Chelea mani msela

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 209

  • @kalokoziyusuph4135
    @kalokoziyusuph4135 Год назад +7

    2023 still i love this anthem❤

  • @rechorechojumamaroda5045
    @rechorechojumamaroda5045 2 года назад +6

    Hii nyimbo aisee inanikumbusha mbali mpka Sasa naipenda sana nimeikuta inapigwa baa leo nimefika hom ikabidi niitafute humu nakusikiliza mda huu saa 7 usiku tarehe 21 mwezi wa 11 mwaka 2021

  • @amoschacha2885
    @amoschacha2885 Месяц назад +1

    Namkumbuka uncle wangu saloto kwasasa hayupo Tena dunian daah Mungu ampunguzie uzito wa kaburi lake

  • @mwinamilapaul352
    @mwinamilapaul352 6 лет назад +19

    DAh nakumbuka mbali sana kipindi kile niko primary kulikua na demu mmja nilikua namueewa sana alikua anaiwa malisela sasa ndo nilikua nikimuimba baada ya sela mimi natupia jina lake malisela aiseeeh nouma SANA ngoja miaka isonge maisha yaendelee but hizi nyimbo zitaendelea kuishi

    • @mrmartinipaul2464
      @mrmartinipaul2464  6 лет назад

      🙄🙄🙄🙄

    • @zafananablack2476
      @zafananablack2476 4 года назад

      Hizi ni nyimbo ambazo zitaendelea kuishi mpaka wajukuu zetu, ikipigwa ngoma yoyote ya zamani hakuna ngoma bongo flavour ya sasa itakayosimama kwa chochote, mfano ile ngoma ya Nyota Ndogo feat Nonini - Nibebe # Ni balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @saadeased7160
    @saadeased7160 5 лет назад +48

    2019 nana anaangaliya hizi nyimbo zinazoendelea kuzikonga nyoyo za wengine like hapo chini

  • @minjacsd1874
    @minjacsd1874 4 года назад +10

    Hii ngoma ilikuwa dedication kwa dem mmoja kwao wanafuga ng'ombe walikuwa wanauza maziwa du na nikamegeza kisera sasa leo hii mfanyie demu dedication nyimbo ya nyegezi kama atakuelewa sijui aiweke iweke ipitishe kwa chini utatoka kapa nakuambia

  • @davidrwenyagira6083
    @davidrwenyagira6083 5 лет назад +9

    Naupenda sana wimbo huu niliupiga sana wakati huo nikiwa mtangazaji wa VOT Tabora

    • @joelinko6632
      @joelinko6632 4 года назад

      Dah nimefurahi kuona coment yako kumbe na nyie mnakuaga na mapenz na nyimbo flan nakumbuka ea radio ukiwa na kina dj makei

    • @aidanabugare2255
      @aidanabugare2255 2 года назад

      Duh v.o.t jamani nikiwa tabora girls,tulikuwa tunawatumia waboyzia na milambo hii master piece

    • @mohamedissalim8798
      @mohamedissalim8798 3 месяца назад

      ulikuwa dj vot kipindigani kaka

    • @mohamedissalim8798
      @mohamedissalim8798 3 месяца назад

      ​@@aidanabugare2255kweli labisa wimbo huu ulikuwa ukipigwa sana vot kumbe wewe ulikuwa girls mitaa ya kazehil au nation

  • @praygodkweka2884
    @praygodkweka2884 5 лет назад +7

    Nyimbo kali sanaaa, jamaa aliandika bhna. Kama unamkubali Chelea man. Gonga like

    • @felicianbulu1819
      @felicianbulu1819 3 года назад

      Hivi jamaaa yuko wapi kwasasa je bado anaimba?

  • @iddysilumba2807
    @iddysilumba2807 3 месяца назад +10

    WaAnangu Wa 2024 gonga like hap

  • @samirajonh6537
    @samirajonh6537 5 лет назад +34

    Kama unasikiza hii nyimbo 2019 gonga like here

    • @zafananablack2476
      @zafananablack2476 4 года назад +1

      Hizi ni nyimbo ambazo zitaendelea kuishi mpaka wajukuu zetu, ikipigwa ngoma yoyote ya zamani hakuna ngoma bongo flavour ya sasa itakayosimama kwa chochote, mfano ile ngoma ya Nyota Ndogo feat Nonini - Nibebe # Ni balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

    • @mgangakingaja3316
      @mgangakingaja3316 3 года назад

      @@zafananablack2476 dah ninoma sana

  • @emmanuelbuyamba853
    @emmanuelbuyamba853 4 года назад +10

    Enzi hizo niko likizo ya O level Shy mwaka 2007.
    Chelea Man hatari sana!!

