Kiporo Enzo atakipasha ila Patrick nakupenda Bure hicho chako baba mtoto mdogo kama Enzo asikunyime usingizi ila peter kaokota dodo chini ya mnazi 😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤🎉
Hakuna kitu inakela kama unasoma comment unategemea utakuta watu wametoa maoni kuhusu kinachoendelea jua kali, au comment kuhusu waigizaji basi hata pongezi kwa DJ unakutana ooh nimekuwa wa kwanza naomba like mara hizo like mimi sijawahi kupata ujinga tu
Naingia zangu kucheki juakali kabla sijaimaliza naingia kwenye comment nategemea kukuta udambwi udambwi 😥😥 mara oooh!! nakuta naomba like mara me sijawahi kupata like ni nn hiki lakin 😏😏
Bonyeza hapa kuja whatsap wa.me/message/X6AV2KPPEQB4G1
Nataka huduma
Nataka huduma:47
@@AishaMsafiri-vh6mlñataka huduma
Sisi wengine hatishi bongo inakuaje
Natalia huduma
Yaan mm 2 ndo sijawah kuomba like kwasasa najua like aziniongezei bando like zingekuwa bando yaan ningekuwa naomba mpaka mnasema
😂😂😂😂😂
Tusisahau kumshukuru Mungu kwa uhai anaotupa, na tusisahau kumuomba pia maana pila yeye sisi hatuwezi lolote Ameen 🙏🏽🙏🏽
Amina ❤❤
🙏🙏
Naitazama juakali kutoka kenya nami pia naomba likes zenyu na kusubscribe pia ❤
Nimechoka kujificha mimi ndio Dj niliyweka hiyo merody kwenye Jua kali nipeni like zangu nikapigie mswaki😂
😂😂😂😂
Wakwanza Leo naombrn like zangu
Like zangu please kwa usalama wa afya zenu by daa zuu😂😂😂😂
Naomben like hata moja tu
Wa 4 jaman nionjeshe like zilivo tam
Nimepeza kucomment sababu ya awa waomba likes Aya na Mimi mnipe zangu Bila hivyo nalia Mimi ni last born 😢
Wee wasiwasi ni akili,, kunguru muoga huishi miaka mingi .. peter.., 👍
Npo mwenyewe na like mwenyewe
Juakali naipenda jamn inafumdisha maisha halisia kbs
Wa 17 leo nimewahi mno, naomba like zangu
Kiporo Enzo atakipasha ila Patrick nakupenda Bure hicho chako baba mtoto mdogo kama Enzo asikunyime usingizi ila peter kaokota dodo chini ya mnazi 😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤🎉
NAJUA WENGI MNAJIULIZA KWANINI WATU WANAPENDA KUOMBA LIKES SANA NI HIVI ........ ME MWENYEWE SIJUI JAMANI😂😂😂😂 NAOMBENI LIKES NA MIMI
😂😂😂😂
😂😂😂😂nilivojitutumua kusom nikajua kit Cha maan ay bhn
Nilijua hli jambo tushalimaliza tokea jana kumbe bdo??
