PASI ZINATEMBEA/MAGOLIKIPA WANAPIKWA VILIVYO TAZAMA HAPA KILICHOJIRI MAZOEZINI/VIJANA WANAPAMBANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 окт 2024
  • SUBSCRIBE NOW:
    🌐 Site: simbasc.co.tz/
    📱 App Store - apps.apple.com...
    📱 Play Store - play.google.co...
    🔵 Facebook: / simbatanzania
    📸 Instagram: / simbasctanzania
    𝕏 Twitter: / simbasctanzania
    🎶 Tiktok: / simbascofficial
    About the Official Simba SC RUclips Channel:
    Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
    🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi

Комментарии • 284

  • @elieserimsemo2251
    @elieserimsemo2251 3 месяца назад +56

    Simba ijayo itakua nzur sana .tuwe na subira wana Simba. #nguvumoja

  • @msumeno89
    @msumeno89 3 месяца назад +108

    MASHABIKI WA SIMBA 🦁 KINDAKI NDAKI GONGA LIKE

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn6201 3 месяца назад +41

    MUNGU tunaomba uwalinde wachezaji wetu wasipatwe na vitu vitaya kama kuna watu wanadaka kuwaharibu Mungu tunaomba uwaazibu laana iwarudiwe wale wote watakao Dili kutuharibia wachezaji wetu

    • @iddiramadhan
      @iddiramadhan 3 месяца назад +4

      Inshaallah Kwa uwezo wake Allah waajaallah atawakinga na mabalaa ya wenye husda Amiinna Rabillah Allah miinnah 🤲

    • @ndakichuwa7618
      @ndakichuwa7618 3 месяца назад +2

      Aaamin

  • @JacksonMorogosho-ll7cj
    @JacksonMorogosho-ll7cj 3 месяца назад +29

    naipenda sanaaa Tim yangu mungu aibariki Simba Simba nguvu moja

  • @CrideGarden
    @CrideGarden 3 месяца назад +146

    Kama unaamini msimu ujao tunarudisha heshima weka like hap❤

    • @noelMgonya-hb8sg
      @noelMgonya-hb8sg 3 месяца назад +8

    • @IssackleonardBakekela-g2i
      @IssackleonardBakekela-g2i 3 месяца назад +6

      Na wewe mwenyewe huna imani maana unaswma msimu ujao kwa nn usiseme msimu huu unaoanza mwezi wa nane?

    • @danielmabula6232
      @danielmabula6232 3 месяца назад +1

    • @abubakarbajun3503
      @abubakarbajun3503 3 месяца назад +1

      Mbona kibu Denis hayupo simuoniii vipiiii Yuko wapiiii

    • @malutv4081
      @malutv4081 3 месяца назад

      ​@@abubakarbajun3503 atajua mwenyew kikubwa wengne wapo atakaa benchii

  • @ibrahimalharthi4599
    @ibrahimalharthi4599 3 месяца назад +16

    Simba ni roho yangu tokea ujana wangu, zama zile za Mambosasa, Wily Mwaijibe, King Kibaden na wengi wengineo na waliotangulia mbele ya haki Mungu Awarehemu na inaendelea kuwa kipenzi changu mpaka hali ya uzee. Mungu aijaalie kila la heri

  • @vannie-gggg
    @vannie-gggg 3 месяца назад +17

    Tusikate tamaa imani kidogo tu na simba yetu tuanze na ngao ya jamii❤

  • @daudimjwanga-ly6wo
    @daudimjwanga-ly6wo 3 месяца назад +9

    Ishalla wenda mungu ametuona machoz ya Wana simba wote simba nguvu moja❤❤

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 3 месяца назад +9

    simba nguvu moja mungu ibariki chama langu tufike mbali ❤❤❤❤❤

  • @Msumary_
    @Msumary_ 3 месяца назад +17

    Nguvu moja aa 🦁🦁

  • @RashidKupeh
    @RashidKupeh 3 месяца назад +8

    Tutakaa imara #SIMBANGUVUMOJA💪💪💪

  • @MarthaBura-or8fe
    @MarthaBura-or8fe 3 месяца назад +3

    Mungu ilinde time yetu Simba wafunike vijana wote .kwa damu ya yesu wawe na nguvu Ari ya kupambania Simba yetu .hii Simba ni ya makombe

