Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Kazi nzuri ila ukiwa Mzee wa hovyo inakua nzuri zaidiiii 🎉🎉
You are always the best ila kule kwa mzee wa hovyo unafit zaid. FUKO LA NYANYA WEWE, KHARIBU WAHIDU. EH EHN EHN UNAIONAJE HIYO. BUTAGHA BUTAMWAMWA BUGALI BUTILIYA MAJI. MWALIMU KIJANA KWA.......KWA KWA RU KWA JWA KWA😂😂😂 The real HM
Ni vizuri kubadirika badirika kama unavyofanya so big up
Mzee naona unajaribu maana muda unaweka mchache sana
Anaitwa Abduli kichwa (Mzee wa hovyo big up sana umetishaa 💪💪🙏👍.
Hapa umeharibu sasa, ile unakaa mzee na kanzu yako na bag huwa ni smart sana rudi pale don't deviate bro,, from🇰🇪🇰🇪 ❤
Naipend Mzee wa ovyo sem na hi niunyama
Mzee wa hovyo mwenye tamaa mbna hujamalizaAlafu hii engo sio kabisa, kule kwa mzee wa hovyo umetupia kinoma
Kazi nzuri bro leteni episode inayofuata❤😁😁😁
Nàmbà mójà❤❤❤❤❤
Naipenda saaaaaana Tangu RD Congo 🇨🇩🇨🇩❤️❤️❤️🙏
Nimeipenda leteni mwendelezo
Nomaa sanaaa🎉🎉
ramsheffect nimependa sana
Nakbare mzee wa hovyo
Ata mimi napenda unavyo igiza ukiwa Mze harafu ukianza kuongea ..Mze wa...? ...kwa...? ...na...? Uwa unanitesa sanaaaa
Noma sanaaaa
Juma jichooo😅😅😅😅
😂😂😂 shenzi nn unataka ukapole pikipiki shenzi nn
safii kazi nzuri
Mzee wa hovyo tutolee video zenye uhusika wa mzee me npenda san uhusika uleee
Mimi niwamwisho nipeni lake hata mbili
head master ukiw mzee wa ovy nd inapendez iyo usilias mwing bwan leta caption y mzee wa ovy at hii ungevaa usik wa mzee wa ovyo
Oyaa juma jicho sheenz nini ww😅😅😅
Shenzi nn unataka kupola pkpk 😂😂😂
Juma jicho
Umehalibu Rudi kule kule
sana wanyoosh
Juma jicho kiatu kina uzito mpaka anashindwa kutembea
Namba 3⚡⚡⚡
😂😂😂😂
Nilikuw nimewamic kaz nzul
Muda uongezwe
Mbon haukukiss huyo dem Kam wahind nawe
Safi kijana
😂😂,,,
Ending of episode is nt good....try to make an ending should give people appetite of waiting for another episode
Kazi nzuri ila ukiwa Mzee wa hovyo inakua nzuri zaidiiii 🎉🎉
You are always the best ila kule kwa mzee wa hovyo unafit zaid. FUKO LA NYANYA WEWE, KHARIBU WAHIDU. EH EHN EHN UNAIONAJE HIYO. BUTAGHA BUTAMWAMWA BUGALI BUTILIYA MAJI. MWALIMU KIJANA KWA.......KWA KWA RU KWA JWA KWA😂😂😂 The real HM
Ni vizuri kubadirika badirika kama unavyofanya so big up
Mzee naona unajaribu maana muda unaweka mchache sana
Anaitwa Abduli kichwa (Mzee wa hovyo big up sana umetishaa 💪💪🙏👍.
Hapa umeharibu sasa, ile unakaa mzee na kanzu yako na bag huwa ni smart sana rudi pale don't deviate bro,, from🇰🇪🇰🇪 ❤
Naipend Mzee wa ovyo sem na hi niunyama
Mzee wa hovyo mwenye tamaa mbna hujamaliza
Alafu hii engo sio kabisa, kule kwa mzee wa hovyo umetupia kinoma
Kazi nzuri bro leteni episode inayofuata❤😁😁😁
Nàmbà mójà❤❤❤❤❤
Naipenda saaaaaana Tangu RD Congo 🇨🇩🇨🇩❤️❤️❤️🙏
Nimeipenda leteni mwendelezo
Nomaa sanaaa🎉🎉
ramsheffect nimependa sana
Nakbare mzee wa hovyo
Ata mimi napenda unavyo igiza ukiwa Mze harafu ukianza kuongea ..Mze wa...? ...kwa...? ...na...? Uwa unanitesa sanaaaa
Noma sanaaaa
Juma jichooo😅😅😅😅
😂😂😂 shenzi nn unataka ukapole pikipiki shenzi nn
safii kazi nzuri
Mzee wa hovyo tutolee video zenye uhusika wa mzee me npenda san uhusika uleee
Mimi niwamwisho nipeni lake hata mbili
head master ukiw mzee wa ovy nd inapendez iyo usilias mwing bwan leta caption y mzee wa ovy at hii ungevaa usik wa mzee wa ovyo
Oyaa juma jicho sheenz nini ww😅😅😅
Shenzi nn unataka kupola pkpk 😂😂😂
Juma jicho
Umehalibu Rudi kule kule
sana wanyoosh
Juma jicho kiatu kina uzito mpaka anashindwa kutembea
Namba 3⚡⚡⚡
😂😂😂😂
Nilikuw nimewamic kaz nzul
Muda uongezwe
Mbon haukukiss huyo dem Kam wahind nawe
Safi kijana
😂😂,,,
Ending of episode is nt good....try to make an ending should give people appetite of waiting for another episode