MPANGAJI EP 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 255

  • @VENANCETV
    @VENANCETV Год назад +28

    Pamoja na kwamba mi mgumu kucheka ila ya Leo kiboko😂😂😂

  • @tariqhassan1385
    @tariqhassan1385 Год назад +26

    Mpangaji anaruhusiwa Kuiuza nyumba, Eandapo atapata changamoto za kibinadam 😂😂

  • @MM-Advanced
    @MM-Advanced Год назад +2

    Hahahahahaha.....Hii kama inauhusiano na mkataba wa bandari hivi!!!

  • @EliyaUhaula-ck3pu
    @EliyaUhaula-ck3pu Год назад +3

    Haaah NYIE Jamaa watu wananicheka huku nje wanaona nacheka pekeyangu

  • @salumumawaya
    @salumumawaya 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂 mwenye nyumba kayatimba

  • @ElyfrankElyFrank
    @ElyfrankElyFrank Месяц назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣mkataba WA mpangaji mashaliti yamenifurahisha sana

  • @premissemumbere1118
    @premissemumbere1118 Месяц назад

    Txdulla wewe ni mukali njama yangu nakukubali 😅😅😅😅😅😅

  • @yusuphmsigwa
    @yusuphmsigwa 11 месяцев назад +2

    Dullah we ni Msenge 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MakiwaShabanjumaMakiwaSh-zj9bp
    @MakiwaShabanjumaMakiwaSh-zj9bp 8 дней назад

    Mpangaji anaruhusiwa kulala na mke wa mwenye nyumba endapo atapata dharura za kibinadamu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @emmanuelgeorge5981
    @emmanuelgeorge5981 Год назад +2

    🙆🏽‍♂️😂😂😂😂😂 Tx akili azipoo 😂😂😂😂

  • @euniceyalledy1745
    @euniceyalledy1745 Год назад +1

    Tx banaaa hahahahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂 dah nyie noma sanaaaa ❤❤❤❤❤❤

  • @innocentmathias8668
    @innocentmathias8668 Год назад +3

    Hahah oya dullah huyo jamaa usimuache unaendana nae kinoma🤣 ananifurahishaga anavyoshangaa

  • @CosAron
    @CosAron 4 месяца назад

    Yan leo nilikua na stress kibao sijui kipi kimenifanya niagalie Mana furaha niliyopata nihatal dulla Ni 🔥

  • @KALUMWASHIDAHA
    @KALUMWASHIDAHA Месяц назад

    Try dullah noma sana😂

  • @Zaikadena
    @Zaikadena Год назад +1

    Ila dulah huna akila hata dah nimecheka sana ye aliona kakukomoa kumbe yeye ndo ananyongwa kabisah jmn

  • @venturebown6983
    @venturebown6983 Год назад +1

    Hapo kweny kuuuwa hapo hapo ...so powa ...Ata Kam ni wew lazim uchimbe😂😂😂 ghaiii ghaiii 🙌😅

  • @abubakarabdallah9297
    @abubakarabdallah9297 Год назад +5

    Wakwanza duuh mauwa wazee

  • @bwatamuramadhani8433
    @bwatamuramadhani8433 Год назад +4

    😂😂😂 vichaa mmekutana na hii ni best combination kaka dulla

  • @mosesdavid-vm5hk
    @mosesdavid-vm5hk Год назад

    kiukweli ua mgumu kucheka ila nikimchek Tx dullah nakua laughing noma KAzi NZuri ase mnajua ase

