Trafiki Mwenye Maajabu na Mbwembwe Akionesha Uwezo Wa Aina ya Tofauti Na Manjonjo wakati akiongoza

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 114

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 3 года назад +10

    Huyu Trafiki hata akiwa yuko off yaani mtaani ni mtu poa sana. Tunampenda washikaji kwani tumejikuta ni rahisi hata kumuuliza masuala ya usalama barabarani na anakufafanulia vizuri kwa ukukupa Elimu ya kutosha. Kwa ufupi tu ni mtu wa watu hajioni kama Polisi wengine hasa vijana. Ipo siku nitamtafutia zawadi yeyote ile nimpatie moyo wangu uwe fresh. Pamoja sana Polisi wangu.

    • @zabroni3448
      @zabroni3448 2 года назад

      Yeah vizur saan ndiooo inavotakiwa

    • @samwelsimon7392
      @samwelsimon7392 Год назад

      kabangi je vp hakamo kichwani kweli

  • @rajabukimosa3377
    @rajabukimosa3377 3 года назад +7

    Jambo la msingi ni Kuwa yuko very happy na anaipenda kazi yake.. very nice

  • @francisanania1765
    @francisanania1765 3 года назад +5

    Hahahaaaa Safi Sana big up kaka Uko vizuri na Kazi zako

    • @hamisissa4459
      @hamisissa4459 2 года назад +1

      Upo poa sana kobelo mtoto wa Moro nakupongeza unaipenda kazi yako kuliko pesa

  • @josephkulija293
    @josephkulija293 Год назад

    Kazi ikupe raha siyo karaha, anatendea haki nafasi ya wito wake. Mungu ambariki na wakubwa wake wampe nafasi ya mafunzo zaidi apande cheo.

  • @ericamwakyokile5797
    @ericamwakyokile5797 Год назад

    Akakubari huyu trafic yupo vizuri na anapenda kazi Yake. Tena mcheshi.

  • @mariamhamisi598
    @mariamhamisi598 3 года назад +1

    Mashaallah trafik uko nambr one nakukubali allah akuzidishie kz yk

  • @consolathamsindai2620
    @consolathamsindai2620 3 года назад +2

    Kama tupo ulaya kazi nzuri hiyo..
    Safi sanaaaa.
    😊😊😊😊😊😊😊

  • @sophiakuyenga5391
    @sophiakuyenga5391 Год назад

    Whao! Mfanya kazi wa traffic guide bora😀😊

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 3 года назад

    Huyu dogo anaipenda kazi yake na pia ni kijana mstaarabu haweki rushwa mbele kwenye kazi yake, always he puts a smile

  • @mariamsulley5473
    @mariamsulley5473 3 года назад

    Kuna wanaotumia kazi zao kama fimbo kwawengine, kuna wanao tumia pia kazi zao kama fundisho jema naburadani, Mungu azid kukuweka kwenye kitengo chako maana hicho kitengo wengine nifimbo.

  • @antonjohn8865
    @antonjohn8865 3 года назад +1

    Anaipenda kazi yake ana jielewa siyo wazee wa🔥fire

  • @terrysakaji307
    @terrysakaji307 3 года назад +1

    Wengine madereva presha inashuka apo maana ukimuona trafiki unafikilia faini tu mpaka sura inabadilika utafikiri gari si yako good job .

  • @professormeshack
    @professormeshack 3 года назад +2

    Good duty with good passion, duty goals😍😍😍😍😍😍

  • @TatuNenga
    @TatuNenga Год назад

    Anaipe kazi yake safi sana

  • @gosbertrwezahura3645
    @gosbertrwezahura3645 Год назад

    Saaaaaafi kabisa. Anafurahia kazi yake.

