LECTURER WA HOVYO NO.1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 40

  • @NgongeJr
    @NgongeJr Год назад +5

    Kazi nzuri ila ukiwa Mzee wa hovyo inakua nzuri zaidiiii 🎉🎉

  • @deblacktz2981
    @deblacktz2981 Год назад +2

    You are always the best ila kule kwa mzee wa hovyo unafit zaid. FUKO LA NYANYA WEWE, KHARIBU WAHIDU. EH EHN EHN UNAIONAJE HIYO. BUTAGHA BUTAMWAMWA BUGALI BUTILIYA MAJI. MWALIMU KIJANA KWA.......KWA KWA RU KWA JWA KWA😂😂😂 The real HM

  • @alfredyfredrick8955
    @alfredyfredrick8955 Год назад +1

    Ni vizuri kubadirika badirika kama unavyofanya so big up

  • @Elishamalonga
    @Elishamalonga Год назад +2

    Mzee naona unajaribu maana muda unaweka mchache sana

  • @ahmedmohammed9394
    @ahmedmohammed9394 Год назад +3

    Anaitwa Abduli kichwa (Mzee wa hovyo big up sana umetishaa 💪💪🙏👍.

  • @kipkirui93
    @kipkirui93 Год назад +7

    Hapa umeharibu sasa, ile unakaa mzee na kanzu yako na bag huwa ni smart sana rudi pale don't deviate bro,, from🇰🇪🇰🇪 ❤

  • @ZackMiyaga
    @ZackMiyaga Год назад

    Naipend Mzee wa ovyo sem na hi niunyama

  • @josesombo186
    @josesombo186 Год назад

    Mzee wa hovyo mwenye tamaa mbna hujamaliza
    Alafu hii engo sio kabisa, kule kwa mzee wa hovyo umetupia kinoma

  • @EDGARKYATIKO
    @EDGARKYATIKO Год назад +1

    Kazi nzuri bro leteni episode inayofuata❤😁😁😁

  • @shoje920
    @shoje920 Год назад +5

    Nàmbà mójà❤❤❤❤❤

  • @SalumuWembo-fo5rr
    @SalumuWembo-fo5rr Год назад +2

    Naipenda saaaaaana Tangu RD Congo 🇨🇩🇨🇩❤️❤️❤️🙏

  • @KHALIFAMPYA-TV
    @KHALIFAMPYA-TV Год назад +3

    Nimeipenda leteni mwendelezo

  • @Alikibafanspage
    @Alikibafanspage Год назад +2

    Nomaa sanaaa🎉🎉

  • @Ramsh_mastory
    @Ramsh_mastory Год назад +2

    ramsheffect nimependa sana

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 Год назад

    Nakbare mzee wa hovyo

  • @rodriguevebernsabimana2275
    @rodriguevebernsabimana2275 Год назад

    Ata mimi napenda unavyo igiza ukiwa Mze harafu ukianza kuongea ..Mze wa...? ...kwa...? ...na...? Uwa unanitesa sanaaaa

  • @planetmusic_tz
    @planetmusic_tz Год назад

    Noma sanaaaa

  • @aronpaul2331
    @aronpaul2331 Год назад

    Juma jichooo😅😅😅😅

  • @ringstone5388
    @ringstone5388 Год назад +1

    😂😂😂 shenzi nn unataka ukapole pikipiki shenzi nn

  • @Cheusi01
    @Cheusi01 Год назад

    safii kazi nzuri

  • @HdkingTz
    @HdkingTz Год назад

    Mzee wa hovyo tutolee video zenye uhusika wa mzee me npenda san uhusika uleee

  • @RajabuJuma-j6k
    @RajabuJuma-j6k Год назад

    Mimi niwamwisho nipeni lake hata mbili

  • @EmilyKiomela-on7hn
    @EmilyKiomela-on7hn Год назад

    head master ukiw mzee wa ovy nd inapendez iyo usilias mwing bwan leta caption y mzee wa ovy at hii ungevaa usik wa mzee wa ovyo

  • @jayfadhil8404
    @jayfadhil8404 3 месяца назад

    Oyaa juma jicho sheenz nini ww😅😅😅

  • @gervasmalimi5126
    @gervasmalimi5126 Год назад

    Shenzi nn unataka kupola pkpk 😂😂😂

  • @gelardbalalu9119
    @gelardbalalu9119 Год назад

    Juma jicho

  • @kangaelias7782
    @kangaelias7782 Год назад

    Umehalibu Rudi kule kule

  • @NicolausKitulusa
    @NicolausKitulusa Год назад

    sana wanyoosh

  • @SINTACLEMENSBYABATO
    @SINTACLEMENSBYABATO Год назад

    Juma jicho kiatu kina uzito mpaka anashindwa kutembea

  • @wazirissa6367
    @wazirissa6367 Год назад

    Namba 3⚡⚡⚡

  • @JninjaH2R
    @JninjaH2R 7 месяцев назад

    😂😂😂😂

  • @Ibrahim-me6cd
    @Ibrahim-me6cd Год назад

    Nilikuw nimewamic kaz nzul

  • @pascalkawonga2189
    @pascalkawonga2189 Год назад

    Muda uongezwe

  • @DickisonJames
    @DickisonJames Год назад

    Mbon haukukiss huyo dem Kam wahind nawe

  • @kingtark406
    @kingtark406 Год назад

    Safi kijana

  • @kimanziwambua1237
    @kimanziwambua1237 Год назад

    😂😂,,,

  • @NatureMw155
    @NatureMw155 Год назад

    Ending of episode is nt good....try to make an ending should give people appetite of waiting for another episode