“Kila mwafrika ni rasta” - Ras Inno aanika historia ya Rastafari & Reggae (NYUNDO YA BARUAN MUHUZA)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 мар 2019
  • Ni kipindi cha Nyundo ya Baruan Muhuza cha Alhamisi Machi 7, 2019 ambapo mgeni alikuwa ni gwiji wa muziki wa reggae barani Afrika, Innocent Nganyagwa au Ras Inno.
    Amefunguka mengi, kubwa ikiwa ni historian a utamaduni wa Rastafari, maana ya kuwa rasta, malengo ya mtu kuwa rasta na baadhi ya tofauri kati ya rasta na mtu asiye rasta.
    Kuhusu chimbuko la rasta, Inno amesema waafirika wote ni rasta, kwakuwa asili ya utamauni huo ni Afrika huku akifafanua sababu za kusema hivyo.
    Ras Inno pia amesimulia historia yake na historia ya muziki wa reggae duniani ambapo amethibitisha kuwa muziki wa reggae ni muziki wa waafrika.
    #NyundoYaBaruanMuhuza ni kila Alhamis saa 1:00 usiku #AzamSports2
    #RasInno #InnocentNganyagwa
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 148

  • @orestonjalika632
    @orestonjalika632 5 лет назад +5

    Huyu Ras Inno anajua vitu vingi sana juu ya sanaa ya muziki. Nimshauri tu, hivi vitu alivyoongea aandike katika kitabu chake. Asante baruan kwa session.👍👍

  • @paullimbu7599
    @paullimbu7599 5 лет назад +33

    Dah! Ikiwezekana Ras Inno arudi tena kwa kipindi kijacho....Katika watu wote uliowahi kuwaita kwenye kipindi hichi, huyu Ras Inno ni mbobezi. Twamhitaji tena

  • @methodnyunza6069
    @methodnyunza6069 5 лет назад +6

    Nimependa ....kwasababu anafahamu vitu vingi Sana vya kihistoria......wakati mwingine panapo majaliwa ...muulize kwa niaba...hizo nyama ambazo hatumii ni zipi ....na hizo anazotumia ni zipi na sababu zakutumia na kutotumia.
    Kazi nzuri Sana Rasta Baruan...keep it up.

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx 5 лет назад +6

    peace & love Ras Inno, kama itawezekana tunaomba huyu Ras arudi tena kuna vitu vingi tunahitaji kujifunza toka kwake

  • @mutetimunyambu
    @mutetimunyambu 5 лет назад +9

    Rasta is always well informed! I'm impressed.

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 4 года назад +1

    Rastafarians ndiyo jamii pekee ya wafrika wanaojielewa. Aisee interview iko dope!
    Ras Ino very smart aisee. Na Baruan naye dah anajua sana

  • @Mr.Kibabu
    @Mr.Kibabu 5 лет назад +8

    14:25 "Amani Na Upendo , katika nafsi iliyokuwa moja, mbele ya anayetuona"

  • @richardmlelwa1241
    @richardmlelwa1241 5 лет назад +6

    Bro yuko vizuri nimemkubali,baruan mwenyewe namwona amenogewa na material ya jamaa

  • @benmakullah8637
    @benmakullah8637 5 лет назад +19

    Very informative!! Gonga like kama ume-enjoy haya mahojiano kama mimi

    • @felixmagulu6142
      @felixmagulu6142 5 лет назад

      Hongera sana Mnyalukolo! Hakika una madini mengi.

  • @flimcmbvevo7414
    @flimcmbvevo7414 5 лет назад +7

    nimeipenda sana hii interview ukiskiza kwa makini utaelewa mambo mengi ambayo ulikua hujui kiukweli mimi ni msanii but nilikua sijui maana ya rap na maana ya rnb rasta inno nakukubali sana naskiza interview kutoka china ila nimehisi niko afrika
    wahgwan I and I

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 года назад

    Yuko sahihi ..... Bob aliimba forever lovin Jah ..... Humo ndani ndio anazungumzia jinsi jamii ilivyokuwa inawatazama marasta kipindi hiko na kuwahusisha na fujo , vurugu na ubaya . Respekt

  • @pascalgodfrey686
    @pascalgodfrey686 5 лет назад +2

    Session hii tamu sana na imetupa historia nzuri na elimu pia, MLETE TENA umalizie

  • @sumatanjunior231
    @sumatanjunior231 5 лет назад +5

    This interview was very well done. Excellent!