  • @aloyceponela3249
    @aloyceponela3249 3 года назад +2

    Afande yupo vinzur sana. Kamanda siro mpe cheo huyu askari. Anaipenda kazi yake

  • @feyitotokhalid9111
    @feyitotokhalid9111 3 года назад

    I like this style which this trafic uses cause he is very well in his duties

  • @nyokskinyah8246
    @nyokskinyah8246 3 года назад

    Luv this from🇰🇪🇰🇪

  • @slicehamfrey3504
    @slicehamfrey3504 3 года назад +1

    Anaipenda kazi yake Safi sana

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 3 года назад +1

    Mbwembwe anazo lakini anafanya vizuri kazi yake hakuna msongamano

    • @sarangajohn9338
      @sarangajohn9338 Год назад

      Aseee!! namemkubal uyu trafic anapenda kazi yake aletwa na msoma tufuri

  • @stukiaally4690
    @stukiaally4690 Год назад

    Hapo lazima gari zitembee kwanza dereva anatakiwa kuwahi kumuona mwamba😂😂pili hakuna wasiwasi wa kupigwa bao la kisigino

  • @verdianabanabi5943
    @verdianabanabi5943 3 года назад +2

    Anaipenda kazi yake huyo. Siyo wale wanaosubiri kupata hela ya hongo ukikataa unapigwa faini.

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 3 года назад

    Afande yupo vizuri sana kazi iyo ni ngumu

  • @esterjohn7048
    @esterjohn7048 3 года назад

    Anaipenda kazi yake sana kweli anafurahisha

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 3 года назад

    Maashallah maashallah

  • @jaligawesa
    @jaligawesa 3 года назад +1

    Anaipenda SANA kazi yake!!

  • @barakamohamed821
    @barakamohamed821 3 года назад

    safi sana bro bless

  • @ladikessy763
    @ladikessy763 2 года назад

    Nampenda sana huyu jaamaa good jobu

  • @rosekusaga2037
    @rosekusaga2037 3 года назад +2

    Traffic ote wangekuwa ivi ingekuwa raha san

  • @carolinenjiro41
    @carolinenjiro41 3 года назад

    Uko vizuri afande penda wewe sana

  • @hichayasin7244
    @hichayasin7244 3 года назад +1

    KUTANA NA YALE MENGINE HATA HAKUNA MVUA YANAKWAMBIA WASHA WEPA HAYA RUSHA MAJI HATAKAMA HAKUNA VUMBI,

  • @hamzamalangu7486
    @hamzamalangu7486 3 года назад +1

    😂😂😂😂😂😂mpaka kojo limenitoka aiseee hogera zake

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 3 года назад +2

    Nikimkuta siku moja anapiga kazi nampa hela hadharani yuko poa sana na kazi yake

  • @mbarikiahamadjuma6824
    @mbarikiahamadjuma6824 3 года назад

    Good job,

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 3 года назад +1

    Ukipenda kazi ni laha sana

  • @saidmohammed6128
    @saidmohammed6128 2 года назад

    Jamaaa Yuko vzr

  • @aishaimam1442
    @aishaimam1442 3 года назад +1

    😂😂😂😂😂nmempenda bureee,,,anaipenda kaz yake na hana makuu

  • @dijahdecruz6132
    @dijahdecruz6132 Год назад

    Kuna mama mmoja ni traffic pia yuko vizur alinifurahisha sana

  • @noelmmari8570
    @noelmmari8570 3 года назад

    Gd sana

  • @eidallyeidally5093
    @eidallyeidally5093 3 года назад +2

    Hajaweka kamziki kweli

  • @vaghoghontweki9827
    @vaghoghontweki9827 3 года назад +1

    Atakua na mziki huyu anakula midundo,,,😁😁😁,,sasa kutana na yale matukunyema yanayodaiwa kodi ya nyumba utajuta kunua gari,,,utashangaa unaambiwa mbona hujaosha gari ili apate tu ata jero😂😂😂

