Hii nyimbo aisee inanikumbusha mbali mpka Sasa naipenda sana nimeikuta inapigwa baa leo nimefika hom ikabidi niitafute humu nakusikiliza mda huu saa 7 usiku tarehe 21 mwezi wa 11 mwaka 2021
DAh nakumbuka mbali sana kipindi kile niko primary kulikua na demu mmja nilikua namueewa sana alikua anaiwa malisela sasa ndo nilikua nikimuimba baada ya sela mimi natupia jina lake malisela aiseeeh nouma SANA ngoja miaka isonge maisha yaendelee but hizi nyimbo zitaendelea kuishi
Hizi ni nyimbo ambazo zitaendelea kuishi mpaka wajukuu zetu, ikipigwa ngoma yoyote ya zamani hakuna ngoma bongo flavour ya sasa itakayosimama kwa chochote, mfano ile ngoma ya Nyota Ndogo feat Nonini - Nibebe # Ni balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hii ngoma ilikuwa dedication kwa dem mmoja kwao wanafuga ng'ombe walikuwa wanauza maziwa du na nikamegeza kisera sasa leo hii mfanyie demu dedication nyimbo ya nyegezi kama atakuelewa sijui aiweke iweke ipitishe kwa chini utatoka kapa nakuambia
Hizi ni nyimbo ambazo zitaendelea kuishi mpaka wajukuu zetu, ikipigwa ngoma yoyote ya zamani hakuna ngoma bongo flavour ya sasa itakayosimama kwa chochote, mfano ile ngoma ya Nyota Ndogo feat Nonini - Nibebe # Ni balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Dah ! Tena brother nyie mliokuwa nao kwenye industry na mkaona rizki na karama zao zinavyovurugwa mtakua mnaumia zaid, tuzihusie nafsi zetu juu ya unafiki na dhuluma inshallah
Nimekuja hapa baada ya madee kuojiwa na kusema alikula elfu 80 ya kurecod ikabidi amwambie abdi bonge kua chelea man hajui ila mb dog anajua bas ndomana mb dog akatoboa jamaa yeye akapotea
Daaa!! Kitambo San nakumbka mwa 2007 wakati huo naanza mausiano na mam watot wng Siku ya kwanz yakukata utepe alafu dj ndo anagonga nyimbo hii eeh!alinikosha San dj kitambo icho
Baada ya kukosa ladha kwenye mziki wa sasa wa kizazi kipya nimeamua nianze kuperuzi bongo flava ili nipate ile ladha kamili ya mziki. Am here 19 July 2020
2023 still i love this anthem❤
Hii nyimbo aisee inanikumbusha mbali mpka Sasa naipenda sana nimeikuta inapigwa baa leo nimefika hom ikabidi niitafute humu nakusikiliza mda huu saa 7 usiku tarehe 21 mwezi wa 11 mwaka 2021
Namkumbuka uncle wangu saloto kwasasa hayupo Tena dunian daah Mungu ampunguzie uzito wa kaburi lake
DAh nakumbuka mbali sana kipindi kile niko primary kulikua na demu mmja nilikua namueewa sana alikua anaiwa malisela sasa ndo nilikua nikimuimba baada ya sela mimi natupia jina lake malisela aiseeeh nouma SANA ngoja miaka isonge maisha yaendelee but hizi nyimbo zitaendelea kuishi
🙄🙄🙄🙄
Hizi ni nyimbo ambazo zitaendelea kuishi mpaka wajukuu zetu, ikipigwa ngoma yoyote ya zamani hakuna ngoma bongo flavour ya sasa itakayosimama kwa chochote, mfano ile ngoma ya Nyota Ndogo feat Nonini - Nibebe # Ni balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
2019 nana anaangaliya hizi nyimbo zinazoendelea kuzikonga nyoyo za wengine like hapo chini
Nipo ndugu yangu nasikiliza sana old skuli
ngoma za zamani ni nzuri sana
Nice song
Kitambooo
sanatyuu
Hii ngoma ilikuwa dedication kwa dem mmoja kwao wanafuga ng'ombe walikuwa wanauza maziwa du na nikamegeza kisera sasa leo hii mfanyie demu dedication nyimbo ya nyegezi kama atakuelewa sijui aiweke iweke ipitishe kwa chini utatoka kapa nakuambia
kweli kabisa mkuu
Naupenda sana wimbo huu niliupiga sana wakati huo nikiwa mtangazaji wa VOT Tabora
Dah nimefurahi kuona coment yako kumbe na nyie mnakuaga na mapenz na nyimbo flan nakumbuka ea radio ukiwa na kina dj makei
Duh v.o.t jamani nikiwa tabora girls,tulikuwa tunawatumia waboyzia na milambo hii master piece
ulikuwa dj vot kipindigani kaka
@@aidanabugare2255kweli labisa wimbo huu ulikuwa ukipigwa sana vot kumbe wewe ulikuwa girls mitaa ya kazehil au nation
Nyimbo kali sanaaa, jamaa aliandika bhna. Kama unamkubali Chelea man. Gonga like
Hivi jamaaa yuko wapi kwasasa je bado anaimba?
