KUNA UMASKINI NA PEPO LA UMASKINI NA UNAWEZA KUWA TAJIRI NA UKAISHI KATIKATIK YA UMASKINI "PST MGOGO
HTML-код
- Опубликовано: 10 фев 2025
- Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
RUclips : Pastor Daniel Mgogo www.youtube.co....
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
Amen umenibariki mchungaji
Mchungaji napenda sana mahubiri yako yananijenga kweli.. barikiwa sana 🙏🙏 siku zote na mungu azidi kukupa nguvu na kibaki popote uendapo kwa ajili ya neno lake,,, Karibu Kenya feel free pst
Duh mchungaji kama uliona vile 🇹🇿
May the lord strengthen you
Mchungaji mungu awe nawe milele
MUNGU akutie nguvu mchungaji neema ya MUNGU naomba iendelee kuwa nawe amina.
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu,maneno unayo yasema ni yaukweli kabisaa.
Mimi ndiye kicaaa😂😂😂😂😂😂😂, maisha marefu baba mucungaji lovly from DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mungu akubarik na kukutunza. Uishi milele
Ni kweli Baba yangu MUNGU Akukumbatie uweze kutusaidia zaidi Baba
Maulana akutie nguvu mchungaji
Muchungaji , Mungu AKUBARIKI kabisa kwa mahubiri Yako zaidi yale ya Ku jijuwa n'a kujuwa kuishi n'a wengine.
Mungu akuzidishiye maisha marefu
Asante sana mchungaji kwa mafunzo
Pastor. For sure You were called
Hahshaahaaa! Big up sana pastor uko vizuri sana. Mungu akubariki.
Wajibu ni WANGU kuwa na amani na wote. Huu ujumbe nimeupata mia Kwa Mia.
Asante sana Mchungaji.
Zambia tunakupata poa.
Na hapo umesema ukweli kabisa. Juu, sisi tunaofikiria eti tu wazima,tunawezaje kweli kuchukua MFANO WA MUNGU ?
ASANTE SANA KWA UJUMBE HUU.
AMANI IDUMU KOTE KOTE ❤❤❤❤❤
Mungu akubariki sana baba mchungajiiii
Napenda mahubiri yako
Mungu akubariki mchungaji nakuskiza nikiwa saudi arabiaa napenda san mahubiri yananitengeneza kiimani
Amen Mgogo bali Tunaomba ikiweze kana tupe numberi yako yasimu tukitaka kukupigia iwe raisi
Hearing u from Kenya thika road..We umeitwa kweli,,Huna sarakasi kama hizi za Kenya..😅😅😅😂😂..
God bless you pastor you all advice me❤❤❤❤❤
Ahimidiwe mungu wetu aliyekuumba na kukuweka tanzania Kwan ni upendeleo mkubwa Sana kuwa na watumishi Wa mungu kama wewe
Nashukuru mchungaji kwaneno ili kuna sehemu ilinigusa merci beaucoup 🇨🇩
Wow mafudisho mazuri
Ameen mtumishi wa Mungu nimepata kitu ktk hutba yako hii nimejifunza kitu Allah Ibariq 🎉🎉🎉🎉🎉
😄😄😄 jamani MUNGU akuweke sana
Pasyy keep it up.. tuma no ya sadaka
Barikiwa sana mpendwa wetu
Mchungaji Mgogo hongera sana kwa mafundisho mazuri sana.Hakika kiumbe bin Adam ni pasua kichwa.
Amen....man of God,i m really blessed
Ubarikiwe mtumishi kwa neno zuri lenye mafundisho yenye kujenga
May God Bless you,l feel nourished by your preaching and teaching.
Mungu. Akubariki. Sana
Asante,
mungu akubariki mchungaji kunielimisha kiumbe hiki binadamu hakiko serious mungu nipe hekima
Muchungaji mungu akubariki sana nnile tu Sina uwezo wakukualika Kuja kwetu church ningekualika
Ubarikiwe
Mchungaji we ni ginious wa mafundisho hongera sna yaani unatudaidia sna ubarikiwe amina
Amen mutumishi
Mutumishi wa Mungu ubarikiwe sana,nayapenda sana mafundisho Yako.From🇧🇮
Hakika Baba najifunza mengi kutoka kwako natamani ningekualika kusema na familia yangujamani sjui nikupataje Baba tafathali
Mungu akubariki xaaaaaan mchungaji
Mtu wa mungu ubarikiwe nlikuuzia matunda kitengela mungu akuzidishie miaka
God bless your work
🇰🇪 hello any Kenya
Very nice dr😢
pastor unayo yasema ni kweli kabisa.
God be near you
Nitarekebisha yaani nimefurahi sanaaaa❤
Napenda sana mahubiri yako muchungaji.
Mungu akutie nguvu mchungaji
Maashaallah wewe ni zaydi ya mwalimuu Allah akubaariki mafunzo haya sio ya wakristotuu bali niyakila anyeitwa mtuu.....nashuku muhubirii kwaneno mujarrabu....nakushudia nikiwa dodoma ....
😂😂😂😂 nipe hela au naomba waaaaa kwnya never disappoint 😅😅😅
Yaani pastor kwakweli Mungu tu akutunze Kwa sababu unaongea kweli kabisa, unatuponya na mengi sana.
I love preaching of pst Daniel Mgogo❤
Hakika mwenyezi Mungu akulinde sana mchungaji
😂😂😂😂😂 aaa mtumishi GOD BLESS YOU...mimi kichaa wangu anasumbua sio mchezo
MUNGU. Akutie nguvu zaidi
Mungu azidi ku kubariki Mtumishi
Mungu awe pamoja nasi
MuNgu akubaliki pasta nipenambaliyako naminipasteur innocent
Amen mchunaji mungu akupaliki.
😂😂😂😂 mchugaji hapo sawa🎉🎉🎉
Ahsante kwaneno mungu akutie nguvu
Ukweli mtupu, Neno La Bwana Mungu lizidi kuhimidiwa milele
Pastor good job
Meeeen, ukweli pst
Amen 🙏
Areruya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Pastor be blzz I love the way you preach
Amen Amen Amen God bless you Pastor.
Nakupenda ❤❤❤ pastor wangu
Safi San
Kabisa mtumishi wa MUNGU!!
😂😂😂😂😂Amen Ubarikiwe Pastor Daniel
Na tanzania ville vile wanainchi woti (fanya fujo uone)
Ubarikiwe mchungaji
Amen barikiwa
😂😂😂😂😂 Amen mchungaji barikiwa sana
God bless you pastor amen
Mungu akutunze pastor
mchungaji katika maombi naumwa
Asante sana mchungaji ❤❤
Amen 🙏🏾 Pastor Daniel Mgogo
😂😂😂😂😂😂
Amen amen God bless you
🎉Amen
😊😊🤗🤗 amazing 👌
Pastor mugogo mungu akupe hekima nekipata namba ya simu natafurahi sana asante
Amen❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amei
Amen 🙏🏽
Âme amena amena😂😂😂❤❤
Amen 🙏🏻 😂😂😂😂sooo true 😢😢😢😢
Kweli amen amen amen 😂😂😂😂
Pastor Mgogo MUNGU AZIDI KUKUTUNZA mtumishi 😂😂😂😂
Kweli kabisa 🎉🎉🎉🎉
Word
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅😅😅nafarijika sana
Kweli mutumishi
AMEN