Nilikuwa Muislam Yesu akanitokea na kuniokoa|USHUHUDA WA MCHUNGAJI WA WALIOKUWA MAKARASHIKA BURUNDI
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Yesu hanatowa watu mbali Sana mungu ndiyo hadiyaye nguvu mwanadamu. Shatani hawezi lolote shida zako sikitu kwa mungu asente Sana jactan Msafiri kwa ushuhuda zuri
Ndio Bwana
huyu mchungaji anamacho sana ya kiroho , Mungu ambariki sana
Mungu ni mkuu sana
HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA ASANTE SAAANAAA YESU CHRISTO 👏👏👏👏👏👏📢📢📢📢📢📢📢📢📢
Amen 🙏
We thank our Lord Jesus,for this testimonies, they are teaching us very important lessons
Thanks Jesus christ
Thank you jactan for always sharing their contacts. God bless
Ushuhuda wa kujenga sana.Mubarikiwe Promover. Tunasubiri part 2
Ushuhuda wa kujenga sana,mtumishi wa Mungu ni mnyenyekevu sana.Mungu aendelee kukutumia kwa viwango visivyo vya kwawaida
Mungu awabariki sana!
Ameeen
Nawe pia pokea baraka.
Amen
Shukran Sana kwa ushuhuda huu Ningelipenda Sana kutazama shuhuda za hao mabinti waliokuwa watumishi wa shetani tafadhali.
Good job
Ama kwa hakika kwake Yesu kila goti litapigwa.
🙏🏼🙏🏼
A very uplifting testimony,God bless you,men of God.i decree psalms 91 to whoever watching this testimony.🙏
Miili. Za OsC
Wokovu huo aliokoka huyu mchungaji na Mimi niliokoka wokovu WA namna hyo .lkn kwakua nilkua shule akili yangu haikuamua kumtukia yesu .lakin Sasa nimerudi kwake Baba (yesu kristo)
Hakika Mungu ni mwema kwa kupitia Yesu Kristo aliyehai ndio tunashinda ulimwengu,kinacho takiwa ni kushinda majaribu yote ya dunia hii ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
Unyenyekevu umejaa ndani yake mpaka sura inaonesha
AMEN
🙏
Halleluya
Mwenyezi Mungu hakuumba dini yoyote ile,uhusiano wako na Mwenyezi Mungu ndio itaamua hatma yako kama utaingia jehanam ama mbinguni.😢
Pongezi kwa ufahamu huo wenye upeo,maana waitwao Ni wengi lakini Wateule Ni wachache. Yaani wengi wanaabudu dini,dhehebu badala ya Mungu.
@@kakawamashariki89781:16
Dini? Bĩblĩa inasema mimi ni Njia ya kweli na ũzima,mtu hawezi kwenda kwa baba pasipokupitia kwangu(kwa Yesũ) achana na dini twende zetu na Yesũ kristo
@@UsafiMichael-mc8kt exactly,Yesu kristo ndiye njia na uzima wa milele,hakuna atakaye enda kwa Baba ila kwa njia ya Yesu Kristo tu,Yeyote amkataaye mwana amekwisha laaniwa na Mwenyezi Mungu hayumo ndani yake.🙏
@@queenesther8505kumbe Kuna mungu na mwanae mungu
Jesus hv mercy 4 us, the rapture is abt to come very near bt humanity don't believe it😢
Mnachelewesha sana jamni maelezo meeeeeengi mpk yanaboa hebu muache mtu atiririke
Mungu Anatafuta condoo wake
Kwakweli Mungu ni mkubwa,na ngojea mwendelezo
Ameeen ni mkũũ sana Mũngũ wa mbinguni
Tunasubiri part two…😢😢
Wakristo mwapenda kiki nyinyi mmh yaani huyo yesu uko aliko yuwashangaa kila uchao huyo akijiuliza nsiku ipi alio mtokea mtu...kama c njaa zenu wakristo na utapeli mbona usitokewe na mungu uwe unamtukuza tu mwanadamu mwenzako alikuwa tu nabii wala sio mungu
MUNGU AKUTHIHIRISHE YESU KRISTO NI NANI NA UPATE WOKOVU KWA JINA LA YESU
Jactan part 2 iwapi?? umekawia sana
Part2 itakawia sana,ni mpaka mwakani
Mathayo 12:6
Kila Mtu anatokewa na yesu siku hizi na ile Nukta ya Kuigiza Ulemavu
Naona siku hizi sio kivileeeee !!!
