SIKU NIKILALA By PASTOR E.R MWANSASU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • Song; Siku Nikilala
    Artist;Pastor E.R Mwansasu

Комментарии • 300

  • @kinyokasaidi
    @kinyokasaidi 6 месяцев назад +14

    Kama umeludia kutazama 2024 naomba subscribers zako

    • @directormwangomile4274
      @directormwangomile4274 3 месяца назад +1

      Nipo mimi mkuu huyu ndg yangu kabisa nimemkumbuka mjomba wangu 😢😢😢😢😢

  • @azizinsemwa5329
    @azizinsemwa5329 3 года назад +37

    Kama umerudi kuangalia wimbo huu baada ya taarifa ya kifo like hapa......PUMZIKA KWA AMANI MWANSASU

  • @marymswanyama1483
    @marymswanyama1483 3 года назад +22

    Pumzika katika Bwana Mtumishi wa Mungu,Nenda kaimbe pamoja na malaika,😭

  • @husseinmwankusye3079
    @husseinmwankusye3079 3 года назад +35

    RIP Pastor. Asante kwa utumishi mwema. Ni kweli tunalia na tutakukumbuka. Mwenyezi Mungu akupokee!

  • @trainertz
    @trainertz 3 года назад +25

    R.i.p Umelala na nina imani umelala mkono wa bwana,huu wimbo utakuwa faraja kwa wafuasi wa nyimbo zako na ndugu zako kwa ujumla,Tukutane jerusalem mpya.

    • @jacobluhunga9416
      @jacobluhunga9416 3 года назад

      Pumnzika kwaamani mtumishi wa baba mwendo umeumaliza,imani umeilinda,aaaaa tutaonana siku ya mwisho bwana atakapo tuvarisha taji,simimitu wala wewe bali kila mtu ambae jina lake limeandikwa ktk kitabu cha uzima,by mpendwa tutaonana asubuhi njema,aaaaamina.

    • @suziemgata8925
      @suziemgata8925 3 года назад

      Hakika kule naimani tutakutana na wapendwa wetu poleni familia,,dah mwasansu😭😭😭😰

    • @yohana0090
      @yohana0090 2 года назад

      Amen mtumishi

    • @amanimgalla7697
      @amanimgalla7697 2 года назад

      @@suziemgata8925 RIP

    • @haruniaisha5905
      @haruniaisha5905 2 месяца назад

      Yuonane paradiso kaka

  • @ezekielmwau7320
    @ezekielmwau7320 3 года назад +13

    Rip Mwasasu from Nairobi Kenya 🇰🇪

  • @subirambao5762
    @subirambao5762 4 года назад +9

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Nitakuwa mgeni wa nan wakati kifo kikinifika😭😭😭Eee Mungu nipe mwisho Mwema 🙏🙏🙏

  • @mayarajulius
    @mayarajulius Год назад +2

    Daaaaahhh!!!! Huuu wimbo unanikumbusha kifo chabibi angu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @catherinelandas3711
    @catherinelandas3711 3 года назад +8

    R.i.p rais wangu mpendwa, daima nitakuombea pumzka baba. Mwendo umeumaliza

  • @velejilyomhongole6698
    @velejilyomhongole6698 3 года назад +6

    Nimekuja kuusikiliza huu wimbo baada ya kusikia amefariki Pumzika kwa amani Mwansasu nyimbo zako ilikuwa faraja sana.

  • @dixminderjngao1056
    @dixminderjngao1056 3 года назад +3

    Mungu naomba siku yangu ya kuondoka niwe salama mikononi mwako🙏🙏🙏

  • @alexgabriel6153
    @alexgabriel6153 3 года назад +10

    R.I .P mtumishi wa mungu mwansasu 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @kazungujohn8028
    @kazungujohn8028 4 года назад +10

    Wimbo huu unanikumbusha R.I.P baba mzazi wangu mzee mwl jonn Michael kazamaso tunakukumbuka mzee wetu

  • @sephaniamwampashi2132
    @sephaniamwampashi2132 11 месяцев назад +2

    Wanadamu tuwe nakitu Cha kufanya watu watukumbuke mwansansu namkumvuka sana nikisikiliza wimbo huu siku nikilala😢

    • @BoazWalumbe-sn9rf
      @BoazWalumbe-sn9rf 6 месяцев назад

      Shuda wanadamu ni hukumbuka mtu kwa mapaya mtumishi

  • @sephaniamwampashi2132
    @sephaniamwampashi2132 Год назад +1

    Daaaa wimbo huyu kama mwansasu alijiona mingu akuhulumie baba.

