Huyu Trafiki hata akiwa yuko off yaani mtaani ni mtu poa sana. Tunampenda washikaji kwani tumejikuta ni rahisi hata kumuuliza masuala ya usalama barabarani na anakufafanulia vizuri kwa ukukupa Elimu ya kutosha. Kwa ufupi tu ni mtu wa watu hajioni kama Polisi wengine hasa vijana. Ipo siku nitamtafutia zawadi yeyote ile nimpatie moyo wangu uwe fresh. Pamoja sana Polisi wangu.
Kuna wanaotumia kazi zao kama fimbo kwawengine, kuna wanao tumia pia kazi zao kama fundisho jema naburadani, Mungu azid kukuweka kwenye kitengo chako maana hicho kitengo wengine nifimbo.
Atakua na mziki huyu anakula midundo,,,😁😁😁,,sasa kutana na yale matukunyema yanayodaiwa kodi ya nyumba utajuta kunua gari,,,utashangaa unaambiwa mbona hujaosha gari ili apate tu ata jero😂😂😂
Siyo kila kitu ufundishwe una jiongeza bwana wee,kwani ukiekewa chakula mpaka ushikwe mkono kuelekezwa kwa chakula???nooo una jiongeza,afande!!!well done.cha pa kazi tu!!!!🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Lengo la traffic light ni kuongoza vyombo usafiri barabarani pindi hayupo muongozaji ila pindi awapo basi yeye ndie anaefuatishwa kutoa muongozo Kwahiyo kesho langu hapo yupo sahihi akitimiza yake Nadhani nitakuwa nimekujibu
Huyu Trafiki hata akiwa yuko off yaani mtaani ni mtu poa sana. Tunampenda washikaji kwani tumejikuta ni rahisi hata kumuuliza masuala ya usalama barabarani na anakufafanulia vizuri kwa ukukupa Elimu ya kutosha. Kwa ufupi tu ni mtu wa watu hajioni kama Polisi wengine hasa vijana. Ipo siku nitamtafutia zawadi yeyote ile nimpatie moyo wangu uwe fresh. Pamoja sana Polisi wangu.
Yeah vizur saan ndiooo inavotakiwa
kabangi je vp hakamo kichwani kweli
Jambo la msingi ni Kuwa yuko very happy na anaipenda kazi yake.. very nice
ppppll
Hahahaaaa Safi Sana big up kaka Uko vizuri na Kazi zako
Upo poa sana kobelo mtoto wa Moro nakupongeza unaipenda kazi yako kuliko pesa
Kazi ikupe raha siyo karaha, anatendea haki nafasi ya wito wake. Mungu ambariki na wakubwa wake wampe nafasi ya mafunzo zaidi apande cheo.
Akakubari huyu trafic yupo vizuri na anapenda kazi Yake. Tena mcheshi.
Mashaallah trafik uko nambr one nakukubali allah akuzidishie kz yk
Ushampenda h o
Kama tupo ulaya kazi nzuri hiyo..
Safi sanaaaa.
😊😊😊😊😊😊😊
Whao! Mfanya kazi wa traffic guide bora😀😊
Huyu dogo anaipenda kazi yake na pia ni kijana mstaarabu haweki rushwa mbele kwenye kazi yake, always he puts a smile
Kuna wanaotumia kazi zao kama fimbo kwawengine, kuna wanao tumia pia kazi zao kama fundisho jema naburadani, Mungu azid kukuweka kwenye kitengo chako maana hicho kitengo wengine nifimbo.
Anaipenda kazi yake ana jielewa siyo wazee wa🔥fire
Wengine madereva presha inashuka apo maana ukimuona trafiki unafikilia faini tu mpaka sura inabadilika utafikiri gari si yako good job .
Good duty with good passion, duty goals😍😍😍😍😍😍
Working with passion.Which country is this?
@@jamesmuriithi9254 Tanzania, Dar, Mbezi beach area
Anaipe kazi yake safi sana
Saaaaaafi kabisa. Anafurahia kazi yake.
Afande yupo vinzur sana. Kamanda siro mpe cheo huyu askari. Anaipenda kazi yake
I like this style which this trafic uses cause he is very well in his duties
Luv this from🇰🇪🇰🇪
Anaipenda kazi yake Safi sana
Mbwembwe anazo lakini anafanya vizuri kazi yake hakuna msongamano
Aseee!! namemkubal uyu trafic anapenda kazi yake aletwa na msoma tufuri
Hapo lazima gari zitembee kwanza dereva anatakiwa kuwahi kumuona mwamba😂😂pili hakuna wasiwasi wa kupigwa bao la kisigino
Anaipenda kazi yake huyo. Siyo wale wanaosubiri kupata hela ya hongo ukikataa unapigwa faini.
