FULL FUNDED SCHOLASHIP ZA KUSOMA ROMANIA KWA WATANZANIA, KENYA, CONGO ,nk APPL NOW
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- #scholarship #trending #trending
Karibuni kwenye channel yangu Naongelea mambo mbalimbali , maisha ya ughaibuni ulaya, kazi , schoraship ,mapishi ,elimu , urembo, vlogs , interviews , stori za maisha na mambo mengii msisahau kusubscribe hapa
www.youtube.co....
SUPPORT ME ON PAYPAL
paypal.me/Rose....
Email: franjomulato@gmail.com
Instagram:@granaterosemary
#mamafranjovlogs #köln #maishayaughaibuni
Seh gut❤❤❤❤
DADA UMEKUA MREMBO MARA SABA ZAID YA ZAMANI, UMEKUA KAMA UMEZALIWA JANA AISEEE, Wow Hongera kwa kupendeza❤
Hi mama franjo nataka kazi ya udereva
ILI KUWEZA KUAPLY HIZI SCHOLASHIPP PLIZ BONYEZA LINKI HII NA FATA MAELEKEZO scholarships.studyinromania.gov.ro/ ILI UWEZE KUAPLY USISAHAU KULIKE HII VIDEO NA KUSHEA NA WATU WANAOWEZA KUAPLY ASANTENI
Eti mamafranjo, je kama huna passport unaruhusiwa Ku apply?
Ndio unaweza aply na kitambulisho chataifa kisha ukaanza kushughulikia passpott
Sawa asante sana
Mama franjo vp kuhusu grade maan inatuchangany
Naomba unambie kwa wale wa high school Wana convert vp kwenda kweny Romania grade
Umependezea sana mpenzi
Asante my love sis
Done nmemaliza kuapply aisee ubarikiwe nasubr Results tuu japo kama internet yako ipo slow kweny kupload vyeti itakugharimu urudie rudie mara kadhaa usichoke ikitokea hyo changamoto........ Well done sister 🎉🎉🎉🎉
Naomb nielekez broo
Naomba unisaidie kwenye high school grade equivalent to Romanian grade system niandike GPA yangu ya diploma coz me nimesoma diploma sio form six au kuna namna ya kuipeleka iende kwa Romanian grade yao inakuwaje. Asante 🙏🏾
Safiii sanaaaa lazima tuchangamkie nafasi hongera sanaa
Link sojaiona
Sijaoona
Asante sana mamafranjo kwa moyo wako wacha tushee shee mana wengine hatuna vigezo
😆😆😆
Dada mi mzima za uko
Natafuta kazi mi ni welder
Umependeza wiii nimeku miss sana
Miss yoy mnoo my wiii ❤❤
Yani mimi nshakufollow kila sehem aisee😂
Oh asanteee jamanii
Tukumbuke na sisi ambao hatujasoma tutafutie kazi zandani zausafi nazingine nyingi sasaivi naona watu wengi wameanza kusafili namafamilia yao wanasemaga nikampuni imewagaramia kilakitu tusaidie na sisi
Dada eti naweza kuingia Germany kwa visa ya ndoa bila kusoma lugha kwanza?
Mh sizani. But kwanini usisome tu lugha mbona haichukui muda
@@mamafranjovlog72 dah mbona nimevurugwa mimi
Sister vip hujatupa habar tena kuhusu poland
Poland hakuna mpya ila watu wanaendelea kufanya aplication na wengine wanasubiri apointment zao za visa
Endelea kutupatia madini banna ili watanzania mpaka tuwe wengi ulaya
Vp kuhusu visa mama franjo wanakulipia
Hawakulipiii ila unalipia ambayo sio big deal dola 80 au 90 ila visa unapata moja kwa moja mana wao ndo wamekupa schoraship na huitaji bank statement wala nini
Oooh oky asante mama franjo
😅.
Diploma hamna
Hakuna