  • @athumanichamzuri3844
    @athumanichamzuri3844 Год назад +4

    Idea kubwa mnooo tumependa lets go.... tunataka kila baada ya siku 3 epsode

  • @patricksadiki254
    @patricksadiki254 Год назад +1

    Much love from+254 ,,hii ni kali sana

  • @jonas_helias
    @jonas_helias Год назад +2

    Daaaah hii Kali
    😂😂😂😂😂

  • @mr25d
    @mr25d Год назад +3

    Tx Dullah bana umenifanya nimecheka kama fala nikiwa pekeangu 😂😂😂😂😂😂😂

  • @theprincejr1417
    @theprincejr1417 25 дней назад

    Endapo mwenye nyumba atapinga anaruhuswa kuuawa hapo hapo 😂

  • @johnas9496
    @johnas9496 Год назад +1

    kama kucheka ndokuongeza siku safi sana mi nina miaka ka 1000

  • @chidboy-nl9bj
    @chidboy-nl9bj Год назад +3

    Hiyo imeeenda 😀😀😀😀

  • @DavKin-f9p
    @DavKin-f9p Год назад +2

    Unajuwa kaka dullah😂😂😂😂😂

  • @silvandaddy
    @silvandaddy Год назад +1

    🤣🤣🤣 hii ya leo noma

  • @WillyWillyTZ-kw5ff
    @WillyWillyTZ-kw5ff Год назад

    Mpangaji anaruhusiwa kuuza nyumba endapo atapata changamoto za kibinadamu😂😂😂😂

  • @roi2554
    @roi2554 8 месяцев назад +1

    Anasisitiza Mmmh ni mkataba na umeshasaini😂😂😂

  • @Tanzaniamoviestrend
    @Tanzaniamoviestrend 11 месяцев назад

    Wanamwita tx dullah

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Год назад +1

    😂😂😂😂😂umeshaaa sainiiiiii uza nyumbaaaaa dulaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @PHOSTINEMTAMU-lw7rp
    @PHOSTINEMTAMU-lw7rp 11 месяцев назад

    Hiyo ya pili ndio iko sawa😂😂😂😂😂😂😂

  • @jumasaid106
    @jumasaid106 2 месяца назад

    We dulla miausho kwel😂😂

  • @imaniemanuel3813
    @imaniemanuel3813 11 месяцев назад

    Mpangaji anaruhusiwa kula kwa mwenye nyumba kwa kujipakulia 🤣🤣🤣🔥🔥

  • @IbrahimDzidzi-ss1ir
    @IbrahimDzidzi-ss1ir 3 месяца назад

    😂😂😂😂dulah ulikja dunian kutufurahisha

  • @albinishirima6981
    @albinishirima6981 Год назад +1

    wee mjamaa noma nimecheka mpk machozi TX big up sana kaka

  • @samwelmwaipopo7120
    @samwelmwaipopo7120 Год назад +2

    nimecheka sana😂😂😂😂

  • @clintonystarson7121
    @clintonystarson7121 Год назад +1

    Oyaa tx fala saana 😂

  • @aminahussain3058
    @aminahussain3058 Год назад +1

    Nimecheka mbaka naisi mkojo unatoka 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mohamednammenge1538
    @mohamednammenge1538 Год назад

    Sema Dullah wewe ni mwehu sana daaah

  • @meck_eight255
    @meck_eight255 Год назад +2

    Nimekubali hii txbrother❤❤❤

  • @KhadijaSaid-z2o
    @KhadijaSaid-z2o 7 месяцев назад

    😂😂😂😂😂 chizii kapewa rungu

  • @tinakabyemela3593
    @tinakabyemela3593 Год назад +2

    😂😂😂 dah hii imeenda.

  • @MnyandwaMapeyo-u2k
    @MnyandwaMapeyo-u2k 8 месяцев назад

    ...mmh jamani nyinyi mtatuuwa❤❤❤❤❤❤

  • @osadgstuy5746
    @osadgstuy5746 Год назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hii imeenda

  • @balltalk2024
    @balltalk2024 Год назад +1

    😂😂😂😂 kumjeruhi vikali

  • @sharifsaidshoka8684
    @sharifsaidshoka8684 10 месяцев назад

    Huyu mpangaji namsamehe na kodi namlipa hata km hajatoa kodi😂😂😂😂

  • @andrew0502
    @andrew0502 Год назад

    Mpangaji anampa mkataba mwenye nyumba hahahahaaa

  • @Shijajohn5084
    @Shijajohn5084 Год назад +1

    Hasara za kusain mikataba ya awali ndo hii sasa, tucheke na Dullah huku tunajfunza

