OHOO! BOMU JIPYA LINASUKWA HAPA | TAZAMA KOCHA FADLU AKIWA MAZOEZINI NA KIKOSI SIKU YA KWANZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 июл 2024
  • SUBSCRIBE NOW:
    🌐 Site: simbasc.co.tz/
    📱 App Store - apps.apple.com/tz/app/simba-s...
    📱 Play Store - play.google.com/store/apps/de...
    🔵 Facebook: / simbatanzania
    📸 Instagram: / simbasctanzania
    𝕏 Twitter: / simbasctanzania
    🎶 Tiktok: / simbascofficial
    About the Official Simba SC RUclips Channel:
    Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
    🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
  • СпортСпорт

Комментарии • 202

  • @MichaelMdenye
    @MichaelMdenye 21 день назад +91

    Kama kwl ww nimshabiki kindakindaki wa Simba naomba like zako apa

    • @Jastus100
      @Jastus100 20 дней назад

      Likes zinakusaidia nini

  • @jaysondamian9326
    @jaysondamian9326 21 день назад +87

    Kama unaimani na kocha gonga like hapo

  • @ImaniMadiba-yu7wn
    @ImaniMadiba-yu7wn 21 день назад +37

    Mungu awalinde na AWATETEE akawape maarifa na uelewa pindi kocha akiwafundisha🙏🏽🙇🤲

  • @hamzaamry6251
    @hamzaamry6251 21 день назад +41

    Ya Allah tulindie wachezaji wetu kwa mabaya yote yatakayo pita mbele yao🤲

    • @maryamnofli2109
      @maryamnofli2109 21 день назад +3

      Aamiin Yaa Rabb ❤❤❤

    • @Ally-jf6wu
      @Ally-jf6wu 21 день назад +3

      Amen

    • @SalumHaji-dn3vl
      @SalumHaji-dn3vl 21 день назад +5

      Simba nguvu moja 💪💪

    • @zuhurajabiri3900
      @zuhurajabiri3900 21 день назад +3

      Aamiin

    • @maryamnofli2109
      @maryamnofli2109 21 день назад +3

      @@SalumHaji-dn3vl
      Biidhiin LLAH
      🔥🔥🔥🦁🦁🦁💪💪💪
      ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @RobertCharles-l1o
    @RobertCharles-l1o 21 день назад +53

    Wana simba gonga like hapa❤

  • @shikuhata
    @shikuhata 21 день назад +53

    Kwa alieona ukubwa wa Simba gonga like apo

  • @hamischubwajumanne2269
    @hamischubwajumanne2269 21 день назад +19

    Nguvu Moja ngoja tuone msimu ukianza maana Simba yangu naipenda sana

  • @jacksonmseli9195
    @jacksonmseli9195 21 день назад +28

    Safii saana Team yangu.. Next season tusipoe tusiboe

  • @goldenmakasi6405
    @goldenmakasi6405 21 день назад +17

    Nimeamin wachezaji wengi wa nchi hi wanafeli kwasababu ya lugha sometimes

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 21 день назад +1

      Karibu wote tu wanamuziki,bongo movi,comedian,lugha iawaangusha sana,wangekuwa mbali zaidi ya walipo sasa,elimu dunia sasa asilimia 90,hawana kitu,empty😢

  • @JaphariOmary-z3m
    @JaphariOmary-z3m 21 день назад +15

    My one and only club in this universe

  • @iddiramadhan
    @iddiramadhan 21 день назад +8

    Kila la khery mnyama Simba sports club ktk maandalizi Amiinna Rabillah Allah miinnah 🤲

  • @user-lj4il5dw1w
    @user-lj4il5dw1w 21 день назад +16

    Nguvu Moja❤️‍🔥

  • @teklasiwiti891
    @teklasiwiti891 21 день назад +13

    Mungu awalinde ❤

  • @lazarolakara979
    @lazarolakara979 20 дней назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ moto utawaka kwa mkapa kila mbwa atabwaka

  • @boazmisango9797
    @boazmisango9797 21 день назад +4

    Matola anachukua ufundi, kama namuona kuwa kocha bora sana africa

  • @danielntukula4507
    @danielntukula4507 21 день назад +7

    Like walimuona Deborah mtu na nusu muda wote macho spirit hatar yupo makin nipe like za Deborah