  • @martinmwakila6992
    @martinmwakila6992 5 лет назад +8

    Baruan nawewe kumbe upo vizuri

  • @athumaniomary1245
    @athumaniomary1245 4 года назад +1

    jamaa kichwani yuko vizuri sana....Anaakili sana akumbukumbu kubwa sana

  • @ramadhansteven325
    @ramadhansteven325 5 лет назад +4

    Hawa ma Ras huonekana kama watu waajab sana kwenye jamii lakin huwa wanawaza sana na wanajua mambo mengi sana lakin pia wana utu na uninadam mkubwa sana na ni wastaarab sana, peace and love i and i, aman mimi na mimi

  • @zackiepalmer232
    @zackiepalmer232 4 года назад +5

    I and I Rasta one love brethren

  • @mbatatakiazi1678
    @mbatatakiazi1678 5 лет назад +8

    Nimeipenda sana nyundo ya hii. ila ningeomba Ras Inno atuwezeshe kuona nyimbo zake au kutujuza zinapatikana wapi????

  • @masterchuki5541
    @masterchuki5541 3 года назад +2

    Kimsingi kuna mtu nilibishana naye sana kuhusu Imaani za kirasta leo nimeelewa sana

  • @aloycemwakatala2634
    @aloycemwakatala2634 5 лет назад +4

    Bila shaka mtangazaji umefurahia sana staili ya majibu ya rasta Kama nilivyo enjoy mimi.

  • @charlesnyamu3753
    @charlesnyamu3753 5 лет назад +1

    Baruani....hiyo shoo bomba!....mahonjiano yenye utaratibu na maeleze muafaka, Ras Inno u mtaratibu kweli, historia ya kirasta waifafanua kama kitabu kurasa baada ya nyingine....umependeza!..."twangonja raundi zingine kadhaa ikewezekani mtayirishi Baruani"

  • @amishadykiswaga1077
    @amishadykiswaga1077 5 лет назад +4

    Anajua vitu vingi sana.....better arudi tena. Rastars never die, I n I Jah....Rastafarian

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 года назад +2

    Bald head Rasta Baruani ..... Bald head hawakukubalika Sana Jamaica kwakuwa walitazamwa Kama wanafiki

  • @jerumayamwasomola1065
    @jerumayamwasomola1065 5 лет назад +2

    Napenda namna Baruani anavyouliza maswali, yuko makini sana. THIS IS THE BESTER INTERVIEW EVER.

  • @johnkibaja3465
    @johnkibaja3465 5 лет назад +3

    Big up Ras Innocent,True story...

  • @dngilangwa
    @dngilangwa 5 лет назад +4

    Great show!!!! Ras Inno uko juu!

  • @judamsaki5609
    @judamsaki5609 3 года назад +1

    great guy ...ras Inno

  • @ephraimkandonga9274
    @ephraimkandonga9274 5 лет назад +2

    Nimekuerewamno ras ino munguakuongezemiaka weweni nichuo tosha

  • @princemallya4085
    @princemallya4085 5 лет назад +6

    Hiii interview nzr cjawahi ona

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana 5 лет назад +3

    safi sana kwa kweli.

