Waziri Kithure Kindiki awaonya maafisa wafisadi Nyayo House
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- Waziri wa usalama Profesa Kithure Kindiki amelaumu ufisadi kwa kucheleweshwa kutolewa kwa stakabadhi za usafiri katika jumba la Nyayo hapa Nairobi. Waziri Kindiki ameiambia kamati ya bunge kuhusu ustawi wa maeneo kuwa, Jumba la Nyayo, limekuwa jumba la uhalifu, akisema kuwa jumla ya pasipoti elfu 58 bado hazijatayarishwa
Good job mr. Kiture
Jomba kazi yako ngumu na inaonekana fagia hao wote matapel
We as the public are sick and tired of warnings and no accountability..people are corrupt as they know nothing will be done!
Thanks. This is the biggedt thing you hv done. Those pple are extremely corrupt. Clean them all from the cleaner to the ceo.
Fagia hao mabrocker wa nakuwanga njee ya nyayo house
Maumbwa sana!
Miaka tatu vetting stage?
Good job Mr. Kindiki
Good job for kindiki also registrar
Jameni watu wanaumia wenye waliaply kitambo bado
At least hii imefanya niitiwe yangu leo from March .Good job
Very true
Waah kutoka last year hadi sahii jameni
Sema nikuje na fangio
Mimi goodcunduct yangu ya mwezi waa march Hadi sai sijawai pata
Hongo. Tu
Even logbook collection in ntsa is a night mare,Id collection in huduma center in city square is another hell
Is CS immigration seeing the same thing?
CS KINDIKI PLEASE DO IT
TUMECHOKA KUHOJA, KILA SIKU KESHO
You should take immediately action sir hiyo office imeoza even us here in abroad kubadilisha passport ni shinda tupu yet other countries eg.. India Pakistan it's only days... ???🙄
Uuuuuuiiiii mungu wangu tusaidie, passport yangu now ni mwaka kisha bila kupata
Let him talk about good conduct I paid mine on paka Leo I have never seen it from May up to today
Also remember the good conduct officers, clean them too.
That is a saprano sound only.
Hata pombe wanamakiza na midomo tu. Mwa ma TV but ground ni bure. Tumechoka
Kenya bwoo corruption mnakataa kutoa passport since independence corruption corruption mara machine iko na shida bwoo k
I applied mine last year 2022 on January all in vain when l contact them all they say is on process at Nyayo house Nairobi
Unatuma onyoa ya nini ? Fire them clean ur house kindiki
My brother has had to pay someone 10k to get it and yet haijatoka bado.
Act and stop these stupid warnings, yangu nangojea tu bado itoke.
Corruption is very high, passport to be out 2 wks c enough.kuna those blockers watolewe hapo.
Wapigwe kalamu wote waende akalime mbaazi.
Hapo unaeza kuta officer kadha wanakufukuza huko inje
Huko ni pesa inaongea usipohongana utangojea passport hadi uchoke
Those people are extremely rich from the amount they request from poor Kenyans . The money they receive is much more than the salary they receive
Don't forget pale Hass Plaza kwa civil registration,,birth certificate ni sh1000
Someone paid 2k😢
Wafute wote...wakora hao
Awaonya.... awaonya.... awaonya... day in day out,month in month out,year in year out come on mehn.....
Hii ni joke honestly.
Watolewe wote hawa wtu wantreat wtu kma umbwa
Sabotaging gvt!!!!!