Afande yupo vizuri sana kazi iyo ni ngumu
Anaipenda kazi yake sana kweli anafurahisha
Mashaallah
Maashallah maashallah
Anaipenda SANA kazi yake!!
safi sana bro bless
Nampenda sana huyu jaamaa good jobu
Traffic ote wangekuwa ivi ingekuwa raha san
Uko vizuri afande penda wewe sana
KUTANA NA YALE MENGINE HATA HAKUNA MVUA YANAKWAMBIA WASHA WEPA HAYA RUSHA MAJI HATAKAMA HAKUNA VUMBI,
😂😂😂😂😂😂mpaka kojo limenitoka aiseee hogera zake
🤣🤣🤣🤣🤣
Nikimkuta siku moja anapiga kazi nampa hela hadharani yuko poa sana na kazi yake
Good job,
Ukipenda kazi ni laha sana
Bil kaz utaishij mkuuuuu wang
Jamaaa Yuko vzr
😂😂😂😂😂nmempenda bureee,,,anaipenda kaz yake na hana makuu
Kuna mama mmoja ni traffic pia yuko vizur alinifurahisha sana
Gd sana
Hajaweka kamziki kweli
Atakua na mziki huyu anakula midundo,,,😁😁😁,,sasa kutana na yale matukunyema yanayodaiwa kodi ya nyumba utajuta kunua gari,,,utashangaa unaambiwa mbona hujaosha gari ili apate tu ata jero😂😂😂
Hatari sn.. yanasababishaga jum zisizo na faida
Huku ulaya gari ukitoka nayo barabaran chafu unakamatwa na fain juu
@@ebraniacosmosy2072 😂😂😂
@@zuhuramuhanga5400 😂😂,,,tupo bongo huku uchafu wa gari yako hautambuliwi na sheria
🤣🤣❤️🤣🤣eti apate ata jero
Anaelewa kazi yake, anaipenda pia yupo makini na anoondoa traffic jum
Nice 👍
5
Kutana natrafic wambeya duu nishida
Good
namkubali sana afande huyu, anafurahia kazi yake sana huku akitimiza wajibu.
Jamani ana muda gani barabarani hawazi kusababisha ajali jamani
Uyo askar namkubalu kwanz hapend kuweka folen balabalan
Babu Eddy wewe ni mwisho hizicomeddy zako ni kiboko
Nani kasema polisi wema wametoweka?.....mwangalienini huyu.
Hana wakuomba rushwa.
huyu hata akinipiga faini nampa naya chai🤪
@@rehemaibrahim8475 alikuwa anajuwa
Yupo vinzuri kwenye kazi yake
Just imagine ndio babako, uwiii!!! nachimba chini naingia nijifiche huko.
Sasa unataka asemwe kwamabaya anapokua kazini
@@kassimmussa7814 cjakuambia nataka nn, rudia tena kunisoma au omba msaada kwa jiran akusaidie ninacho maanisha hapo.
Nimemkubar sana
Ukikutana nawalee waliopelekwa kusoma kwa viboko kazi hawaipendi
Utajuta
Ananifurahisha mno mfanyakazibora huyu
aongezwe cheo huyo hawezi kusababisha ajali mana watu watakuwa wanamwangalia kwa makini
Sasa wakimwangalia si watagonga
Yuko poa sana maana ana furaha na kaz yake
Huyu ni msanii hajapata tu nafasi hiyo.
Aliyekuwa anarekodi tukio haogopi?
Aogope nini?
Yataka moyo kwakwelii 😂
Huyu jama noma tumupe lispect zake ila hayo maeneo sijaafahamu nisaidieni niwap
Mbezi beach karibu na kanisa la kkkt
Duh
Hatariii sana. Anaipenda kazi yake
HUYO CHA KWANZA ANAIPENDA KAZ YAKE PILI HAFIKIRI RUSHWA HUYO YEYE YUKO BUSY TU NA MAJUKUMU YAKE YA KAZ ANAEWAZA RUSHWA HAWEZ FANYA KAZ HIVYO.
Mwanza trafic akisimamisha canter nikm mligombana anakutisha ili akubambukizie kosa umpe chochote lazima unapoamsha gari wapewe vinginevyo makosa kuanzia matatu nk
Piga kaziiii
Sidhani kama alifundishwa hivo.
Siyo kila kitu ufundishwe una jiongeza bwana wee,kwani ukiekewa chakula mpaka ushikwe mkono kuelekezwa kwa chakula???nooo una jiongeza,afande!!!well done.cha pa kazi tu!!!!🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Anaipenda kazi yake
Kanikosha
Yuko WAP huyo tukafanye utalii
Mbezi shule
Hahahaha
Si zipo traffic light hapo? Anasimamisha magari wakati light ipo green
Lengo la traffic light ni kuongoza vyombo usafiri barabarani pindi hayupo muongozaji ila pindi awapo basi yeye ndie anaefuatishwa kutoa muongozo
Kwahiyo kesho langu hapo yupo sahihi akitimiza yake
Nadhani nitakuwa nimekujibu
Ndo kazi yake hiyo maana ukifanya kazi na burudani ni hishu tu.
😆😆😆😆😆😆
Hahahahan
Hamuwezi kuona kutokana na vituko vyake anaweza kusababisha ajali? Yaan madereva waache kuwa makini na barabara wawe wanamshangaa comedian huyo 😂😂😂
Acha husuda wewe.
Huyu Trafki hafai, Mbwe mbwe Barabarani haifai, Akumbuke sio mkeka huo, Ni Rami hiyo.
Ni Lami Sio Rami.
Nanikakwambia kwanza inasaidia huchoki rahatupu
@@Moresa196 kweli Ni Lami sio Rami.👏👏👏
Traffic comedy
Mwanasarakasi aliyebobea.Huyu anaweza kuungana na Churchill wa Kenya na kufanya kazi pamoja.Karibu Nairobi.
Komed pia si mojawapo ya ajira tu.
Mung amlaze mahala pema pepon
Kafariki