Professor Jay - Kikao cha dharura (Official Audio)

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 370

  • @daudaloyce1891
    @daudaloyce1891 4 года назад +77

    Kimsingi nimesongwa na haka ka muda, nadhani mkichagua tena nitatekeleza kile ninachosema, 😁😁😁😁😁 gonga like kama unamkubali huyu legendary

  • @amourhabiby5118
    @amourhabiby5118 Месяц назад +6

    Ana akisi maisha halisi na siasa za Bara Afrika 😢

  • @TheopistaEustace
    @TheopistaEustace 3 дня назад

    Ngoma kama izi haziishi utamu maana zinaujumbe Alisi wa viongozi.....anayesikiliza 2024 tujuane Kwa like

  • @Iman675
    @Iman675 Год назад +10

    2023 ,huu wimbo na wakati wa Sasa katika serikali ya kenya😢

  • @patrickmugo7249
    @patrickmugo7249 3 месяца назад +9

    2024 and still lazima nisikilize ndio mzee na kikao cha dharura 😅😂

  • @FridalsOrifa
    @FridalsOrifa 23 дня назад +1

    Jamaaa legend wa E.A. hip hop

  • @IssaSalimo-v5w
    @IssaSalimo-v5w Месяц назад +2

    Kama wakurima tumesikia tuendelee murina kwamkono twende pamoja❤❤❤

  • @david88.92
    @david88.92 4 года назад +235

    Kama Hiii ngoma umeisikiliza 2020 tia like 😄

  • @DorothyOdera-q6x
    @DorothyOdera-q6x 7 дней назад

    Wakenya mko wapi huyo aliona future yetu

  • @mussalugete5480
    @mussalugete5480 Год назад +2

    Mungu akufanyie wepesi katika majukumu yako Ndugu Mheshimiwa Joseph Leonard Haule

  • @chalimsupa6603
    @chalimsupa6603 3 года назад +10

    hii wimbo inachekesha sana... ahsante professor Jay! wamekuzoea

  • @abdifatahabdullahi729
    @abdifatahabdullahi729 3 года назад +24

    The relevance of this song on Kenyan political context. Mnakumbuka stadiums, free wifi, etc nothing came of it. Prof J will remain one of the best rapper ever.

    • @PembaImani
      @PembaImani 3 года назад +1

      Tablets for school going kids, guaranteed paid internships for university graduates, universal health care, big 4 agenda oh noo...😭😭. Ebo! What a scam!

    • @biggiesmalls5050
      @biggiesmalls5050 10 месяцев назад

      This song is a living reference to Kenya's political class

    • @isaacquesney2732
      @isaacquesney2732 7 месяцев назад

      Prof's song highlights the current situation in Kenya. The hustler government resonates with what Prof says in this song.

  • @bible_bites93
    @bible_bites93 Год назад +6

    Ruto government amplified by two songs... first Ndio mzee and Kikao cha dharura later all by Prof Jay..... Kweli usanii kioo cha jamii.... This song was released in 2004/2005 and its 2023 and it reflects perfect with kenyan economy and government at the moment..... 😂😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @MG-wx8yx
    @MG-wx8yx 3 года назад +11

    Kama huielewi hii ngoma, basi pumzika kidogo, kichwa yako itakuwa haiko sawa! Rudi tena baadae.
    2021 and still like yesterday.

  • @zulfaabdala7370
    @zulfaabdala7370 3 года назад +23

    Kama unampenda professor j gonga like

  • @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
    @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG 6 лет назад +46

    Hii imenifanya nikumbuke maisha ya zamani duuu!! Bongo frava umeitoa mbali sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻.

  • @jafaripaje5366
    @jafaripaje5366 2 года назад +25

    When music was composed by the taleted musician as opposed today’s rubbish. Reminds me of my high school days

  • @kakabarracks9456
    @kakabarracks9456 Год назад +8

    This guy is so accurate in voicing for the common citizens I wish tz would give him more chances on the legislative arena.

