Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Dada hata nywele za dawa inaruhusiwa
Ahsante sana kipenz❤
Ahsante dada
Ili nywele ziwe laini kwa haraka unatakiwa upake mala ngapi kwa siku
❤❤❤❤❤ mashallhhh uko na nywele nzuri ddngu
Asanteee❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Mimi sitaki ziwe raini nataka ziwe nzito @@Sarah1.
Ngoja nijarb dada nione kama nitapata matokeo mazur
Je huwezi kukaa ktk dryer nywele ikaukeee???
Unatakiwa kupaka malangap kwasiku mpenz
Ukishapaka bamia huosho tena nywele?? Au ndo unazifita tu
Unaweka kwa wiki mara ngapi?
Asante sana
Je kama huna bamia unaweza kutengeza na mlenda 😂❤
sawa😂
Mamb dada kama umesuka unaweza kutumia
Sauti yachina sana
Unaweza kupaka ukiwa umesuka??
yes❤️
Hellow samahn naomba msahada nywle yangu n natural lakn imekua nyepesi sababu ya bodray nifanyeje ilirudi kwenye Hari yake ya kawaid
usiblowdry na moto mkali. pia fanya protein treatment mara kwa mara
Asante narudia kusuka sasa
Baada ya kupaka bamia na kukaa nayo kwa dk 30 unaosha au unakaa nayo tyu hivo hivo
Unaosha unapaka mafuta
Asante dear
Asnt🙏🙏
Ukishapaka bamia unakaanayo kwa mda gan
Dk 30❤️
@@Sarah1.Hlw hi, Samahani hapo kwenye kukaa nayo kwa muda wa nusu he hauwezi kuitumia uck na kulala nayo???
@user-zg3et9um7v unaweza dear
@@Sarah1. ok fyne kwa muda gani kila siku au
Je inafaa kwa wanaume
ndiyo
@@Sarah1. Je ni kichanganya na maguta ya coconut oil na yai LA kuku vp itafaa
Zina lefuk
Naeza tumia mafuta ya mboga ya maji
Hamna shida dear
Dada hata nywele za dawa inaruhusiwa
Ahsante sana kipenz❤
Ahsante dada
Ili nywele ziwe laini kwa haraka unatakiwa upake mala ngapi kwa siku
❤❤❤❤❤ mashallhhh uko na nywele nzuri ddngu
Asanteee❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Mimi sitaki ziwe raini nataka ziwe nzito @@Sarah1.
Ngoja nijarb dada nione kama nitapata matokeo mazur
Je huwezi kukaa ktk dryer nywele ikaukeee???
Unatakiwa kupaka malangap kwasiku mpenz
Ukishapaka bamia huosho tena nywele?? Au ndo unazifita tu
Unaweka kwa wiki mara ngapi?
Asante sana
Je kama huna bamia unaweza kutengeza na mlenda 😂❤
sawa😂
Mamb dada kama umesuka unaweza kutumia
Sauti yachina sana
Unaweza kupaka ukiwa umesuka??
yes❤️
Hellow samahn naomba msahada nywle yangu n natural lakn imekua nyepesi sababu ya bodray nifanyeje ilirudi kwenye Hari yake ya kawaid
usiblowdry na moto mkali. pia fanya protein treatment mara kwa mara
Asante narudia kusuka sasa
Baada ya kupaka bamia na kukaa nayo kwa dk 30 unaosha au unakaa nayo tyu hivo hivo
Unaosha unapaka mafuta
Asante dear
Asnt🙏🙏
Ukishapaka bamia unakaanayo kwa mda gan
Dk 30❤️
@@Sarah1.Hlw hi, Samahani hapo kwenye kukaa nayo kwa muda wa nusu he hauwezi kuitumia uck na kulala nayo???
@user-zg3et9um7v unaweza dear
@@Sarah1. ok fyne kwa muda gani kila siku au
Je inafaa kwa wanaume
ndiyo
@@Sarah1. Je ni kichanganya na maguta ya coconut oil na yai LA kuku vp itafaa
Zina lefuk
Naeza tumia mafuta ya mboga ya maji
Hamna shida dear