  • @Jayhood28
    @Jayhood28 20 дней назад

    Wanasimba tuombe Mwenyezi Mungu awajalie heri wachezaji waelewe maelekezo ya Coach mapema.Simba Imara..Nguvu Moja❤

  • @elbarrey3305
    @elbarrey3305 21 день назад +4

    Tunaomba matola aache watu wafanye kaz 🙏🙏

  • @japhetmoo2877
    @japhetmoo2877 21 день назад +4

    Mungu Wetu Sote
    Atafanya Njia pasipo na njia

  • @abdallahmdiliko8088
    @abdallahmdiliko8088 20 дней назад +1

    Imani ipo ila usiriouly kwenye kuandaa utimamu wa mwili,mifumo ya uchezaji, ni muhimu sana kwa wachezaji wenyewe.. wasichukulie mazoea hasa kwa hawa wachezJi wetu wa kibongo Tz😊

  • @salumnyanda9905
    @salumnyanda9905 21 день назад +3

    Naimani na simba hiii

  • @SharonF21
    @SharonF21 21 день назад +8

    My team ❤

  • @ahmadyMpemba-x8b
    @ahmadyMpemba-x8b 21 день назад +11

    Amin❤❤

  • @JemsijosephSayore
    @JemsijosephSayore 21 день назад +1

    Mungu akawaonekanie wachezaji wetu waelewe

  • @EugeneIvan-q2o
    @EugeneIvan-q2o 21 день назад +11

    Simba nguvu moja

  • @rajabukayaba5693
    @rajabukayaba5693 21 день назад +4

    mungu ibarik simba hii

  • @josephbashasha831
    @josephbashasha831 21 день назад +3

    Mambo ni motoooo fireeeeee litakufa jitu msimu ujao watajua awajui

  • @gnasnassary9475
    @gnasnassary9475 21 день назад +2

    Iyo chimba ijayo chacha combination master❤❤🦁

  • @KAYANDAFILMS
    @KAYANDAFILMS 20 дней назад +1

    Jamani naomben like kam ww ni mwan simba

  • @slimmtani8236
    @slimmtani8236 20 дней назад +1

    All the best guys

  • @RamadhaniMtamakaya
    @RamadhaniMtamakaya 21 день назад +1

    Naipenda simba

  • @fadhiliabasi6585
    @fadhiliabasi6585 21 день назад +2

    WAKIELEWA WANACHOFUNDISHWA AAAA U.BAYA UBWELA HATUMUACHI MTU NA UNDER 30 YETU.

  • @AGNESSVERONIKA-y7w
    @AGNESSVERONIKA-y7w 21 день назад +2

    Karabaka na kagoma kwenye kizungu hapo😂😂

  • @PendoChacha-u9t
    @PendoChacha-u9t 21 день назад +1

    Mungu tangulia Tim yangu simba ndamundam❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mnubimhoja4338
    @mnubimhoja4338 21 день назад +2

    Sawa mkuu Fanya Yako Ili watani wajue umekuja kikazi ujaja kuzulula hapa bongo

  • @BahatUpendo
    @BahatUpendo 21 день назад +1

    Saf sana nawatakiwa maandalizi mema chama langu simab sc

  • @JacksoniMushi-c2y
    @JacksoniMushi-c2y 21 день назад +2

    Noma sana simba nguvu moja

  • @user-wn4qu9yu7n
    @user-wn4qu9yu7n 21 день назад +2

    Mwenyezi MUNGU ampe ujasiri kbs fadlu wamuelewe wachezaji

  • @Raj-gs2oj
    @Raj-gs2oj 21 день назад +1

    Kila.la kheri ktk maandalizi wapambanaj wetu. ALLAH awalinde

  • @frankfelix3876
    @frankfelix3876 20 дней назад

    Very nice kocha kijana ana hali na morariii wachezaji vijana msimu huu watasemaaaaa

  • @madahaibrahim3232
    @madahaibrahim3232 21 день назад +3

    Nguvu moja maandalizi mema wanajeshi wetu

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli 21 день назад +2

    Tuwambee na tuwe wamoja kama invyosema msemo wetu SIMBA NGUVU MOJA

  • @tawaqalmuniss2902
    @tawaqalmuniss2902 21 день назад +1

    Hichi ndo tulichokuwa tunahtaj wanasimba tushirikiane kukiendeleza ❤

  • @paulfrank13
    @paulfrank13 21 день назад +2

    kocha anamwambia karabaka acheze kama yamal😅😅sio kukimbia kimbia tu😅

  • @Mumlion2624
    @Mumlion2624 21 день назад +2

    Kocha kija hadi raha simba nguv moja

  • @VeronicaPaul-cj1yu
    @VeronicaPaul-cj1yu 21 день назад +1

    Alhamdulillah, tumshukuru mola wetu maana kila unaloanza naagizo yanasema Anza na yeye na mi nasema... Tumuachie yeye kila letu tunaloitaji kwake.

