Simba 2-0 Power Dynamos FC | Highlights | Friendly Match | Simba Day - 06/08/2023
HTML-код
- Опубликовано: 5 авг 2023
- Tazama matukio mbalimbali yaliyojiri kwenye mchezo wa kirafiki kati ya Simba SC dhidi ya Power Dynamos ya Zambia kwenye tamasha la Simba Day.
Simba SC wameshinda kupitia magoli ya Willy Onana na Fabrice Ngoma. Спорт
Daah nasikitik kua yanga hamtaki kukubali kam sisi simba tumewazidi kwa kila kitu simba wenzang gonga like apaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😢😢😢😁
Hujui mpira. Nende kapige filimbi kwakujamba.
@@nkosiyabomasuku1795TUNDU LAKO HILOOOOOOOO HILOOOOOOOO 😂😂😂
Excellent game from the team and my country men, Che Malone and Willy Onana VS Bong Lionel... All Cameroonian s
Kama wew ni simba gonga like
Unyama ni mwingi
Unyama ni mwingi
Unyama mwingi
Mm yanga ila nagonga like mnyama unatisha...
kama unaangalia marudio aya leo 03/9/2023 tujuwane kwa like
Mimi nayaangalia leo tar 10/9/23
Onana we still love him 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 from Rayon Sports Gikundiro 🤍💙🤍💙🤍💙🤍💙
Good luck for the new season 💪 Love from Rwanda🇷🇼
Baraka mpenja unajua unajua na unajua tena♥️❤️❤️
Saidoo anafaa kuwa man of the match kabisa 2 assists hatari kweli
Kuna wananchi na wenyenye nchi Kuna mnyama Kuna nyama Simba oyoooo oyoooo ❤ ❤❤❤❤❤❤
Mim Leo wa kwanza jamani naombeni like zifike buku maana Simba hii🔥🔥🔥🔥
Binafsi Fabrice Ngoma yuko vizuri
Height 💯
Skills 💯
Killing pass 💯
Body Ball 💯
Tuache ushabiki maandazi Mimi niyanga Ila beki wenu malone hatari Sana sijui mnasemaje watani?
Nikweli anajua jamaa
Kabila tu ndio haiamwi
Balaaaaa huo ukuta w yerico
❤ mm nimnyama unyama mwingi kwakweli big up sana
Simba bongo batimbaya asante mungu kunijalia kushabikia simba❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🙏litakufa jitu
Niwapongeze watani wetu jana wamecheza vuzuri sana 🎉
Kume una akili sana mtani
🎉😊nakupenda Simba mshabiki wa damu❤
Namba 1 on trending oooo waaaaaaaoo
I'm zambian but Tanzanian football is out of this world....next time zesco United we are coming🙌🙏🙌
Me from kenya ila tz nmetuzidi kila kitu about football...hongereni
What about music?
@@hamishamis8282pia tumewzid kwasas
Yah tuko vixuri Sana Tz ,hatutaki mchezo na maisha
Hongera sana Kwa kukubali ukweli
Woooi hiii ndio simba🎉🎉🎉🎉🎉❤
Azam TV tuongezeeni dakika...13min kidogo from Saudi Arabia 🇸🇦
Simba unyama mwingi 🎉🎉🎊 Mpenja nakupend pia 🌹
Yaan masaa 10 tu namba 8 on trending this is Simba
Unyama mwingi
Simba ❤❤naipenda sana mpaka nakufaaa
YANGA wenzangu gonga like
This is Simba Brothers and Sisters.🇹🇿🇹🇿
Tutake Nini jamanii ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ simba
Ilie mkubali ngoma gonga like
Kama unaikubali simba unyama mwingi tia like
Ni kweli simba imefanya vizuri Mimi naipongezakwakufanya vizuri
Simba nguvu moja 💪
Kilicho waponza hawa power dynamo nikuvaa jezi ya njano yani hili nikosa kubwa kwa Mnyama ... Nadhan mlio soma cuba mmesha nielewa....😂😂😂
Salim is a good goalie. He will grow in his role I can see.
simba leo raha sana
Hata km nmechelewa mnipe like japo 10
This is Simba Sc 🦁🔥💪💪💪❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Wanasimbaaa, hata tulingi
Ukitizama mechi ya simba na ya yanga kwenye siku zao unaona kabisa simba bado,yanga wapo juu
fafanua bado nini
Ww kwenye ligi ulimfunga nan
Unadhani unaweza kuwa na mtazamo tofauti ww mwenyewe kwanza
Toa sababu siyo mhemko wako
Hii Team Yetu ya Simba nataka niwaambie watanzania Kuna jambo kubwa itaenda kulifanya msimu huu na itakua ni historia kwa nchi na vizazi.... Najua watu hawana Iman na team sababu wanaangalia performance ya Yanga kwenye NBC ilaa katika Mashindano ya kimataifa CAF CHAMPIONS NA SUPER LEAGUE MWAKA HUU SIMBA INAENDA KUWEKA HISTORIA
Naungana na ww hiki ynachosema SIMBA LIJITU LIKUUUBWAAAA IV
naungana na ww kwa asilimia 100% Simba nguvu moja kikubwa zetu dua zao dawa
Simba oyeeeeeeee
Mkubwa mkubwa tu nomb 2 on trending,, 1 day , likes 3.4k
Kumbe umeona Kama mm
Inanikupusha Simba wakati ile
Asante Mungu!
