OHOO! BOMU JIPYA LINASUKWA HAPA | TAZAMA KOCHA FADLU AKIWA MAZOEZINI NA KIKOSI SIKU YA KWANZA
HTML-код
- Опубликовано: 10 июл 2024
- SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App Store - apps.apple.com/tz/app/simba-s...
📱 Play Store - play.google.com/store/apps/de...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC RUclips Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi Спорт
Kama kwl ww nimshabiki kindakindaki wa Simba naomba like zako apa
Likes zinakusaidia nini
Kama unaimani na kocha gonga like hapo
Nakubali nakubali coch
Immani ipo
Nyoko nyoko gonga like hapa Fara wewe
@@timothnakiz-zb4rz 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu awalinde na AWATETEE akawape maarifa na uelewa pindi kocha akiwafundisha🙏🏽🙇🤲
Ya Allah tulindie wachezaji wetu kwa mabaya yote yatakayo pita mbele yao🤲
Aamiin Yaa Rabb ❤❤❤
Amen
Simba nguvu moja 💪💪
Aamiin
@@SalumHaji-dn3vl
Biidhiin LLAH
🔥🔥🔥🦁🦁🦁💪💪💪
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Wana simba gonga like hapa❤
Kwa alieona ukubwa wa Simba gonga like apo
Nguvu Moja ngoja tuone msimu ukianza maana Simba yangu naipenda sana
Safii saana Team yangu.. Next season tusipoe tusiboe
Nimeamin wachezaji wengi wa nchi hi wanafeli kwasababu ya lugha sometimes
Karibu wote tu wanamuziki,bongo movi,comedian,lugha iawaangusha sana,wangekuwa mbali zaidi ya walipo sasa,elimu dunia sasa asilimia 90,hawana kitu,empty😢
My one and only club in this universe
Kila la khery mnyama Simba sports club ktk maandalizi Amiinna Rabillah Allah miinnah 🤲
Nguvu Moja❤️🔥
Mungu awalinde ❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ moto utawaka kwa mkapa kila mbwa atabwaka
Matola anachukua ufundi, kama namuona kuwa kocha bora sana africa
Like walimuona Deborah mtu na nusu muda wote macho spirit hatar yupo makin nipe like za Deborah
Wanasimba tuombe Mwenyezi Mungu awajalie heri wachezaji waelewe maelekezo ya Coach mapema.Simba Imara..Nguvu Moja❤
Tunaomba matola aache watu wafanye kaz 🙏🙏
Mungu Wetu Sote
Atafanya Njia pasipo na njia
Imani ipo ila usiriouly kwenye kuandaa utimamu wa mwili,mifumo ya uchezaji, ni muhimu sana kwa wachezaji wenyewe.. wasichukulie mazoea hasa kwa hawa wachezJi wetu wa kibongo Tz😊
Naimani na simba hiii
My team ❤
Amin❤❤
Mungu akawaonekanie wachezaji wetu waelewe
Simba nguvu moja
mungu ibarik simba hii
Mambo ni motoooo fireeeeee litakufa jitu msimu ujao watajua awajui
Iyo chimba ijayo chacha combination master❤❤🦁
Jamani naomben like kam ww ni mwan simba
All the best guys
Naipenda simba
WAKIELEWA WANACHOFUNDISHWA AAAA U.BAYA UBWELA HATUMUACHI MTU NA UNDER 30 YETU.
Karabaka na kagoma kwenye kizungu hapo😂😂
Mungu tangulia Tim yangu simba ndamundam❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sawa mkuu Fanya Yako Ili watani wajue umekuja kikazi ujaja kuzulula hapa bongo
Saf sana nawatakiwa maandalizi mema chama langu simab sc
Noma sana simba nguvu moja
Mwenyezi MUNGU ampe ujasiri kbs fadlu wamuelewe wachezaji
Amiiiiiiiina 🙏
Iwe hivyo
Kila.la kheri ktk maandalizi wapambanaj wetu. ALLAH awalinde
Very nice kocha kijana ana hali na morariii wachezaji vijana msimu huu watasemaaaaa
Nguvu moja maandalizi mema wanajeshi wetu
Tuwambee na tuwe wamoja kama invyosema msemo wetu SIMBA NGUVU MOJA
Hichi ndo tulichokuwa tunahtaj wanasimba tushirikiane kukiendeleza ❤
kocha anamwambia karabaka acheze kama yamal😅😅sio kukimbia kimbia tu😅
Kocha kija hadi raha simba nguv moja
Alhamdulillah, tumshukuru mola wetu maana kila unaloanza naagizo yanasema Anza na yeye na mi nasema... Tumuachie yeye kila letu tunaloitaji kwake.
