Nilikuwa Muislam Yesu akanitokea na kuniokoa|USHUHUDA WA MCHUNGAJI WA WALIOKUWA MAKARASHIKA BURUNDI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 97

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Год назад +3

    Yesu hanatowa watu mbali Sana mungu ndiyo hadiyaye nguvu mwanadamu. Shatani hawezi lolote shida zako sikitu kwa mungu asente Sana jactan Msafiri kwa ushuhuda zuri

  • @christinaisanguisangu2974
    @christinaisanguisangu2974 5 месяцев назад +1

    Ndio Bwana

  • @jesusnametv4935
    @jesusnametv4935 Год назад +4

    huyu mchungaji anamacho sana ya kiroho , Mungu ambariki sana

  • @JafarMwinyijuma
    @JafarMwinyijuma 3 месяца назад

    Mungu ni mkuu sana

  • @horimberepeace7376
    @horimberepeace7376 Год назад +1

    HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA ASANTE SAAANAAA YESU CHRISTO 👏👏👏👏👏👏📢📢📢📢📢📢📢📢📢

  • @kissabrown4349
    @kissabrown4349 2 месяца назад

    Amen 🙏

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 Год назад +5

    We thank our Lord Jesus,for this testimonies, they are teaching us very important lessons

  • @dantez8775
    @dantez8775 8 месяцев назад

    Thank you jactan for always sharing their contacts. God bless

  • @wambuimanyara6978
    @wambuimanyara6978 Год назад +1

    Ushuhuda wa kujenga sana.Mubarikiwe Promover. Tunasubiri part 2

  • @tabithajeremiah4589
    @tabithajeremiah4589 Год назад +5

    Ushuhuda wa kujenga sana,mtumishi wa Mungu ni mnyenyekevu sana.Mungu aendelee kukutumia kwa viwango visivyo vya kwawaida

  • @zakn2001
    @zakn2001 Год назад +4

    Mungu awabariki sana!

  • @GeorgetteNzeyimana-fi6ln
    @GeorgetteNzeyimana-fi6ln Год назад +1

    Amen

  • @davidgitau1162
    @davidgitau1162 Год назад

    Shukran Sana kwa ushuhuda huu Ningelipenda Sana kutazama shuhuda za hao mabinti waliokuwa watumishi wa shetani tafadhali.

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven4634 Год назад +1

    Good job

  • @suzandavd5213
    @suzandavd5213 Год назад +1

    Ama kwa hakika kwake Yesu kila goti litapigwa.

  • @Mg_Billy
    @Mg_Billy Год назад

    🙏🏼🙏🏼

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Год назад +1

    A very uplifting testimony,God bless you,men of God.i decree psalms 91 to whoever watching this testimony.🙏

  • @Jackline-ki7zl
    @Jackline-ki7zl 9 месяцев назад +1

    Wokovu huo aliokoka huyu mchungaji na Mimi niliokoka wokovu WA namna hyo .lkn kwakua nilkua shule akili yangu haikuamua kumtukia yesu .lakin Sasa nimerudi kwake Baba (yesu kristo)

  • @andrewmhagama9816
    @andrewmhagama9816 Год назад +1

    Hakika Mungu ni mwema kwa kupitia Yesu Kristo aliyehai ndio tunashinda ulimwengu,kinacho takiwa ni kushinda majaribu yote ya dunia hii ubarikiwe mtumishi wa Mungu.

  • @shamim-shammy
    @shamim-shammy Год назад +5

    Unyenyekevu umejaa ndani yake mpaka sura inaonesha

  • @drmaryjohnmponda3484
    @drmaryjohnmponda3484 Год назад +1

    AMEN

  • @Queenrinna98
    @Queenrinna98 Год назад

    🙏

  • @favourndila8474
    @favourndila8474 Год назад +1

    Halleluya

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Год назад +3

    Mwenyezi Mungu hakuumba dini yoyote ile,uhusiano wako na Mwenyezi Mungu ndio itaamua hatma yako kama utaingia jehanam ama mbinguni.😢

    • @kakawamashariki8978
      @kakawamashariki8978 Год назад +2

      Pongezi kwa ufahamu huo wenye upeo,maana waitwao Ni wengi lakini Wateule Ni wachache. Yaani wengi wanaabudu dini,dhehebu badala ya Mungu.