  • @febonrolence9650
    @febonrolence9650 3 месяца назад +19

    Simba bila kuchoka

  • @juliusmwakatage7182
    @juliusmwakatage7182 3 месяца назад +3

    Aishi Manula mwenyezi mungu akusaidie urudi katika ubora wako. Simba ni home kwako. Jitume sana kufanya Mazoezi

  • @MaggieCollins-x9v
    @MaggieCollins-x9v 3 месяца назад +6

    Mzidi kustawi kilamala wanasimba Mungu yupo upande wenu ataweka wepesi mbele yenu wanasimba

  • @ZuhuraMwalimuShabani
    @ZuhuraMwalimuShabani 3 месяца назад +12

    Hizi burudani zinapatikana Simba tu msimu huu ❤❤❤

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 3 месяца назад +2

      wengine pesa hawana wanabaki Kimanzichana ha ha ha ha

    • @MirajMpulaki
      @MirajMpulaki 3 месяца назад

      Hahaha wanakula matikiti2

  • @BukuluTheBosscomedy
    @BukuluTheBosscomedy 3 месяца назад +5

    Mungu asimame na Simbaaaa msim ujao🙏🙏

  • @godfrey3926
    @godfrey3926 3 месяца назад +11

    Ally Salim - Tanzania One

  • @seikhan5115
    @seikhan5115 3 месяца назад

    unajua kuna kitu nkiona umu naon km vijana wte wanafuraha haswa makipa yaan wenywe tu wanapndanaa wachezaji ukianglia ujui mgeni yupi na yupo mwenyej yaan wanafuraha sana inapndeza TEAM kubwa wachezaj vijana walimu wanamorally hadi Kocha wa makipa anafuraha sasa ALOGWI anamakipa vijana Tusahau wachezaj waliopita kwenye timu yetu tuwapende waliopo watafanya kitu kizuri tu
    TUWAPE MUDA NA USHIRIKIANI
    SIMBA NGUVU MOYA❤

  • @RoseSilvesta-y9e
    @RoseSilvesta-y9e 3 месяца назад

    Daaah nimefurahi sana yn ally.salimu ukiendelea hivy utakuwa kipa bora mno baran Africa mungu azidi kukuongezea ujasiri,na wote makipa wetu abel na ayub mpo vizur san kiukweli.

  • @ChristopherShigikulu-zx9vd
    @ChristopherShigikulu-zx9vd 3 месяца назад +5

    Simba nguvu mojaaaa❤❤❤

  • @soniimedia2440
    @soniimedia2440 3 месяца назад +1

    Ilaa mimi kwa ushauri Ali salim awe kipa namba moja alaf ayube namba2 simba ingekuwa tishio zaidiii serious nawambia. Like kama unakubali

  • @Frankkambona-js7vf
    @Frankkambona-js7vf 3 месяца назад +5

    Nani. Anaona kama mm kwamba coach wamakipa ana fanana na cadena kama unaona gonga like

  • @davidphilemon7345
    @davidphilemon7345 3 месяца назад

    💪 Simba 💪 nguvu 🔥 moja 💪💪🔥🔥🔥🔥🔥

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 3 месяца назад +1

    SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @HildaVicent-b2i
    @HildaVicent-b2i 3 месяца назад

    Mungu ni wetu sote simba hii moya ni moto sana naipenda sana simba yangu❤

  • @IsackMetusela
    @IsackMetusela 3 месяца назад +1

    msimu huu niwe2 ILOVE SIMBA SC

  • @himurantz
    @himurantz 3 месяца назад +1

    Hakika sasa ndoto zetu zinakwenda kutimia. ......simba nguvu mojaaaaa

  • @Thekidp3702
    @Thekidp3702 3 месяца назад

    MUNGU ibariki simba 🙏

  • @jacksonhaule386
    @jacksonhaule386 3 месяца назад +1

    Hakika hshima inaenda kurudi msimu ujao kama unaamini like apa

  • @BubuallyMwakipesile-br8dc
    @BubuallyMwakipesile-br8dc 3 месяца назад +1

    Mungu nimwema naimani itakua poa sana Simba yetu

  • @SwamaduAbdalah
    @SwamaduAbdalah 3 месяца назад

    ❤ naipenda Simba daima tutarudisha tena kwakishindo kikubw

  • @martinmtwale1242
    @martinmtwale1242 3 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ love to be Simba fan like it 💪💪💪🦁