  • @dulaabdallarashid
    @dulaabdallarashid 2 года назад +3

    tuachane na diamond huyu mwamba wa bongo records big legendary

  • @manisule7668
    @manisule7668 6 лет назад +10

    Ukiskia prophecy ndio hii ulijua utakua kiongozi na mungu amekujalia big up sana mkubwa

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 4 года назад +17

    Kwa wanaoiskiliza hiingoma kipindi hiki cha uchaguzi kandamiza ma like teleee

  • @NabakiZanzibar
    @NabakiZanzibar 2 года назад +10

    Tujuane ambao bado tunaukubari huu wimbo mpaka sasa! #2022 #GYPSY
    Professor Jay ft. Babu Ayoub
    Kikao cha Dharura...Life time song.

  • @jemjay1011
    @jemjay1011 6 месяцев назад +13

    Nimefika hapa mwaka huu 2024 2025...

  • @geoffreybasesa2015
    @geoffreybasesa2015 2 года назад +25

    2022 minus 2 still feeling the hit. Legend

  • @ellymwitakichonge8416
    @ellymwitakichonge8416 6 лет назад +35

    Safi sana ,,mzeee Wa ndio mzeee umekuja kivingine gonga like hapa kama umemuelewa huyu jamaa na bonge la creativity,,

  • @jamesomondi4757
    @jamesomondi4757 3 года назад +17

    Tanzanian icon...Respect sir🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @kevinevans9923
    @kevinevans9923 3 года назад +4

    Mheshimiwa sisi wakulima ulituahidi matrekta,nasiku zinayoyoma tu mbona hujahawajaletaa..loved this vibe,much love from 254 ❤️❤️❤️❤️