  • @rhodahoketch1491
    @rhodahoketch1491 3 года назад +3

    Rest in Peace Mwansasu,was here crying about my dad's death,he loved your songs..just to realise people are typing rest in peace too.greet each other.

  • @ilyasmuhidin8429
    @ilyasmuhidin8429 3 года назад +9

    Nimekuja hapa baada ya kifo cha Rais wangu John Pombe magufuli

  • @neemacosmas3080
    @neemacosmas3080 3 года назад +1

    R.I.P., pastor mwansansu wote njia ni moja mpe hii j.p.m.

  • @desiremnyavanu22
    @desiremnyavanu22 3 года назад +6

    Rest easy pastor Mwansasu, we are all passing through this world. 🙏🙏🙏

  • @saibmusa7811
    @saibmusa7811 3 года назад +2

    hakika mungu atupe mwisho mwema ubalikiwe mchungaji kwa ujumbe mzuli tuishi tukitafakali kwamba baada ya kifo ni huku nimeielewa sana

  • @mutashubirwaadrophinus9602
    @mutashubirwaadrophinus9602 3 года назад +10

    R. I. P Dr. John P Magufuli

  • @thomasshallo_official4328
    @thomasshallo_official4328 3 года назад +3

    Napenda Sana huu wimbo, Mungu nisaidie, Yuko wapi huyu mtumishi wa Mungu?

    • @georgekabuka4284
      @georgekabuka4284 3 года назад

      Yupo ni mchungaji kwa sasa

    • @milkamagati6780
      @milkamagati6780 3 года назад

      Pumzikeni kwa amani wazazi wangu wapendwa niliwapenda Sana mungu awalaze roho yenu mahali pema peponi🙏🙏🙏

    • @bukombeshy3644
      @bukombeshy3644 3 года назад

      Mwimbaji huyu amefariki leo, apumizke kwa amani

  • @KhadijaJacob
    @KhadijaJacob 5 месяцев назад

    Pumzika kwa amani mtumish wa Mungu! Ulieimba ktk roho na kwel, tupo kwenye kipind ambacho ata hofu ya Mungu tumeipoteza, maafa kila kukicha, mafuriko na ajar zimeongezeka ee Mungu tusamehe😢😢😢

  • @cleomachota4305
    @cleomachota4305 3 года назад

    Kweli ulijua mwansasu ulale salama mwamba leo umelala kabisa kumbe Kweli tutalala cku moja kama ulivyolala leo Mungu akupokee na akuondolee dhambi mtumishi wetu

  • @mussaisaac
    @mussaisaac 3 года назад +1

    Mwendo umeumaliza imani umeilinda...tuonene paradiso R.I.P Pasta.

  • @boniphaceyohana7289
    @boniphaceyohana7289 3 года назад +5

    Pumzika kwa amani raisi wangu kipenzi... JPM 😭😭

  • @IsaacNgunga
    @IsaacNgunga 3 года назад +13

    Rest in Peace 29 August 2021💔

  • @Leila-q8s
    @Leila-q8s 9 месяцев назад +1

    Mungu tujalie mwisho mwema Amina

  • @joycekwayaya7537
    @joycekwayaya7537 3 года назад +2

    R.i.p kweli kabisa tunaomboleza Mtumishi 😭😭😭😭

  • @jumaabduli781
    @jumaabduli781 4 года назад +2

    Hivi watu huwa wanailewa hii nyimbo kweli, mbona mm inaniingia sana

  • @milkamagati6780
    @milkamagati6780 3 года назад +1

    Pumzikeni kwa amani wazazi wangu wapendwa tutawakumbuka daima hakika pengo alizibiki inauma Sana😭😭😭😭😭😭😭

