@@RuphenceSinamoyo ...mashariti ya mganga walishayakosea... haina nguvu tena tiba Yao....aliambiwa hakikisha hii dawa kwenye ichi kitambaa....isionekane n mtu yyte Yule....eka chini ya mto wake.... house girl n marihani wake....akaiona..🤣
Yani kusema kweli huyu dada wa kazi anaroho yakipekee sana yani mimi nipigwe na boss wangu wakike halafu mara iyo iyo ananipiga boss wangu wakiume nae anaingia kutoka kazini anashuhudia kinacho endelea sasa then boss wangu wakiume akaniuliza kua kumetokea nini halafu mm eti nimuongopee eti hakuna kitu chochote kilicho tokea mmm mmmh labdha iwe sio mm aisha safari nasema kila kitu ambacho huyu mkeo hua ananifanyia wakati kama haupo
Wanaosema wakienda kwa mganga kumfanyia vibaya kijana wasifanikiwe like zenu
❤❤❤wakwanza jamani like zangu hapa Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🎉🎉🎉
Upeleke wapi hizo like
Bila Shaka house girl ndio atakua mke mwenza very soon...sio Kwa tabia alizo nazo mama mwenyewe nyumba ...nampa pole😢😢
Mama ni mshirikina
@@RuphenceSinamoyo ...mashariti ya mganga walishayakosea... haina nguvu tena tiba Yao....aliambiwa hakikisha hii dawa kwenye ichi kitambaa....isionekane n mtu yyte Yule....eka chini ya mto wake.... house girl n marihani wake....akaiona..🤣
Ataachika hapo Hakuna uke wenza
🎉𝐬𝐮𝐫𝐞❤❤❤
Leo sikacelew nipeni lank atakumi jamani
Ooh jamani nimechelewa kbx ,sio vitimbi kwa mama mjengo😂😂😂😂
Mai usijali ww bibi wa dady mama mkwe na binti yake wataondoka. Tupee ngine haraka tuone kama watauliza dawa yao
😂😂😂😂😂😂umejipangia kabisa
Daaah nasra wewe punguza roho mbaya jamani' but hongera unaupiga mwingi sana 😢😢nakupenda hivyohivyo
Movie la taifa Asa kama Kuna mtu hataki Ani dm hapa😂😂😂😂
Oya twende mbele turudi nyuma tukiachana na roho yake mbaya nasra nimrembo bhana au macho yangu tu😢😢😢
Nakupenda sana we mdada mai❤
Tuendeleeni na kazi nzurii
Acheni uchawi vijana waleo fanyeni kazi
Mai safi sana
Amelala n dira na makanga
Wow kazi yako dady imenyoka sana kaka maua yako ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Asante Janet❤️❤️😍
Hapo ndio nikikua natarajia leten part 4 tafadhali taam sana😊
Nzuri sana tuna wapenda sana.hongera.sana
Asante ❤️❤️
Waaaah kazi ya muganga himeonekana sasa subiri ngumi😂😂😂
😂😂😂😂
Mganga wa Digital huyu mpaka Transformer inahusika duuh😅
Mai wew tu ndo unafanya niangalie hii ❤
Hv kuna wa mama kama huyu mbn kama anakela daah au bas
Wapo zaidi ya haoo
@@glorymanga3650 mmmmh
Ieo nimewah like jmn😂
Mamkwe wewe badala ujenge ila unabomowa jaman haya ngoja tusubili matokeo mana my kashaiyona hiyo hilizi 😂😂😂
Kazi nzuri sana.
Kazi safiii jaman❤❤❤❤
Kazi safi sana maya ❤❤❤congrats
Mai ni ngumu kukutetea😅
Mbona hiyo nyimbo kaa umemuimbia twizy 😢😢😢
Unateswa bado unatetea
Kazi safi ❤❤❤bt mkewe ana mdomosanaa,,, mambo ua chumbn peaneni 😅😅 visusu havijakosana😅😅
😂😂😂😂😂😂mke ana Mdomo sna
Wewe n mkenya😂😂😂😂
@@DegalgalSarah 😄😄😄😄mbn
Kazi tamu sana
Hahahaha paka waseme yey na mamaake lakini awamuwez😅😅
❤❤❤❤
Safi sana mai mwanangu
Kali saaan hii mgang umesema transfoma
Ss wafanyi kaz za ndani tunashid😢😢😢😢😢
❤❤❤❤wow so nyc twizy dady...yaani kazi nzuri🎉
🙏🙏❤️❤️
Maskini May unapitiya cengamoto kubwa😢
Wa nne. Much love from kenya
Ila bint nae anakose kwann aunguze kufungulia ges Kila siku aambiw kwann asifokew we kuwez
😂😂😂😂😂hili nalo neno
Yani kusema kweli huyu dada wa kazi anaroho yakipekee sana yani mimi nipigwe na boss wangu wakike halafu mara iyo iyo ananipiga boss wangu wakiume nae anaingia kutoka kazini anashuhudia kinacho endelea sasa then boss wangu wakiume akaniuliza kua kumetokea nini halafu mm eti nimuongopee eti hakuna kitu chochote kilicho tokea mmm mmmh labdha iwe sio mm aisha safari nasema kila kitu ambacho huyu mkeo hua ananifanyia wakati kama haupo
Nice mai❤
🇰🇪🇰🇪🇰🇪kazi nzuri
Mama mkwe na Binti yake wanakela
Sana tu
❤❤ kazi nzur
😢😢😢😢kitulizo🙄🙄🙄anadol ama ni nini hicho?ama ni mgojwa?
sjachelewa sana weka k2 hapa
Malesa❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hlo mama nalo ovyooooh , uchawi tu kukoga aaaah
Msanii kaibuk ss 😂😂😂😅
Maombi yanatatua matatizo siyo waganga wa jadi
Mganga wa Mchongo
Rainbow kwa mkono if u know u know😂😂
Delvin❤️❤️
😅😅
😂😂😂😂😂🎉🎉kidogo tu
Mahi cha huruma 🤣
Vzr
Ushirikina tena sija penda
Roho bya hii
Unyumba hutoi halafu unataka upendwe hiiii 🤨🤨
😂😂😂😂
❤
ungewarudish kwao ili wakajifundishe
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Naomba akienda kwa mganga ili amroge huyo kijan isifanikiwe😊
Wapili
Mai ila wemdada unatesaka sana daah😢😢
🎉🎉🎉🎉🎉
😢😢😢😢🎉🎉🎉❤❤❤❤
😂
❤❤❤
Sijachelewa jamani like hata Tano tu
Kali saaan hii mgang umesema transfoma
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 Transform 😂😂😂😂😂
Bwan mganga jau uyoo
❤❤❤