@Txdullah to be honest hii Clip ni kalii kinomaaa pongezi sana Mkuu. Nmecheka ile mbayaaa, lakin pia naomba kujua Location ya hiyo nyumba aisee imenyooka sana surely nimeipenda na kama kweli inapangishwa basii nahitaji kuwa mmoja wa wapangaji ambao watakuwa wanaishi hapo ila kama ni Guest au Lodge nataka pia kutumia hapo japo kwa mara 1 au hata 2. Thanks
Et "Relax", "na umeshasaini" 😂😂😂😂 Sema Dullah zile pigo za kuazima kitu skuizi vipi..? Nilikuwa nazielewaaa... Yule jamaa anakuja ankuita "Tx Dullah mnyamaaaaaa" alafu na ww unasema " oiiii..." 😄😂😂😄 Irudie bana ile
Pamoja na kwamba mi mgumu kucheka ila ya Leo kiboko😂😂😂
Mpangaji anaruhusiwa Kuiuza nyumba, Eandapo atapata changamoto za kibinadam 😂😂
😂😂😂😂
Kaisaaaaa hahhahahhaha
Hahahahahaha.....Hii kama inauhusiano na mkataba wa bandari hivi!!!
Haaah NYIE Jamaa watu wananicheka huku nje wanaona nacheka pekeyangu
😂😂😂😂 mwenye nyumba kayatimba
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mkataba WA mpangaji mashaliti yamenifurahisha sana
Txdulla wewe ni mukali njama yangu nakukubali 😅😅😅😅😅😅
Dullah we ni Msenge 😂😂😂😂😂😂😂😂
Mpangaji anaruhusiwa kulala na mke wa mwenye nyumba endapo atapata dharura za kibinadamu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🙆🏽♂️😂😂😂😂😂 Tx akili azipoo 😂😂😂😂
Tx banaaa hahahahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂 dah nyie noma sanaaaa ❤❤❤❤❤❤
Hahah oya dullah huyo jamaa usimuache unaendana nae kinoma🤣 ananifurahishaga anavyoshangaa
Yan leo nilikua na stress kibao sijui kipi kimenifanya niagalie Mana furaha niliyopata nihatal dulla Ni 🔥
Try dullah noma sana😂
Ila dulah huna akila hata dah nimecheka sana ye aliona kakukomoa kumbe yeye ndo ananyongwa kabisah jmn
Hapo kweny kuuuwa hapo hapo ...so powa ...Ata Kam ni wew lazim uchimbe😂😂😂 ghaiii ghaiii 🙌😅
Wakwanza duuh mauwa wazee
😂😂😂 vichaa mmekutana na hii ni best combination kaka dulla
kiukweli ua mgumu kucheka ila nikimchek Tx dullah nakua laughing noma KAzi NZuri ase mnajua ase
Idea kubwa mnooo tumependa lets go.... tunataka kila baada ya siku 3 epsode
Much love from+254 ,,hii ni kali sana
Daaaah hii Kali
😂😂😂😂😂
Tx Dullah bana umenifanya nimecheka kama fala nikiwa pekeangu 😂😂😂😂😂😂😂
Endapo mwenye nyumba atapinga anaruhuswa kuuawa hapo hapo 😂
kama kucheka ndokuongeza siku safi sana mi nina miaka ka 1000
Hiyo imeeenda 😀😀😀😀
Unajuwa kaka dullah😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣 hii ya leo noma
Mpangaji anaruhusiwa kuuza nyumba endapo atapata changamoto za kibinadamu😂😂😂😂
Anasisitiza Mmmh ni mkataba na umeshasaini😂😂😂
Wanamwita tx dullah
😂😂😂😂😂umeshaaa sainiiiiii uza nyumbaaaaa dulaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hiyo ya pili ndio iko sawa😂😂😂😂😂😂😂
We dulla miausho kwel😂😂
Mpangaji anaruhusiwa kula kwa mwenye nyumba kwa kujipakulia 🤣🤣🤣🔥🔥
😂😂😂😂dulah ulikja dunian kutufurahisha
wee mjamaa noma nimecheka mpk machozi TX big up sana kaka
nimecheka sana😂😂😂😂
Oyaa tx fala saana 😂
Nimecheka mbaka naisi mkojo unatoka 😂😂😂😂😂😂😂😂
Sema Dullah wewe ni mwehu sana daaah
Nimekubali hii txbrother❤❤❤
😂😂😂😂😂 chizii kapewa rungu
😂😂😂 dah hii imeenda.