  • @rosemarykilonzo3119
    @rosemarykilonzo3119 5 лет назад +1

    Hi Ras, took I by storm. Been yarning for insight on Rastafarian concept n history. Jah Bless I n I 🤛🏿

  • @ngejejemashubi4213
    @ngejejemashubi4213 5 лет назад +3

    Nimeipenda sana hiyo historia

  • @hassanmorea5766
    @hassanmorea5766 Год назад

    Wa gwan man, I'm chun dis consecutively

  • @kiissrajabu964
    @kiissrajabu964 5 лет назад +1

    Jamaaa anajua sanaaa kujibu maswali short and clear kabisaaaaaaa

  • @DAMUSAFI
    @DAMUSAFI 5 лет назад +8

    “NYABINGI” ALITOKEA RWANDA 🇷🇼 ALIKUA MFALME WA UKO RWANDA 🇷🇼

    • @rasdaudi4199
      @rasdaudi4199 11 месяцев назад

      JAMBO UNALO SEMA SIO KWELI TAFAKARI FATILIA ULIZIA TAFUTA KWELI IPO WAZI

  • @innocentbon3339
    @innocentbon3339 Год назад

    Jah lives from south Africa mbeya ndio nyumbani ❤💛💚✊

  • @AlbertLema
    @AlbertLema 5 лет назад +5

    Mama yake Bob alishawahi kueleza story ya kubadilika kwa jina la Bob from Nesta Robert Marley to Robert Nesta Marley . Jina la Nesta alipewa na baba yake likimaanisha kwa lugha ya kiingereza "Messenger" .Mama yake alipokua akimtafutia Bob passport ya kuingia America kutokea Jamaica, afisa husika wa uhamiaji alisema Nesta ni jina la kike ( Nesta was traditionally a girl's name) . Mama yake akasema hapana baba yake amempa hilo jina (Nesta) . Lakini yule afisa akasema ni vizuri akaitwa Robert Nesta badala ya Nesta Robert . Mama yake akakubali na Bob mwenyewe alikua hapohapo wakati haya mazungumzo yaki endelea kati ya Afisa wa uhamiaji na Mama yake. Hivi ndivyo jina la Robert Nesta Marley lilipokuja.

  • @chriskimaro3614
    @chriskimaro3614 5 лет назад +2

    Huyu jamaa ana vitu vingi mrudishen bhana

  • @sophiafarid3488
    @sophiafarid3488 2 года назад

    Nimeipenda

  • @magelaoscarjr1401
    @magelaoscarjr1401 5 лет назад +3

    ni mtu ambae anajb kwa kile alicho ulizwa nicee Mr kamwene

  • @amonamos7188
    @amonamos7188 5 лет назад +4

    Hawa jamaa wana uwezo mzuri wa kujieleza maana nakumbuka mwaka 2014 niliwahi kumhoji Rasta mmoja juu ya imani yao kwa kipindi cha masaa matatu, alijieleza bila kuchoka.
    Believe in Christ Jesus you will be Delivered.
    Otherwise, you cage yourself into evil bonds.

  • @lastking9248
    @lastking9248 5 лет назад +2

    Naskiza kutoka kenya.....ana maelozo mazuri xana

  • @bobizes5058
    @bobizes5058 4 года назад +2

    Rastafari H.I.M Girmawi Kedamaw'e Haile Selassie I Jah First Negusa Negas Ababa Jon Hoy...izes to the world...but Afreeka first...Original black message of truthz & Rightz instilled in I & I rise fwd Exodus...Movements of Jah people...men & people will fight you down when you see Jah light...let me tell you if you're not wrong everything is all right...Wonderful & Marvellous...upfulness...beautiful for situation the joy of the whole earth is mount Zion....Revelation reveals Jah truth...babylon world flesh & devil system is falling down to utter destruction...Æthiopia/Afreeka the wise shall arise...I.N.R.I...Selah inna Ameyn & Ameyn...

  • @mchuumchu9801
    @mchuumchu9801 5 лет назад +4

    Huyu Ras inno mrudishe tena yuko vizuri kihistoria

  • @gabrielsanga5313
    @gabrielsanga5313 Год назад +1

    Huyu jamaa ni hatari anajua vitu ving sana

  • @West-side-lt9nb
    @West-side-lt9nb 5 лет назад +10

    Rastafai.. one love Ras Inno

  • @rasndekuonia2677
    @rasndekuonia2677 5 лет назад +10

    You dont have a Deadlock to be a Rasta, Rasta not a deadlocks things but Devine Conceptual of you heart, Rast aint a religion but a movement to maintain the balance. In the world.