Msenge wewe like kumayako
😂😂😂@@vumiliarichard9347
Tuwekee na mzani wa mapenzi
Nimewahi na mm Leo kuomba like zenu
Peter ni mkali wa hizi mambo Grolia jipange😂😂
Anatafuta kufa kwa presha na Vijana wadogo
Hakuna kitu inakela kama unasoma comment unategemea utakuta watu wametoa maoni kuhusu kinachoendelea jua kali, au comment kuhusu waigizaji basi hata pongezi kwa DJ unakutana ooh nimekuwa wa kwanza naomba like mara hizo like mimi sijawahi kupata ujinga tu
Inakera kweli yaan
Me nakerekwa San aisee
Jamani Peter mashaallah😊 au nimeona pekeangu😂
Yaan bonge la handsome
Hahahhah dah
Yaani ni bonge la kaka
Yani mmi mwenyew na mpenda😂😂
Toka ameanza kudate na Semen ndo nikajua peter ni handsome boy San alf yuko romantic mno😘😘🥰🥰
Mm naomba like moja tuu😅
Rejina, I thought she was too bossy, but I just live 💃🏼🇹🇿
Naingia zangu kucheki juakali kabla sijaimaliza naingia kwenye comment nategemea kukuta udambwi udambwi 😥😥 mara oooh!! nakuta naomba like mara me sijawahi kupata like ni nn hiki lakin 😏😏
Like moja nakurushia laki moja
Mambo yanazidiii kunoga🔥🔥
Peter ipo siku litakukuta jambo🤣🤣🤣 achana na wake za watu professor atakuua 😂😂
Huyu Peter usikute ni mutoto yake na professor 😂😂😂
@@ALIMOHD-bk9lr yaan Ile family haieleweki kwakwel 🤣😂
Tunateseka na Anna kwann anahangika na wanaume kumbe shida imeanzia Kwa mama ake😂😂😂😂 ila vya kurithi vya moto😊
Patric unajua kuigiza mashallah ❤❤❤❤❤
Peter na mshangazi wake😂😂😂
Mbibi 😂mshangazi ni lika la Anna
😂😂
😂😂😂
Peter Peter Peter nimekuita mara tatu nimekaa hapa
Patrick ni bonge Moja la actor...... ni anajua Hadi anakeraa🔥🔥🔥
Ila mama semen anaonekana ndumilakwili sana kwa rejina na mumewe nyie ngoja tuone mchezo😂
😂😂 mambo yenyewe hujambo glory 😅ila peter bhana nimecheka 😂😂
Njaa mbaya
Ahahaha kweli iddi Leo umenichekesha sana Leo nimeamini pesa ni Kila kitu
Enzo nawe unayataka watu wanasema wameachana lakini bado wanaishi pamoja WEWE HUOGOPI?🤣🤣
Sasa mtu anaingiaje whatsap
mm sijui hata kwann zinaombwaga
sijui na niombe like😂
We Dj bando la laki moja
Jua kali n raha❤❤❤tyu
Dj jmn tunaomba naiyo dosar🙏🙏
Patrick tumeona weng wakali kwenye jua kali ila wamepoa utapoa tu😅
Swala la muda
@z😂😂amdanamwenje9415
😂😂😂😂😂😂
Patriki ipo sawa abilia chunga mzigo wako
Patrick 😂😂😂😂 Enzo mtoto jamani ❤❤❤
Wasaba leoo🎉
Wa saba
Ww pitaa ufekirea jambo kabla hujafanya yatakukuta pabaya nakushaure tu uwachania nahuyo mama tamaa zetakupozaa
Pita mtu mzima yuwautaka huyo mnyooshe hebu 😂😂😂😂😂
Idi ana ambiwa asante sana anajibu insh-allah 😂😂😂😂
Glory e, utaacha lin umalaya mama?🥱😂
Tatizo proo hampi faraja anatafuta furaha ya moyo
Weweeeee Leo wa 9
😂😂 ila ukichunguza kwa makini mama Semeni anakijiunafki fulani ivi😂😂
😂😂
Sanaaa
Mimi nachekwa mwili mkubwa matiti madogo mbona Regina yupo ivo
Hii tabia ya kuangalia movie uku nasoma comment cjui ntaacha ln
Hauko pekeako 😂😂
tupo wengi
Tupo wengi 😂😂😂😂
Tupo wengi😅😅😅😅
Tuko wengi
Enzo nenda tu lakini kiporo ntaipasha nimependa hio mafumbo,😂😂😂
Like