  • @amanimwidowe4632
    @amanimwidowe4632 4 года назад +8

    Weweeeeee!!!!! 2020 hiyo nani katoboa na hili Songoro😁😁😁😁🇹🇿

  • @boscomakingi1978
    @boscomakingi1978 4 года назад +5

    Mchizi nimekukumbuka sana ndomana nimeicheza nyimbo yako wapo chelea mani

  • @issahabunu197
    @issahabunu197 3 года назад +4

    Dah nakumbuka sana enzi izo dom natoka zangu Area A naenda Chang'ombe kwa bibi...sasa ndo nipo mashine ya mabati cda pale ndo nausikia huu wimbo😔😞😭😭

  • @bakarikendwa4013
    @bakarikendwa4013 3 года назад +2

    Kiss FM REDIO pendwa ilikuwa igonga nyimbo za kweli,hiyo bezi yake sasa ilikuwa noma,hii nyimbo ni noma sana,2021

  • @hanzurunikazunarichilyenga9150
    @hanzurunikazunarichilyenga9150 4 года назад +4

    Tallent sana,,,,wapi huyu mtu wa kazi @Cheleaman

  • @justafredrickmunyoro1097
    @justafredrickmunyoro1097 6 лет назад +18

    My best song ever.. Dah nakumbuka nikiwa form four bukoba sec 2007

    • @dicksonkajuna5750
      @dicksonkajuna5750 4 года назад +1

      Kipindi hicho tunatoka Kashozi Sec. kuwatembelea Bukoba Sec. Ni kitambo

    • @justafredrickmunyoro1097
      @justafredrickmunyoro1097 4 года назад +2

      @@dicksonkajuna5750 mlikujaga kudebate eeh??

    • @dicksonkajuna5750
      @dicksonkajuna5750 4 года назад +1

      Ndio debate na michezo pia

    • @ackshuba8679
      @ackshuba8679 3 года назад

      Hii nyimbo sio 2007
      Ni 2002 wew ukiwa darasa la sita ndugu kumbuka vyema.

    • @abuumansoural-amrik6317
      @abuumansoural-amrik6317 3 года назад +1

      @@ackshuba8679 sio 2002 ni 2007 nipo darasa la 5,nakumbuka moments nyingi sana kupitia hii ngoma japo nlikuwa mdogo

  • @catherineburure7642
    @catherineburure7642 6 лет назад +9

    When bongo flavour didn’t need kiki to rock!! Am happy u uploaded! Wow!

  • @munirabdallahsaleh9201
    @munirabdallahsaleh9201 4 года назад +13

    Kama kuna mtu anaisikiliza hii ngoma 2020 gonga like ya nguvu upo wapi ndugu yangu huu ndo ulikua mziki wa uhakika

  • @manjaruu679
    @manjaruu679 3 года назад +2

    Daaah chelea man mbona unafanya nalia nakumbuka 2007 nlkuwa primary 2008nikaja kukuona live fiesta dom town

  • @isaaclema9519
    @isaaclema9519 3 года назад +2

    Kali sana hii nyimbo ...nilikuwaga natoroka nyumbani naenda salun kuisikiliza

  • @apansiakyando5753
    @apansiakyando5753 5 лет назад +19

    2019 still hitting, come back man

  • @rosepiere1857
    @rosepiere1857 4 года назад +7

    2020 Niko hapa za zamani zilikuwa tamu buana natamani kumpenda msela jamani

    • @POPkateshian
      @POPkateshian 2 года назад

      Msela Niko hapaa plz love mee🙏🙏

  • @dioncmusic1660
    @dioncmusic1660 6 месяцев назад +1

    Huu wimbo unanikumbusha mbali sanaa

  • @nashmc5668
    @nashmc5668 Месяц назад +1

    Aisee naposikiliza wimbo huu nakosa maneno ya ziada kuhusu Vipaji vilivyozimika kama mshumaa.

