Mi naona wamefanya movie ipendeze zaidi, hapo tayari movie imeshaanza! Sema tu! Hamjaielewa! Na watu wakizinguana mbele za watu mmoja huwa anajaa jaziba anaondoka! Kwa hyo PHD yuko sawa kabxa Wala msimuite Majina mabaya, Lulu pia amefanya vizuri zaidi alipotishia kuondoka baadae akarudi, Bonge la movie! 😊❤❤❤❤❤😂😅😅😊❤❤❤❤❤
Boss Malisa. Hemedi ni mtoto wa kiume. Ila vitu anavyofanya kwenye media bila kujali lolote ni vitu vya ajabu sana. Hongera sana Lulu Diva inaonekana umekwazika sana lakini umekuwa strong sana. Big up. Boss Malisa Acha season one iruke then tafuta kijana ambaye atakaa nafasi ya hemedi na akacheza vizuri. Huyo Hemedi hata ukiendelea nae atakusumbua tu. Hawa ndio vioo wetu tutafanyaje sasa.
Boss malisa. Huyu hemedi afaii kabisa. Si vizuri anavyo mkwaza mwenzake ata hana hayaa na ni mtto wa kiume. Naomba utafute mtu mwingine kwenye hio nafasi yake kuna waigizaji waziri mno kumliko yeye. Amoonesha ujinga wake simpendi.
Huyu boss wa hii kazi ndio mjinga kawadanganya wafanyakazi wake kwanini asingewaambia ukweli kuwa mtakutana unaanza kuwadanganya kwani wao vipofu sasa ndio kapata nini
@@MsAggie5 basi amna shida sio kosa lake mana anasubiri aolewe ndio akue mme bado hajapata bado msimlaumu sana 😂😂😂😂👆 mashauzi mengi mtaani kwao kwenyewe hawampend
Nimesikitika sana hadi bongo movie watala Kiki ili nsgu zenu ziende dah ubunifu mdogo sana story nzuri hamna aseee bora tue ndeleee na DJ Mark mzeeeea waaaaaanaaaaaaakujaaaaaaaa
@IdarousPossy I'm nit grays he is yelling with lady I understand his anger but he embarrassed embarrassed him self without to yelling in public. I like him don't give me wrong but he has to watch hie mouth
@@veronicakassembe3718 let me ask you veronica a lady can't be yelled at.? ? How did you want hemed to be you don't know the meaning of being angry better even hemed yelled.If I had been me I don't know what I would have done with my short temper.Probarbly even given out slaps.
Luludiva she’s such a sweetheart ❤
Dahhh Yani hajui kugombana kabisa maskini ila hemed sijui yukoje
I really love the henna artwork on your back. The designs are pretty 🎉
Waandishi kazi yao umbea alafu wewe unasema eti kisiruke dah! Ila umefanya kazi kubwa sana ya kuwatuliza, Lulu pole sana, love u much.
Huyo jamaa fala sana yaani anasema kabisa msirushe 😂😂😂
Ndo kumeshaluka
Hemed umezingua sana, kwenye kadamnasi hiyo na pigo hizo kimama. Umeonyesha udhaifu mkubwa mno broo
kick hyo mzeee😃
Hayo ni maigizo kama maigizo mengine
Kama walikubakiana interview niya hemed Sasa yy kafara nn washamba hao walio andaa
Ni boya kweli
Wamepangana hao Mzee acha kujimaliza ndo Dunia yao hiyo ugali wao
Pole sana lulu habbty nakupenda ndiyo maisha hayo siyokilaa ckuu utakuwa nafuraha kunasiku utapitiaa machungu ya binadam
Hakika hadi na mm nmelia nampenda eti huyu dada sijui wanamchukia nn jaman😂😂
Pole za Nini yeye alimuita Babu na vile yeye achakua nyanya
Shida kubwa ustar ukizidi sana na kazi huaribika hii haipaswi
Waandishi si mmeambiwa isiende kwny media😂😂😂
@@neemamacha7481 sio wa kuwaamni hao maan yey anasem isiende kweny midia akati tumeona laivu bila chenga😂😂😂
Mungu wangu kaka wa watu kaomba kisiruke Cha ajabu Hadi Mimi nimeona😂😂🙌🙌🙌
Good idea WANANGU wa bongo movie
Walishakulana awa😂😂 mambo yakukulana alaf hmed ajampa ela
Mi naona wamefanya movie ipendeze zaidi, hapo tayari movie imeshaanza!