  • @manassehjoseph3740
    @manassehjoseph3740 4 года назад +12

    Maisha in jinsi uishivyo ulijiaminisha Leo umefanikiwa good,

  • @peterkutoh3699
    @peterkutoh3699 4 года назад +107

    Professor Jay ft. Babu Ayoub
    Kikao cha Dharura
    Prof Jay:
    Nawashukuru sana wananchi kwa kweza kunipa kura
    Nashangaa nimeitwa ghafla kwenye kikao cha dharula
    Kikao kinaashiria kina maswali juu yangu
    Hii inatokana na ndiyo mzee na ahadi zangu..
    Naona watu ni wengi wananchi walio na maana
    Najaribu kutafakari ni nini kinawachanganya!!
    Nipo tayari kujibu maswali yenu zamu kwa zamu
    Watakao uliza maswali na ningependa niwafahamu
    Swali:
    ..Naitwa sajent Byemero kwa niaba ya jeshi la polisi
    Nilikuwa nauliza zile helikopta zetu vipi?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Nafikiria kwanza kuanzisha chuo cha marubani
    Vinginevyo mtapata ajali nyingi sana angani.
    Baskeli hamjui kuendesha helikopta mtaendeshaje
    Kila mtu aendeshe yake huko angani itakuwaje?
    Swali:
    Mheshimiwa sisi wakulima ulituahidi matrekta
    Na siku zinayoyoma tu mbona haujayaleta ?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Wakulima mngeendelea tu kutumia jembe la mkono
    Serikali haina hela bajeti imefika kikomo
    Naona kilimo cha mkono kiniendelea vizuri
    Jamani kazeni mikono endeleeni kukaza misuli
    KIITIKIO
    Wananchi tupo pamoja hapo. (siyo mzeeeeeee)
    Watanzania tunaerewana kule, (siyo mzeeeeeee)
    Washika dau na wapiga kura pale (siyo mzeeeeeee)
    Eeehh: siyo mzee....eti, (siyo mzeeeeeee)
    Wakulima tupo pamoja pale, (siyo mzeeeeeee)
    Wanafunzi tunaelewana kule, (siyo mzeeeeeee)
    Mabahamedi na mapolisi pale (siyo mzeeeeeee)
    VERSE 2
    Prof Jay:
    Mabaaamedi ondoeni hofu kilio chenu nimekisikia
    Ma benzi yenu yapo bandarini tayari yameshawadia
    Nimemchagua kiranja ili anipe idadi yenu
    Niwape funguo zenu muondoke na magari yenu.
    Swali:
    Ulituahidi utatujengea barabara tano tano juu na chini
    Hizo zote hatutaki tunataka moja tu ardhini
    Kila siku tunapita barabara zinakuwa mbaya
    Umeyafumbia macho mheshimiwa huoni haya?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Barabara ya makwekwe nimesha imwaga kifusi
    Baada ya wiki mbili itakuwa safi kama urusi
    Makandarasi wanafanya kazi kutoka china na madagascar
    Kuhusu vibarabara naomba muondoe shaka.
    Swali:
    Eeh vipi mzee mabomba kutoa maji na maziwa nchi nzima ?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Jamani naomba muulize maswali ya utu uzima
    Mabomba kutoa maji na maziwa haiwezekani
    Mlinukuu vibaya nasisitiza haiwezekani
    Swali:
    Mzee hali ni mbaya si tungegawana vya kwako?
    Kwenye kampeni zako si ilikuwa moja ya ahadi zako ?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Eeehh? kugawana vya kwangu hilo swala litakuwa gumu
    Familia itanitazama ebo? nina majukumu
    Imeandikwa kila mtu atabeba msalaba wake
    Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake
    Mbona mnaniuliza maswali mengi kunikomoa
    Jamani watanzania tunajenga tunabomoa
    RUDIA KIITIKIO x2
    VERSE :3
    Prof Jay:
    Wafanyakazi wa serikalini sasa nyinyi magari ya nini?
    Daladala chungu mzima mnaweza kuwahi kazini
    Nasema mnapenda sana starehe kuliko kazi
    Na hiyo ndio sababu mnaharibu hiki kizazi.
    Wanafunzi niliwahidi mtafanyia practical mwezini
    Kabla ya kupeleka mi nilifanya utafiti
    Nimengundua huko mwezini kweli kuna baridi sana
    Na pia kunavitisho kuwepo kambi za osama
    Mkinichngua tena mtakwenda huko mapema
    Nanita tekeleza kila neno ninalo sema
    Sema nimesongwa na haka kamuda
    Mkiniongezea muda kila kitu babu kubwa
    Wengine kimya na maswali yamepungua
    Yeyote mwenye swali ningependa kumtambua.
    Naona mnanong'ona na wengi mmekunja sura
    Hii inaonyesha mmeridhika kunipa kura
    Nadhani ndugu zangu tuko pamoja...... (aagh wapi)
    Jamani tupunguzeni jazba basi kidogo...... (hatutaki)
    Sasa watanzania mbona mnaazisha vurugu
    Nadhani mmesahau watanzania wote ni ndugu
    Babu Ayoub:
    Eeeh? jamani nasema hivi kikao kimeahirishwa
    Jamani maafande..... Afande miraj.... Afande mzafalu,
    afande nani Gondwe njooni mtusaidie huku.

  • @karanjakiarii6238
    @karanjakiarii6238 3 года назад +11

    This was a true prophecy. That you were elected .. . and later.. maybe watu wakakwambia 'sio mzee'

  • @mauriceogola9243
    @mauriceogola9243 6 лет назад +25

    MC mkubwa sana . Nakukubali Eminen wa Africa

  • @yahyabakari4000
    @yahyabakari4000 3 года назад +2

    Mbona kama hizi nyimbo ulijitabilia hatima Yako kwenye Siasa Prof Jay 😢😢😢😢

  • @maulidrehani
    @maulidrehani 6 лет назад +11

    Msanii wangu wa muda wote...mzee wa mitulinga

  • @guyokorma9211
    @guyokorma9211 Год назад +6

    Prof Jay among the top prolific legend 🙌

  • @isacklaizer6776
    @isacklaizer6776 3 месяца назад

    Classic classic classic song, nyimbo zinazoishi ... ⚘🌷🌹⚘🌷🌹🥀🌹🥀🌷⚘⚘🌷🌷🌺🌺🌺🌺🥀🥀🌹🌹...Chukua Maua yako Prof.Jay, Stay blessed.