  • @lilianmashanya1417
    @lilianmashanya1417 3 года назад

    Rip kweli tunatamani kukuita ila tunajua huwezi itika na tunalia ila najua hutuonii ila siku zote mtu anasifiwa akiwa hayupo duniani tena emungu nisaidie na uniongonzee mm kwahakil zangu siwezi nitaishia kulinga tu na vyadunia bila kukumbuka kama siku moja nitalala amen

  • @brightonmalekela9981
    @brightonmalekela9981 5 месяцев назад

    R.I.P pastor hakika duniani tunapita. Nakumbuka sana miezi kama hii miaka 10 iliopita tulivoongea na ulivotushauri na mchumba wangu, wakati namvalisha pete na kutangaza ndoa kanisani kwako ubungo Pumzika kwa amani

  • @ruthhopemasaba8135
    @ruthhopemasaba8135 3 года назад +3

    How I love this song shocked to here today that you died a month ago rest in peace Baba😭😭😭💔

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 2 года назад +1

    DAAH JINA LAKE MOLA LIHIMIDIWE MILELE

  • @amidusamson460
    @amidusamson460 3 года назад +1

    Pumzika kwa Aman Mama angu!!!!!!Wanao tumekukunbuka saaana;;;;;😭😭😭

  • @FrenkMwaulambo
    @FrenkMwaulambo 10 дней назад

    Pumunzika kwa amani umetuachia ujumbe

  • @PauloIsmaili-ot8wd
    @PauloIsmaili-ot8wd 4 месяца назад

    Yaan ni bonge la nyimbo mtumishi❤❤❤😢😢😢🎉🎉🎉

  • @JonasElhoud
    @JonasElhoud 2 месяца назад

    Pumuzika kwa Amani baba yetu n'a huku Burundi tunahujuwa kwa nyimbo zako za kukumbusha watu kutubu

  • @oddondunguru2817
    @oddondunguru2817 3 года назад +1

    Namshukuru Mungu kwa ajili ya zawadi ya maisha yako, ahsante kwa kazi nzuri uliyoifanya dunia. Umetuachia alama isiyofutika maishani, pumzika kwa amani mtumishi wa Mungu!

  • @janetnjovu1251
    @janetnjovu1251 2 года назад

    Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi tulikupena sana lakini mungu kakupenda zaidi lala kaka umeenda na ucheshi wako amina

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack7786 3 года назад

    Kazi uliyoifanya ni njema, wengi waliokolewa kupitia jina la Yesu kwa uimbaji wako na uinjilisti wako.

  • @EstaPaulo-mz6fn
    @EstaPaulo-mz6fn 4 месяца назад

    Mungu amsamehe mtumishi kupitia wimbo huu. Alituumiza sana

  • @ruthelia9289
    @ruthelia9289 3 года назад

    Pumzika kwa amani Mtumishi wa Mungu wimbo huu utawaliza Sana mkeo nafamilia kwani Kama uliuimba kuwa utakufa kwa Jeri Mwansasu

  • @NurhatTravecy
    @NurhatTravecy 5 месяцев назад

    Pumzika kwa Amani mwansasu😪😪

  • @yusuphmathias4729
    @yusuphmathias4729 4 года назад +1

    sijui mini nitakuwa mgeni wa nani ee mungu nisaidie

  • @dianajohn3493
    @dianajohn3493 3 года назад +2

    Pumzika kwa amani baba na mdogo wangu mpendwa

  • @amonijames5183
    @amonijames5183 3 года назад

    R .i.p mwasasu hakika akuna aijuaye kesho hii nyimbo ni ya miaka mingi ila leo hii imekuwa kweli pumzika kwa amani umetangulia ila na sisi tunakufuata yatupasa tuyatende mema yampendezayo mungu ili iwe hazina yetu ya kesho ambayo atuijui kila goti litapigwa kwako amen .