    • @raskabwe9279
      @raskabwe9279 4 года назад

      Kunakitu kaka Ino ajakiweka wazi kua Haile Selassie ndio mungu wa Rastafari

  • @judamsaki5609
    @judamsaki5609 3 года назад

    hapa shule nimepata shule dahh....great

  • @mandvdg4923
    @mandvdg4923 3 года назад +1

    Jah Blessing u Ras Inno

  • @soltanisud8821
    @soltanisud8821 5 лет назад +2

    Big up rast mn tp pamoja xn bng ndo kila kt kwet marast

  • @ramadhantiba4592
    @ramadhantiba4592 5 лет назад +7

    Ras Kamwene, Moja ya nyundo ya maaana kuwahi kutokea, jaama anaelewaka vizur, sio masuala ya kuwaita akina mpoto wanakuja kuhamaki kwenye nyundo

  • @hamisihassan9018
    @hamisihassan9018 5 лет назад +6

    Watu kama hawa ndio tunaotaka kwa interview sio kila wakati kina Juma lokole

  • @ngaruchu1730
    @ngaruchu1730 5 лет назад +4

    Kweli huyu Ras Ino nafama historia ya muziki...kwa muda sijaona mahonjiano mazuri hivi

  • @magzeeee
    @magzeeee 5 лет назад +1

    daaah busara nyingi sanaaaa

  • @ahmedali0333
    @ahmedali0333 5 лет назад +3

    IKIANGALIA HIII INTERVEW UNA ENJOY KWELI CZ HAWA WATU WOTE WANAJUWA WANACHOKIFANYA BIG UP KWENUU✌

  • @jomikomike1682
    @jomikomike1682 5 лет назад +1

    Ras umetisha..

  • @lukasielibariki3181
    @lukasielibariki3181 5 лет назад +3

    Kipindi kinzuri sana

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 5 лет назад +9

    Urasta ni sehemu ya dini kikiristo ya jehova iliyoanzishwa na wajamaika katika karne ya iliyopita,na kumweka mfalme haile selassie, kuwa mtume wao, na Neno Rasta ni neno la kiethiopia,lililotokana na ufalme wa Ethiopia.

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 5 лет назад +4

    Siku zote Rasta hua na mawazo pevu sana

  • @greatiq8234
    @greatiq8234 5 лет назад +1

    Kasoro mimi na ukoo wangu tu!!!

  • @jimyjastini9995
    @jimyjastini9995 11 месяцев назад +1

    Pisi ❤❤❤🦁

  • @5starsmoviecenter714
    @5starsmoviecenter714 5 лет назад +2

    Kenya every Thursday Friday is a reggae day

  • @clausemsemwa3704
    @clausemsemwa3704 5 лет назад +1

    Hili jamaa linajua mambo haya du!

  • @sk-wj9or
    @sk-wj9or 5 лет назад +2

    Raster ni movement na dread ni mtindo wa nywele wenye asili ya mtu mweusi ulio na chimbuko la utamaduni wa kiafrika.

  • @juliusuronu7862
    @juliusuronu7862 5 лет назад +5

    Huyu jamaa #RasINNO ana elimu gani?

  • @omarishaibu7704
    @omarishaibu7704 5 лет назад +2

    Kipindi kizur mualike tena

  • @rahmanino2971
    @rahmanino2971 5 лет назад +1

    Shikamoo rasi inno

  • @kevinseggu2609
    @kevinseggu2609 5 лет назад +1

    Blessa 🙏

  • @stanleymavurastanleymavura9295
    @stanleymavurastanleymavura9295 5 лет назад +1

    Kumbe hata mimi ni Rasta hasante inno

  • @kreativemohnq2764
    @kreativemohnq2764 5 лет назад

    loo! historia nimeiskia leo,

  • @peterraymwasha2362
    @peterraymwasha2362 5 лет назад +2

    HIM first. Kadamawe kadamawe

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 года назад +1

    Dreadlock Bob alisema NI IDENTITY tu ...... Wala hainauhusiano na urasta......