  • @mpundempunde1722
    @mpundempunde1722 Год назад

    Dah dula fala Sana walahi nimecheka ofisini kwa nguvu

  • @FranceThomas-ug2ed
    @FranceThomas-ug2ed 11 месяцев назад +1

    Broo Acha ujinga utaniuwa kwa kucheka punguza mapigo nyumba kuuzwa tena

  • @bhokesaid3264
    @bhokesaid3264 8 месяцев назад

    Machozi yamenitoka kwa kicheko wallah😅😅😅

  • @BonifacseverianOfficial
    @BonifacseverianOfficial 10 месяцев назад

    Brother dullah njoo upange kwangu

  • @donne3452
    @donne3452 Год назад +2

    Duo yenu inabamba sana😂🙌

  • @saimonsuwi994
    @saimonsuwi994 Год назад

    Daah txdullah na chard talent mnajua san

  • @abdallahmpogole-xw7br
    @abdallahmpogole-xw7br Год назад

    Ichi kichwa ichii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣duuuh

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx Год назад +2

    Owa nimechekaaa kinomaaaa😂

  • @andrewmtn3449
    @andrewmtn3449 Год назад

    Hii ya leo kiboko🤣🤣🤣🤣

  • @bingwathedon
    @bingwathedon Год назад

    Jamaa unaweza sana upewe mau yako 🌹🌷🌷🌷🌷🌷

  • @OmarionJoseph-o3n
    @OmarionJoseph-o3n Год назад

    Duh unasain kabla ya kusoma

  • @AlyMAly-wf5dl
    @AlyMAly-wf5dl Год назад +1

    @Txdullah to be honest hii Clip ni kalii kinomaaa pongezi sana Mkuu. Nmecheka ile mbayaaa, lakin pia naomba kujua Location ya hiyo nyumba aisee imenyooka sana surely nimeipenda na kama kweli inapangishwa basii nahitaji kuwa mmoja wa wapangaji ambao watakuwa wanaishi hapo ila kama ni Guest au Lodge nataka pia kutumia hapo japo kwa mara 1 au hata 2. Thanks

  • @ibvisions4321
    @ibvisions4321 Год назад

    Oya dula umefanya nacheka kwa sauti usiku 🤣😂 mbavu zangu

  • @aminielimushi8709
    @aminielimushi8709 Год назад

    Angalia Kuna watu wamechoka kuwa na amani,,,utauwawa hapohapo,,,ukikiuka mkataba haijalishi we ni mmiliki

  • @AidanMolandyChoga
    @AidanMolandyChoga Год назад

    Ww falaa sana uuze nyumba tenaaa😂😂😂

  • @MussaKitulanya-ys5ez
    @MussaKitulanya-ys5ez Год назад

    Kulaaa chomàà ikooo

  • @Markhomestz
    @Markhomestz Год назад +1

    Hizi bangi sio nzuri 😂😂😂

  • @idirajab6652
    @idirajab6652 Год назад

    Mwenye nyumba kakimbia 😂😂😂😂

  • @alfredjohn5693
    @alfredjohn5693 Год назад

    Apo kweny kuuwawa 😂😂😂😂

  • @yusuphmkomwa3427
    @yusuphmkomwa3427 Год назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaaa ila we jamaa ninomaaaaaaaa et kuuza nyumba

  • @johalirankunda6618
    @johalirankunda6618 8 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂mbavuzinavunjika kwa uyumkataba wampangaji umesaini