  • @RehemaMtemvu
    @RehemaMtemvu 20 дней назад

    Hakika msim huu mataji yote yetu wanasimba❤ nguvu moja

  • @GURISHAMSHANA
    @GURISHAMSHANA 21 день назад +3

    Litakufa jitu nakwambiya🎉🎉🎉

  • @NajmaJohn-z2h
    @NajmaJohn-z2h 18 дней назад

    Hakika Allah ajaalie tufanye vizur inshaalalah

  • @alfonceanton2273
    @alfonceanton2273 21 день назад +2

    Furaha yangu ni kumwona Kagoma tu ndani ya uzi mwekundu

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h 20 дней назад

    Simba nguvu moja💪💪💪

  • @jumamnambangule1957
    @jumamnambangule1957 20 дней назад +1

    Yaan Abel ye yuk busy na kocha tu kufanya mazoezi Aaah😃😂

  • @AbdallahFaki-h9g
    @AbdallahFaki-h9g 20 дней назад

    Simba nguvu moja daima

  • @duniaboniface3384
    @duniaboniface3384 21 день назад +1

    Nimekubali sana

  • @ScholasticKalase
    @ScholasticKalase 18 дней назад

    Kwa anae amini simba niushindi tangu ianzishe weka like hapa

  • @Paulkessy-j8n
    @Paulkessy-j8n 20 дней назад

    Asante kwa maandalizi mazuri tunawasubili kwa hamalu

  • @rashidamohamed1948
    @rashidamohamed1948 21 день назад +1

    Mungu hijalie simba yetu

  • @himurantz
    @himurantz 20 дней назад

    Tuwakopesheni imani hawa ili watulipe uadifu. Na mafanikio makubwa .....simba nguvu moja

  • @milesdigital813
    @milesdigital813 20 дней назад

    Nguvu moja ❤🎉🎉

  • @user-ym7dc2jf4n
    @user-ym7dc2jf4n 21 день назад +1

    Simba yangu mungu tupe nguvu

  • @NeoLeonad
    @NeoLeonad 20 дней назад

    Nani shabiki halisia wa simba agonge like

  • @sabinahassan8421
    @sabinahassan8421 20 дней назад

    Naipenda kutoka kumoyo

  • @AntoniMtulagwa
    @AntoniMtulagwa 20 дней назад

    Hongera kocha wa simba kwa mazowezi mazuri

  • @shelyboyshely2928
    @shelyboyshely2928 21 день назад +1

    Tunawaombea wachezaji wetu mungu awatie nguvu na uwerewa ili pungi ikianza muwe fiti

  • @AraphaCheki
    @AraphaCheki 21 день назад +1

    Kocha mtu wa kazi na iwe kheri

  • @hamadiayossy
    @hamadiayossy 21 день назад +1

    Utopwinyo mtasubiri saaaanaaaaaaaa,manina

  • @jaropthebilldone1652
    @jaropthebilldone1652 21 день назад

    Simba nguvu kubwa

  • @ZakariaSimon-gp1gr
    @ZakariaSimon-gp1gr 21 день назад +1

    Waive wajue Kuna watu tunawasubiri

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s 20 дней назад

    simbaa mnyama

  • @mohamedjuma1960
    @mohamedjuma1960 20 дней назад

    All the best my team we will bounce

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa47 21 день назад

    ❤️ BISMILLAH❤🇹🇿 🇦🇪

  • @christinaKufakulala
    @christinaKufakulala 21 день назад

    Boll litembee❤

  • @jaytv5079
    @jaytv5079 21 день назад

    Watu wa media, jaribuni kuweka hata beat kwa mbali kwenye Clip zenu

  • @erickedger8287
    @erickedger8287 21 день назад +1

    Simba yanguu bado naimani nayo sana

  • @JosephAlex-pm7rp
    @JosephAlex-pm7rp 16 дней назад

    Chama letu lazima tulisapot. Nguvu MOJA

  • @NaliezyJuve-ug6mo
    @NaliezyJuve-ug6mo 21 день назад +2

    Mimi binafsi sijapenda kuona simba wanasambaza video clip zao wakati wa maandalizi ya msimu maan hii inapelekea wapinzani kuweza kukusoma kiurahisi kwaiyo kimkakati inakuwaj sio vizuri na kiusalama inakuwa inafanya kuvuja Kwa mbinu za kiuchezaji mifumo pia wanawahi kuinasa ivyo basi niwaombe radhi simba waache mara Moja kiusalama kwaajili ya timu yetu msimu ujao. Wako katika kukijali na kuithamini club yang ya Simba Sports

