ALIYECHOMA PICHA YA RAIS AACHIWA AFUNGUKA, AWASHUKURU WATANZANIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Msanii wa Sanaa ya uchoraji, Shadrack Chaula (24) amewashukuru Watanzania waliomchangia faini ya Sh5 milioni na 'kumtetea' baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kwa kosa la kutoa taarifa za uongo mtandaoni.
    Kauli hiyo ameitoa leo Jumatatu Julai 8, 2024 baada ya kuachiwa huru.
    “Asanteni watanzania, naitwa Shadrack Chaula, asanteni ndugu zangu mawakili kwa kunitetea na Wtanzania wote mliohakikisha mnanitetea,”amesema Chaula.
    Julai 4, 2024 Chaula aliyekamatwa kwa madai ya kuchoma picha ya Rais Samia Suluhu Hassan na kushtakiwa kwa kosa la kutoa taarifa za uongo, alihukumiwa katika Mahakama ya Wilaya ya Rungwe Mkoa wa Mbeya, baada ya mshtakiwa huyo, mkazi wa Kijiji cha Ntokela, wilayani humo, kukiri kosa hilo.
    Hata hivyo, watumiaji wa mtandao wa X (zamani Twitter) walichanga faini hiyo kwa ajili ya kumtoa. Kupitia ukurasa wa Instagram wa Wakili Peter Kibatala amewashukuru wote waliochangia.

Комментарии • 33

  • @gracendumbaro5196
    @gracendumbaro5196 2 месяца назад +4

    Safiii mungu ni mkubwa

  • @nuhhumwakanyamale4771
    @nuhhumwakanyamale4771 2 месяца назад +3

    Hiyo ndiyo kesi iliyoamliwa mapema zaidi kwenye historia ya mahakama ya Tanzania.
    Ila zingine kama Ile liport ya CAG mtu kujibebea mabilioni ya pesa ya uma.
    Uchunguzi Bado unaenderea tena kmy kmy amna tunachojua. 😢 Saw hii nchi si yenu ishini nyinyi cc tupo kuwasindikiza 😢😢😢

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 Месяц назад

    Wa Tanzania Ni watu wema sana na wenye Imani

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 2 месяца назад +2

    Shujaaaa huyo 😂😂

  • @shakurfaith
    @shakurfaith 2 месяца назад +2

    Nilimchangia, ila ni upumbavu kuchoma picha ya kiongozi mkubwa wa nchi. Hizi ni mihemko tu

  • @imanmodern
    @imanmodern 2 месяца назад +4

    Safi Sana watanzania kwa kuonesha upendo huo

  • @MasoudSultan-ks6kc
    @MasoudSultan-ks6kc 2 месяца назад +4

    JIFUNZE KITU USIKURUPUKE

  • @user-cv4jb1bm6i
    @user-cv4jb1bm6i 2 месяца назад +4

    Safi sana upendo tu maskini kwa maskini tunajivunia nguvu moja

  • @Shalom803
    @Shalom803 2 месяца назад

    Hongereni wa Tanganyika kwa umoja❤

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende1975 2 месяца назад +1

    Watanzania gani😢😢😢😢😢

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 2 месяца назад +3

    SAS UJE URUDIE TENA UPUUZ NDO UTAJUA😢😢😢😢

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 2 месяца назад

    Safi san mungu mwema

  • @kisoso890
    @kisoso890 2 месяца назад

    Our champion

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j 2 месяца назад

    maisha magumu hixo hela za michango mmezipataje..

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 2 месяца назад +4

    Aendelee kuchoma. Kutukana, kukejeli ! Pesa zipo tutatoa !

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 2 месяца назад

    Wakwer tumeshinda

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke695 Месяц назад

    Una vuta mibangi ya njombe afu una jizima data we musenge kbs

  • @humphreyhassan8197
    @humphreyhassan8197 2 месяца назад

    Kumbe mmelipa faini

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 2 месяца назад

    Usisema watanzania washukuru waliokutuma.

  • @jastinmodest8073
    @jastinmodest8073 2 месяца назад

    Mungu si Massawe usitishwe mdogo wangu umefikisha ujumbe kwa ujasiri mkubwa kwan wakati Mungu anakuleta aliwauliza ili wamshauri?😁

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 2 месяца назад

    Mimi Kila siku naikojolea asubuhi na jioni naitapikia picha ya huyo "Mungu wenu wa kike"
    Kumbafu zenu . Na hamnifanyi kitu. Kumbafu Tena!!

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 2 месяца назад +2

    Kwaiyo utarudia au

  • @emmanuelndahan9815
    @emmanuelndahan9815 2 месяца назад

    Aache upumbavu

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l 2 месяца назад

    Mtu anamtukana raisi anadhlilisha inatokea mijitu iso na akili inatetea nyie chadema nyinyi mungu anawaona

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 2 месяца назад +2

    Urudie tena kuchoma
    Uone kitakachokukuta

  • @user-yu2hh7kh8o
    @user-yu2hh7kh8o 2 месяца назад +2

    alitaka kuonewa 2 kwa kuchana kalatasi

    • @MhinaKulewa
      @MhinaKulewa 2 месяца назад

      Hata pesa ni karatasi ila ukiichana utafungwa.

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 2 месяца назад +1

    Mtumieni kwenye s9asa uchwara sasa

  • @HappyBooks-dj6oy
    @HappyBooks-dj6oy Месяц назад

    Babkubwa Uko Sawa sikupingi hata kidogo.Mimi nitachoma ya Uyo Mama na chupi yake Nape ridhiwani na bunge Zima nitaanza na speaker Tulia nachoma hadi chupi yake nitumieni picha zao.Niwaonyeshe.Napatika Tandale Uwanja wa Fisi mkifika Ulizieni Komando wa magufuli A.K.A Ninja mweusi.Mje fullu na magobore yenu. pumbavu

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 месяца назад

    Pumbavu zenu yaani mtu anafanya utovu wa nidhamu kama huo alafu bado anaonekana yuko sahihi hii akili au matope kwani haya maisha mabaya ni sababu ya mama samia? Acheni upumbavu na chuki za kijinga

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 2 месяца назад +2

    Watanganyika wanaojielewa siyo misukule