Sema tu! Hamjaielewa! Na watu wakizinguana mbele za watu mmoja huwa anajaa jaziba anaondoka! Kwa hyo PHD yuko sawa kabxa Wala msimuite Majina mabaya, Lulu pia amefanya vizuri zaidi alipotishia kuondoka baadae akarudi, Bonge la movie! 😊❤❤❤❤❤😂😅😅😊❤❤❤❤❤
😂😂😂😂
What a shame....!!😢😢
Pole sana dadayangu yatapita ayo❤❤❤😢😢😢
HAMNA KITU KIBAYA KINAKERA KAMA KUDANGANYWA AISE💀💀
Hemedy jinga tuu😂😂😂😂
Hemed kamuonga sana huyo ndio mana anajutia hela zake😂😂
😅😢
Kahonga halaf hajampata ndo maan kaweka bifu la kudumu hadi kweny kazi aisee😂😂
Oyaa iko kitu kinaumaa kumamakee😂😂
@@AshaJuma-dz6hq watoto wa 2000😀
Emedi kaonga mtoto wa2000 kajuta
Duh kazi hizi jmn 😢
Hawa sanii bro, wahisika wamecheza ktk nafasi yao safi sana.. I like it !
Shida nikwamba lulu diva kazuiliwa ila hemed kaachwa aende namlango wakupita kaoneshwa nimecheka sana😂😂😂
Yaaab bongo bwana 😂😂😂
Mambo mengine unayaona bongo Tu! 😂😂😂😂
Bora mwenzie wowoo. yeye anavo jireemba aende kwa p d .atoke hapa. Lulu naomba no yako nitapigana na anae kuboa ❤
Yeye na diamond hawana tofauti naona wana cheni za msaraba katika shingo zao dunia ni mapito jaman ipo siku tutaondoka twamuomba Allah salama na Afya
HAMNA KITU KIBAYA KINAKERA KAMA KUDANGANYWA AISE💀💀
Huko anaenda chooni😁😁😁😁🤣🤣
Mnagomnania nin maisha yenyewe umelala umeamka haupo
True
HAMNA KITU KIBAYA KINAKERA KAMA KUDANGANYWA AISE💀💀
Hemed au hamida
pole sana lulu kaumia sana dada wa watu akiangalia hana wazazi halafu mtu anakuja kumchukia bila sababu kweli
😂😂😂😂😂
We umeamini kwani ka umia kweli!?
Ameumia ten san hemed umeboa san shoga nini shiiiiiii
Wewe unajua walizinguana nni kure location😅😅😅😅???
Kick hizo
Kwa hiyo mwenye wazazi ndio anafaa kuumizwa??! Kwani ni lazima u comment??
lulu ni super woman❤
Boss Malisa. Hemedi ni mtoto wa kiume. Ila vitu anavyofanya kwenye media bila kujali lolote ni vitu vya ajabu sana. Hongera sana Lulu Diva inaonekana umekwazika sana lakini umekuwa strong sana. Big up. Boss Malisa Acha season one iruke then tafuta kijana ambaye atakaa nafasi ya hemedi na akacheza vizuri. Huyo Hemedi hata ukiendelea nae atakusumbua tu. Hawa ndio vioo wetu tutafanyaje sasa.
Hemedi nimsanii mwenye sifa sijawai mpenda kabisaaa
Kama hujagundua hii ni kiki ww ni bogus
Wewe ndio wamekuzidi akili maana umeichukukia sirias wakati wenzio hiyo ni kiki ili tamthilia yao ipate attention.