  • @ShabaniShaban-p7p
    @ShabaniShaban-p7p 3 месяца назад

    Naipenda sana simba siwaz tutafungwa ngap nitabak kuwa mwana simba dam dam

  • @OswaldOnesmo-jh4bm
    @OswaldOnesmo-jh4bm 3 месяца назад +2

    Aiseeee gonga like mpaka yesu arudi wana msimbazi tuna imani❤❤❤❤

  • @ClementKonda-uj1nj
    @ClementKonda-uj1nj 3 месяца назад

    God bless Simba sc❤🎉

  • @ayubumsongole5640
    @ayubumsongole5640 3 месяца назад

    Simba 🦁##Nguvumoja💪

  • @HamisSheluu
    @HamisSheluu 3 месяца назад +1

    Wanaume wa kazi wapo kazin hakika kila kinachofanyika mungu atawasimamia

  • @jamesabdallah3616
    @jamesabdallah3616 3 месяца назад

    Much loves love lions we believe on you guys keep going.....once a lion always a lion

  • @NathanLukambinga
    @NathanLukambinga 3 месяца назад +9

    Mbona Ayoud kanenepa sana😢

    • @SwamaduAbdalah
      @SwamaduAbdalah 3 месяца назад

      Umeonaee katunzwa zema likizo hii

  • @mashashpastory7467
    @mashashpastory7467 3 месяца назад

    Tunaitaka heshima yetu, mtake msitake msimu ujao ni wetu🦁🦁

  • @GideonEzekieli
    @GideonEzekieli 2 месяца назад

    Wanasimba wote tuwe na subira yajayo yanafurahisha simba oyeeeeeeeeeeee

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 3 месяца назад +5

    Kama naanza kuona, kuona mwanga hivi...
    SIMBA nguvu Moja

    • @JamesHonore88
      @JamesHonore88 3 месяца назад

      Mazoezi ya mwaka huu nayaelewa MNO.... Yako serious na uthabiti!!!!!

    • @tunsumemwakinyuke661
      @tunsumemwakinyuke661 3 месяца назад

      Sio kama ya mwaka Jana wanacheza na mapulizo

  • @gatsonmatiko8000
    @gatsonmatiko8000 3 месяца назад +1

    Mungu atubarki Wana simba

  • @ShukruMakoko
    @ShukruMakoko 3 месяца назад +5

    Unyama Mungu ibaliki Simba nakila mtu anaeeombea mema

  • @KAYANDAFILMS
    @KAYANDAFILMS 3 месяца назад +1

    Kama unaikubal simba gonga like

  • @ChristianMdee
    @ChristianMdee 3 месяца назад

    Mola Tunaomba tufanyie wepesi INSHAALLAH

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el 3 месяца назад

    Naipenda simbaaa

  • @luluray2115
    @luluray2115 3 месяца назад +4

    Nguvu moja❤

  • @OmariAbdalla-i8p
    @OmariAbdalla-i8p 3 месяца назад

    Simba nguvu moja ❤timu bora Tanzania

  • @MashakaMabirika
    @MashakaMabirika 3 месяца назад

    Mungu tusaidie HESHIMA ya simba irudi

  • @rapermpole5871
    @rapermpole5871 3 месяца назад +3

    Mungu tunaomba uwalinde wanasimba

  • @OmaryIbrahimu-h4h
    @OmaryIbrahimu-h4h 3 месяца назад

    Naamini❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @JosephMulungu-v1j
    @JosephMulungu-v1j 3 месяца назад +2

    Asante bosi wetu mo dewiji

  • @LakanetParity
    @LakanetParity 3 месяца назад

    ❤❤ Mungu ibarik chama letu

  • @godfreymwalwebe6608
    @godfreymwalwebe6608 3 месяца назад +1

    ❤nguvu moja

  • @faisalmalik-vf9gy
    @faisalmalik-vf9gy 3 месяца назад

    Simba nguvu Mona ❤❤❤❤❤

  • @nicholasmkama2877
    @nicholasmkama2877 3 месяца назад

    Simba daima.nguvu moja

  • @ElizabethKabeho
    @ElizabethKabeho 3 месяца назад

    Simba nguvu moja ❤❤

  • @patrickkavenga
    @patrickkavenga 3 месяца назад

    Kwa umakini huu wa magoli kipa utopolo wajiandae weka like nyingi kama unaamini makolo wa jagwani watakufa nyingi

