MPANGAJI Episode 01
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Katika maisha yake amekuwa ni Mpangaji wa kudumu, shida yake kubwa ni Mdomo aliokuwa nao kiasi ambacho Wenye nyumba kushindwa kumvumilia. Anaitwa Pili Maboga ukipenda unaweza kumuita Mpangaji wa kudumu
Group letu la Whatsapp 👇🏻👇🏻
chat.whatsapp.com/EXedjPddrA9C1XIkEg36JP
Bonyeza link itakupeleka Moja kwa Moja kwenye group au tuma msg kwenda namba +255714072874
Nakubali kipenzi changu dada pili mabogaaaaa
🙏🙏
Pili nakupa shikamoo,wew dada unaweza,unajuwa kutufurahisha😂😂😂
🤣🤣🤣
Woow pili nakupenda sana uko vzur😂😂😂
🙏🙏🙏
Kazi mzuri saaana❤❤❤
Asanteeee sana
Da pili mm nakupenda Sanaa yaani nikikuangali Steers zote zinaisha napumzika mam❤❤❤❤❤
Asanteeee
Pili.anapenda sitre nyumba ana hataiiii❤❤❤❤
🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 msukum wawat tamaa zimemponza khatar kwelikweli
Umeona eeeeeh
Natizama hii busati maana natumia. WI-FI Jaman busati nzuri sana
Wakwanza leo like za wakenya kwa wingi kma unamkubali pili weka ❤❤❤❤
❤️❤️❤️❤️
Baba mwenye nyumb POLE
Hahaha
😂😂😂😂😂tuko wengi tunamkubali
Jamani Daa pili wewe Wanifurahisha san😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
🤣🤣🤣
😀😀 tajili wa mifupa
🤣🤣
Daa pipi nakuomba siku nikiwa na harusi kwetu nikualike mpenzi uje shuhulini nitakulipia nauli kila kitu yaani nimefurahi sana mpenzi
🤣🤣🤣
So hapo kakodi gari maake kakaa kabisa 😀😀😀😀
🤣🤣🤣
Nlikumiss pill maboga
Amejaa tele
Pili oyeeee umenifurahisha sana ❤ from Kenya
🤣🤣🤣
Wana busati tv hongereni hasa dapili ❤️❤️❤️❤️
Asante sana
Nilikuwa sijaon vitu vizur kutok busat jaman nimewamic,
Ulikuwa wapi jamani
NYIEEEE MBONA BALAAAAA EEEEEH
🤣🤣
😂😂😂😂 moja kali watu wangu nawakubali nyote
🤣🤣🤣🤣
Umetisha pili🤣🤣🤣
Hatari
Kaz nzuri sana
Asante sana
Pili mm nakupenda dah❤❤❤
Anakupenda pia
We dada Yani unajua,unajua,unajua tena😂😂nakupenda buree
Asante
😅😅Pili umejua nifurahisha 😅😅😅niliwamis Sana nawakina masuzi😂😂😂😂❤❤❤❤
🤣🤣🤣 Asante sana
jmn kwan hamfanyagi kz nikiisi nimewai nawakuta mshajaa😢 bs naombeni like atakama nimechelewa
🤣🤣🤣 weka notification on
@@busatitv 🤣🤣he afukweli
Vizuri sana pili maboga
Asante sana
Pili unamdomo wewe 😂😂😂
Yani balaaa
Ila pili jmn mbn amekondeana ivi
🤣🤣🤣
Team busati daa pili kiboko hatari sana 💯💯💯
Noma sana
Jmn pili ILOVE YOU 🎉🎉❤❤ kipenzi
🙏🙏🙏
Ivo vyombo vya pili sasa
Kunguni Watupu
Heeeee yaani wanasemaga kuna wenda wazimu ndo huyu Dada kkkkkkk yaaani mpaka mtu anasheka mpaka madjirani wanakuja kuona kuna nini
Hahaha pole
❤❤❤
❤️❤️❤️
😂😂😂😂😂huyo ndo pili maboga😂
Yes
Da pili weweweeeee👆👌😄😄😄😄😄
🤣🤣🤣🤣
🥰🥰🥰🥰
🥰🥰🥰
Hatari Sana
❤️
Good 👍
Leo uyu ndo pili original kabisa yule mwingine ni mdogo wake
Hahaha kwann ?
@@busatitv yule mwingine aliyesuka naona ni mnene alafu amepooza Hana matadhtiti kama huyu
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂mwenye mkokoten anapitia wakat mgumu😂😂
Pili maboga unatumia hot 10i 😂😂😂
🤣🤣🤣
This lady
Always understands her role😂😂
🤣🤣🤣🤣
Nkupenda sn pili maboga na mm naenda kuwa kam wewe nionganishie bs namm niwe kama ww
Karibu
Chamaz kwet❤
Yes
Kumbe nawe wa Chamazi eeeh
❤❤❤🎉🎉
❤️❤️❤️
😂😂😂😂😂jamn pili anafurahisha uyu dada kwa nn hajibrand?
🙏🙏🙏
Pili dadagu wanifuraisha😂😂😂
🤣🤣🤣
Sala yaluma🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣
😂😂😂😂❤❤❤❤❤
🤣🤣
😅😅😅Mwanza
🙏
chat.whatsapp.com/EXedjPddrA9C1XIkEg36JP
Group maalum la Wasanii na Mashabiki wa Busati Tv
Karibu upate update zoote kuhusu Busati Tv, Full Chat na ma story ya hapa na pale
Bonyeza link itakupeleka Moja kwa Moja kwenye group letu.
Ukifika tunaomba ujitambulishe
Kama kipaji bs anacho uyu dada pili Yan a tendea haki movie 😂😂😂😂
Asante sana
Kama ni msambaa basiii😂😂😂
🤣🤣
Pilli kisuzi 😂😂
🤣🤣🤣
❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅😅
❤️❤️
Nadhani Mimi ni mshamba nisaidien watu wanaomba like zinawasaidiaje? Sijui😮
Ni Moja ya Burudani tu
Nawafatilia wanabusati nkiwa Saudia n free Wi-Fi 😅
🤣🤣🤣 Sawaaa sasa inabidi utazame Filam zetu zoote
@@busatitv wasema hakuna kulala sio🤗
Jomanii ❤❤❤😂😂😂😂
❤️❤️❤️
Aya wale tulio Oman ila tunamfatilia da pili ya mwaqeni like zenu 😂😂😂😂😂😂
🤣🤣
Daa pili ake msambaa mwenzangu huhuhuhu
upo Oman sehemu gan mommy
Nichek mwaya
good movie
Thanks
Kama ulikuwa kwenye akili yang like zinasaidia nini😮
Furaha tu
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Pili😅😅❤️
🤣🤣
😂😂😂😂
🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🤣🤣🤣🤣
da pili nakupenda
Pili kw nini unanenepa na kukonda ????
🤣🤣🤣
Kamba tatu yuko namwali
🤣🤣🤣🤣
❤❤❤❤❤
❤️❤️❤️
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣
❤❤❤
🤣🤣
❤❤❤❤❤❤
🤣❤️❤️
❤❤❤
🙏