WaAnangu Wa 2024 gonga like hap
Kama unasikiza hii nyimbo 2019 gonga like here
Hizi ni nyimbo ambazo zitaendelea kuishi mpaka wajukuu zetu, ikipigwa ngoma yoyote ya zamani hakuna ngoma bongo flavour ya sasa itakayosimama kwa chochote, mfano ile ngoma ya Nyota Ndogo feat Nonini - Nibebe # Ni balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@@zafananablack2476 dah ninoma sana
Enzi hizo niko likizo ya O level Shy mwaka 2007.
Chelea Man hatari sana!!
Shy maemeo gan tujuane
Weweeeeee!!!!! 2020 hiyo nani katoboa na hili Songoro😁😁😁😁🇹🇿
Mchizi nimekukumbuka sana ndomana nimeicheza nyimbo yako wapo chelea mani
Dah nakumbuka sana enzi izo dom natoka zangu Area A naenda Chang'ombe kwa bibi...sasa ndo nipo mashine ya mabati cda pale ndo nausikia huu wimbo😔😞😭😭
Kiss FM REDIO pendwa ilikuwa igonga nyimbo za kweli,hiyo bezi yake sasa ilikuwa noma,hii nyimbo ni noma sana,2021
Tallent sana,,,,wapi huyu mtu wa kazi @Cheleaman
My best song ever.. Dah nakumbuka nikiwa form four bukoba sec 2007
Kipindi hicho tunatoka Kashozi Sec. kuwatembelea Bukoba Sec. Ni kitambo
@@dicksonkajuna5750 mlikujaga kudebate eeh??
Ndio debate na michezo pia
Hii nyimbo sio 2007
Ni 2002 wew ukiwa darasa la sita ndugu kumbuka vyema.
@@ackshuba8679 sio 2002 ni 2007 nipo darasa la 5,nakumbuka moments nyingi sana kupitia hii ngoma japo nlikuwa mdogo
When bongo flavour didn’t need kiki to rock!! Am happy u uploaded! Wow!
Kama kuna mtu anaisikiliza hii ngoma 2020 gonga like ya nguvu upo wapi ndugu yangu huu ndo ulikua mziki wa uhakika
Wanangu wa mwanza 2005
Daaah chelea man mbona unafanya nalia nakumbuka 2007 nlkuwa primary 2008nikaja kukuona live fiesta dom town
Kali sana hii nyimbo ...nilikuwaga natoroka nyumbani naenda salun kuisikiliza
2019 still hitting, come back man
Pamojaa mzazii hatarii ikopoa sana
hao ndo wasanii
2020 😍😍😍😍😍jnl1
2020 Niko hapa za zamani zilikuwa tamu buana natamani kumpenda msela jamani
Msela Niko hapaa plz love mee🙏🙏
Huu wimbo unanikumbusha mbali sanaa
Aisee naposikiliza wimbo huu nakosa maneno ya ziada kuhusu Vipaji vilivyozimika kama mshumaa.
Dah ! Tena brother nyie mliokuwa nao kwenye industry na mkaona rizki na karama zao zinavyovurugwa mtakua mnaumia zaid, tuzihusie nafsi zetu juu ya unafiki na dhuluma inshallah
2007 Std7 Mikere primary school Mkuranga, leo 2023 sept28 bado naickiliza
Nikikumbuka hz nyimbo natamani kulia
Kitambo sana chelea man msela
Kama bado unasikiliza kufungia mwaka tia like
Yaan natamani dunia irudi ilikotoka jaman mpaka najawa huzuni nikikumbuka mbali
Dah bonge la nyimbo wako wapi wasani hawa jamani gonga like kama unawish warudi
GRACE MSANjila hao ndio walikua wasanii,mashairi yasiyo chuja vina vya maana .best song.nakumbuka mbali sana baada ya kutoswa.life iz goz on
GRACE nakubaliana na ww
Mshkaj chele man Yuko mabibo anakula banga tariii uyu jmaaa
I like this old song
I like this old song
Hatar sana ,nimependa hio " sometimes napiga debe namwaga zege" reel living houstling, sweet melodies yaan bongo kila industry ina mashaka dah
2020 naomba like zangu jamani
Inanikumbusha mbali sana hii ngoma jamn enzi zetu zileeeee.ndo umemaliz Shule unanusurika kutoswa ndo unatuma kadedcation usiachwe.hahahahhahahahahaha
Good music haichoshi kusikiliza...
Ngoma nzuri sana
Utafikiri bado mpya
Kumbe henzi hizoooo.....