  • @LaurensiaPeter
    @LaurensiaPeter 3 месяца назад

    Tutainjoy sana musimu huu 🦁💪🏿1⃣kila lakher timu yangu

  • @shelyboyshely2928
    @shelyboyshely2928 3 месяца назад

    Mungu awafanyie wepesi muwe fiti makamanda wetu

  • @Emanuelmgendi-r6d
    @Emanuelmgendi-r6d 3 месяца назад +2

    Nguvu moja wana simba

  • @GeorgeSaimon-kt2kh
    @GeorgeSaimon-kt2kh 3 месяца назад +1

    Jaman golikipa Ali salimu mbn kama vile ameshaivaaa🎉🎉

  • @janetybubegwa5272
    @janetybubegwa5272 3 месяца назад +2

    Tatizo kubwa la simba ni kuanika siraha zao hadharani na hizo ndio zinawaangamiza wenyewe

  • @JuniorMatiku
    @JuniorMatiku 3 месяца назад

    Yaah its good but . Ilove simba❤

  • @chaggastar9236
    @chaggastar9236 3 месяца назад

    Mungu ibariki simbasc 🤲🙏

  • @ShukruMakoko
    @ShukruMakoko 3 месяца назад +4

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @rosekwayu
    @rosekwayu 3 месяца назад +1

    Ayubu kanenepa jaman ila bado mwamba....kama unaamin msimu ujao tuna makombe weka like hapo

  • @MARIAMABDUL-zb8yu
    @MARIAMABDUL-zb8yu 3 месяца назад

    Mungu ibarki Simba yetu jaman

  • @Mexcel24
    @Mexcel24 3 месяца назад

    **Fan 1:** Hey, have you seen the latest signings for next season?
    **Fan 2:** Yeah, I'm thrilled about Kibu Dennis joining as a forward. He's got some serious scoring ability.
    **Fan 1:** Absolutely! And Ayub Lakred's consistency in goal gives us a solid foundation.
    **Fan 2:** Plus, the addition of Deborah is intriguing. I've heard he's quite versatile on the field.
    Fan 1:Definitely. And Joshua Mutale's speed and agility could really change our game dynamics.
    **Fan 2:** With these new players and our existing squad, I think we're set for an exciting season ahead!

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 3 месяца назад

    SIMBA NGUVU MOJA🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @AhmadShembilu
    @AhmadShembilu 3 месяца назад

    Safi vijana wanajituma tuzid kuwaombea mungu

  • @MohamedMustafa-id5gr
    @MohamedMustafa-id5gr 3 месяца назад

    All the best ssc

  • @OmariAbdalla-i8p
    @OmariAbdalla-i8p 3 месяца назад

    Naipenda simba

  • @AcksunBonifas-mj2sw
    @AcksunBonifas-mj2sw 3 месяца назад

    samba's my life❤❤❤❤❤❤

  • @PendoPendo-d3w
    @PendoPendo-d3w 3 месяца назад +1

    Mungu atutangulie mbele ya Safar ya msim huu😂

  • @VeronicaPaul-cj1yu
    @VeronicaPaul-cj1yu 3 месяца назад +2

    Ukweli tunapenda tuone mazoezi ya timu yetu... Ombi langu sio kila kitu mtutumie kwani kuweka wazi kila kinachofanyika huki sawa na kutoa siri ya siraha na mbinu zetu za kivita kuweni makini watu wa idara ya habari.