@@MalickZohan😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka kwa sauti
HAMNA KITU KIBAYA KINAKERA KAMA KUDANGANYWA AISE💀💀
Nimependa hii hawa wanawake Wa siku izi Wanafaa ivo kama mbaya mbaya PhD 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Boss malisa. Huyu hemedi afaii kabisa. Si vizuri anavyo mkwaza mwenzake ata hana hayaa na ni mtto wa kiume. Naomba utafute mtu mwingine kwenye hio nafasi yake kuna waigizaji waziri mno kumliko yeye. Amoonesha ujinga wake simpendi.
HAMNA KITU KIBAYA KINAKERA KAMA KUDANGANYWA AISE💀💀
Wazo zur hiyo nafac wampe chiko wa house girl
Hio Ni kiki tu siamini km kuna ugomvi wowote hapo
Acheni maigizo tunataka kazi please boss Nini hii sasa
Daaaah ila Tanzania Kuna mishe za kitoto sana yani watu wamepangana uko Ili wapige helaa hii nimeipendaa kiki za biashara siku zote ni nzuri❤
Azam anawapasua sana vichwa visimbuzi vyengine haswa STARTIMES
@@chulbuyharoun5778 daah tutafte Hela
Hapo hakuna kiki Kwa uoni wangu ni ugomvi kabisa 😅
@@MaryamRamadhan-p5e wanapo sema watuchangamshe Sasa ndio kama hivi mana bongo IPO busy sana na mambo ya kiki kuliko bima ya afya
Hivi Kumbe HEMED Hawajui Waigizaji, Anamuita Mzee Chilo Wakati Mzee Chilo Hayupo 😂😂😂😂
Uhanisi huu😂😂😂😂😂
Dah! Eti Joyce wowowo aisee hemedi kazinhua sana 😢😅
HAMNA KITU KIBAYA KINAKERA KAMA KUDANGANYWA AISE💀💀
❤❤ I love 💕 Lulu ni mpole sana
Mastaa wa bongo mnatia aibu kiukweli acheni ushamba et vioo vya jamii looo mnakera sana
Ndio kimesha ruka mzee😂
😂😂😂mtapatana tu insha Allah nyinyi watoto wa kisilam nawapenda saana lulu na hemedi ilove you
😊😅😅😅😅😅😅 et huyu manzi
Mtoto Wa kiislamu mgongoni ana bonge la Tattoo😢 tena mchana kweupee...Msiba mkubwa Wallah Allah tuongoze In sha Allah 🤲
Wewe nomaaaa
@@alimwadima254😂😂😂
Ila waandishi mmeambiwa isiruke lakin mmerusha khaa😂😂😂
Wasaani wa bongo Jaman mbadilike
boss : waandishi naomba msirushe clip
waandishi : sawa tutajitahidi kadli ya uwezo wetu😂😂
😂😂😂
@@shamirsimba6048 halafu wamemfanyia bosi mambo meusi😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Watekaji hao
Dah ududu mwingi sana😂😂😂😂
Etii Joyce wowooo, nimecha sanaaa 😂😂😂😂😂
Dada Hemedy 🤣🤣
Huyu boss wa hii kazi ndio mjinga kawadanganya wafanyakazi wake kwanini asingewaambia ukweli kuwa mtakutana unaanza kuwadanganya kwani wao vipofu sasa ndio kapata nini
Umeongea point sana
Kabixaa uyu boss ndio mwenye makosa kabixaa anajua watu awapatan angewapatanisha kwanza ndio waje apa
Absolutely
Drama Hii Mkuu kuipa movie kiki.... Bongo Kitu bila kiki hakiendi.. hahahhahaha
Niko upande wako
Naona lulu unalia kizungu😅😅😅😅
Kama tulivyokubaliana ichi kisiende kabisa 😂😂
Na hatimae hakijaenda😅😅😅hii ndio bongo movie
Joice wowowo😂😂😂watoto wa2000 hamumjuwi Joice wwwo
Mwanaume mzima unalialia kisa mdada ,anakuzidi ndo mana
HAMNA KITU KIBAYA KINAKERA KAMA KUDANGANYWA AISE💀💀
Kiki noma sana 😂😂😂
Kiki zakibongo kichefuchefu kwewli utakuta tamthilia yenyewe jambazi anavua viatu mlangoni🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tena anafuta miguu😂😂
@@Lulu-d9k5f 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kiki za kisenge tlishapitaga huko sisi
😅😅😅
Umenena hpo amna ktu hpo😂😂😂😂
Iv waandish si mliombwa msirushe hii kipande? Mbona mnapenda misifa??