    • @nshaijatedy5512
      @nshaijatedy5512 21 день назад +1

    • @EnockNanyaro-lk1zi
      @EnockNanyaro-lk1zi 21 день назад

      Ni sahihi Hili nishasema mara nyingi mpinzan anakufuatilia mbinu zako hivyo hili sio nzuri

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 21 день назад +1

    Muda huongezwe tuangalie

  • @kingsniper9769
    @kingsniper9769 20 дней назад

    Dunia utafurahishwa na ssc

  • @johnadolf5899
    @johnadolf5899 21 день назад

    naomba kuuliza .. Ni kweli Kelvin Kijiri ni mnyama au tetesi tu

  • @frankgalusi6450
    @frankgalusi6450 21 день назад +2

    Kila mwaka preseason tu kuchukua makombe aaaaha

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz 21 день назад

      Frenk galasa we kweli gala hiyo miaka 4 mfululizo walio chukua makombe ulikua Tumboni kwa Mama yako?

  • @user-kn7bo6iz4n
    @user-kn7bo6iz4n 21 день назад

    Tunamuomba Allah awalinde wachezaji wetu

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 21 день назад

    Mwenye Camera 📷 ni msenge Anatuonyesha video ukungu mwingi pumbavu simba TV nyoko

  • @AcksunBonifas-mj2sw
    @AcksunBonifas-mj2sw 21 день назад

    simba is my life❤❤❤❤❤

  • @kipinguseif9945
    @kipinguseif9945 21 день назад

    Safiiii unyama mwingi safari hii na Albadiri tunaisoma Ole wao

  • @user-wp4fs2xr3l
    @user-wp4fs2xr3l 21 день назад

    Nguvu moja

  • @shadihussein1510
    @shadihussein1510 21 день назад

    Benchika alikuwa akimuachia msaidizi lakini si unamuona mtaalamu anaingia mwenyewe na hii ndio maana ya kuwa kiongozi wa team

  • @user-zb7yt6tp2f
    @user-zb7yt6tp2f 20 дней назад

    Unyama❤❤

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c 20 дней назад

    Wachezaji vijana kocha vijana

  • @AntonyRusekelo-vd2cf
    @AntonyRusekelo-vd2cf 21 день назад +1

    Kibu D yukowapi mbona yy simuoni

  • @hoseaswallo3087
    @hoseaswallo3087 21 день назад

    Kocha matola anakuna tu kichwaaa😂😂

  • @mwanahamisimohamed1364
    @mwanahamisimohamed1364 20 дней назад

    Jaman hivi KIBU D yuko wapi au mi ndo simuon mazoezin

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba 20 дней назад

    Hao huwa awfundishiki mpaka viboko vihusike.

  • @AishaSaid-yg1ou
    @AishaSaid-yg1ou 21 день назад

    Allahumma Aamiin.

  • @MBUGITVONLINE
    @MBUGITVONLINE 21 день назад

    KIB DENIS 😮MKANDAJI

  • @EmmanuelJames-xi4ij
    @EmmanuelJames-xi4ij 20 дней назад

    Hapa naona Kuna changamoto ya lugha pia mdogo wangu kalabaka anateseka mno Kuna haja ya kutafuta mtu atakaendana na kasi ya koch mkuu

  • @JumaBundwa
    @JumaBundwa 21 день назад

    Mm ni mnyama kindakindaki ninapatikana msaki kwa jin juma bundwa

  • @herykavuka
    @herykavuka 21 день назад

    Karabaka kingerezaa ni chweee

  • @DenisMachele
    @DenisMachele 21 день назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @majaliwamolis2403
    @majaliwamolis2403 21 день назад

    Matola sio kocha kaa pemben

  • @MathewLeonard-n2b
    @MathewLeonard-n2b 21 день назад

    saf sana wamba