Hakika msim huu mataji yote yetu wanasimba❤ nguvu moja
Litakufa jitu nakwambiya🎉🎉🎉
Hakika Allah ajaalie tufanye vizur inshaalalah
Furaha yangu ni kumwona Kagoma tu ndani ya uzi mwekundu
Simba nguvu moja💪💪💪
Yaan Abel ye yuk busy na kocha tu kufanya mazoezi Aaah😃😂
Simba nguvu moja daima
Nimekubali sana
Kwa anae amini simba niushindi tangu ianzishe weka like hapa
Asante kwa maandalizi mazuri tunawasubili kwa hamalu
Mungu hijalie simba yetu
Tuwakopesheni imani hawa ili watulipe uadifu. Na mafanikio makubwa .....simba nguvu moja
Nguvu moja ❤🎉🎉
Simba yangu mungu tupe nguvu
Nani shabiki halisia wa simba agonge like
Naipenda kutoka kumoyo
Hongera kocha wa simba kwa mazowezi mazuri
Tunawaombea wachezaji wetu mungu awatie nguvu na uwerewa ili pungi ikianza muwe fiti
Kocha mtu wa kazi na iwe kheri
Utopwinyo mtasubiri saaaanaaaaaaaa,manina
Simba nguvu kubwa
Waive wajue Kuna watu tunawasubiri
simbaa mnyama
All the best my team we will bounce
❤️ BISMILLAH❤🇹🇿 🇦🇪
Boll litembee❤
Watu wa media, jaribuni kuweka hata beat kwa mbali kwenye Clip zenu
Simba yanguu bado naimani nayo sana
Chama letu lazima tulisapot. Nguvu MOJA
Mimi binafsi sijapenda kuona simba wanasambaza video clip zao wakati wa maandalizi ya msimu maan hii inapelekea wapinzani kuweza kukusoma kiurahisi kwaiyo kimkakati inakuwaj sio vizuri na kiusalama inakuwa inafanya kuvuja Kwa mbinu za kiuchezaji mifumo pia wanawahi kuinasa ivyo basi niwaombe radhi simba waache mara Moja kiusalama kwaajili ya timu yetu msimu ujao. Wako katika kukijali na kuithamini club yang ya Simba Sports
❤
Ni sahihi Hili nishasema mara nyingi mpinzan anakufuatilia mbinu zako hivyo hili sio nzuri
Muda huongezwe tuangalie
Dunia utafurahishwa na ssc
naomba kuuliza .. Ni kweli Kelvin Kijiri ni mnyama au tetesi tu
Kila mwaka preseason tu kuchukua makombe aaaaha
Frenk galasa we kweli gala hiyo miaka 4 mfululizo walio chukua makombe ulikua Tumboni kwa Mama yako?
Tunamuomba Allah awalinde wachezaji wetu
Mwenye Camera 📷 ni msenge Anatuonyesha video ukungu mwingi pumbavu simba TV nyoko
simba is my life❤❤❤❤❤
Safiiii unyama mwingi safari hii na Albadiri tunaisoma Ole wao
Nguvu moja
Benchika alikuwa akimuachia msaidizi lakini si unamuona mtaalamu anaingia mwenyewe na hii ndio maana ya kuwa kiongozi wa team
Unyama❤❤
Wachezaji vijana kocha vijana
Kibu D yukowapi mbona yy simuoni
Kocha matola anakuna tu kichwaaa😂😂
Jaman hivi KIBU D yuko wapi au mi ndo simuon mazoezin
Hao huwa awfundishiki mpaka viboko vihusike.
Allahumma Aamiin.
KIB DENIS 😮MKANDAJI
Hapa naona Kuna changamoto ya lugha pia mdogo wangu kalabaka anateseka mno Kuna haja ya kutafuta mtu atakaendana na kasi ya koch mkuu
Mm ni mnyama kindakindaki ninapatikana msaki kwa jin juma bundwa
Karabaka kingerezaa ni chweee
❤❤❤❤❤❤
Matola sio kocha kaa pemben
saf sana wamba