Haya bana ngoja inyeshe
Ramadhani hawa jamaa siku hizi kiki yao kubwa Ni kusema walikua waislamu wakatokewa na yesu
Muongo sana wewe,hata Yesu akija leo mtakataa kwasababu ya misimamo ya dini yenu, Mungu anawachagua walio wake wewe endelea na misimamo yako ya dini.Huyo Muhammad mnayemeamini alikufa anasubiri hukumu tu
@@badruseif1318kabisaa.
@mwassamwassa7264 Muhammad ni binaadamu. Sasa kwa nini asife. Asiekufa ni mungu. Hata yesu alikufa.
Yohana 17:3
Waislamu naona mnakeleka sana jinsi YESU anavyo okoa
wale manaitwa waislamu ndo mjiulize mpo sehemu sahihi ?au mnakwenda kuzimu ?
Kweli kabisa wajiulize maana kila anaeshuhudia anasema kua majini ndio maisha ya Muslim wakubali kuokoka wampokee Yesu
Yani Acheni ushangae wao wanajiona wako sahihi sasa ikeja kwenye kuwa chukia wakristo na kuwa ona makafiri na kuwambiwa wasike karibu na sisi embu Angalia KWERI MUNGU TUNAYR MUABUDU WA DUNIA NZIMA AMETUACHIA UPENDO ILA SISI WENZETYU WANA TUCHUKIA NDIO UNAPOONA KUNA SIRI INAYO ENDELEA KWAO PASIPO WAO KUJIEREWA
Mnaona njia nyepesi ya kupata Kiki Ni kusema ulikua muislamu
Kabisaaa.
Kwanini waislam wanaroho mbaya kwa ndugu zao ambao wameokoka?
Kwani❤katakela alikuwepo buyenzi?
Ndio
Anaongea kwa utulivu sana na lugha ya Kiswahili anaiongea kwa ufasaha sana.
watafutaji pesa kwa njia ya jina la Yesu
Mungu akusamehe maana upo kwenye chungu, na unaitaji msaada
@@patrickmunishi2277 kesho utamkuta anafungua kanisa ukishawaona wanajitangaza hivo wakijulikana tu imetoka
@@sabihaibrahim143okoka na ww ufungue kanisa kama ni dili
@@8pistons194 hahahaaaaaaa mimi nimefungua biashara nyengine
@@sabihaibrahim143mwaipopo mliyemnunua analia njaa huko mnamtunza kwa ghalama kubwa lakini roho inamsuta kuiacha njia ya Yesu
Kwa nini kila mtu anakimbilia kuwa mchungaji; kuna nini ktk huduma hii?
Wito wa mtu sio kukimbilia tu nafikiri ndo nafasi wanaoitiwa na mwenye kazi
ulitaka awe mganga wa kienyeji?
@@christinaisanguisangu2974 umejibu vizuri mpaka nimependa kama ningekuwa na namba yako ningekutumia hela ya kununua GB 1,tunataka watu wenye ufahamu na uelewa kama hvyo
Hata wewe ukitaka unaweza kuwa
Luk 10:2 Akawaambia, Mavuno ni mengi, lakini watenda kazi ni wachache; basi mwombeni Bwana wa mavuno apeleke watenda kazi katika mavuno yake.
NGUVU KUBWA INATUMIKA KUPOTOSHA WATU,,KUMBE UKO KWENU KUMUONA YESU NI RAHISI HIVYO..HUKU KWETU HAKUNA KUTUNGA
Ni rahisi maana tuna imani na tunaemwabudu.Mohamed alikufa akafa hamtokaa mumuone tena
mukija Ku
Muaona marehem Mohammad nikuzim mkiwa mnachomwa wote
@@8pistons194Muhammad si Mungu. Asiyekufa ni mungu. Hata yesu alikufa.
Yohana 17:3
@@aliemdogothubutuu
YESU ALIKUFA BURE MAANA Alisurubiwa kwa jile Yetu akafa Akafufuka sasa ni yuhai yuko Mawinguni Akatuachia msaidizi Wake Rohomtakatifu Yaan Tumebarikiwa Mnoo MUNGU NI MKUU@@Catherine-mh8sw
Amina
Ameeen
Amen