True definition of true and pure music ❤❤si hizi watu wanaimba wakiwa na mavazi ovyo na marangi usoni na nywele zinakaa sijui aje.....this remains my favourite choir❤❤❤❤
Hello kasulu SDA choir, I herbaly take this opportunity to thank God for making you to be alive this preparation day and helping you to produce other songs which are a blessing to us. Please 🙏 if you answer this qustion I will be as happy as a king. My question there is a song that you sang of roho tatu za uchafu where is that prophecy found on the Bible? Please
I know even the Angels and the 24 Elders in Heaven are bowing down in worship because of this Great Song 🎵 GOD Richly Bless you Great Ambassadors of THE MOST HIGH GOD 🙏
Nawapenda bure nanyi mwajua kuwa nawapenda sana kutoka moyoni, ningekuwa naweza ningekuwa nawabeba mgongoni ila nawaombea tu muendelee kwenda viwango vya juu mno na mwisho mfike Mbinguni
Barikiweni mnaimba vizuri,boresheni beat zenu,maana zinafana zote na zinatumia kinanda kimoja,sasa katika dunia ya ubunifu wa kimuziki mnabaki nyuma.mwambieni producer wenu aongeze ubunifu,au mbadili producer ili mbadilishe ladha mbalimbali.sauti ziko poa,halafu director alijitahidi,ila tafuteni madirector wanaotoa video za HD,lakini pamoja na changamoto hizo naona mko juu,maana hata dressing code zenu ziko vizuri,barikiweni sana!!!!!
Hongereni mnanibariki sanaa mavazi 100% heshimaaa mpaka kwa Mungu wimbo mtamuuuuuuuuuuuu
True definition of true and pure music ❤❤si hizi watu wanaimba wakiwa na mavazi ovyo na marangi usoni na nywele zinakaa sijui aje.....this remains my favourite choir❤❤❤❤
May God continue guiding them in Jesus name. Amen
i can't wait to meet Jesus-From this song, i see heaven
Mubarikiwe sana, ujumbe, mavaz, mwonekano kweli ninyi wasabato
AMINA kubwa. Nafurahi sana kuwafuatilia niko GOMA-DRC. Mungu na Aendelee kuwaongoza na kuwatumia kama vyombo vyake kuwavuta wengi kwake.
Ahsante sana kwaya Voice of Prophecy. Twazipenda sana nyimbo zenu hapa nchini Rwanda. Chukueni maamkizi mengi kutoka kwa kanisa la huku!
hapo Rwanda tunawashukuru sana kwa kutufuatilia
Vop kasulu Bwana awabariki saana mnatupatia ujumbe wa matumaini
👏 👏 👏 👏 Amen 🙏 🙌 🇰🇪 🇰🇪
Barikiweni kwakumwinua bwana hakika mungu anainuliwa nimebarikiwa na huduma yenu songeni mbele daima.
You are so amazing Kasulu, might God bless all of you abundantly.
Bwana Mungu awabariki. Ujumbe safi kabisa, sautiiiiiii, tena barikiwa sana,
asante saana
Kila wakati najikuta kurudia rudia huu wimbo wapendwa, wimbo mtamu sana
duuuuuuuh kigomaaaa 🙌🙌🙌🙌
Mungu awbark sana mana uko vizr
My favourite song
Bwana awabariki Kwa wimbo mzuri
Mungu na ainuliwe ,barikiwa
Hello kasulu SDA choir, I herbaly take this opportunity to thank God for making you to be alive this preparation day and helping you to produce other songs which are a blessing to us. Please 🙏 if you answer this qustion I will be as happy as a king. My question there is a song that you sang of roho tatu za uchafu where is that prophecy found on the Bible? Please
Revelation 16:13,14
Hallelujah Maranatha 🙏🌹❤️🙏🌹❤️🙏🌹❤️🙏🌹❤️🙏🌹👍🌹🌹🌹🌹
Mungu azidi kuwainua sana, watumishi wa Bwana,
asante
Wooow blessing...Happy sabbath
Nawpenda sana barkiweni nataman nije kujiunga
Barikiweni sana songeni mbele
🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Jaman sijui niseme nn mmenibariki SANAAAA BASI ACHA TU NISEME SAFARI IKARIBU SANA
Naisubiri hiyo siku kwa hamu sana ndani ya kiini cha moyo wangu
Bwana Yesu na Aendelee kutukuzawa. Mbarikiwe sana nyote. Naendelea kuwafuatilia nikiwa GOMA-DRC 🇨🇩
ukiwa goma samuel barikiwa
What a song !! In Christ we are definitely assured of victory.
Never heard this song, but I like it. Love the lyrics.
Kwa kweli mnastahili kuitwa Voice of Prophecy maana mnaimba unabii wenyewe. Asanteni kwa nyimbo za kututia hamasa tunapokaribia mwisho wa safari yetu
So true
❤
Barikiweni kwa nyimbo nzuri na ujumbe wa matumaini;
Yaani hii kwaya naipenda sana sana kutoka moyoni,, I love it more exceedingly
tumekupata endelea kuwa nasi
Bwana Mungu awabariki sanaaaaaa.
asante
For sure your songs are great blessing to me of which I believe you are blessing to many souls .