Kiki live bila chenga😢😢😢😢😮😮😮
Umeona iyoooo
Live kabisaa
Msimamo wa kiume kabisah .......#hurrrrrrrre🎉mwanaume wa nguvu ...........🎉🎉🎉🎉🎉❤
Umefelisana brother tambua kwamba uyo mwanamke tu
HAMNA KITU KIBAYA KINAKERA KAMA KUDANGANYWA AISE💀💀
Matokeo
Ya darasa lasaba
Sana PhD nakubal kaka
Hiyo move nzuri xana nasubiri part 2 ya P.h.d wa Tz mmeuvaa vizuri uhusika😂😂😂😂😂
Wapuuzi wote
Yaitwaje
@@hellenanyango-f4nnice to meet you
Jina La Movie Tafazali😂😂😂😂
Kiki Nzuri sana, Mtaifanya hii tamthilia ijulikane
Jamani Ukafiri huu Hemedi na Lulu mutamjibu ni Allah kaburini
Jamani nimecheka eti joyce wowowo😂😂😂😂😂😂😂
duuh wanaume wasikuizi😅😅😅 mnatia aibu jamani
Hemedi has never been my thing kbsa mwanamume mzima Hana hayaa ajiona Sana na Hana lolote
Kwani pale kwao alisha hama au bado lina kaa kwao me sjawahi kumkubali kabisa
@@Jacklinejohn7jitu zima kinakaa kwao ndo maana halina akili
@@MsAggie5 basi amna shida sio kosa lake mana anasubiri aolewe ndio akue mme bado hajapata bado msimlaumu sana 😂😂😂😂👆 mashauzi mengi mtaani kwao kwenyewe hawampend
@@Jacklinejohn7 wasanii wa Bongo kaaazi kweli kweli 😂😂😂
Kimeruka Boss...waandishi hawana dogo😅😅
Waandishii wa habari wameshakirushaaaa mdaaa tu Yaani hawana siriii hao 😂😂😂
😂😂😂yaan hawachelewi aisee
Chap
Walirusha hapo hapo walikuwa hata hawajatoka😂😂😂😂
@@Josephinenkana nakwambia tumeangalia laivu😅😅😅
Mume ingiza vizuri hapo
Ndoo maan sipendi movie za kibongo 😅😅😅bola niangalie zangu watuluki 2
Mtabaki wayumwa kola kitu
HAMNA KITU KIBAYA KINAKERA KAMA KUDANGANYWA AISE💀💀
Naomba kisirishwe, watu wameshakirushaaa😂😂😂😂😂😂😂 Bongo sihami
Movie itakua kali sana 😂
Umeonaye 😂😂
😅@@AnnaSilvn
@@GloryProtas-t3g muvi inaitwa Nice to meet you
Hatuna wahandishi wa habari tuna wachukua matukio mbona tukio live 😂😂😂 bongo sihami
Mmmh hii imepangwa kabisa kiki
KIKI ZA BONGO DAAAHHH MUNGU TU 😭😭😭😭😭
Ila waandishi wa Habari 😁😂😂🙌
Hemedy Ndevu kama kwapa la. X Wang 😢
Pole sana Diva, ucjal inatokea ktk maisha. Huyo jamaa alikuwa Hana sababu za kupanik mbele ya camera kama hivyo.
