DADA WA KAZI 💞 HOUSE GIRL PART 3 | Love Story | DONTA TV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • #dontatv #penziladadawakazi #love #housegirl

Комментарии • 96

  • @AgnesMiyi
    @AgnesMiyi 2 дня назад +6

    Wanaosema wakienda kwa mganga kumfanyia vibaya kijana wasifanikiwe like zenu

  • @AishaNibizi
    @AishaNibizi 2 дня назад +8

    ❤❤❤wakwanza jamani like zangu hapa Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🎉🎉🎉

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 2 дня назад +13

    Bila Shaka house girl ndio atakua mke mwenza very soon...sio Kwa tabia alizo nazo mama mwenyewe nyumba ...nampa pole😢😢

    • @RuphenceSinamoyo
      @RuphenceSinamoyo 2 дня назад +1

      Mama ni mshirikina

    • @tigejuma9865
      @tigejuma9865 2 дня назад +1

      @@RuphenceSinamoyo ...mashariti ya mganga walishayakosea... haina nguvu tena tiba Yao....aliambiwa hakikisha hii dawa kwenye ichi kitambaa....isionekane n mtu yyte Yule....eka chini ya mto wake.... house girl n marihani wake....akaiona..🤣

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 2 дня назад

      Ataachika hapo Hakuna uke wenza

    • @priscahmahenzo642
      @priscahmahenzo642 День назад

      🎉𝐬𝐮𝐫𝐞❤❤❤

  • @salmanadjibu
    @salmanadjibu 2 дня назад +10

    Leo sikacelew nipeni lank atakumi jamani

  • @ChancelineCatherine-bj6jd
    @ChancelineCatherine-bj6jd 2 дня назад +3

    Ooh jamani nimechelewa kbx ,sio vitimbi kwa mama mjengo😂😂😂😂

  • @JosephineMomanyi-jp8tv
    @JosephineMomanyi-jp8tv 2 дня назад +8

    Mai usijali ww bibi wa dady mama mkwe na binti yake wataondoka. Tupee ngine haraka tuone kama watauliza dawa yao

  • @ApoloSawaki
    @ApoloSawaki День назад +1

    Daaah nasra wewe punguza roho mbaya jamani' but hongera unaupiga mwingi sana 😢😢nakupenda hivyohivyo

  • @Lordofvibestz7
    @Lordofvibestz7 2 дня назад +2

    Movie la taifa Asa kama Kuna mtu hataki Ani dm hapa😂😂😂😂

  • @ApoloSawaki
    @ApoloSawaki День назад +1

    Oya twende mbele turudi nyuma tukiachana na roho yake mbaya nasra nimrembo bhana au macho yangu tu😢😢😢

  • @christinagodfrey7637
    @christinagodfrey7637 2 дня назад +1

    Nakupenda sana we mdada mai❤

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 День назад +1

    Tuendeleeni na kazi nzurii

  • @eddygad2858
    @eddygad2858 2 дня назад +1

    Acheni uchawi vijana waleo fanyeni kazi

  • @Agnes-q6b
    @Agnes-q6b 2 дня назад +1

    Mai safi sana

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 2 дня назад +2

    Amelala n dira na makanga

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is 2 дня назад +1

    Wow kazi yako dady imenyoka sana kaka maua yako ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @KingQueen-f4r
    @KingQueen-f4r День назад

    Hapo ndio nikikua natarajia leten part 4 tafadhali taam sana😊

  • @AnithaNahimana
    @AnithaNahimana 2 дня назад +1

    Nzuri sana tuna wapenda sana.hongera.sana

  • @AminaKavuo-gj3oc
    @AminaKavuo-gj3oc 2 дня назад +1

    Waaaah kazi ya muganga himeonekana sasa subiri ngumi😂😂😂

  • @Muuh...26
    @Muuh...26 23 часа назад

    Mganga wa Digital huyu mpaka Transformer inahusika duuh😅

  • @Muuh...26
    @Muuh...26 23 часа назад

    Mai wew tu ndo unafanya niangalie hii ❤

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 2 дня назад +5

    Hv kuna wa mama kama huyu mbn kama anakela daah au bas

  • @JaziraKingazi
    @JaziraKingazi 2 дня назад +4

    Ieo nimewah like jmn😂

  • @TausiMokiwa
    @TausiMokiwa 2 дня назад +4

    Mamkwe wewe badala ujenge ila unabomowa jaman haya ngoja tusubili matokeo mana my kashaiyona hiyo hilizi 😂😂😂

  • @GladysKarembo
    @GladysKarembo День назад

    Kazi nzuri sana.

  • @aishaallyaishaally3220
    @aishaallyaishaally3220 2 дня назад +1

    Kazi safiii jaman❤❤❤❤

  • @sophianyamvula7080
    @sophianyamvula7080 2 дня назад +1

    Kazi safi sana maya ❤❤❤congrats

  • @زينهاا-ش4د
    @زينهاا-ش4د 2 дня назад +1

    Mai ni ngumu kukutetea😅

  • @user-cu4ts7ys4bz2
    @user-cu4ts7ys4bz2 День назад

    Mbona hiyo nyimbo kaa umemuimbia twizy 😢😢😢

  • @samjabri2611
    @samjabri2611 День назад +1

    Unateswa bado unatetea

  • @monicahjoseph2528
    @monicahjoseph2528 2 дня назад +4

    Kazi safi ❤❤❤bt mkewe ana mdomosanaa,,, mambo ua chumbn peaneni 😅😅 visusu havijakosana😅😅