  • @petermuma1582
    @petermuma1582 2 года назад +11

    This guy is one of the best brains in music I have looked for this song since 2008. Prof J the legend in living

  • @genosumaye140
    @genosumaye140 2 года назад +2

    Tunakutakia afya njema bro mungu ni mwema kila kitu kitakaa Sawa 🙏

  • @staralive9260
    @staralive9260 2 года назад +1

    Magufuli alikuwa anampenda sana Sugu! Sema tu maslahi ya Chadema ndiyo yaliyomuweka kando Pro. Jay tokea zamani.!!

  • @eddynando2522
    @eddynando2522 5 лет назад +25

    Living legend !! he prophesied of being an elected member of parliament now it has come to pass..... 2019 bado wimbo unahit

  • @davidkojo9525
    @davidkojo9525 Год назад +2

    Sometimes it feels like Prof Jay understood the Kenyan political state inside out. But it seems, politicians are the same everywhere. Kazi safi sana hii.

  • @coldmama1714
    @coldmama1714 2 года назад +1

    Ma producers wazamani wslikua na talent kweli

  • @Narratoroflovestories
    @Narratoroflovestories Год назад +1

    Dah nilikuwa naskiliza hii nyimbo nikiwa mdogo sna😊😊😊

  • @butchaureprisioneiro5873
    @butchaureprisioneiro5873 3 года назад +6

    I m Mozambican FANS 🇲🇿🙏🙏🙏

  • @yonarashidimbwambo2299
    @yonarashidimbwambo2299 4 года назад +4

    Nafurahia sana nyimbo za huyu mwamba

  • @feronandsulubu6711
    @feronandsulubu6711 Год назад +2

    Hip-hop na reggae ndo mziki wa kijamii

  • @fedrickwilliam1721
    @fedrickwilliam1721 4 года назад +4

    PROFESSOR JAY FOR PRESIDENT 2025

  • @fremmangyemo200
    @fremmangyemo200 7 месяцев назад

    Mpaka Sasa Nafata Iyi Song ! Kazeni Msuli Vijana. Bomba zakutowa Maji Na Maziwa. Que Dieu te bénisse Prof J Légende Vivante

  • @kipkurgatthomascheruiyot-ep2ij
    @kipkurgatthomascheruiyot-ep2ij 9 месяцев назад +1

    This songs is masterpiece reflection of today's politicians..example being kenya

  • @MOchieng85
    @MOchieng85 2 года назад +5

    Jina lako PROFESSOR linakufaa na hadhi yako vile vile, na nina uhakika itachukuwa karne(centuries) nyingi sana, pengine hatapatikana mwenye kukung'atua kwa kiti chako cha Ufalme, kwa maana wewe ndiwe!!! Mungu akuzidishie maisha marefu na afya nzuri tu.

  • @kevyprimus5859
    @kevyprimus5859 6 лет назад +4

    yaani huu wimbo ni applicable kwenyew ishu za 2018 kabisaaa 🙌🙌🙌🙌

  • @vickyshio8732
    @vickyshio8732 4 года назад +5

    Kichwa kingne ich jaman. Nan ako hapa 2020??