2020 wapi chelea man msera naipenda hii ngoma kipindi hicho unampenda demu afu una kitu
Chelsea man
kama bado unaiskiliza 2019 like nkuone
kama unasikiliza 2020 gonga like
pale mwanaume unapopenda na hauna hela na dunia hii pesa ilivotawala mapenzi basi haka kawimbo kanafaa dedication kwa mchumba
Tukiwa Nduta Camp mwaka wa 2007 .
Mtanzania
Nimekuja hapa baada ya madee kuojiwa na kusema alikula elfu 80 ya kurecod ikabidi amwambie abdi bonge kua chelea man hajui ila mb dog anajua bas ndomana mb dog akatoboa jamaa yeye akapotea
Ebwana heee asee nakumbuka kitambo Sanaa je ww enzi izo ebu tukumbushe na yeyote unayo ijua
Nilikuwa form 4. Nakumbuka mbali kweli. Dahh
October 2019,imenirudisha 2007!sitosahau yale maisha!
Nwkubali!! Chelea man!! A boy from bongoflevan!! Dah so long time!! Namielewaga sana uyu jamaa
Ngoma kali sana
Daaa!! Kitambo San nakumbka mwa 2007 wakati huo naanza mausiano na mam watot wng Siku ya kwanz yakukata utepe alafu dj ndo anagonga nyimbo hii eeh!alinikosha San dj kitambo icho
Enzi izo radio free Africa ndo radio kubwa na pendwa Tanzania nzima
2020 Mwezi wa 7 bado utamu wa big G haujaisha
It's 2024 . Days are flying 🎉🎉😢😢
2022 still naenjoy mziki mzuri
Nimekuja apa Baada ya kuona interview ya Madee
Anasema jamaa alikula 80 ya ku Record
Hakumgea madee hata dalla
😂😂😂😂duu kumbe umafi ulianza kitambo sana
Namimi pia angekua mbali sana kama madee asinge mbania
2020 tumeludi kuckiliza nyimbo tam
When the songs truly sung by the truly talented singers unlike today we only support the singers who are supported by autotune
Baada ya kukosa ladha kwenye mziki wa sasa wa kizazi kipya nimeamua nianze kuperuzi bongo flava ili nipate ile ladha kamili ya mziki. Am here 19 July 2020
kweli kabisa
2021 hiyo Baba
Mii msela 2020
Sio poa'' leo ninacho/ kesho sina
Jamaa walikuwa wakali sn
2020 stl here
Kama unasikilza 2021 gong like
Long Sana manyara sec Nilikua form two mto WA mbu ase noma nw ni2018
Ngoma inanikumbusha mbali sana 2007
2021 BADO NALIGONGA HILI GOMA DAH
Duuh, huu ndio ulikua Music wa kuish mda mref,
Hz ndio dedctn bwanaa ntaelewa tu unachofill juu yangu mwenyewe naingia line
2006 nakumbuka Show time RFA radio free Africa
Groly Robinson mtoto wa mama sabuni
kitambo sanaaaaa but still my best love song
Livingstone Gusowa seen
Livingstone Gusowa we achatu
Kaliii
Jamaa wa kipindi cha nyuma walikua wanaimba bana
Masela thumbs up
2020 Ila Pini kali kama limetoka jana
Chelea man i remember my brother 2019
Ivi ilitoka mwaka gan
nyimbo yangu ya miaka yote hadi mwisho wa huwahi wangu
2023 still enjoying the banga😍😍
Chele man Mzee wa mabibo pamoja Sana nwanangu
Aisee juzi tu tulikuwa wote hapa uwanja wa Makuburi.. ila ndio hivyo tena
My favourite jam
2020/9/23 bado tunaangalia 🔥🔥🔥🔥🔥
La kitambo bt chelea man alijitahidi sana ndo maana mpka sasa goma liko poa
Kitambo sana dah
My best song 2021
Hii Nyimbo Nilikua Naitafuta Sana...
2023 usiniache bonge la song 1:12
2007 nipo form 3 kitambo kidogo daah
exactly in those days
Lakin nyimbo imetoka 2002 huko sio 2007..
MUZIKI MZURI HUNA HISHI🔥🔥🔥🔥🔥💣🏌️🏌️
2020..mapenz yanateka duniaa.aisee
Nipo hapa 24/10/2020 hakika old is gold
21 December 2020 tuonane 2021
Jmn hizinyimbo na wasanii wakwapi jmn tz hii jmn tunavpaji
daaaah hii ngoma hainitoki mpk Leo in short jamaa aliimba
2020 let's go
2022 twende pamoja
*2021*
Wonderful song 😅💞🙏🏼 How can sing like this Tanzania They sound of Africa Tanzania I love this ever 🎧🎶🎙️
September 9 2024🎉🎉
2021 March
Daaaaaaaah!! Jmn huyu mtu yuko wap game linamhitaj
Mabibo
zilipendwa nakumbuka mbali