  • @Roze-so4he
    @Roze-so4he 2 дня назад

    Kazi tamu sana

  • @Omarimohammediabdallah
    @Omarimohammediabdallah День назад

    Hahahaha paka waseme yey na mamaake lakini awamuwez😅😅

  • @Samweliwakwanza
    @Samweliwakwanza 2 дня назад +4

    ❤❤❤❤

  • @ALLYKabwanga-n1y
    @ALLYKabwanga-n1y 2 дня назад

    Safi sana mai mwanangu

  • @tommymelodyofficial4844
    @tommymelodyofficial4844 2 дня назад

    Kali saaan hii mgang umesema transfoma

  • @ZawadiMasha-r9b
    @ZawadiMasha-r9b День назад

    Ss wafanyi kaz za ndani tunashid😢😢😢😢😢

  • @mwendemutua3063
    @mwendemutua3063 2 дня назад +1

    ❤❤❤❤wow so nyc twizy dady...yaani kazi nzuri🎉

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki День назад

    Maskini May unapitiya cengamoto kubwa😢

  • @fatoooma123
    @fatoooma123 2 дня назад +1

    Wa nne. Much love from kenya

  • @gracekayumba-z9l
    @gracekayumba-z9l День назад +1

    Ila bint nae anakose kwann aunguze kufungulia ges Kila siku aambiw kwann asifokew we kuwez

    • @Nasratv23
      @Nasratv23 День назад

      😂😂😂😂😂hili nalo neno

  • @SwabrinaSafari
    @SwabrinaSafari День назад

    Yani kusema kweli huyu dada wa kazi anaroho yakipekee sana yani mimi nipigwe na boss wangu wakike halafu mara iyo iyo ananipiga boss wangu wakiume nae anaingia kutoka kazini anashuhudia kinacho endelea sasa then boss wangu wakiume akaniuliza kua kumetokea nini halafu mm eti nimuongopee eti hakuna kitu chochote kilicho tokea mmm mmmh labdha iwe sio mm aisha safari nasema kila kitu ambacho huyu mkeo hua ananifanyia wakati kama haupo

  • @SaliaRamadhani
    @SaliaRamadhani День назад

    Nice mai❤

  • @dorcaskiragu4306
    @dorcaskiragu4306 2 дня назад

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪kazi nzuri

  • @MariumJulius
    @MariumJulius 2 дня назад +2

    Mama mkwe na Binti yake wanakela

  • @FatmaHalfan
    @FatmaHalfan День назад

    ❤❤ kazi nzur

  • @ShazChem
    @ShazChem 8 часов назад

    😢😢😢😢kitulizo🙄🙄🙄anadol ama ni nini hicho?ama ni mgojwa?

  • @benardremz4290
    @benardremz4290 2 дня назад

    sjachelewa sana weka k2 hapa

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 2 дня назад +2

    Malesa❤❤❤❤❤

  • @JapanDullahBoy
    @JapanDullahBoy 16 минут назад

    Hlo mama nalo ovyooooh , uchawi tu kukoga aaaah

  • @JapanDullahBoy
    @JapanDullahBoy 14 минут назад

    Msanii kaibuk ss 😂😂😂😅

  • @MariumJulius
    @MariumJulius 2 дня назад

    Maombi yanatatua matatizo siyo waganga wa jadi

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 2 дня назад

    Mganga wa Mchongo

  • @delvinmoraa8688
    @delvinmoraa8688 2 дня назад +1

    Rainbow kwa mkono if u know u know😂😂

  • @AghHh-v3f
    @AghHh-v3f 2 дня назад

    😂😂😂😂😂🎉🎉kidogo tu

  • @LaulianAdam
    @LaulianAdam 2 дня назад

    Mahi cha huruma 🤣

  • @PLUSTV735
    @PLUSTV735 2 дня назад

    Vzr

  • @MMlin-bd2mi
    @MMlin-bd2mi 2 дня назад

    Ushirikina tena sija penda

  • @ZeinabBakar-je4nr
    @ZeinabBakar-je4nr 2 дня назад

    Roho bya hii

  • @HudhaimaYussuf
    @HudhaimaYussuf 2 дня назад

    Unyumba hutoi halafu unataka upendwe hiiii 🤨🤨

  • @EsmeraldaAlbertoJoão-r8o
    @EsmeraldaAlbertoJoão-r8o 2 дня назад

  • @MwajumaHassani-v3j
    @MwajumaHassani-v3j 2 дня назад

    ungewarudish kwao ili wakajifundishe

  • @RuphenceSinamoyo
    @RuphenceSinamoyo 2 дня назад

    Naomba akienda kwa mganga ili amroge huyo kijan isifanikiwe😊

  • @MichaelDanny-ge2qz
    @MichaelDanny-ge2qz 2 дня назад

    Wapili

  • @VivannyStar
    @VivannyStar 2 дня назад

    Mai ila wemdada unatesaka sana daah😢😢

  • @preshy254
    @preshy254 2 дня назад

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs День назад

    😢😢😢😢🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @EsmeraldaAlbertoJoão-r8o
    @EsmeraldaAlbertoJoão-r8o 2 дня назад

    😂

  • @HadijaNurdin-p4g
    @HadijaNurdin-p4g 2 дня назад +2

    ❤❤❤

  • @tommymelodyofficial4844
    @tommymelodyofficial4844 2 дня назад

    Kali saaan hii mgang umesema transfoma

  • @MwanasitiHenzi
    @MwanasitiHenzi День назад

    ❤❤❤