  • @samsonmgeta2345
    @samsonmgeta2345 4 года назад +1

    Shikamoo professor afande mzafaruuuuuu

  • @HellenOkemwa
    @HellenOkemwa 10 месяцев назад +1

    2023..still listeing from kenya much lov pr jay

  • @tabibuoptimist-kenya5335
    @tabibuoptimist-kenya5335 6 лет назад +3

    ulishatabiri, na sasa unaishi ndoto yako. Big up

  • @johngachuhi4776
    @johngachuhi4776 4 года назад +20

    Tanzania finest ..am from kenya

  • @castronicodem1539
    @castronicodem1539 3 года назад +1

    Good song. Nakukubali jay

  • @omwamiofficialpage4913
    @omwamiofficialpage4913 4 года назад +2

    Eeeish proooof , zaidi ya noma yaani, mkali wa mistari, hipo, hop Kali sana afro pop, ya kikweli 2020

  • @savimbialex8452
    @savimbialex8452 6 лет назад +15

    Proff j zee...wametulinga...mti mkavu....your my legend...I will always love your music

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 3 года назад +1

    Mwana hop anaepaswa heshima ni wew. Hukuan did q ,joh makin wala nn

  • @Chiefsamwaja
    @Chiefsamwaja 8 месяцев назад

    Aiseee hii ngoma ilishika vibaya❤❤❤

  • @teddyrevocatus1546
    @teddyrevocatus1546 4 года назад +1

    Kuhusu vibarabara naomba muondoe Shaka🥰

  • @weezypaker7941
    @weezypaker7941 3 года назад +4

    I can never get enough of Jay and I don't even speak swahilli nut I understand the most but I wish can understand it all do beautiful

  • @lucaskashimwita6386
    @lucaskashimwita6386 4 года назад

    Sina shida na ww Proj j Mungu akupe ushindi japo mm ni ccm nakukubali

  • @kiokomutua3209
    @kiokomutua3209 5 лет назад +6

    Proff Jay had the so much talked about dream...EAfrica

  • @daudisimwinga1324
    @daudisimwinga1324 6 лет назад +3

    I wish pro jay atupe nyimbo moja inayozungumzia hali halisi ya kisiasa tz

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka9525 6 лет назад +20

    Baskeli hujui kuendesha helicopter utaendeshaje 😂😂😂 back in high scul 2002-3-4-5 daah

  • @rashidmsengwa.4789
    @rashidmsengwa.4789 6 лет назад +10

    #arijitabilia ivi sasa kiongoz wa mikumi.... daa" life baana🙂

  • @mmunjaru
    @mmunjaru Год назад +1

    2023...Reminds me of the empty blanket promises made to Kenyans in 2022

  • @PeyaMutombo-nj5ri
    @PeyaMutombo-nj5ri Год назад +2

    Cette chanson m'a trop fait du bien vraiment

  • @dishangib
    @dishangib Год назад +1

    Oldskool Classic Hit 🔈🔉🔊🇰🇪🇰🇪❤️❤️

  • @chimbaonline1418
    @chimbaonline1418 4 года назад +1

    Jamaa uliona mbal asee

  • @sylivesterkunbert8277
    @sylivesterkunbert8277 6 лет назад +5

    Daaa kitambo sana but mistari yako mpaka sasa ni hot

  • @arshavine0
    @arshavine0 2 года назад +2

    Continuation of song" 𝘯𝘥𝘪𝘺𝘰 𝘮𝘻𝘦𝘦" 2022 and still listening to this legend💯......kenyans vote wisley professor Wajacoyah afadhali can change our country August 9th vote wisely

  • @mettanahonyo3345
    @mettanahonyo3345 Год назад +2

    Living legend 💪

  • @namieokapi9500
    @namieokapi9500 4 года назад +3

    Namkubali P jay still number one in Tanzania 🔥🔥🔥

  • @jolamboi8842
    @jolamboi8842 6 лет назад +2

    Iyo nyimbo daaah!! Kitambo sana

  • @masagara
    @masagara 2 года назад +3

    True man💥💥ua fan from 🇰🇪🇰🇪

  • @peterluther5830
    @peterluther5830 Год назад

    Professor J mistari balaa wewe.Mpaka sasa bado hakuna aliyekukaribia,Kichwa vina kama mchanga wa bahari.

