R.i.p Umelala na nina imani umelala mkono wa bwana,huu wimbo utakuwa faraja kwa wafuasi wa nyimbo zako na ndugu zako kwa ujumla,Tukutane jerusalem mpya.
Pumnzika kwaamani mtumishi wa baba mwendo umeumaliza,imani umeilinda,aaaaa tutaonana siku ya mwisho bwana atakapo tuvarisha taji,simimitu wala wewe bali kila mtu ambae jina lake limeandikwa ktk kitabu cha uzima,by mpendwa tutaonana asubuhi njema,aaaaamina.
Pumzika kwa amani mtumish wa Mungu! Ulieimba ktk roho na kwel, tupo kwenye kipind ambacho ata hofu ya Mungu tumeipoteza, maafa kila kukicha, mafuriko na ajar zimeongezeka ee Mungu tusamehe😢😢😢
Kweli ulijua mwansasu ulale salama mwamba leo umelala kabisa kumbe Kweli tutalala cku moja kama ulivyolala leo Mungu akupokee na akuondolee dhambi mtumishi wetu
Rip kweli tunatamani kukuita ila tunajua huwezi itika na tunalia ila najua hutuonii ila siku zote mtu anasifiwa akiwa hayupo duniani tena emungu nisaidie na uniongonzee mm kwahakil zangu siwezi nitaishia kulinga tu na vyadunia bila kukumbuka kama siku moja nitalala amen
R.I.P pastor hakika duniani tunapita. Nakumbuka sana miezi kama hii miaka 10 iliopita tulivoongea na ulivotushauri na mchumba wangu, wakati namvalisha pete na kutangaza ndoa kanisani kwako ubungo Pumzika kwa amani
Namshukuru Mungu kwa ajili ya zawadi ya maisha yako, ahsante kwa kazi nzuri uliyoifanya dunia. Umetuachia alama isiyofutika maishani, pumzika kwa amani mtumishi wa Mungu!
R .i.p mwasasu hakika akuna aijuaye kesho hii nyimbo ni ya miaka mingi ila leo hii imekuwa kweli pumzika kwa amani umetangulia ila na sisi tunakufuata yatupasa tuyatende mema yampendezayo mungu ili iwe hazina yetu ya kesho ambayo atuijui kila goti litapigwa kwako amen .
😭😭😭Pumzika kwa amani nikiusikia huu wimbo navuta picha siku ndugu zangu wanalia na siwez tena ongea 😢😢😢watatamani hata waone tabasamu langu lakn haitawezekana😭😢😢😢
Kama umeludia kutazama 2024 naomba subscribers zako
Nipo mimi mkuu huyu ndg yangu kabisa nimemkumbuka mjomba wangu 😢😢😢😢😢
Kama umerudi kuangalia wimbo huu baada ya taarifa ya kifo like hapa......PUMZIKA KWA AMANI MWANSASU
😭😭😭😭😭 rip
Uyu amishafarik kumbe 😭😭😭
Duuuuh😭😭😭 dunian tunapita jmn
Wimbo huu unanifikisha mbali sana jamani kifo hiki huyu baba nilimpenda sana
Pumzika katika Bwana Mtumishi wa Mungu,Nenda kaimbe pamoja na malaika,😭
RIP Pastor. Asante kwa utumishi mwema. Ni kweli tunalia na tutakukumbuka. Mwenyezi Mungu akupokee!
Rip Mungu ametoa na ametwaa, Jina lake libarikiwe
Du jamani inauma nyimbo zake zilikuwa na ujumbe Mwanga wa milele ukuangazie eebwana
R.i.p Umelala na nina imani umelala mkono wa bwana,huu wimbo utakuwa faraja kwa wafuasi wa nyimbo zako na ndugu zako kwa ujumla,Tukutane jerusalem mpya.
Pumnzika kwaamani mtumishi wa baba mwendo umeumaliza,imani umeilinda,aaaaa tutaonana siku ya mwisho bwana atakapo tuvarisha taji,simimitu wala wewe bali kila mtu ambae jina lake limeandikwa ktk kitabu cha uzima,by mpendwa tutaonana asubuhi njema,aaaaamina.
Hakika kule naimani tutakutana na wapendwa wetu poleni familia,,dah mwasansu😭😭😭😰
Amen mtumishi
@@suziemgata8925 RIP
Yuonane paradiso kaka
Rip Mwasasu from Nairobi Kenya 🇰🇪
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Nitakuwa mgeni wa nan wakati kifo kikinifika😭😭😭Eee Mungu nipe mwisho Mwema 🙏🙏🙏
Daaaaahhh!!!! Huuu wimbo unanikumbusha kifo chabibi angu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
R.i.p rais wangu mpendwa, daima nitakuombea pumzka baba. Mwendo umeumaliza
Nimekuja kuusikiliza huu wimbo baada ya kusikia amefariki Pumzika kwa amani Mwansasu nyimbo zako ilikuwa faraja sana.