Mnyamaa
Jamani mm yanga ila mwaka huu Simba wanavifaa Tena wanavitu naivyo tumepolomoka SS yanga tuombe mungu
Fantastic
Kwa utamu huu ninaoupata Simba hata sitak mwanaume wa kunikuna akii😊🙈🦁🥰🥰
Duuuuuh jaman nipe mm nitakupa utam zaidi ya simba mtoto
Naomba namba yako
@@akramkhamis2006 Mh hapan my Simba yangu yanitosha
@@Mr_Highlights360 Mh
Uhakika nguvu 1
Ofcrs F-Teams za Tanzania zimekuwa sasa yaani mwaka huu tutashuhydia mengi NBC as well as Kombe la Africa...Naitakia Tanzania mashindano mema na yenye amani kabisa...Go Simba, Young, Azam and Singida to present the Nation kwa kweli
Nimependa Mh Rais alivyo gonga na mh waziri kama umeona na wewe gonga like
Nilichogundua uto ndo walikua busy Zaid na Simba day😂😂
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤SIMBA SIMBA SIMBA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Naipenda simba
Litakufa jitu siku chuma 10😂😂😂 Simba hii 🙌🙌🙌🚀🚀
❤❤❤ ilove simb
Team ya 2023 ni nzuri
Kocha ana ubaguzi sna kwa moses phiri
Mshenz kwanza nampenda sana uyu kocha Kwa anavomtenga Phili naanza kumchukia kabsa sio sili
Hhhhhhhhhhhh
Nimeimisi simba yangu ❤ simba nguvu moja
What a performance🔥🔥
Baraka Mpenja hodari sana kwenye Commentary
Naona yanga mko bize sana na comment za kisenge muyakanyage tena mtakula zaidi ya 2 mlizokula msim ulio isha manyang,au nyie
Naona wanajikamua wamesahau walikula apa 2 kavu wanakomaa kijinga tu apa
Ok 666
@@uswegemwanja52381¹
Naipenda sana Tim yangu
SAFI SAFI Simba voice
muwe munaweka dakika 90 zote wangine tunapenda kurudia naomba Azam mulifanyie kazi ilo
❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥chukuweni na mauwa yenu Simba💐💐💐💐💐🌹
4:33 chama kafungua turbo😂
Utopolo uvumilivu umewashinda wameshangilia goli la mchezaji aliyewakataa airport😅😅😅 simba raha❤❤❤
Mtangazaji umetuuza sana pasi kapga mzamir wasema saidoo
yanga nawapen polee sana
Kama wewe mwana simba unaamin mwaka huu atuachi kitu gonga like hapa twend kazi❤❤
Nakupenda simba acha iniuwe 2
1:15
Nime enjoy sana mpira yaani nasemaje wanoko wajipange kisawa lasivyo hata kijiko hawachukui
Hamna kitu hapa wanasimba hakuna timu hapaa na waambia 😅😅
Mpenja anajua hadi Sio pouw 💪
😂😂😂😂😂 unyama mwingiiiiiiiii Simba nguvu mojaaaaaaa wanasiiimbaaaaaaaaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 mpk mama kapiga makofi
Today is our special day sasa utopolo salam zao❤❤❤
Yanga bingwa mpaka hapa
Ahsante mpenja tena kwa Jina jipya la malone kwa sasa anaitwa ukuta wa yeriko🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪
Azam ongezen quality
Mchezo Mzuri. Simba inahitaji Mchezo mwingine na Timu yenye uwezo zaidi.
Simba ikicheza kimataifa AFL. WATASHINDA ILA WAKICHEZA SPEED NDOGO HAWATASHINDA kama walivyocheza h
Kweli Moses hapangwi wakat Yuko vzr tu
Goliiiii la saidi ngoma
THIS IS SIMBAAAAA…LEVELS ASEE DAH HII NDIO TIMU SASA
Simba ya moto
Love simba napenda Onan
Nam niko oman
Yeeeees
Waoooooooo❤ Simba 🎉
Unyama mwingi❤❤
Onana na balekee balekee Yuko vzr
Mimi no po napitia mech ii maana
Simba is big club
Simba huyu Kuna watu watakimbia mechi Kama 2021😅😅😅
Naipenda simba kuliko kula
Nilitegemea kipindi Cha pili waingie wengine why simbaa
Watani kushinda Tano siodili kikubwa point 3
Naikubali sana Simba
Usajili mpya,Chemalon,Onana na Ngoma hawana sabab ya kuanzia benchi ni wanaingia kwenye mfumo moja kwa moja na moto utawaka kwelkwel
Simba
❤❤❤❤❤❤ Simba
Nguvu moja 💪