    • @barakashizya1549
      @barakashizya1549 3 года назад

      R.I.P wazazi wangu mwanenu nimewamisi sana mlale salama

  • @nicodemshello163
    @nicodemshello163 3 года назад

    Mwenyez mungu ailaze roho yako mahali pema pepon Amina tulikusoma Sana mwansasu

  • @directormwangomile4274
    @directormwangomile4274 3 месяца назад

    🎉🎉🎉 dah 😢😢😢😢😢

  • @labanakyoo4177
    @labanakyoo4177 3 года назад

    Da, umetutoka mtumishi ungali bado tunakuhitaji, ila Mungu anajua yote, tutakukumbuka daima

  • @liliansafi6519
    @liliansafi6519 3 года назад

    R.I.P bishop uliimba ukweli kabisa, sasahivi umesha lala. Ambae atakuamsha ni Mungu baba pekee

  • @tuzonyava8306
    @tuzonyava8306 Год назад

    🛌😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿 Tulikulilia sana

  • @natujwachampo613
    @natujwachampo613 3 года назад

    Daaaah jmn hii nyimbo ulijiona kuwa utalala.pumxika mtumishi wa Mungu

  • @victoriamefya6287
    @victoriamefya6287 3 года назад +2

    Pumzika mtumishi wa Mungu😭😭😭

  • @rachelkihaka9204
    @rachelkihaka9204 Год назад

    Ama hakika umelala baba Mungu akutunze zaidi huko tukuone tena

  • @ashleymechack5037
    @ashleymechack5037 3 года назад +1

    😢😢😢pumzika kwa amani shujaa wa Bwana.

  • @kulwahokororo9210
    @kulwahokororo9210 2 года назад

    R.p pastor mwansasu

  • @EnduHaizera
    @EnduHaizera Месяц назад

    R.i.p mtumish mwansasu

  • @jedidahshikuku4067
    @jedidahshikuku4067 3 года назад +7

    Rip my cousin Ryan Mungu nitie nguvu wakati huu

  • @fadhiligindugureda7208
    @fadhiligindugureda7208 3 года назад +1

    Punzika mtumishi kazi uliyotumwa umekamilisha

  • @josephlubambe417
    @josephlubambe417 3 года назад

    Kwa kweli tunalia mtumishi wa mungu nenda kwa aman kazi umeimaliza

  • @irenelukumay877
    @irenelukumay877 3 года назад

    kweli umelala nA tunakuliliya sana RIP mtumishi sote njiya moja

  • @pastoryrichard1257
    @pastoryrichard1257 3 года назад +2

    R.I.p mzee Richard Gesase tutakukumbuka daima

  • @ezamnzava8555
    @ezamnzava8555 3 года назад

    Hakika umelala Mtumishi. Pumzika sasa, pumzika kwa amani.

  • @rebecanjinge8603
    @rebecanjinge8603 2 года назад

    😭😭😭Pumzika kwa amani nikiusikia huu wimbo navuta picha siku ndugu zangu wanalia na siwez tena ongea 😢😢😢watatamani hata waone tabasamu langu lakn haitawezekana😭😢😢😢

  • @makutowambeteh2005
    @makutowambeteh2005 2 года назад +1

    Rip brother you inspired many through your ministry

  • @dayanferooz7286
    @dayanferooz7286 3 года назад

    Nenda baba umemaliza mwendo salama kazi uliyo tumwa kufanya umekamilisha pumzika kwaamani

  • @StevenTossi-ff1jf
    @StevenTossi-ff1jf Год назад

    Pumzika kwa amani mpendwa wetu .aina budi tumshukuru Mungu kwa yote.