Mungu naomba siku yangu ya kuondoka niwe salama mikononi mwako🙏🙏🙏
R.I .P mtumishi wa mungu mwansasu 😭😭😭😭😭😭😭😭
Wimbo huu unanikumbusha R.I.P baba mzazi wangu mzee mwl jonn Michael kazamaso tunakukumbuka mzee wetu
I'M SO SORRY
Wanadamu tuwe nakitu Cha kufanya watu watukumbuke mwansansu namkumvuka sana nikisikiliza wimbo huu siku nikilala😢
Shuda wanadamu ni hukumbuka mtu kwa mapaya mtumishi
Daaaa wimbo huyu kama mwansasu alijiona mingu akuhulumie baba.
Rest in Peace Mwansasu,was here crying about my dad's death,he loved your songs..just to realise people are typing rest in peace too.greet each other.
Nimekuja hapa baada ya kifo cha Rais wangu John Pombe magufuli
Uko na mm hapa
Me too lm here
Tupo wengi
R.I.P., pastor mwansansu wote njia ni moja mpe hii j.p.m.
Rest easy pastor Mwansasu, we are all passing through this world. 🙏🙏🙏
hakika mungu atupe mwisho mwema ubalikiwe mchungaji kwa ujumbe mzuli tuishi tukitafakali kwamba baada ya kifo ni huku nimeielewa sana
R. I. P Dr. John P Magufuli
Napenda Sana huu wimbo, Mungu nisaidie, Yuko wapi huyu mtumishi wa Mungu?
Yupo ni mchungaji kwa sasa
Pumzikeni kwa amani wazazi wangu wapendwa niliwapenda Sana mungu awalaze roho yenu mahali pema peponi🙏🙏🙏
Mwimbaji huyu amefariki leo, apumizke kwa amani
Pumzika kwa amani mtumish wa Mungu! Ulieimba ktk roho na kwel, tupo kwenye kipind ambacho ata hofu ya Mungu tumeipoteza, maafa kila kukicha, mafuriko na ajar zimeongezeka ee Mungu tusamehe😢😢😢
Kweli ulijua mwansasu ulale salama mwamba leo umelala kabisa kumbe Kweli tutalala cku moja kama ulivyolala leo Mungu akupokee na akuondolee dhambi mtumishi wetu
Mwendo umeumaliza imani umeilinda...tuonene paradiso R.I.P Pasta.
Pumzika kwa amani raisi wangu kipenzi... JPM 😭😭
Daaaaah 😭😭😭😭😭magu wetu na yeye jmn
Rest in Peace 29 August 2021💔
Mungu tujalie mwisho mwema Amina
R.i.p kweli kabisa tunaomboleza Mtumishi 😭😭😭😭
Hivi watu huwa wanailewa hii nyimbo kweli, mbona mm inaniingia sana
Barikiwa sana
Pumzikeni kwa amani wazazi wangu wapendwa tutawakumbuka daima hakika pengo alizibiki inauma Sana😭😭😭😭😭😭😭
Rip kweli tunatamani kukuita ila tunajua huwezi itika na tunalia ila najua hutuonii ila siku zote mtu anasifiwa akiwa hayupo duniani tena emungu nisaidie na uniongonzee mm kwahakil zangu siwezi nitaishia kulinga tu na vyadunia bila kukumbuka kama siku moja nitalala amen
R.I.P pastor hakika duniani tunapita. Nakumbuka sana miezi kama hii miaka 10 iliopita tulivoongea na ulivotushauri na mchumba wangu, wakati namvalisha pete na kutangaza ndoa kanisani kwako ubungo Pumzika kwa amani
How I love this song shocked to here today that you died a month ago rest in peace Baba😭😭😭💔
DAAH JINA LAKE MOLA LIHIMIDIWE MILELE
Pumzika kwa Aman Mama angu!!!!!!Wanao tumekukunbuka saaana;;;;;😭😭😭
Pumunzika kwa amani umetuachia ujumbe
Yaan ni bonge la nyimbo mtumishi❤❤❤😢😢😢🎉🎉🎉
Pumuzika kwa Amani baba yetu n'a huku Burundi tunahujuwa kwa nyimbo zako za kukumbusha watu kutubu
Namshukuru Mungu kwa ajili ya zawadi ya maisha yako, ahsante kwa kazi nzuri uliyoifanya dunia. Umetuachia alama isiyofutika maishani, pumzika kwa amani mtumishi wa Mungu!
Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi tulikupena sana lakini mungu kakupenda zaidi lala kaka umeenda na ucheshi wako amina
Kazi uliyoifanya ni njema, wengi waliokolewa kupitia jina la Yesu kwa uimbaji wako na uinjilisti wako.