  • @tannylunya1069
    @tannylunya1069 3 года назад

    Love Rastafarian

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 5 лет назад +2

    Duh uyo ras wa iringa NBC tupo nae bwana tunamuona

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 5 лет назад

    Inno yupo deep sana

  • @fideliskimati4619
    @fideliskimati4619 5 лет назад +2

    I and i ire rasta

  • @herbertsamuel5324
    @herbertsamuel5324 5 лет назад +1

    Rasta sio aina ya nywele. .ingia Google ujue kwanza nn maana ya neno rasta.....Rasta limetokana na mfalme wa Ethiopia..alikua anaitwa Tafari Makonen ..ambaye ndiye haile sellassie..Ras..Tafari

    • @blackpanther4825
      @blackpanther4825 4 года назад

      Wewe ngedere.umesikiliza interview vema au unabwabwaja km mavi? Hajasema rasta ni nywele we kichwa kiazi

  • @adammlowo7362
    @adammlowo7362 5 лет назад +1

    Go Ras go Ras

  • @mukikibati3519
    @mukikibati3519 5 лет назад

    Good ino

  • @arahmantvonline
    @arahmantvonline 5 лет назад +1

    Mi simo

  • @kungunganga4903
    @kungunganga4903 2 года назад

    RAS is amharic meaning prince .. Prince tafari makonen.. ..he was a prince before king hence Ras tafari makonen.. But this guy has history

  • @IbrahimAli-vi9ep
    @IbrahimAli-vi9ep 5 лет назад +2

    Sio kila muafirika ni Rasta
    Ni kila Rasta ni muafirika
    Hivi ni ukweli

  • @judamsaki5609
    @judamsaki5609 3 года назад

    this guy has read history ...alot of issues.....darasa

  • @yoveanyakarungu1547
    @yoveanyakarungu1547 5 лет назад

    Amen

  • @leonardmsafiri2199
    @leonardmsafiri2199 9 месяцев назад

    Kuna story nyingi za kijiweni moja wapo Calton barret na kaka yake wanatokea Burundi ni baseless story myalukolo

  • @judamsaki5609
    @judamsaki5609 3 года назад

    bright guy

  • @manengwamwenekunengwa5603
    @manengwamwenekunengwa5603 3 года назад +1

    Rastaman Vibration

  • @franknurudin5959
    @franknurudin5959 3 года назад

    Ata mm napenda urasta nipo na iman ya kirasta

  • @testarguy8609
    @testarguy8609 5 лет назад +1

    For real

  • @kennethmateru1512
    @kennethmateru1512 5 лет назад +1

    kinyondinyondi che kiki mwagito

  • @hassamfariis1754
    @hassamfariis1754 5 лет назад

    Rasta umeniacha hoi apo ulipo sema osama anauza bangi

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 5 лет назад +1

    Alizaliwa innocent baadae akawa Guilty hahaha.

  • @kingayoubshabani2551
    @kingayoubshabani2551 4 года назад

    hii ndo NYUNDO sasa

  • @vinehots3114
    @vinehots3114 5 лет назад

    Duh kumbe osama alıkua anauza bangı? Rasta unaushahıdı ?

  • @kamandab7976
    @kamandab7976 5 лет назад

    Arudi tena ras inno

  • @kadikmctv7578
    @kadikmctv7578 5 лет назад +1

    irie man...🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @rashidyrashidy3923
    @rashidyrashidy3923 5 лет назад +1

    👊👊👊👊👊🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @kinigarm8239
    @kinigarm8239 5 лет назад +1

    Kijiji Cha Marasta, nyote mlikufa kwa kuumwa na nyoka. Tuliwapa Morogoro ila hamkuweza.

  • @mrishomzelela4627
    @mrishomzelela4627 5 лет назад +3

    hapo kwenye understand na overstand ndo nimekupata

  • @oopsm3574
    @oopsm3574 5 лет назад

    Bangi tu