    • @josephinemsongole4315
      @josephinemsongole4315 Год назад

      ​@@kakawamashariki89781:16

    • @UsafiMichael-mc8kt
      @UsafiMichael-mc8kt Год назад +3

      Dini? Bĩblĩa inasema mimi ni Njia ya kweli na ũzima,mtu hawezi kwenda kwa baba pasipokupitia kwangu(kwa Yesũ) achana na dini twende zetu na Yesũ kristo

    • @queenesther8505
      @queenesther8505 Год назад +3

      @@UsafiMichael-mc8kt exactly,Yesu kristo ndiye njia na uzima wa milele,hakuna atakaye enda kwa Baba ila kwa njia ya Yesu Kristo tu,Yeyote amkataaye mwana amekwisha laaniwa na Mwenyezi Mungu hayumo ndani yake.🙏

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Год назад

      ​@@queenesther8505kumbe Kuna mungu na mwanae mungu

  • @issachege5606
    @issachege5606 11 месяцев назад +1

    Jesus hv mercy 4 us, the rapture is abt to come very near bt humanity don't believe it😢

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 Год назад

    Mnachelewesha sana jamni maelezo meeeeeengi mpk yanaboa hebu muache mtu atiririke

  • @BahatiKazibake
    @BahatiKazibake Год назад +1

    Mungu Anatafuta condoo wake

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 Год назад +2

    Kwakweli Mungu ni mkubwa,na ngojea mwendelezo

  • @MireilleEspoir
    @MireilleEspoir Год назад +1

    Tunasubiri part two…😢😢

  • @mohamedhozi8110
    @mohamedhozi8110 Год назад +1

    Wakristo mwapenda kiki nyinyi mmh yaani huyo yesu uko aliko yuwashangaa kila uchao huyo akijiuliza nsiku ipi alio mtokea mtu...kama c njaa zenu wakristo na utapeli mbona usitokewe na mungu uwe unamtukuza tu mwanadamu mwenzako alikuwa tu nabii wala sio mungu

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 8 месяцев назад

      MUNGU AKUTHIHIRISHE YESU KRISTO NI NANI NA UPATE WOKOVU KWA JINA LA YESU

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 Год назад +1

    Jactan part 2 iwapi?? umekawia sana

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Год назад

      Part2 itakawia sana,ni mpaka mwakani

  • @annachachage4931
    @annachachage4931 Год назад

    Mathayo 12:6

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Год назад +2

    Kila Mtu anatokewa na yesu siku hizi na ile Nukta ya Kuigiza Ulemavu
    Naona siku hizi sio kivileeeee !!!
    Haya bana ngoja inyeshe

    • @badruseif1318
      @badruseif1318 Год назад +1

      Ramadhani hawa jamaa siku hizi kiki yao kubwa Ni kusema walikua waislamu wakatokewa na yesu

    • @mwassamwassa7264
      @mwassamwassa7264 Год назад +1

      Muongo sana wewe,hata Yesu akija leo mtakataa kwasababu ya misimamo ya dini yenu, Mungu anawachagua walio wake wewe endelea na misimamo yako ya dini.Huyo Muhammad mnayemeamini alikufa anasubiri hukumu tu

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Год назад

      ​@@badruseif1318kabisaa.

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Год назад

      ​@mwassamwassa7264 Muhammad ni binaadamu. Sasa kwa nini asife. Asiekufa ni mungu. Hata yesu alikufa.
      Yohana 17:3

    • @andrewkissavah8272
      @andrewkissavah8272 Год назад

      Waislamu naona mnakeleka sana jinsi YESU anavyo okoa

  • @jesusnametv4935
    @jesusnametv4935 Год назад +1

    wale manaitwa waislamu ndo mjiulize mpo sehemu sahihi ?au mnakwenda kuzimu ?