  • @addiegeorge6261
    @addiegeorge6261 3 года назад

    Umelala babangu😭😭😭 umelala Tayar baad ya kifo hukumu,,😭pumzika shujaa

  • @erickmpambaji6517
    @erickmpambaji6517 2 года назад

    Umefanya kazi kwa wakati wako baba mwansasu hakika ujumbe wako tutaishi nao daima

  • @dayanferooz7286
    @dayanferooz7286 3 года назад

    Pumzika kwa amani pastor Leo hakuna wa kukuamsha umetuacha tunalia

  • @neemadamian-x8k
    @neemadamian-x8k 6 месяцев назад

    2024 pasaka nimeangalia huu wimbo jaman Mungu naomba unipe mwishomwema

  • @GabrielMboya-k2n
    @GabrielMboya-k2n 4 месяца назад

    Rip mtumishi mwansasu

  • @wankobadan3030
    @wankobadan3030 3 года назад +1

    Rest in Peace Pst Mwansasu... Mwendo umeumaliza

  • @allanmhagama458
    @allanmhagama458 3 года назад

    Hakika umelala kama ulivoimba.tutakukumbuka daima.

  • @drmanxinlinlectures5550
    @drmanxinlinlectures5550 3 года назад

    Pumzika kwa Amani Shujaa Wa injili Bishop Ephraimu mwansasu

  • @SikujuaHassani-bp9qq
    @SikujuaHassani-bp9qq Год назад

    Nipe mwisho mwema Yesu😢

  • @aidahwillison4038
    @aidahwillison4038 3 года назад

    Mungu akubebe ktk mikono yake we mke 😭😭😭nikama alijua atakutangulia 😭😭😭😭

  • @maximineevaristo9272
    @maximineevaristo9272 3 года назад +1

    pumzika kwa amani pastor 🙏

  • @ReginalVisent
    @ReginalVisent 7 месяцев назад +1

    Pumzika kwa amani mtumishi wetu

  • @augustno3984
    @augustno3984 3 года назад

    Daah R.i.p kiukweli sioutani Kila niskiapo nyimbo hii naumiaga Sana tu

  • @eliajob6975
    @eliajob6975 3 года назад

    R.I.P mtumishi

  • @michaelamolo
    @michaelamolo 3 года назад +5

    Rest in peace man of God

  • @yusuphkinyemla7739
    @yusuphkinyemla7739 4 года назад +2

    R.I.P Mom ang nakumbka ulikua unapenda kuimb uu wimbo

  • @sheysarahnjeno5207
    @sheysarahnjeno5207 2 года назад

    Pumzika kwa Aman Pstor MWANSANSU..

  • @DanielJoseph-ps8cb
    @DanielJoseph-ps8cb Год назад

    Mwasasu

  • @anethgodfrey9543
    @anethgodfrey9543 3 года назад

    Dah

  • @eneambogo1941
    @eneambogo1941 3 года назад

    Pumzika kwa amani mtumishi 🖐️

    • @eneambogo1941
      @eneambogo1941 3 года назад

      Pumzika kwa amani mzee Marko mbogo ,, pumzika kwa amani mwansasu🙏

  • @ramdhanitinaa797
    @ramdhanitinaa797 4 года назад +3

    Daa

  • @josephabraham6862
    @josephabraham6862 3 года назад

    R I p mtumishi mwimbaji mungu akupe Pumziko LA aman I😭😭😭

  • @amosjubeck2958
    @amosjubeck2958 3 года назад

    Pumzika kwa aman mtumishi r. I. p sote njia moja

  • @enesterhezron3889
    @enesterhezron3889 3 года назад +1

    R.i.p mtumishi wa Bwana tutakumis mwansasu

  • @digogervasi9224
    @digogervasi9224 3 года назад

    mungu akupokee mtumishi wa mungu R.i.p tuta kukumbuka sana

  • @chingatv5573
    @chingatv5573 3 года назад

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @RashidiBahari-qp8fy
    @RashidiBahari-qp8fy 10 месяцев назад

    RIP pumzika Kwa amani

  • @suzanagwahemutse6206
    @suzanagwahemutse6206 3 года назад

    Mungu ampokee kifuani pake amen

  • @reinesjaires9857
    @reinesjaires9857 3 года назад

    R. I. P mtumishi wa bwana😭😭😭😭😭mwendo umeumaliza

  • @jacobnghwali4531
    @jacobnghwali4531 Год назад

    Rest in peace mtumishi

  • @ephraemtegamaisho1633
    @ephraemtegamaisho1633 3 года назад

    r. i. p mtumishi wa mungu ephraem mwansasu