  • @AstaricoMwita
    @AstaricoMwita 3 месяца назад +1

    SIMBA yangu
    Nguvu Moja

  • @officialdana5114
    @officialdana5114 3 месяца назад +2

    me naomba nitoe ushauri japo ni mdog naomba kuwe na siku ya kujifunza cross wachezaji wote na mutenge siku ya kujifunza kulenga pia goal mkiwa mita 30 na keeper akiwa goalin

    • @officialdana5114
      @officialdana5114 3 месяца назад

      Sisi mashabiki tuna tamn kuona tteam inakuwa pana sio kwa wachezaj wakubwa tyu bali kwa mpira

    • @pauliddi9317
      @pauliddi9317 3 месяца назад

      Hilo kwenye program ya makocha hua ni lazima... Ila kwa sasa kinachotafuta ni level ya fitness iwe kwenye angalau 95% Ili waweze ku implement hizo tactics

  • @SaquinOriginal
    @SaquinOriginal 3 месяца назад

    Yes! Haina kukwama hiyooo....tunataka tuu ushindi

  • @AzizNassor-r8j
    @AzizNassor-r8j 3 месяца назад

    Mungu awalinde wote uko egypt simba nguvu 1

  • @alimasoudali9860
    @alimasoudali9860 3 месяца назад

    Hakika heshima lazima irudi❤❤❤

  • @JonsoniElisha
    @JonsoniElisha 3 месяца назад +3

    Nguvu ni moja 👍👍🤝🤝💪💪

  • @hawamkuzi8931
    @hawamkuzi8931 3 месяца назад

    simba nguvu moja ❤

  • @KeziaKaita
    @KeziaKaita 3 месяца назад

    Naipenda Simba sanaa hata kama waiseme vibaya ndo nimefika

  • @sulleimanshalua168
    @sulleimanshalua168 3 месяца назад

    Simbasc #Nguvumoja

  • @enockMashishanga
    @enockMashishanga 3 месяца назад

    Simba chama langunguvu moja

  • @Romanusthomas-b8c
    @Romanusthomas-b8c 3 месяца назад

    Pamoja sana❤❤❤❤❤❤

  • @KadustaBoy
    @KadustaBoy 3 месяца назад

    Kama kweli we Simba dam gonga like hapa

  • @tawaqalmuniss2902
    @tawaqalmuniss2902 3 месяца назад +1

    WHERE IS ISRAEL MWENDA 😢😢😢😢???????

  • @VeronicaPaul-cj1yu
    @VeronicaPaul-cj1yu 3 месяца назад +4

    Ogopa sana watalaam wa kumsoma mchezaji mmoja mmoja na mikimbio yake msije mkawafanya wachezaji wetu si lolote kumbe tunahalibu wenyewe kuonesha siraha zetu.

  • @Hope_Plus
    @Hope_Plus 3 месяца назад

    NGUVU moja❤

  • @adenchota2896
    @adenchota2896 3 месяца назад

    Chama langu dadeq linanpa mizuka apa ya hatarii👏👏👏👏👏

  • @ALEXLOTAN
    @ALEXLOTAN 3 месяца назад

    #simba #nguvu moya

  • @Officalshakespeare
    @Officalshakespeare 3 месяца назад

    mazoezi tuu makombe aaaaaa #simbanguvumoja tuko pamoja

  • @alexmasinde2471
    @alexmasinde2471 3 месяца назад

    Nakubari sana 💪💪💪

  • @stephanojonas9032
    @stephanojonas9032 3 месяца назад

    Nguvumoja ✊

  • @SalehFaki-im4nh
    @SalehFaki-im4nh 3 месяца назад +5

    AYOUB amenenepa sana na ni tatizo kubwa mwezi mmoja tu amejiachia ivo duh mbona anaenda kutia aibu laaa siivyo anatakiwa afanye kazi kweli kurejesha mwili sawa kama alivyokuwa mwanzo

    • @storytime1204
      @storytime1204 3 месяца назад +2

      Kutia aibu wapi? magolikipa wangapi wanene kuzidi ayoub lakini bado wapo vizur, ata hapo tu mazoezini anafanya vizur, huyo mtu wa mazoezi sio kama ndio atakua ivo ivo, anaweza akanenepa lakini akawa mwepesi

    • @AlexKanuya-fs2vr
      @AlexKanuya-fs2vr 3 месяца назад +2

      Unajua shida wa mashabika wa simba nimoja tu mnaongea kila mkiona kitu sometimes nyamazen maana kuna mambo mengine utakiwi ata kusema!! Kwan kunenepa ndo awez kucheza mpira au

  • @BirinaSakhoo-gr4eo
    @BirinaSakhoo-gr4eo 3 месяца назад +1

    Mbona kibu haonekan na cramo