    • @OmarSalamata
      @OmarSalamata День назад

      Dah ! Tena brother nyie mliokuwa nao kwenye industry na mkaona rizki na karama zao zinavyovurugwa mtakua mnaumia zaid, tuzihusie nafsi zetu juu ya unafiki na dhuluma inshallah

  • @louser9473
    @louser9473 Год назад +1

    2007 Std7 Mikere primary school Mkuranga, leo 2023 sept28 bado naickiliza

  • @johnsonfrodianus6237
    @johnsonfrodianus6237 5 лет назад +5

    Nikikumbuka hz nyimbo natamani kulia

  • @emilysaimon3261
    @emilysaimon3261 Год назад +1

    Kitambo sana chelea man msela
    Kama bado unasikiliza kufungia mwaka tia like

  • @gracerichard1326
    @gracerichard1326 4 года назад +5

    Yaan natamani dunia irudi ilikotoka jaman mpaka najawa huzuni nikikumbuka mbali

  • @gracemsanjila327
    @gracemsanjila327 6 лет назад +49

    Dah bonge la nyimbo wako wapi wasani hawa jamani gonga like kama unawish warudi

    • @iddydawood2020
      @iddydawood2020 6 лет назад

      GRACE MSANjila hao ndio walikua wasanii,mashairi yasiyo chuja vina vya maana .best song.nakumbuka mbali sana baada ya kutoswa.life iz goz on

    • @yusuphsalim6469
      @yusuphsalim6469 6 лет назад

      GRACE nakubaliana na ww

    • @ayoubkipipa14
      @ayoubkipipa14 6 лет назад

      Mshkaj chele man Yuko mabibo anakula banga tariii uyu jmaaa

    • @yplatinumhassan2315
      @yplatinumhassan2315 5 лет назад

      I like this old song

    • @yplatinumhassan2315
      @yplatinumhassan2315 5 лет назад

      I like this old song

  • @OmarSalamata
    @OmarSalamata День назад

    Hatar sana ,nimependa hio " sometimes napiga debe namwaga zege" reel living houstling, sweet melodies yaan bongo kila industry ina mashaka dah

  • @husseinhassan3421
    @husseinhassan3421 4 года назад +6

    2020 naomba like zangu jamani

  • @emmanuelzwallo3933
    @emmanuelzwallo3933 5 лет назад +3

    Inanikumbusha mbali sana hii ngoma jamn enzi zetu zileeeee.ndo umemaliz Shule unanusurika kutoswa ndo unatuma kadedcation usiachwe.hahahahhahahahahaha

  • @majiduroki7998
    @majiduroki7998 4 года назад +4

    Good music haichoshi kusikiliza...

  • @kiningabinking1285
    @kiningabinking1285 5 лет назад +4

    Ngoma nzuri sana
    Utafikiri bado mpya
    Kumbe henzi hizoooo.....

  • @alexkyando3622
    @alexkyando3622 4 года назад +4

    2020 wapi chelea man msera naipenda hii ngoma kipindi hicho unampenda demu afu una kitu

  • @samwelamosmusambwa9302
    @samwelamosmusambwa9302 5 лет назад +13

    kama bado unaiskiliza 2019 like nkuone

  • @damasbenedict4246
    @damasbenedict4246 4 года назад +7

    kama unasikiliza 2020 gonga like

  • @manyamamohamed9937
    @manyamamohamed9937 3 года назад +2

    pale mwanaume unapopenda na hauna hela na dunia hii pesa ilivotawala mapenzi basi haka kawimbo kanafaa dedication kwa mchumba

  • @unduelohamisi7641
    @unduelohamisi7641 3 года назад +3

    Tukiwa Nduta Camp mwaka wa 2007 .

  • @h.mtanzania3329
    @h.mtanzania3329 3 года назад +3

    Mtanzania

  • @joelinko6632
    @joelinko6632 4 года назад +3

    Nimekuja hapa baada ya madee kuojiwa na kusema alikula elfu 80 ya kurecod ikabidi amwambie abdi bonge kua chelea man hajui ila mb dog anajua bas ndomana mb dog akatoboa jamaa yeye akapotea

  • @hassanmatekenya
    @hassanmatekenya 2 года назад +1

    Ebwana heee asee nakumbuka kitambo Sanaa je ww enzi izo ebu tukumbushe na yeyote unayo ijua

  • @emmanuelchacha6126
    @emmanuelchacha6126 3 года назад +2

    Nilikuwa form 4. Nakumbuka mbali kweli. Dahh

  • @isaiahdanieltz7405
    @isaiahdanieltz7405 5 лет назад +3

    October 2019,imenirudisha 2007!sitosahau yale maisha!