  • @Yesumwokozi831
    @Yesumwokozi831 Год назад

    Wew jamaa ni tahiraaa sana

  • @NasrahChalamila-u8m
    @NasrahChalamila-u8m 8 месяцев назад

    😂😂😂😂😂 mwenye nyumb kakimbia tulip muon dondosh like

  • @ramlatshabani5235
    @ramlatshabani5235 10 месяцев назад

    😂😂😂🙌 nomaaaa

  • @dullywa9973
    @dullywa9973 Год назад +1

    😂😂muonekano wa chumba

  • @OmarionJoseph-o3n
    @OmarionJoseph-o3n Год назад

    Ila dullah mmekutana kwel nimecheka htar hdi mpngji ana mkataba😂😂😂😂

  • @RechoLusoko
    @RechoLusoko Месяц назад

    Dula utaniuwa jamani

  • @imaxshine2210
    @imaxshine2210 7 месяцев назад

    Dula naomba tuu nirudie hii script aiseee, unawazimu kweli

  • @HumphreykirutuKirutu
    @HumphreykirutuKirutu 8 месяцев назад

    Da kumbe nilichelewa kufurahi

  • @emmakangalawe1946
    @emmakangalawe1946 8 месяцев назад

    Mimi sichakagi ila sio kwa haya mambo

  • @HappyLoungingPanda-cu2jf
    @HappyLoungingPanda-cu2jf 7 месяцев назад

    Kaka mnatisha❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @davidmkayula2471
    @davidmkayula2471 Год назад +2

    Kaka dullah😂😂😂😂

  • @SlyzerPhotography
    @SlyzerPhotography 10 месяцев назад

    😂😂😂Dulla ume fanya nicheke mpaka nikojowe

  • @johalirankunda6618
    @johalirankunda6618 8 месяцев назад

    😂😂😂😂😂na.mpangaji anamkataba❤😂😂😂

  • @joramsengi9123
    @joramsengi9123 Год назад

    😂😂😂😂😂😂😂 sa mwenye nyumba yake anaenda wapi

  • @YoungsHilary-xd2ml
    @YoungsHilary-xd2ml Год назад +1

    Mtafika mbali

  • @elianaarsen9942
    @elianaarsen9942 Год назад

    😀 mpangaji anaruhusiwa kuuza nyumba!

  • @Liochris7379
    @Liochris7379 Год назад

    Eeh kila mtu na ubunifu wake😂😂😂

  • @bensonscott3491
    @bensonscott3491 10 месяцев назад

    Umetisha sana bro

  • @shaabycj7536
    @shaabycj7536 Год назад

    mwenye nyumba mbn kakimbia tena sasa😄😄😁😁😁

  • @dullymsomaly3782
    @dullymsomaly3782 7 месяцев назад

    KIPAZA SAUT CHA NIN....KINAONEKANA MKIFICHEE SASA

  • @hillzshavee7041
    @hillzshavee7041 7 месяцев назад

    Alf Dulla Uyo Dogo Mbona Anaongea Kam Ww Lafudhi Ake

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 Год назад +9

    Et "Relax", "na umeshasaini" 😂😂😂😂
    Sema Dullah zile pigo za kuazima kitu skuizi vipi..? Nilikuwa nazielewaaa... Yule jamaa anakuja ankuita "Tx Dullah mnyamaaaaaa" alafu na ww unasema " oiiii..." 😄😂😂😄 Irudie bana ile

  • @mrenjoyfootball8403
    @mrenjoyfootball8403 3 месяца назад

    Daaah ila tx subaru

  • @PolyLasway-ln5ze
    @PolyLasway-ln5ze Год назад +1

    😂😂😂 aseee big up bos

  • @AlbertAlistides-sv7ju
    @AlbertAlistides-sv7ju Год назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umetish san

  • @PeterTz-ix3ev
    @PeterTz-ix3ev 8 месяцев назад

    Nimecheka sanaa

  • @MrBema87
    @MrBema87 Год назад

    😂😂😂😂😂😂 mpangaji kuuza nyumba

  • @johannesmaryvianney7870
    @johannesmaryvianney7870 Год назад

    Dulah umeniponza ,hadi nimetolewa nje ya ofisi ya mwenyekiti kisa kicheko

  • @starfordpomboma8
    @starfordpomboma8 Год назад

    Dah dulla nimecheka balaa