  • @miriamdaniel3415
    @miriamdaniel3415 5 лет назад +17

    hali mbaya tugawane vyakwako

    • @issamwahezi6236
      @issamwahezi6236 4 года назад

      Hiyo itakua ngumu

    • @RenatusMatungwa
      @RenatusMatungwa 4 месяца назад

      Hilo suala litakuwa gumu, familia inanitazama eboo nina majukumu😮

  • @elvisngosia215
    @elvisngosia215 10 месяцев назад +1

    This song has reminded me Kenya Kwanza promises Ruto promised kenyans heaven on earth, its now very tough 😂😂😂

  • @georgeprince7597
    @georgeprince7597 6 лет назад +15

    I been looking for this song for long time finally you posted thanks a lot Mzee

  • @iBraah257
    @iBraah257 11 месяцев назад

    Mziki kama mziki na mwanamziki #pro

  • @dominiquebirler7031
    @dominiquebirler7031 3 года назад +3

    Wakenya bado tupo hapa 2020🇰🇪🇰🇪

  • @basomakivodo3516
    @basomakivodo3516 4 года назад +1

    Hiyi ngoma kilasiku Inakuwaga Mpya Kwangu Jamanii

  • @ezratibore5750
    @ezratibore5750 6 месяцев назад

    Legends we love you

  • @brownmwaibole8414
    @brownmwaibole8414 6 лет назад +4

    Baba so Kwa utawala huu

  • @robertmabu9289
    @robertmabu9289 4 года назад

    Sio mzee dah bro kweliii we proffesor big up sanaaa mhe.

  • @harryvice77
    @harryvice77 2 года назад

    P funk saluuut Kaka jay mziki unaishi huu miaka buku

  • @ramamkoko3572
    @ramamkoko3572 5 лет назад +2

    God is great !Bro sasa hv ni MH. keep moving #MIKUMI standup

  • @FranklinFranklin-ux7gq
    @FranklinFranklin-ux7gq 2 месяца назад +1

    This song belong to our president

  • @hezbonokoth5013
    @hezbonokoth5013 Год назад +8

    I was raised by these legends, music was pure talented content. 2023 still a reflection of future

    • @ngenokipkorir9758
      @ngenokipkorir9758 Год назад

      The song is relatable to the current govt in our country

  • @ramafrica9016
    @ramafrica9016 4 года назад

    Kazi nzuri,japo kitambo lakini bado ina heat

  • @emmanuelnjelekela6299
    @emmanuelnjelekela6299 6 лет назад +1

    ama kweli umri unasonga duu hiyo picha inaonyesha jins ujana ulivyomtam !!!! nakukubar bro j

  • @ancelinhoonlinesport4235
    @ancelinhoonlinesport4235 6 лет назад +7

    Fayaaaaaaaaaa😅🔥🔥

  • @johnnoel5849
    @johnnoel5849 4 года назад +3

    2020 Bado inafanya vzur gonga like km na ww unaisikilza bado

  • @denniswambugu4219
    @denniswambugu4219 4 года назад +7

    Real poetry.......

  • @yusufushabani691
    @yusufushabani691 8 месяцев назад +3

    2024 here
    Hivi Babu Ayubu alipotelea wapi?

  • @markodhiambo6016
    @markodhiambo6016 2 года назад +2

    😂😂😂😂 "Mlininukuu vibaya"

  • @lapolo2531
    @lapolo2531 3 года назад

    Ngoma kali sana kitambo icho cjui inamaanisha nn ila nw naelewa🙏🙏💪💪💪💪

  • @emmanuelopiyo6408
    @emmanuelopiyo6408 Год назад +1

    In kenya we have been promised electric motorcycles 🏍️