Samahani! Nawasalimia na nonawapongeza sana kwa kazi za maendeleo mnazofanya. Tena ningetaka munieleze: munaweza mukanijulisha ughali wa eneo (surface) inaohitajika kwa kufuga kuku za kutaga ( yani layers), mtu akiwa anatumia hizo local cages? (kutoka Burundi)
Samahani! Nawasalimia na nonawapongeza sana kwa kazi za maendeleo mnazofanya. Tena ningetaka munieleze: munaweza mukanijulisha ughali wa eneo (surface) inaohitajika kwa kufuga kuku za kutaga ( yani layers), mtu akiwa anatumia hizo local cages?
(kutoka Burundi)
Karibu sana kutoka Burudi, wasiliana nasi kwa Whatsap kupitia namba hii: +255654737373.
@@charityfarm1226 ukubwa wa banda ni mita ngapi kwa ngapi
Ulizia kwa namba hii: 0654737373
@@kingiagritech_ltdnp
.
Am asking can't those bakers put black soldier flies eggs & we get maggots for other feeds Entebbe
mbona kama banda dogo kuku wengi naona wanasubiriana kula chakula
Watching from kenya
You're welcome we operate within east africa with high quality service with competitive price
Poa Asante Niko na nyinyi Entebbe
Daah nmependa hiyo kaz yaufugaji wa kuku brother
karibu sana +255 654 737 373
Nimependa hii.nakihitaji banda km hilo.. yani yenye cage hizo
Wasiliana nasi tukujulishe zaidi juu ya ufugaji wa kutumia cage
Nice project
Nimelipenda sana hilo banda siku MOJA namm ntataka mnijengee
Kalibuu sana tufuge kibiashara
Mko vizur
I like this station very much
Your most welcome
Mimi nataka banda la kuku wa kienyeji
Sawa, tuwasiliane: 0654737373
Mnamsaidiaje mfungaji upande wa masoko?
Good job . We can partner with you in kenya you train me on making them here in kenya.
Yes we can. contact me on whatsap no +255654737373.
I like that one cages
We can design and build one for you with lower cost, at uganda
Mnapatikana wap?
Tunapatikana msigani center dar es salaam
Kwa mawasiliano zaidi 0654737373
🔥🔥🔥
Kuku hana uhuru hata wa kugeuka loh..
Haki za viumbe wengine mmezikiuka
Sawa
Vyema sana
Asati sana Mungu akubari sana
Aminaa
I'm in Uganda
Your welcome, to charity farm where here to help
unaweza kunifanyia kazi hiyo hapo kenya
Ndiyo, nitafute whatsapp: +255624015376
Kwalaaaa san
Ya kuku 160 ni shilingi ngapi?
Ungependa tututengenezee ya mbao au ya chuma
Mqqnq garama zinabadilika , 0654737373 tuzungumze zaidi
Natak nihudhurie semina zenu, nafanyaje?
Uko wp
Wasiliana kwa no hii; 0654737373
Aise kuku wame banana si kawaida. Apana, sikupendelea ninacho kiona.
Sawa
Mnauzaje cage za vifaranga?
Tupigie kwa namba hii: 0654737373
Muna patikana mkoa gani?
Nchi nzima
Ninawapataje
+255 654737373
Mm npo kerege kwa manofu pia nataman kuwatembelea nijfunze zaid
Kalibu sana tunapatikana msigiani center, madale pia unaweza kuwasiliana nasi 0654737373
Nimependa muongozo wenu tafadhal namb za wasup zipi
Karibu sana namba zetu ni zifwatazo 0654737373
Samahani mwenye uzoefu,. Kuku kuharisha kinyesi chenye maji zaidi ya asilimia 60 ya kinyesi chake, shida Ni Nini? Na tiba inaweza kua Nini?
Wasiliana nasi Whatsap +255 654 737 373 AU +255 624 015 376, tutakufikia
MWanza mko wapi
Tupigie: 0654737373
Naomba namba zenu
0654737373
Naitaji kujifunza
Karibu 0654737373
Banda hilooo linaukubwa wa mita ngapi??urefu,ubana na kimo???
Tupigie: 0654737373
Naomba kujua gharama zalocal cage ya kuku 2000 nipo njombe
Karibu, tupigie kwa mawasiliano zaidi: 0654737373
Na je hayo mayai yanafikaje hapo pakuokotea??
Karibu piga simu namba: +255 654 737 373
Nawapateje nipo Simiyu
Tupigie: 0624015376
Napata he AUT nioles za maji ?
Piga hii namba utahudumiwa +255 654 737 373
are u in Kenya?
We provide services in every country in East Africa, so we can provide services in Kenya, take our contact so we can make arrangements +255 654 737373
Hawa jamaa Wana Bei halafu kuwapata ni shida nilipiga simu sikupata ushirikiano kabisa ikabidi niahirishe project ya ufugaji
Piga tena utapewa ushirikiano
Cage ya kuku 160 Ni tsh ngapi??
Tuwasiliane: 0654737373
Sasa kuku Wana seems maalum ya kutagia mayai?
Ndyo
Na takamatsu kutoka Kenya, je muna offisi Kenya.
Kwa kipindi hiki hatuna ofisi Kenya, lakini tunaweza kufanya site visit Ndani na nje ya Tanzania, Kenya ikiwepo kwa garama nafuu sana
Unaweza kuwasiliana nasi 0654737373 ,
Banda la keki la kuku elfu 1000 linaggalimu shingapi hadi kukamilika
Wasiliana nasi: 0654737373
Vp kuku wakitaka kulalia mayai??? Hasa maeneo yasiyokua na umeme utakaosaidia kutotolesha
Ni rahisi sana, tunajenga kwa mfumo ambao hata kama unataka kuku wako wakutotoleshe wenyewe, inawezekana bila tatizo: Wasiliana nasi: +255 654 737 373
Naitaji cage kama hii hii naomba nibox nipate kujua garama
Sawa, tupigie kwa namba hii: 0654737373
Kama mnataka kuinua watu wekeni namba za simu za watu wenye Nia nzuri sio mtu anaringa Kama unamuomba pepo kumbe ufugaji wa kuku
Sawasawa, tuwasiliane: 0654737373
Banda la kuku 2000 garama nipo mkuranga
Piga simu no: 0624015376
Ufanisi WA haya mabanda uko je
Yako vizuri
Naitaj cage
TUPIGIE +255 654 737 373
@@charityfarm1226 Lina ukubwa Gani Hilo Banda?
Tupigie simu kwa hiyo namba hapo juu
Naomba bajeti ya banda la mita kumi kwa tano kukiwa na kila kitu
Piga simu no, 0624015376
Piga simu no, 0624015376
Material Kama yangu ufundi mutanitoza TSH ngapi kwa Banda la kuku 1500 layer????
Tupigie: 0654737373
Asante kwa ujuzi, nawapataje jamani
Wasiliana nasi 0654737373
Jambo ndugu nahitaji uniweke kwenye group WhatsApp mana Siku za usoni naenda kuanza Safari ya ufugaji wa kuku ni Fabien from Bukavu drc
Nitumie sms whatsap: +255624015376
namba zenu hampokei nyingine anapokea mtu mwingine sio ya hapo kwenu
Ni hapo piga hii: 0654737373.
Hii namba ipo WhatsApp?
Ndiyoo
Naomba number za what'sapp
Sawa
0654737373