BANDA BORA LA KUKU 1500 KEREGE BAGAMOYO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #BandaBora
    #KeregeBagamoyo
    #LocalCagesZaKisasa
    #cages
    #kuku
    #ujenzi
    #ushauri
    #vifaranga
    #JonathanKalokola
    #CharityFarm
    #2022

Комментарии • 121

  • @a.celestinnimubona5298
    @a.celestinnimubona5298 2 года назад +1

    Samahani! Nawasalimia na nonawapongeza sana kwa kazi za maendeleo mnazofanya. Tena ningetaka munieleze: munaweza mukanijulisha ughali wa eneo (surface) inaohitajika kwa kufuga kuku za kutaga ( yani layers), mtu akiwa anatumia hizo local cages?
    (kutoka Burundi)

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  2 года назад +2

      Karibu sana kutoka Burudi, wasiliana nasi kwa Whatsap kupitia namba hii: +255654737373.

    • @kingiagritech_ltd
      @kingiagritech_ltd Год назад +1

      @@charityfarm1226 ukubwa wa banda ni mita ngapi kwa ngapi

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  Год назад

      Ulizia kwa namba hii: 0654737373

    • @eunicemoyo8894
      @eunicemoyo8894 Год назад

      ​@@kingiagritech_ltdnp
      .

    • @johnboscobiguli7692
      @johnboscobiguli7692 10 месяцев назад

      Am asking can't those bakers put black soldier flies eggs & we get maggots for other feeds Entebbe

  • @chausikukahitila
    @chausikukahitila 4 месяца назад +3

    mbona kama banda dogo kuku wengi naona wanasubiriana kula chakula

  • @MercyJepchumba-mn4tn
    @MercyJepchumba-mn4tn 11 месяцев назад +1

    Watching from kenya

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  11 месяцев назад +1

      You're welcome we operate within east africa with high quality service with competitive price

  • @johnboscobiguli7692
    @johnboscobiguli7692 10 месяцев назад +1

    Poa Asante Niko na nyinyi Entebbe

  • @saymonikahema2094
    @saymonikahema2094 Год назад +1

    Daah nmependa hiyo kaz yaufugaji wa kuku brother

  • @mwajumaabeidy8137
    @mwajumaabeidy8137 4 месяца назад

    Nimependa hii.nakihitaji banda km hilo.. yani yenye cage hizo

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  3 месяца назад

      Wasiliana nasi tukujulishe zaidi juu ya ufugaji wa kutumia cage

  • @emmanuelsamwel6151
    @emmanuelsamwel6151 2 месяца назад

    Nice project

  • @tegemeaamony8204
    @tegemeaamony8204 8 месяцев назад

    Nimelipenda sana hilo banda siku MOJA namm ntataka mnijengee

  • @EmanueliThadei
    @EmanueliThadei 6 месяцев назад +1

    Mko vizur

  • @josephndibanje2837
    @josephndibanje2837 2 года назад

    I like this station very much

  • @fidesbernard4835
    @fidesbernard4835 2 года назад

    Mimi nataka banda la kuku wa kienyeji

  • @GraceKitambi
    @GraceKitambi 6 месяцев назад

    Mnamsaidiaje mfungaji upande wa masoko?

  • @JJ-hw8ob
    @JJ-hw8ob Год назад +2

    Good job . We can partner with you in kenya you train me on making them here in kenya.

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  Год назад

      Yes we can. contact me on whatsap no +255654737373.

  • @globalinternationaltvonlin692
    @globalinternationaltvonlin692 9 месяцев назад

    I like that one cages

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  9 месяцев назад

      We can design and build one for you with lower cost, at uganda

  • @abdulrahmanmandandu8519
    @abdulrahmanmandandu8519 7 месяцев назад

    Mnapatikana wap?

  • @LearnOutofSchool
    @LearnOutofSchool 2 года назад +1

    🔥🔥🔥

  • @nekashash2190
    @nekashash2190 2 года назад +2

    Kuku hana uhuru hata wa kugeuka loh..
    Haki za viumbe wengine mmezikiuka

  • @niyonzimadavid1966
    @niyonzimadavid1966 Год назад

    Vyema sana

  • @kapingatshiasuma5647
    @kapingatshiasuma5647 Год назад

    Asati sana Mungu akubari sana

  • @globalinternationaltvonlin692
    @globalinternationaltvonlin692 9 месяцев назад

    I'm in Uganda

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  8 месяцев назад

      Your welcome, to charity farm where here to help

  • @s.koileken369
    @s.koileken369 Год назад

    unaweza kunifanyia kazi hiyo hapo kenya

  • @jovinusjohn7416
    @jovinusjohn7416 2 года назад

    Kwalaaaa san

  • @suzysoraelw2062
    @suzysoraelw2062 2 месяца назад

    Ya kuku 160 ni shilingi ngapi?

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  2 месяца назад

      Ungependa tututengenezee ya mbao au ya chuma

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  2 месяца назад

      Mqqnq garama zinabadilika , 0654737373 tuzungumze zaidi

  • @swafaayahya5389
    @swafaayahya5389 2 года назад

    Natak nihudhurie semina zenu, nafanyaje?

  • @akeem1221
    @akeem1221 2 года назад +1

    Aise kuku wame banana si kawaida. Apana, sikupendelea ninacho kiona.

  • @upendosimon3525
    @upendosimon3525 2 года назад

    Mnauzaje cage za vifaranga?

  • @mmungamleci4876
    @mmungamleci4876 2 года назад

    Muna patikana mkoa gani?