    • @ebraniacosmosy2072
      @ebraniacosmosy2072 3 года назад

      Hatari sn.. yanasababishaga jum zisizo na faida

    • @zuhuramuhanga5400
      @zuhuramuhanga5400 3 года назад +1

      Huku ulaya gari ukitoka nayo barabaran chafu unakamatwa na fain juu

    • @vaghoghontweki9827
      @vaghoghontweki9827 3 года назад

      @@ebraniacosmosy2072 😂😂😂

    • @vaghoghontweki9827
      @vaghoghontweki9827 3 года назад

      @@zuhuramuhanga5400 😂😂,,,tupo bongo huku uchafu wa gari yako hautambuliwi na sheria

    • @eliudijastini645
      @eliudijastini645 3 года назад

      🤣🤣❤️🤣🤣eti apate ata jero

  • @mbarikiahamadjuma6824
    @mbarikiahamadjuma6824 3 года назад +1

    Anaelewa kazi yake, anaipenda pia yupo makini na anoondoa traffic jum

  • @dianajohn8520
    @dianajohn8520 3 года назад

    Nice 👍

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Год назад

    5

  • @JudoChaula
    @JudoChaula 6 месяцев назад

    Kutana natrafic wambeya duu nishida

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 3 года назад

    Good

  • @peninasangiwa7343
    @peninasangiwa7343 3 года назад

    namkubali sana afande huyu, anafurahia kazi yake sana huku akitimiza wajibu.

  • @leinaamos
    @leinaamos 3 года назад

    Jamani ana muda gani barabarani hawazi kusababisha ajali jamani

  • @princeshebykufikili6197
    @princeshebykufikili6197 3 года назад

    Uyo askar namkubalu kwanz hapend kuweka folen balabalan

  • @sabrinaseif8780
    @sabrinaseif8780 3 года назад

    Babu Eddy wewe ni mwisho hizicomeddy zako ni kiboko

  • @jamesmuriithi9254
    @jamesmuriithi9254 3 года назад

    Nani kasema polisi wema wametoweka?.....mwangalienini huyu.

  • @Nyalafu
    @Nyalafu Год назад

    Hana wakuomba rushwa.

  • @simonshija2476
    @simonshija2476 3 года назад +2

    huyu hata akinipiga faini nampa naya chai🤪

  • @fredtawete466
    @fredtawete466 3 года назад

    Yupo vinzuri kwenye kazi yake

  • @marrymenas
    @marrymenas 3 года назад

    Just imagine ndio babako, uwiii!!! nachimba chini naingia nijifiche huko.

    • @kassimmussa7814
      @kassimmussa7814 3 года назад

      Sasa unataka asemwe kwamabaya anapokua kazini

    • @marrymenas
      @marrymenas 3 года назад

      @@kassimmussa7814 cjakuambia nataka nn, rudia tena kunisoma au omba msaada kwa jiran akusaidie ninacho maanisha hapo.

  • @hidayaabdallah4349
    @hidayaabdallah4349 2 года назад

    Nimemkubar sana

  • @eidallyeidally5093
    @eidallyeidally5093 3 года назад

    Ukikutana nawalee waliopelekwa kusoma kwa viboko kazi hawaipendi
    Utajuta

  • @leahjohnsimba4088
    @leahjohnsimba4088 3 года назад

    Ananifurahisha mno mfanyakazibora huyu

  • @isdorypater436
    @isdorypater436 3 года назад

    aongezwe cheo huyo hawezi kusababisha ajali mana watu watakuwa wanamwangalia kwa makini

  • @georgemnana8429
    @georgemnana8429 Год назад

    Yuko poa sana maana ana furaha na kaz yake

  • @christinawallasch5228
    @christinawallasch5228 3 года назад

    Huyu ni msanii hajapata tu nafasi hiyo.

  • @davidnkongoki8679
    @davidnkongoki8679 3 года назад

    Aliyekuwa anarekodi tukio haogopi?