    • @SnhZjhz
      @SnhZjhz Год назад

      Kweli kabisa wajiulize maana kila anaeshuhudia anasema kua majini ndio maisha ya Muslim wakubali kuokoka wampokee Yesu

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 8 месяцев назад

      Yani Acheni ushangae wao wanajiona wako sahihi sasa ikeja kwenye kuwa chukia wakristo na kuwa ona makafiri na kuwambiwa wasike karibu na sisi embu Angalia KWERI MUNGU TUNAYR MUABUDU WA DUNIA NZIMA AMETUACHIA UPENDO ILA SISI WENZETYU WANA TUCHUKIA NDIO UNAPOONA KUNA SIRI INAYO ENDELEA KWAO PASIPO WAO KUJIEREWA

  • @badruseif1318
    @badruseif1318 Год назад +2

    Mnaona njia nyepesi ya kupata Kiki Ni kusema ulikua muislamu

  • @koperawasona9551
    @koperawasona9551 5 месяцев назад

    Kwanini waislam wanaroho mbaya kwa ndugu zao ambao wameokoka?

  • @nduwayezutadsonchannel4084
    @nduwayezutadsonchannel4084 Год назад

    Kwani❤katakela alikuwepo buyenzi?

  • @samjosh12
    @samjosh12 Год назад +1

    Anaongea kwa utulivu sana na lugha ya Kiswahili anaiongea kwa ufasaha sana.

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Год назад +1

    watafutaji pesa kwa njia ya jina la Yesu

    • @patrickmunishi2277
      @patrickmunishi2277 Год назад +2

      Mungu akusamehe maana upo kwenye chungu, na unaitaji msaada

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад +1

      @@patrickmunishi2277 kesho utamkuta anafungua kanisa ukishawaona wanajitangaza hivo wakijulikana tu imetoka

    • @8pistons194
      @8pistons194 Год назад +2

      ​@@sabihaibrahim143okoka na ww ufungue kanisa kama ni dili

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад +1

      @@8pistons194 hahahaaaaaaa mimi nimefungua biashara nyengine

    • @mwassamwassa7264
      @mwassamwassa7264 Год назад

      ​@@sabihaibrahim143mwaipopo mliyemnunua analia njaa huko mnamtunza kwa ghalama kubwa lakini roho inamsuta kuiacha njia ya Yesu

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Год назад +2

    Kwa nini kila mtu anakimbilia kuwa mchungaji; kuna nini ktk huduma hii?

    • @christinaisanguisangu2974
      @christinaisanguisangu2974 Год назад +1

      Wito wa mtu sio kukimbilia tu nafikiri ndo nafasi wanaoitiwa na mwenye kazi

    • @jesuspower2390
      @jesuspower2390 Год назад +7

      ulitaka awe mganga wa kienyeji?

    • @UsafiMichael-mc8kt
      @UsafiMichael-mc8kt Год назад

      @@christinaisanguisangu2974 umejibu vizuri mpaka nimependa kama ningekuwa na namba yako ningekutumia hela ya kununua GB 1,tunataka watu wenye ufahamu na uelewa kama hvyo

    • @pastorpetermageta6833
      @pastorpetermageta6833 Год назад

      Hata wewe ukitaka unaweza kuwa

    • @CliffordKimani
      @CliffordKimani Год назад +4

      Luk 10:2 Akawaambia, Mavuno ni mengi, lakini watenda kazi ni wachache; basi mwombeni Bwana wa mavuno apeleke watenda kazi katika mavuno yake.

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Год назад +1

    NGUVU KUBWA INATUMIKA KUPOTOSHA WATU,,KUMBE UKO KWENU KUMUONA YESU NI RAHISI HIVYO..HUKU KWETU HAKUNA KUTUNGA

    • @8pistons194
      @8pistons194 Год назад +5

      Ni rahisi maana tuna imani na tunaemwabudu.Mohamed alikufa akafa hamtokaa mumuone tena

    • @aliemdogo
      @aliemdogo Год назад +1

      mukija Ku
      Muaona marehem Mohammad nikuzim mkiwa mnachomwa wote

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Год назад

      ​@@8pistons194Muhammad si Mungu. Asiyekufa ni mungu. Hata yesu alikufa.
      Yohana 17:3

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Год назад

      ​@@aliemdogothubutuu

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 8 месяцев назад

      YESU ALIKUFA BURE MAANA Alisurubiwa kwa jile Yetu akafa Akafufuka sasa ni yuhai yuko Mawinguni Akatuachia msaidizi Wake Rohomtakatifu Yaan Tumebarikiwa Mnoo MUNGU NI MKUU​@@Catherine-mh8sw

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Год назад +2

    Amina

  • @josykogei7647
    @josykogei7647 Год назад +2

    Amen