JINSI YA KUKUZA NA KULAINISHA NYWELE NA BAMIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 37

  • @desterjeremiah-rd6sw
    @desterjeremiah-rd6sw 11 месяцев назад +6

    Dada hata nywele za dawa inaruhusiwa

  • @halimaramadhani402
    @halimaramadhani402 Год назад +1

    Ahsante sana kipenz❤

  • @RoseMbwawa
    @RoseMbwawa 5 месяцев назад +1

    Ahsante dada

  • @HusnaSeif-f4k
    @HusnaSeif-f4k 9 месяцев назад +1

    Ili nywele ziwe laini kwa haraka unatakiwa upake mala ngapi kwa siku

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤ mashallhhh uko na nywele nzuri ddngu

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Год назад

      Asanteee❤️❤️❤️❤️❤️❤️

    • @HildaPaul-hm4jk
      @HildaPaul-hm4jk 2 месяца назад

      Mimi sitaki ziwe raini nataka ziwe nzito ​@@Sarah1.

  • @bellaphilimon
    @bellaphilimon Месяц назад

    Ngoja nijarb dada nione kama nitapata matokeo mazur

  • @fibemalila965
    @fibemalila965 4 месяца назад

    Je huwezi kukaa ktk dryer nywele ikaukeee???

  • @ElizabethVicent-c3v
    @ElizabethVicent-c3v 18 дней назад

    Unatakiwa kupaka malangap kwasiku mpenz

  • @nataliamashalo265
    @nataliamashalo265 2 месяца назад

    Ukishapaka bamia huosho tena nywele?? Au ndo unazifita tu

  • @EllyKoka
    @EllyKoka Месяц назад

    Unaweka kwa wiki mara ngapi?

  • @babalao3250
    @babalao3250 7 месяцев назад

    Asante sana

  • @rahemh1234
    @rahemh1234 4 месяца назад +1

    Je kama huna bamia unaweza kutengeza na mlenda 😂❤

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  4 месяца назад

      sawa😂

  • @NeemaWilliam-t1p
    @NeemaWilliam-t1p 10 месяцев назад

    Mamb dada kama umesuka unaweza kutumia

  • @mwajumahamisi9737
    @mwajumahamisi9737 9 месяцев назад +1

    Sauti yachina sana

  • @Sophie-g4e
    @Sophie-g4e 4 месяца назад +1

    Unaweza kupaka ukiwa umesuka??

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  4 месяца назад

      yes❤️

  • @kettylucas5557
    @kettylucas5557 11 месяцев назад +1

    Hellow samahn naomba msahada nywle yangu n natural lakn imekua nyepesi sababu ya bodray nifanyeje ilirudi kwenye Hari yake ya kawaid

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  11 месяцев назад

      usiblowdry na moto mkali. pia fanya protein treatment mara kwa mara

  • @merymahu4500
    @merymahu4500 6 месяцев назад +1

    Asante narudia kusuka sasa

  • @zawadimbuya
    @zawadimbuya Год назад +2

    Baada ya kupaka bamia na kukaa nayo kwa dk 30 unaosha au unakaa nayo tyu hivo hivo

  • @AnithaChota-tk7jj
    @AnithaChota-tk7jj Год назад

    Asnt🙏🙏

  • @LeticiaVenance-ph2ut
    @LeticiaVenance-ph2ut Год назад +3

    Ukishapaka bamia unakaanayo kwa mda gan

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Год назад

      Dk 30❤️

    • @SpecimenNestory
      @SpecimenNestory 2 месяца назад +2

      ​@@Sarah1.Hlw hi, Samahani hapo kwenye kukaa nayo kwa muda wa nusu he hauwezi kuitumia uck na kulala nayo???

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  2 месяца назад

      @user-zg3et9um7v unaweza dear

    • @SpecimenNestory
      @SpecimenNestory 2 месяца назад

      @@Sarah1. ok fyne kwa muda gani kila siku au

  • @Jackielfamily
    @Jackielfamily 11 месяцев назад +1

    Je inafaa kwa wanaume

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  11 месяцев назад +1

      ndiyo

    • @Jackielfamily
      @Jackielfamily 11 месяцев назад

      @@Sarah1. Je ni kichanganya na maguta ya coconut oil na yai LA kuku vp itafaa

  • @EditaGidion
    @EditaGidion 20 дней назад

    Zina lefuk

  • @SuzanneBoke-pp6gm
    @SuzanneBoke-pp6gm Год назад +1

    Naeza tumia mafuta ya mboga ya maji

    • @Sarah1.
      @Sarah1.  Год назад

      Hamna shida dear