Umeongea ukweli mtupu,ila huo ushindi pia kuna haja ya kujiuliza umemeshinda 4 dhidi ya nani na kwanini tunashinda nyingi pale tu mpinzani anapopewa nyekundu😢
Yaani timu inashinda lakini unalalamika,je siku ikifungwa itakuwaje,watu kama hawa ndo wanaoharibu timu zao,na swala la kupumzishwa kwa mchezaji cyo kwamba ww ndo unayetoa ushauri kwa kocha,huo ni uongo.
Timu yetu ipo vizuri sema tunacheza slow sana, tuzidishe Kasi ya mpira hata magori yataongezeka ya kushinda
Huyu mwamba ukiacha ushabiki wa timu yake anaongea fact ktk football huyu nimwanamichezo he know football
Kuhusu swala la Baleke mm mwenyewe nakuunga mkono Dube kasharidhika tayari.
Kwasasa nakusikiliza unaogea ukweli amekupa somo mzee mtitu kwasasa uko vizuli tofauti na awali
Umeongea ukweli mtupu,ila huo ushindi pia kuna haja ya kujiuliza umemeshinda 4 dhidi ya nani na kwanini tunashinda nyingi pale tu mpinzani anapopewa nyekundu😢
Ww ulikula ngapi na ukiwa full nondo.
Lakini Mmejizowesha Vibaya siku mkikwama Mtajuta
Huyu naye anataka na yy awe kama Kisugu,mm nilishamgundua.
Huyo ni lofa ateba ana magori mangapi? Ya ligi
Yaani timu inashinda lakini unalalamika,je siku ikifungwa itakuwaje,watu kama hawa ndo wanaoharibu timu zao,na swala la kupumzishwa kwa mchezaji cyo kwamba ww ndo unayetoa ushauri kwa kocha,huo ni uongo.
wew ndyo hujui mpira muelewe anasemaje bwege wew
Sikuwahi kujua kama dosa anajuwa mpira
goli 4 umecheza na timu gani? timu ndio imepanda daraja mwaka huu aina uzoefu
We Dossa umeanza kuiga kwa GB64. Yanga ipo imara. Umeiponda sana yanga yetu.
Kweli kabisa
Dissa achana na yanga yetu, kushinda kwao hautokani na kauli zako
Hata we sio yanga yako.
mitahira ya haitomuelew dosa