DOSSA DUBE AJIFUNZE KWA ATEBA | SIWEZI KUSIFIA UONGO WANA YANGA BADO HATUNA RAHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 18

  • @EdsonJackson-nl2bn
    @EdsonJackson-nl2bn 44 минуты назад

    Timu yetu ipo vizuri sema tunacheza slow sana, tuzidishe Kasi ya mpira hata magori yataongezeka ya kushinda

  • @AbdulrahmanMakoye
    @AbdulrahmanMakoye 2 часа назад +1

    Huyu mwamba ukiacha ushabiki wa timu yake anaongea fact ktk football huyu nimwanamichezo he know football

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Час назад

    Kuhusu swala la Baleke mm mwenyewe nakuunga mkono Dube kasharidhika tayari.

  • @AllyKimeme
    @AllyKimeme 4 часа назад

    Kwasasa nakusikiliza unaogea ukweli amekupa somo mzee mtitu kwasasa uko vizuli tofauti na awali

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 2 часа назад +1

    Umeongea ukweli mtupu,ila huo ushindi pia kuna haja ya kujiuliza umemeshinda 4 dhidi ya nani na kwanini tunashinda nyingi pale tu mpinzani anapopewa nyekundu😢

  • @zainabsimbamtoro6790
    @zainabsimbamtoro6790 3 часа назад

    Lakini Mmejizowesha Vibaya siku mkikwama Mtajuta

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 2 часа назад

    Huyu naye anataka na yy awe kama Kisugu,mm nilishamgundua.

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Час назад

    Huyo ni lofa ateba ana magori mangapi? Ya ligi

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Час назад +1

    Yaani timu inashinda lakini unalalamika,je siku ikifungwa itakuwaje,watu kama hawa ndo wanaoharibu timu zao,na swala la kupumzishwa kwa mchezaji cyo kwamba ww ndo unayetoa ushauri kwa kocha,huo ni uongo.

    • @sakinasakina1286
      @sakinasakina1286 Час назад

      wew ndyo hujui mpira muelewe anasemaje bwege wew

  • @RudonongoR-ub9et
    @RudonongoR-ub9et 38 минут назад

    Sikuwahi kujua kama dosa anajuwa mpira

  • @mpindafamily1496
    @mpindafamily1496 3 часа назад

    goli 4 umecheza na timu gani? timu ndio imepanda daraja mwaka huu aina uzoefu

  • @vianerykapinga8038
    @vianerykapinga8038 3 часа назад

    We Dossa umeanza kuiga kwa GB64. Yanga ipo imara. Umeiponda sana yanga yetu.

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 4 часа назад

    Dissa achana na yanga yetu, kushinda kwao hautokani na kauli zako