake kacheza sana

  • @hythamshadrack2323
    @hythamshadrack2323 2 месяца назад +7

    Yanii nacoment ila sjui km kweli wakwanzaa😂😂😂

  • @FilbertHabashi-zn1qu
    @FilbertHabashi-zn1qu 2 месяца назад +6

    MSHANGAZI,, NAAM BABA MDOGO.

  • @juumedia
    @juumedia 2 месяца назад +7

    Wangapi tumeisikia "Sio michongo yangu" 😂😂😂

  • @jamesamos4597
    @jamesamos4597 2 месяца назад +1

    Mu Mbea ni mtu hatari San bra kuishi na mchawi kuliko mmbea mchawi atafanya mambo yake ila Kuna uwezekano wa kumziba lakini mumbeaaaa duuuh kazi ipo ngonga like hapa muache tabia za umbea umbeaaaaaaaa

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 2 месяца назад +7

    Iv kwann uyo mjinga mbea sana kila akiambiwa utasikia siyo michongo yangu nisha achaga

  • @JacquesRuhanika-gg1yp
    @JacquesRuhanika-gg1yp 2 месяца назад +5

    Napenda sana ku angaliya filamu za clam vevo

  • @mitchelleochieng9037
    @mitchelleochieng9037 2 месяца назад +4

    Msiwe mnatuweka on waiting sanaa😭

  • @Justin_Nano
    @Justin_Nano 2 месяца назад +2

    Wow that's nice😂😢❤ keep up bro

  • @fatmamohammed8346
    @fatmamohammed8346 2 месяца назад +6

    kiparaaaa kwa kukataaaaa hujambo lkn ukipewa kichogo tyuuu unayamwaga

  • @sadamuall8249
    @sadamuall8249 2 месяца назад +7

    Naomba like zangu wakwanza Mimi leo from Zanzibar ❤❤❤❤