Hemed kumbe Hana akili ana mambo ya like sana
Mshamba tu janaume linakuwa kama la kike linajiona lijanja kumbe ni ushamba na ulimbukeni
Du! Awa wasanii wananini jaman! 😅😅
Nimeipenda sana yani mmeigiza kama ualisia sana sana kaka yetu ih imeenda
Hahaha yaan kama kwel wanaugomvi kumbe makiki daah aseee
Bongo bila kiki Akuna kituuu😂😂😂
Huyo kujiona star 😂😂😂
Lulu my sister take it easy, I feel you but n have loved how you have controlled yourself maturely, for Hemedy he needs to style up
Niyajua tu kiki hizi ila raha tu 😂😂😂😂😂😂
Hemedi silipend mm
Kitu kisi Ende kabisa na kimeenda 😂😂😂
Uyo hemed msege sn kwani kinamumiza kit gan kwa lulu mshambaa tu uyo hemed anapend sifa mjinga tu uyoo
ila hemed😂😂😂
Hemed kafeli sana kumbe ana mambo ya kike mtoto wa kiume haongei sana
Wanaigiza hapo, kutengeza attention ya hyo tamthilia yao
Una uhakika Hemed ni mwanaume
Toka Tusker Project Fame akianza ndio ajulikane alikua na ushenzi na umama ajabu sijui.mbona mulimthamini
😂😂😂😂😂 Daaah@@annamussa185
Yeye mwenyew kakubali ni wa kike 😂
Hemmed msenge kweli 😂 huyo
Penda sana Lulu diva from kenya
kisiende wap😂😂😂 kimeenda
Nimesikitika sana hadi bongo movie watala Kiki ili nsgu zenu ziende dah ubunifu mdogo sana story nzuri hamna aseee bora tue ndeleee na DJ Mark mzeeeea waaaaaanaaaaaaakujaaaaaaaa
Mzee wa ngwasumaaaa na vocal za kivampire 😂😂😂😂
Noma xana huyo dingi😆😆
HAMNA KITU KIBAYA KINAKERA KAMA KUDANGANYWA AISE💀💀
Hemed kashaend kwa didy 😅😅😅😅😅
Jmn hizi Kiki
Caming soon...
Jamani hatakama ni urembo hyo tatu ya lulu hapana mmmmh😢
Bongo kweli nyoko😂😂😂😂😂😂😂
Lulu huo mkono uliovaa chuma huwezi kumtwanga nao huyo hemedi wa kichwa??naona kama anakuzoea na unamchekea, upo kinyonge sana hata humtukani vizuri
😂😂😂😂
😅😅😅😅😅Yaani kabida huyu Hemed wanamchekea sana khaa
😂😂😂😂🎉
😂😂😂😂
😂😂
Acha Umama We Hemedi
Pole sana lulu mwakijambile
😂
😅😅
Najua mnatafuta kiki ya kuuza thamthilia😂😂
Anacheza na kazi hemedi😂😂😂 kama ulimtongoza alikataa bc ugomvi wenu hautuhusu sisi 😂😂😂😂 ila nimechek aiseee hemedi nae analia
Hemed wa like au wakiume 😂😂
Yani huyo kaka nishoga nimetokea kumchukia sana
mjini, watu wanatafuta pesa..
hao wamepanga, acha kudakia
Hemedi anajiona sana tatizo lake hajui ye wa kawaida tyuu
Mwamume huwezi kushindana.namwanamke
Tumia akili hiyo ni kiki
Nilichoelewa luludiva na hemed ndo main character 😂😂
Huyu kaka ni mjinga sana nilikuwa ni mjinga Group up brother
Wewe na yey nani mjinga?ambae huna akili kusoma hujui hata picha .usilo jua nisawa na usiku wa giza mchafu kunuka wew
@IdarousPossy I'm nit grays he is yelling with lady I understand his anger but he embarrassed embarrassed him self without to yelling in public. I like him don't give me wrong but he has to watch hie mouth
HAMNA KITU KIBAYA KINAKERA KAMA KUDANGANYWA AISE💀💀
@@veronicakassembe3718 let me ask you veronica a lady can't be yelled at.? ? How did you want hemed to be you don't know the meaning of being angry better even hemed yelled.If I had been me I don't know what I would have done with my short temper.Probarbly even given out slaps.
The moderators would have found a better platform to bring them together.
Kwanini kila tamthilia jambazi avae miwani meusi😂😂😂😂