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 3 месяца назад

    Ninawapataje

  • @sokastreet
    @sokastreet 6 месяцев назад

    Mm npo kerege kwa manofu pia nataman kuwatembelea nijfunze zaid

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  6 месяцев назад

      Kalibu sana tunapatikana msigiani center, madale pia unaweza kuwasiliana nasi 0654737373

  • @mamalaocruz9616
    @mamalaocruz9616 Год назад +1

    Nimependa muongozo wenu tafadhal namb za wasup zipi

  • @amrytweve1998
    @amrytweve1998 Год назад

    Samahani mwenye uzoefu,. Kuku kuharisha kinyesi chenye maji zaidi ya asilimia 60 ya kinyesi chake, shida Ni Nini? Na tiba inaweza kua Nini?

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  Год назад

      Wasiliana nasi Whatsap +255 654 737 373 AU +255 624 015 376, tutakufikia

  • @jantawakitaatv4534
    @jantawakitaatv4534 2 года назад

    MWanza mko wapi

  • @thereziaaloyce3430
    @thereziaaloyce3430 7 месяцев назад

    Naomba namba zenu

  • @elizabethringo7154
    @elizabethringo7154 2 года назад

    Naitaji kujifunza

  • @ismailomary6626
    @ismailomary6626 2 года назад

    Banda hilooo linaukubwa wa mita ngapi??urefu,ubana na kimo???

  • @onesmomgaya2541
    @onesmomgaya2541 2 года назад +1

    Naomba kujua gharama zalocal cage ya kuku 2000 nipo njombe

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  2 года назад

      Karibu, tupigie kwa mawasiliano zaidi: 0654737373

  • @floridakubila3008
    @floridakubila3008 2 года назад

    Na je hayo mayai yanafikaje hapo pakuokotea??

  • @yohanaedward3055
    @yohanaedward3055 Год назад

    Nawapateje nipo Simiyu

  • @juliuschagama7304
    @juliuschagama7304 2 года назад

    Napata he AUT nioles za maji ?

  • @jamesmwau512
    @jamesmwau512 8 месяцев назад

    are u in Kenya?

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  8 месяцев назад

      We provide services in every country in East Africa, so we can provide services in Kenya, take our contact so we can make arrangements +255 654 737373

  • @salumkhamis7818
    @salumkhamis7818 2 года назад

    Hawa jamaa Wana Bei halafu kuwapata ni shida nilipiga simu sikupata ushirikiano kabisa ikabidi niahirishe project ya ufugaji

  • @ismailomary6626
    @ismailomary6626 2 года назад

    Cage ya kuku 160 Ni tsh ngapi??

  • @Nyamunyura-no4up
    @Nyamunyura-no4up 11 месяцев назад

    Sasa kuku Wana seems maalum ya kutagia mayai?

  • @RevJosphatWahinya
    @RevJosphatWahinya 10 месяцев назад

    Na takamatsu kutoka Kenya, je muna offisi Kenya.

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  10 месяцев назад

      Kwa kipindi hiki hatuna ofisi Kenya, lakini tunaweza kufanya site visit Ndani na nje ya Tanzania, Kenya ikiwepo kwa garama nafuu sana

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  10 месяцев назад

      Unaweza kuwasiliana nasi 0654737373 ,

  • @michaeljanuary3736
    @michaeljanuary3736 2 года назад

    Banda la keki la kuku elfu 1000 linaggalimu shingapi hadi kukamilika

  • @floridakubila3008
    @floridakubila3008 2 года назад

    Vp kuku wakitaka kulalia mayai??? Hasa maeneo yasiyokua na umeme utakaosaidia kutotolesha

    • @charityfarm1226
      @charityfarm1226  2 года назад

      Ni rahisi sana, tunajenga kwa mfumo ambao hata kama unataka kuku wako wakutotoleshe wenyewe, inawezekana bila tatizo: Wasiliana nasi: +255 654 737 373

  • @oss6689
    @oss6689 2 года назад

    Naitaji cage kama hii hii naomba nibox nipate kujua garama

  • @salumkhamis7818
    @salumkhamis7818 2 года назад

    Kama mnataka kuinua watu wekeni namba za simu za watu wenye Nia nzuri sio mtu anaringa Kama unamuomba pepo kumbe ufugaji wa kuku

  • @StratonKimaro
    @StratonKimaro Год назад

    Banda la kuku 2000 garama nipo mkuranga

  • @edgartemu8299
    @edgartemu8299 2 года назад

    Ufanisi WA haya mabanda uko je

  • @marikimilton8789
    @marikimilton8789 2 года назад

    Naitaj cage

  • @juliusappornaly215
    @juliusappornaly215 Год назад

    Naomba bajeti ya banda la mita kumi kwa tano kukiwa na kila kitu

  • @ismailomary6626
    @ismailomary6626 2 года назад

    Material Kama yangu ufundi mutanitoza TSH ngapi kwa Banda la kuku 1500 layer????

  • @StephenKalenzi-fg3km
    @StephenKalenzi-fg3km 7 месяцев назад

    Asante kwa ujuzi, nawapataje jamani

  • @aganzemulolo9653
    @aganzemulolo9653 Год назад

    Jambo ndugu nahitaji uniweke kwenye group WhatsApp mana Siku za usoni naenda kuanza Safari ya ufugaji wa kuku ni Fabien from Bukavu drc

  • @ibrahimismail3800
    @ibrahimismail3800 2 года назад

    namba zenu hampokei nyingine anapokea mtu mwingine sio ya hapo kwenu

  • @mwanaidimuhindi6671
    @mwanaidimuhindi6671 2 года назад

    Hii namba ipo WhatsApp?

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 2 года назад

    Naomba number za what'sapp