Amina Vop Kasulu ❤
Bwana ni mwema
wakati wote
Jiji yelusalem very good soloist
A very sweet song God bless you
Mbarikiwe kwani mm nabarikiwa
Mungu awabariki sana unatia nguvu
amina
Amen, nice song
Kwa kweli tunalo lile neno la unabii lililo imara na ni taa inatupatia mwanga. Mungu na hawabariki mnapoeneza injili ya unabii kwa njia ya nyimbo.
Ameeni,hope to see my son 😢there
Very nice and inntresting songs
Beautiful souls 5:08 singing for their Creator ❤
God bless you @VOP, Watching from Kigali - Rwanda. May heavenly God Father keep using you...Amen
bagabejohn thank you and wellcome
I know even the Angels and the 24 Elders in Heaven are bowing down in worship because of this Great Song 🎵 GOD Richly Bless you Great Ambassadors of THE MOST HIGH GOD 🙏
thank you
@@thevoiceofprophecy7757 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙌🏼
Niliisubiri Sana imekuja kwa wakati wake Mungu awabariki VOP choir am listening from MURUSI SDA Kasulu
basi ubarikiwe
God bless you the voice
Naipenda hiyi kwaya
Ukweli barikiweni sana
What a joy TUKIKARIBISHWA NA YESU KWENYE KITI CHA ENZI. This is a beatiful song full of hope and promise.
Barikiwa watu wa Mungu
kuwapi mauti kututesa ooo haleluya asante saana
Aloo huwa nabarikiwa sana na nyimbo zenu WanaVOP mbarikiwe sana.
Kweli ninyi ni wasabato muonekano wenu hauna maswli
Mbalikiwe 🙏 San mna muonekano mzur mavazi na kichwani mme endan ana na wimbo wenu nime balikiwa hakika
Ameeen
🔥🔥🔥🔥
Mubalikiwe sana
Amina Amen wimbo nzuri sana Mungu awabariki waimbaji
coucou
amina ubarikiwe
Nice be blessed
Powerful 🎉🎉❤
Amen.. great song that is beautifully done is a simple way, God bless. Nairobi Kenya
wellcom sir, and thank youvery much
Mungu azidi kuwainua nawafwatilia nikiwa Nairobi Kenya
amen
Nawapenda bure nanyi mwajua kuwa nawapenda sana kutoka moyoni, ningekuwa naweza ningekuwa nawabeba mgongoni ila nawaombea tu muendelee kwenda viwango vya juu mno na mwisho mfike Mbinguni
hapana nasisi tunaelewa wadau wetu hatawewe umopia
Hello . wapenzi wa Bwana yesu.
We are always blessed with your songs. Please share your contacts ASAP
+255756868184
+255756868184
Asante kwa Wimbo
Amen,tutaruka kama ndama
God bless you ❤
❤❤❤ Amen gloria
Mbarikiwe sana
Jesus is the centro of it all, melodious song God bless and empower you all
Nice🔥🔥🔥
I don't understand the language but l can feel the song,,lm also aSDA please where is this group from?
Amen 🙏🙏🙏🎉❤❤❤🎉
one of my favorite from kasulu. continue showing other choirs what they are supposed do to including the physical appearance. you are amazing indeed.
A very inspiring song, keep it up our lovely VOP Kasulu, God bless you
amen
AMEN 🙏🙏🙏
AMEN 🙏🙏🙏 GOD IS OMNIPRESENT
Thankful kisulu
Natamani kuingia lile Jiji
Thank you for this song, it gives us hope amid all the problems of this world. Listening from Canada.
God bless you for your acknowledgement; you are welcome.
An inspiring song may God bless you
Very inspiring song and giving great hope to many,be blessed VOP choir
amen
God bless you 🙏🏻🙏🏻
Amen Amen.
I love the tonal variations ,great
enjoy
Very nice songs
Very powerful Be blessed
amen
AMEN 🙏🙏🙏 BE BLESSED
Balikiweni Sana V.O.P but hiyo sale ya nguo mmeivaa kwa nyimbo nyingi niombe muwe mnabadilisha sale
limefika
Kawape hela
Hamjawahikosea, mbarikiwe sana sana!
amina na asante
Amen
Amen 🙏🏿
Awesome, praise be to God
amen
Amina
Nice
Barikiweni mnaimba vizuri,boresheni beat zenu,maana zinafana zote na zinatumia kinanda kimoja,sasa katika dunia ya ubunifu wa kimuziki mnabaki nyuma.mwambieni producer wenu aongeze ubunifu,au mbadili producer ili mbadilishe ladha mbalimbali.sauti ziko poa,halafu director alijitahidi,ila tafuteni madirector wanaotoa video za HD,lakini pamoja na changamoto hizo naona mko juu,maana hata dressing code zenu ziko vizuri,barikiweni sana!!!!!
asante tutaendelea kulifanyia kazi kadri itakavyo wezekana
Wow
yes
❤
ninawapenda saana
Nyie ni wakala wa kuzimu kabisa
tufuatilie kwa umakini lakini fungua mawazo yako utajua ukweli
I hope that lady solowing is still single😍. Drop her number kindly.