Mungu amsamehe mtumishi kupitia wimbo huu. Alituumiza sana
Pumzika kwa amani Mtumishi wa Mungu wimbo huu utawaliza Sana mkeo nafamilia kwani Kama uliuimba kuwa utakufa kwa Jeri Mwansasu
Pumzika kwa Amani mwansasu😪😪
sijui mini nitakuwa mgeni wa nani ee mungu nisaidie
Pumzika kwa amani baba na mdogo wangu mpendwa
R .i.p mwasasu hakika akuna aijuaye kesho hii nyimbo ni ya miaka mingi ila leo hii imekuwa kweli pumzika kwa amani umetangulia ila na sisi tunakufuata yatupasa tuyatende mema yampendezayo mungu ili iwe hazina yetu ya kesho ambayo atuijui kila goti litapigwa kwako amen .
R.I.P wazazi wangu mwanenu nimewamisi sana mlale salama
Mwenyez mungu ailaze roho yako mahali pema pepon Amina tulikusoma Sana mwansasu
🎉🎉🎉 dah 😢😢😢😢😢
Da, umetutoka mtumishi ungali bado tunakuhitaji, ila Mungu anajua yote, tutakukumbuka daima
R.I.P bishop uliimba ukweli kabisa, sasahivi umesha lala. Ambae atakuamsha ni Mungu baba pekee
🛌😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿 Tulikulilia sana
Daaaah jmn hii nyimbo ulijiona kuwa utalala.pumxika mtumishi wa Mungu
Pumzika mtumishi wa Mungu😭😭😭
Ama hakika umelala baba Mungu akutunze zaidi huko tukuone tena
😢😢😢pumzika kwa amani shujaa wa Bwana.
R.p pastor mwansasu
R.i.p mtumish mwansasu
Rip my cousin Ryan Mungu nitie nguvu wakati huu
Punzika mtumishi kazi uliyotumwa umekamilisha
Kwa kweli tunalia mtumishi wa mungu nenda kwa aman kazi umeimaliza
kweli umelala nA tunakuliliya sana RIP mtumishi sote njiya moja
R.I.p mzee Richard Gesase tutakukumbuka daima
Hakika umelala Mtumishi. Pumzika sasa, pumzika kwa amani.
😭😭😭Pumzika kwa amani nikiusikia huu wimbo navuta picha siku ndugu zangu wanalia na siwez tena ongea 😢😢😢watatamani hata waone tabasamu langu lakn haitawezekana😭😢😢😢
Rip brother you inspired many through your ministry
Nenda baba umemaliza mwendo salama kazi uliyo tumwa kufanya umekamilisha pumzika kwaamani
Pumzika kwa amani mpendwa wetu .aina budi tumshukuru Mungu kwa yote.
Umelala babangu😭😭😭 umelala Tayar baad ya kifo hukumu,,😭pumzika shujaa
Umefanya kazi kwa wakati wako baba mwansasu hakika ujumbe wako tutaishi nao daima
Pumzika kwa amani pastor Leo hakuna wa kukuamsha umetuacha tunalia
2024 pasaka nimeangalia huu wimbo jaman Mungu naomba unipe mwishomwema
Rip mtumishi mwansasu
Rest in Peace Pst Mwansasu... Mwendo umeumaliza
Hakika umelala kama ulivoimba.tutakukumbuka daima.
Pumzika kwa Amani Shujaa Wa injili Bishop Ephraimu mwansasu
Nipe mwisho mwema Yesu😢
Mungu akubebe ktk mikono yake we mke 😭😭😭nikama alijua atakutangulia 😭😭😭😭
pumzika kwa amani pastor 🙏
Pumzika kwa amani mtumishi wetu
Daah R.i.p kiukweli sioutani Kila niskiapo nyimbo hii naumiaga Sana tu
R.I.P mtumishi
Rest in peace man of God
R.I.P Mom ang nakumbka ulikua unapenda kuimb uu wimbo
R.I.P
RIP. Pastor! Asante kwa utumishi wako. Ni kweli tunalia. Bwana Yesu akupokee!
Pumzika kwa Aman Pstor MWANSANSU..
Mwasasu
Dah
Pumzika kwa amani mtumishi 🖐️
Pumzika kwa amani mzee Marko mbogo ,, pumzika kwa amani mwansasu🙏
Daa
R I p mtumishi mwimbaji mungu akupe Pumziko LA aman I😭😭😭
Pumzika kwa aman mtumishi r. I. p sote njia moja
R.i.p mtumishi wa Bwana tutakumis mwansasu
mungu akupokee mtumishi wa mungu R.i.p tuta kukumbuka sana
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
RIP pumzika Kwa amani
Mungu ampokee kifuani pake amen
R. I. P mtumishi wa bwana😭😭😭😭😭mwendo umeumaliza
Rest in peace mtumishi
r. i. p mtumishi wa mungu ephraem mwansasu