  • @yusuphsalim6469
    @yusuphsalim6469 6 лет назад +1

    Nwkubali!! Chelea man!! A boy from bongoflevan!! Dah so long time!! Namielewaga sana uyu jamaa

  • @daudisalum9574
    @daudisalum9574 Год назад

    Ngoma kali sana

  • @SelemaniLingamka
    @SelemaniLingamka 2 месяца назад

    Daaa!! Kitambo San nakumbka mwa 2007 wakati huo naanza mausiano na mam watot wng Siku ya kwanz yakukata utepe alafu dj ndo anagonga nyimbo hii eeh!alinikosha San dj kitambo icho

  • @paschalcleophace5677
    @paschalcleophace5677 2 года назад

    Enzi izo radio free Africa ndo radio kubwa na pendwa Tanzania nzima

  • @frankjohn4880
    @frankjohn4880 4 года назад +2

    2020 Mwezi wa 7 bado utamu wa big G haujaisha

  • @geffects1141
    @geffects1141 4 месяца назад

    It's 2024 . Days are flying 🎉🎉😢😢

  • @zanmedia5225
    @zanmedia5225 2 года назад +4

    2022 still naenjoy mziki mzuri

  • @ebbyramadhani
    @ebbyramadhani 4 года назад +3

    Nimekuja apa Baada ya kuona interview ya Madee
    Anasema jamaa alikula 80 ya ku Record
    Hakumgea madee hata dalla

    • @mrmartinipaul2464
      @mrmartinipaul2464  4 года назад

      😂😂😂😂duu kumbe umafi ulianza kitambo sana

    • @joelinko6632
      @joelinko6632 4 года назад

      Namimi pia angekua mbali sana kama madee asinge mbania

  • @salymaba238
    @salymaba238 4 года назад +3

    2020 tumeludi kuckiliza nyimbo tam

  • @menalikechildren8836
    @menalikechildren8836 9 месяцев назад

    When the songs truly sung by the truly talented singers unlike today we only support the singers who are supported by autotune

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 4 года назад +2

    Baada ya kukosa ladha kwenye mziki wa sasa wa kizazi kipya nimeamua nianze kuperuzi bongo flava ili nipate ile ladha kamili ya mziki. Am here 19 July 2020

