BARAZA LA WAZEE YANGA LAVUNJA UKIMYA/ MAGOMA SI SHABIKI HALALI/ HAKUSHTAKI WADHAMINI/KAMSHTAKI NANI?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 8

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl Месяц назад

    Asante. Mzee. Musumi. Kama. Ni. Hivyo. Basi. Wazee. Ninyi. Nendeni. Mahakamani. Mukamukane. Kama. Hamumutambui.

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Месяц назад

      Waende mahakamani kumkana? Hiyo sio kazi yao! Ni kazi ya magoma kudhibitisha uanachama wake kwa kati ya sasa hivi! Kama HUJALIPIA kadi kwa miezi 6 wewe sio mwanachama!

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 Месяц назад +2

    Hakuna mgogoro wa mpira unaamuliwa katk mahakama za kiraia, elewa Kanuni za FIFA!

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 Месяц назад +1

    Shida yetu tunaibeza hoja yake lakini mimi naona tunamkosea. Tuitafakali hoja yake kama ina mashiko au la!
    Ngoja mahakama itoe tafsiri ya hayo mapungufu

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Месяц назад

      Kwani hapa wanaelezea nini? Ndo kujibu hoja! Watu wengi mnafikiri hukumu ya hakimu ndo mwisho wa yote! Mtu anaweza kuhukumiwa kaua mtu wakati hajaua! Na akakata rufaa akawa huru! Kwa mfano huyu magoma kikatiba sio mwana chama,uanachama wake ulikoma 4yrs ago! Ana uhalali gani kuishtaki klabu( wadhamini wanachaguliwa ) kagushi nyaraka! Tayari hiyo ni kesi ya jinai! So,sio kila hukumu ni sahihi ndo maana Yanga imekata rufaa! Hivi ndivyo mnavyo nyimwa haki zenu mahakama kwa kutojua sheria za haki zenu! Huyu mzee hajaenda shule,kuna watu nyuma yake wanatumia maskini! Subiri utaona kitakachotokea! Hakimu mwenyewe pia keshaanza kutiliwa mashaka! Zama hizi sio za 47

  • @deborakimonga1440
    @deborakimonga1440 Месяц назад

    Mzee ana kitu atafika mbali

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 Месяц назад

    Mzee,wewe unasema hoja ya magoma si ya wazee wa yanga ni kweli . Yeye ni mzee wa yanga. Twende mahakamani kutatua hiyo sintofahamu

    • @laurentshedrack4256
      @laurentshedrack4256 Месяц назад +1

      Wee nae bwege tu ety 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
      Nina mashaka na akili yako