  • @eliudijastini645
    @eliudijastini645 3 года назад

    Yataka moyo kwakwelii 😂

  • @mubarajabu6422
    @mubarajabu6422 3 года назад

    Huyu jama noma tumupe lispect zake ila hayo maeneo sijaafahamu nisaidieni niwap

  • @mussahassan7787
    @mussahassan7787 3 года назад

    Duh

    • @athumanijuma3085
      @athumanijuma3085 3 года назад

      Hatariii sana. Anaipenda kazi yake

    • @mballaflorian6361
      @mballaflorian6361 3 года назад

      HUYO CHA KWANZA ANAIPENDA KAZ YAKE PILI HAFIKIRI RUSHWA HUYO YEYE YUKO BUSY TU NA MAJUKUMU YAKE YA KAZ ANAEWAZA RUSHWA HAWEZ FANYA KAZ HIVYO.

    • @ln3147
      @ln3147 3 года назад

      Mwanza trafic akisimamisha canter nikm mligombana anakutisha ili akubambukizie kosa umpe chochote lazima unapoamsha gari wapewe vinginevyo makosa kuanzia matatu nk

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 3 года назад

    Piga kaziiii

  • @aminially5123
    @aminially5123 3 года назад

    Sidhani kama alifundishwa hivo.

    • @maimunaabdalla7146
      @maimunaabdalla7146 3 года назад

      Siyo kila kitu ufundishwe una jiongeza bwana wee,kwani ukiekewa chakula mpaka ushikwe mkono kuelekezwa kwa chakula???nooo una jiongeza,afande!!!well done.cha pa kazi tu!!!!🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 3 года назад

    Anaipenda kazi yake

  • @kamikazejoseph8799
    @kamikazejoseph8799 3 года назад

    Kanikosha

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 3 года назад

    Yuko WAP huyo tukafanye utalii

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 3 года назад

    Hahahaha

  • @umsalim6515
    @umsalim6515 3 года назад

    Si zipo traffic light hapo? Anasimamisha magari wakati light ipo green

    • @godfreylucas2436
      @godfreylucas2436 3 года назад

      Lengo la traffic light ni kuongoza vyombo usafiri barabarani pindi hayupo muongozaji ila pindi awapo basi yeye ndie anaefuatishwa kutoa muongozo
      Kwahiyo kesho langu hapo yupo sahihi akitimiza yake
      Nadhani nitakuwa nimekujibu

    • @yusuphsege7495
      @yusuphsege7495 3 года назад

      Ndo kazi yake hiyo maana ukifanya kazi na burudani ni hishu tu.

  • @verdianabanabi5943
    @verdianabanabi5943 3 года назад

    😆😆😆😆😆😆

  • @hajiissa9200
    @hajiissa9200 3 года назад

    Hahahahan

  • @josephshirima9836
    @josephshirima9836 3 года назад

    Hamuwezi kuona kutokana na vituko vyake anaweza kusababisha ajali? Yaan madereva waache kuwa makini na barabara wawe wanamshangaa comedian huyo 😂😂😂

  • @samsonhaule3647
    @samsonhaule3647 3 года назад +1

    Huyu Trafki hafai, Mbwe mbwe Barabarani haifai, Akumbuke sio mkeka huo, Ni Rami hiyo.

    • @Moresa196
      @Moresa196 3 года назад +1

      Ni Lami Sio Rami.

    • @eliudijastini645
      @eliudijastini645 3 года назад

      Nanikakwambia kwanza inasaidia huchoki rahatupu

    • @samsonhaule3647
      @samsonhaule3647 3 года назад

      @@Moresa196 kweli Ni Lami sio Rami.👏👏👏

  • @wilsonmsenga6447
    @wilsonmsenga6447 3 года назад

    Traffic comedy

    • @jamesmuriithi9254
      @jamesmuriithi9254 3 года назад

      Mwanasarakasi aliyebobea.Huyu anaweza kuungana na Churchill wa Kenya na kufanya kazi pamoja.Karibu Nairobi.

    • @yusuphsege7495
      @yusuphsege7495 3 года назад

      Komed pia si mojawapo ya ajira tu.

  • @hamisitza5698
    @hamisitza5698 2 года назад

    Mung amlaze mahala pema pepon