  • @emmanuelchacha6126
    @emmanuelchacha6126 3 года назад +2

    2021 hiyo Baba

  • @hamzaselemani6148
    @hamzaselemani6148 4 года назад +5

    Mii msela 2020

  • @YukoMchawi
    @YukoMchawi 3 месяца назад

    Sio poa'' leo ninacho/ kesho sina

  • @mussamkali9926
    @mussamkali9926 Месяц назад

    Jamaa walikuwa wakali sn

  • @asteriahaule6380
    @asteriahaule6380 4 года назад +4

    2020 stl here

  • @bilikhamis8963
    @bilikhamis8963 3 года назад +2

    Kama unasikilza 2021 gong like

  • @mickyselemani8926
    @mickyselemani8926 5 лет назад +1

    Long Sana manyara sec Nilikua form two mto WA mbu ase noma nw ni2018

  • @francismillinga4591
    @francismillinga4591 2 года назад

    Ngoma inanikumbusha mbali sana 2007

  • @husseinkaoneka5834
    @husseinkaoneka5834 3 года назад +1

    2021 BADO NALIGONGA HILI GOMA DAH

  • @williammwajeka3347
    @williammwajeka3347 4 года назад +3

    Duuh, huu ndio ulikua Music wa kuish mda mref,

  • @GiftIddy-k2f
    @GiftIddy-k2f 2 месяца назад

    Hz ndio dedctn bwanaa ntaelewa tu unachofill juu yangu mwenyewe naingia line

  • @nelsonmbuta3801
    @nelsonmbuta3801 4 года назад +1

    2006 nakumbuka Show time RFA radio free Africa

  • @thelivingwelltv6399
    @thelivingwelltv6399 6 лет назад +3

    kitambo sanaaaaa but still my best love song

  • @blasskameta944
    @blasskameta944 5 лет назад +1

    Kaliii

  • @lawrencebundala5769
    @lawrencebundala5769 5 лет назад +2

    Jamaa wa kipindi cha nyuma walikua wanaimba bana

  • @herryzidadu7658
    @herryzidadu7658 6 лет назад +3

    Masela thumbs up

  • @abdulswamaduathumani2791
    @abdulswamaduathumani2791 4 года назад +3

    2020 Ila Pini kali kama limetoka jana

  • @mangarashid4736
    @mangarashid4736 5 лет назад +4

    Chelea man i remember my brother 2019

  • @KhalidHassan-qc5ri
    @KhalidHassan-qc5ri 3 месяца назад

    Ivi ilitoka mwaka gan

  • @karimwilsonnyigo7222
    @karimwilsonnyigo7222 5 лет назад +3

    nyimbo yangu ya miaka yote hadi mwisho wa huwahi wangu

  • @anethmbwile5555
    @anethmbwile5555 Год назад

    2023 still enjoying the banga😍😍

  • @ayoubkipipa14
    @ayoubkipipa14 6 лет назад +1

    Chele man Mzee wa mabibo pamoja Sana nwanangu

    • @ackshuba8679
      @ackshuba8679 3 года назад

      Aisee juzi tu tulikuwa wote hapa uwanja wa Makuburi.. ila ndio hivyo tena

  • @GeraldGspack
    @GeraldGspack 8 месяцев назад

    My favourite jam

  • @jamillahmnyaghatatt2368
    @jamillahmnyaghatatt2368 4 года назад +2

    2020/9/23 bado tunaangalia 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @geraldfelician1951
    @geraldfelician1951 5 лет назад +1

    La kitambo bt chelea man alijitahidi sana ndo maana mpka sasa goma liko poa

  • @msabestzedon7578
    @msabestzedon7578 5 лет назад +1

    Kitambo sana dah

  • @kamilusmgaya4806
    @kamilusmgaya4806 3 года назад +4

    My best song 2021

  • @karimhemed9261
    @karimhemed9261 5 лет назад

    Hii Nyimbo Nilikua Naitafuta Sana...

  • @Amaniantoni
    @Amaniantoni Год назад +1

    2023 usiniache bonge la song 1:12

  • @mchenjehusein5018
    @mchenjehusein5018 5 лет назад +4

    2007 nipo form 3 kitambo kidogo daah

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 4 месяца назад

    MUZIKI MZURI HUNA HISHI🔥🔥🔥🔥🔥💣🏌️🏌️

  • @geraldjohn9538
    @geraldjohn9538 4 года назад +1

    2020..mapenz yanateka duniaa.aisee

  • @thelivingwelltv6399
    @thelivingwelltv6399 4 года назад +1

    Nipo hapa 24/10/2020 hakika old is gold

  • @generalmwegama3384
    @generalmwegama3384 3 года назад +1

    21 December 2020 tuonane 2021

  • @GiftIddy-k2f
    @GiftIddy-k2f 2 месяца назад

    Jmn hizinyimbo na wasanii wakwapi jmn tz hii jmn tunavpaji

  • @ramakondo9892
    @ramakondo9892 6 лет назад +1

    daaaah hii ngoma hainitoki mpk Leo in short jamaa aliimba

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 4 года назад +3

    2020 let's go

  • @fatmahathman8120
    @fatmahathman8120 2 года назад

    2022 twende pamoja

  • @sadickmussa6609
    @sadickmussa6609 3 года назад +2

    *2021*

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 2 года назад

    Wonderful song 😅💞🙏🏼 How can sing like this Tanzania They sound of Africa Tanzania I love this ever 🎧🎶🎙️

  • @ignassindabaha1813
    @ignassindabaha1813 Месяц назад +1

    September 9 2024🎉🎉

  • @robertkizito8656
    @robertkizito8656 3 года назад +2

    2021 March

  • @kaobamaabel5561
    @kaobamaabel5561 5 лет назад +2

    Daaaaaaaah!! Jmn huyu mtu yuko wap game linamhitaj

  • @sortyrama6727
    @sortyrama6727 2 года назад

    zilipendwa nakumbuka mbali