Ila peter et hujambo groly nyie watoto wa 2000 khaa😂😂😂
Anamfurahisha ajione mdogo
😂😂😂😂
glory yeye mwenyew haptaki kuambiwa shikamoo wala mama
@@user-tn2co6ps7q 🤣🤣
😂😂😂😂 umenichekesha
Tunao angalia kwanza tujuane ... izo likes mtatupa ikiisha 😂
Glory anatupa mistari kama yeye ndo mwanaume😂😂😂😂
Don't worry just relax alaaaa Glory
Groly angekuwa mama angu namununia mwezi mzima😂😂
iyi ni filamu tu
Haisaidi kitu.. isipo kuwa ungeuchosha moyo
Huyu mama na huyo Anna wake wote wanashida
Peter unavyojifanya unaheshimu wake za watu jamani🙆 vipi kuhusu wake wa rariki yako Idd😂😂😂aisee wee kiboko🙌
Glory si mke wa boss anaweza akapigwa risasi ya kichwa
Nimejikuta nimeach mdomo wazi kumuon ma ana gelegi😅
Mnakera yaani kila mmoja yuaomba like kama hamna chakucomment nyamazeni ivyo ivyo
Akun mtu nanifurahishag kam pita😅😅😅
Hya matangazo yote ya nn jmn
Mitangazo kama yote,kero tupu yani
Wamama mnao wa rubuni vijana kama peter ndo mnawafanya hao vjana hawatuwowi😂😅
😂😂😂Kwa kweli
Kenzo nawe unaboa hukanyiki mpk huyo mzee akunyonye macho ndio uelewe
Ivi nyie kwan like zinaongeza unene au isije kuwa watu wanapata shep hum kwa like na hamsemi😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂
Umeona eee mwenyewe sielewi
Glory ana htr huyu mama 😂😂
Ila Peter Glory kwake sumu ila wake wa Iddi rafiki yake Aaaaahhh.....😂😂😂
We sema unataka hela...buku kwa watu buku ni tsh...wabongo bana..
Mama semn anachokonoa yaliyomooo
Naombeni likeee jaman 😂😂😂😂😂
Mama semeni yatakushinda umbea tu sasa unashangaa nini eti mpk kazini 😂😂😂😂😂😂
Pitaaaaaa ety mke wa mtu sumu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ila Patrick 🤣😂😂 m nampenda bana😂😂
Shangazi kamwambia piraa relax......😂😂😂😂
Mbona piraa😂😂😂😂
Peter ,ata aibu haoni wala hapati kigugumizi ety gloryy😂😂😂😂
tenaaaa😂😂😂😂 glory kwanini ukose aman😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Devs anajitahidi sana kuigiza
n8nkuelewa ila patric mjingaa simpendi fyoooo
Ana analipiza kisasi kwa Diba ila njia anayoenda kuitumia atajiabisha sanaa
Unazingua we dj movie haifiki mwishoni
Leo Anna ,Vivian na Mr focus wamevyaa sare😂😂😂😂
Ila Huyu Enzo Nae Kazidi Kutwa Upo Na Regina Office Haitoshi Mpk Nyumbani,, Mimi Mwanafamiliy Wa Jua Kali Patrick Mtimuwe Enzo Kama Kimbunga Halima
Pita pita mshangazi yuwautaka huyo 😂😂😂😂😂😂
Enzo badala atafute vijana wenzake kazi kumendea mishangazi😂
Na mm wa kwanza naombeni like
Hellow
Piter punguza uongo mke wa mt sumu wkt unamlia iddi wake zake
Alihamdulillah cjaona anna na diba wake
anayependa couple ya regina na enzo like hapa
Jmn enzo pol😢😢😢😢😢😢
Nampenda sana devs
Mama semeni 😂kumbe had ofisini😂
😂😂😂😂
Ungejua profesa aliua hadi vilema iweje wewe Peter mwenye viungo vyote
Haujambo groly
Salami yahoo imenifurahisha😢😂😂😂duuu ila Peter nyie
Vishunuuuuu vya mie😅😅
Haujambo glory😂😂😂njaa mbaya jamani
Hamjambo wapenzi watazamaji wa jua kali😂😂 Peter 🎉🎉
😂😂😂😂 eti glory hujambo ila peter jichukulie mshangazi yuwataka peace of mind ila mama semeni kana kaunafki flani enzo wangu jaman ❤❤🎉🎉