...mmh jamani nyinyi mtatuuwa❤❤❤❤❤❤
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hii imeenda
😂😂😂😂 kumjeruhi vikali
Huyu mpangaji namsamehe na kodi namlipa hata km hajatoa kodi😂😂😂😂
Mpangaji anampa mkataba mwenye nyumba hahahahaaa
Hasara za kusain mikataba ya awali ndo hii sasa, tucheke na Dullah huku tunajfunza
Dah dula fala Sana walahi nimecheka ofisini kwa nguvu
Broo Acha ujinga utaniuwa kwa kucheka punguza mapigo nyumba kuuzwa tena
Machozi yamenitoka kwa kicheko wallah😅😅😅
Brother dullah njoo upange kwangu
Duo yenu inabamba sana😂🙌
Daah txdullah na chard talent mnajua san
Ichi kichwa ichii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣duuuh
Owa nimechekaaa kinomaaaa😂
Hii ya leo kiboko🤣🤣🤣🤣
Jamaa unaweza sana upewe mau yako 🌹🌷🌷🌷🌷🌷
Duh unasain kabla ya kusoma
@Txdullah to be honest hii Clip ni kalii kinomaaa pongezi sana Mkuu. Nmecheka ile mbayaaa, lakin pia naomba kujua Location ya hiyo nyumba aisee imenyooka sana surely nimeipenda na kama kweli inapangishwa basii nahitaji kuwa mmoja wa wapangaji ambao watakuwa wanaishi hapo ila kama ni Guest au Lodge nataka pia kutumia hapo japo kwa mara 1 au hata 2. Thanks
Oya dula umefanya nacheka kwa sauti usiku 🤣😂 mbavu zangu
Angalia Kuna watu wamechoka kuwa na amani,,,utauwawa hapohapo,,,ukikiuka mkataba haijalishi we ni mmiliki
Ww falaa sana uuze nyumba tenaaa😂😂😂
Kulaaa chomàà ikooo
Hizi bangi sio nzuri 😂😂😂
Mwenye nyumba kakimbia 😂😂😂😂
Apo kweny kuuwawa 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaaa ila we jamaa ninomaaaaaaaa et kuuza nyumba
😂😂😂😂😂😂mbavuzinavunjika kwa uyumkataba wampangaji umesaini
Wew jamaa ni tahiraaa sana
😂😂😂😂😂 mwenye nyumb kakimbia tulip muon dondosh like
😂😂😂🙌 nomaaaa
😂😂muonekano wa chumba
Ila dullah mmekutana kwel nimecheka htar hdi mpngji ana mkataba😂😂😂😂
Dula utaniuwa jamani
Dula naomba tuu nirudie hii script aiseee, unawazimu kweli
Da kumbe nilichelewa kufurahi
Mimi sichakagi ila sio kwa haya mambo
Kaka mnatisha❤❤❤❤❤❤❤❤
Kaka dullah😂😂😂😂
😂😂😂Dulla ume fanya nicheke mpaka nikojowe
😂😂😂😂😂na.mpangaji anamkataba❤😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 sa mwenye nyumba yake anaenda wapi
Mtafika mbali
😀 mpangaji anaruhusiwa kuuza nyumba!
Eeh kila mtu na ubunifu wake😂😂😂
Umetisha sana bro
mwenye nyumba mbn kakimbia tena sasa😄😄😁😁😁
😅😅😂huyu atatuua
KIPAZA SAUT CHA NIN....KINAONEKANA MKIFICHEE SASA
Alf Dulla Uyo Dogo Mbona Anaongea Kam Ww Lafudhi Ake
Et "Relax", "na umeshasaini" 😂😂😂😂
Sema Dullah zile pigo za kuazima kitu skuizi vipi..? Nilikuwa nazielewaaa... Yule jamaa anakuja ankuita "Tx Dullah mnyamaaaaaa" alafu na ww unasema " oiiii..." 😄😂😂😄 Irudie bana ile
Daaah ila tx subaru
😂😂😂 aseee big up bos
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umetish san
Nimecheka sanaa
😂😂😂😂😂😂 mpangaji kuuza nyumba
Dulah umeniponza ,hadi nimetolewa nje ya ofisi ya mwenyekiti kisa kicheko
Dah dulla nimecheka balaa