Jua kali leo Ijumaa Full HD video

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 сен 2024
  • #hubaleousiku #hubaseries #hubatz #juakali #juakalileousiku #juakalileousiku

Комментарии • 347

  • @hh555-i6f
    @hh555-i6f  5 часов назад +15

    Bonyeza hapa kuja whatsap wa.me/message/X6AV2KPPEQB4G1

  • @leylahmsosa8793
    @leylahmsosa8793 4 часа назад +37

    Yaan mm 2 ndo sijawah kuomba like kwasasa najua like aziniongezei bando like zingekuwa bando yaan ningekuwa naomba mpaka mnasema

  • @NaabweAlenga
    @NaabweAlenga 3 часа назад +28

    Tusisahau kumshukuru Mungu kwa uhai anaotupa, na tusisahau kumuomba pia maana pila yeye sisi hatuwezi lolote Ameen 🙏🏽🙏🏽

  • @Simply001-c5x
    @Simply001-c5x 4 часа назад +49

    Naitazama juakali kutoka kenya nami pia naomba likes zenyu na kusubscribe pia ❤

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 4 часа назад +23

    Nimechoka kujificha mimi ndio Dj niliyweka hiyo merody kwenye Jua kali nipeni like zangu nikapigie mswaki😂

  • @SalomeAmir-g9m
    @SalomeAmir-g9m 5 часов назад +29

    Wakwanza Leo naombrn like zangu

  • @karembo7082
    @karembo7082 5 часов назад +22

    Like zangu please kwa usalama wa afya zenu by daa zuu😂😂😂😂

  • @Elzaberthjohn
    @Elzaberthjohn 4 часа назад +16

    Naomben like hata moja tu

  • @happyluoga7493
    @happyluoga7493 5 часов назад +13

    Wa 4 jaman nionjeshe like zilivo tam

  • @LuvunoTungwa
    @LuvunoTungwa 4 часа назад +14

    Nimepeza kucomment sababu ya awa waomba likes Aya na Mimi mnipe zangu Bila hivyo nalia Mimi ni last born 😢

  • @ebubu-bf1oy
    @ebubu-bf1oy 4 часа назад +13

    Wee wasiwasi ni akili,, kunguru muoga huishi miaka mingi .. peter.., 👍

  • @osimanikikoti
    @osimanikikoti 5 часов назад +16

    Npo mwenyewe na like mwenyewe

  • @YoramJoseph-x3h
    @YoramJoseph-x3h 3 часа назад +6

    Juakali naipenda jamn inafumdisha maisha halisia kbs

  • @user-uv8gf6wl1o
    @user-uv8gf6wl1o 4 часа назад +16

    Wa 17 leo nimewahi mno, naomba like zangu

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 4 часа назад +12

    Kiporo Enzo atakipasha ila Patrick nakupenda Bure hicho chako baba mtoto mdogo kama Enzo asikunyime usingizi ila peter kaokota dodo chini ya mnazi 😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤🎉

  • @anethpatrick7511
    @anethpatrick7511 4 часа назад +110

    NAJUA WENGI MNAJIULIZA KWANINI WATU WANAPENDA KUOMBA LIKES SANA NI HIVI ........ ME MWENYEWE SIJUI JAMANI😂😂😂😂 NAOMBENI LIKES NA MIMI

  • @jescasumun8034
    @jescasumun8034 4 часа назад +8

    Tuwekee na mzani wa mapenzi

  • @NeemaSway
    @NeemaSway 4 часа назад +12

    Nimewahi na mm Leo kuomba like zenu

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 4 часа назад +16

    Peter ni mkali wa hizi mambo Grolia jipange😂😂

    • @Mail-z5q
      @Mail-z5q 4 часа назад

      Anatafuta kufa kwa presha na Vijana wadogo

  • @boniphacefundisha7268
    @boniphacefundisha7268 3 часа назад +6

    Hakuna kitu inakela kama unasoma comment unategemea utakuta watu wametoa maoni kuhusu kinachoendelea jua kali, au comment kuhusu waigizaji basi hata pongezi kwa DJ unakutana ooh nimekuwa wa kwanza naomba like mara hizo like mimi sijawahi kupata ujinga tu

  • @faudhiamnyavi7493
    @faudhiamnyavi7493 4 часа назад +23

    Jamani Peter mashaallah😊 au nimeona pekeangu😂

    • @ashasalimin1033
      @ashasalimin1033 4 часа назад

      Yaan bonge la handsome

    • @MkweleMalata
      @MkweleMalata 4 часа назад

      Hahahhah dah

    • @givenbedae9342
      @givenbedae9342 4 часа назад +1

      Yaani ni bonge la kaka

    • @FurahaHamisi-s1x
      @FurahaHamisi-s1x 4 часа назад +1

      Yani mmi mwenyew na mpenda😂😂

    • @vumiliarichard9347
      @vumiliarichard9347 4 часа назад +3

      Toka ameanza kudate na Semen ndo nikajua peter ni handsome boy San alf yuko romantic mno😘😘🥰🥰

  • @AnastaziaViatory
    @AnastaziaViatory 4 часа назад +6

    Mm naomba like moja tuu😅

  • @evelnjuma1834
    @evelnjuma1834 4 часа назад +5

    Rejina, I thought she was too bossy, but I just live 💃🏼🇹🇿

  • @rosegodlove1956
    @rosegodlove1956 2 часа назад +2

    Naingia zangu kucheki juakali kabla sijaimaliza naingia kwenye comment nategemea kukuta udambwi udambwi 😥😥 mara oooh!! nakuta naomba like mara me sijawahi kupata like ni nn hiki lakin 😏😏

  • @blessedme7852
    @blessedme7852 4 часа назад +5

    Like moja nakurushia laki moja

  • @Atukayuni-m4l
    @Atukayuni-m4l 5 часов назад +13

    Mambo yanazidiii kunoga🔥🔥

  • @luciajohn8962
    @luciajohn8962 4 часа назад +13

    Peter ipo siku litakukuta jambo🤣🤣🤣 achana na wake za watu professor atakuua 😂😂

    • @ALIMOHD-bk9lr
      @ALIMOHD-bk9lr 4 часа назад

      Huyu Peter usikute ni mutoto yake na professor 😂😂😂

    • @luciajohn8962
      @luciajohn8962 3 часа назад

      @@ALIMOHD-bk9lr yaan Ile family haieleweki kwakwel 🤣😂

  • @AsiaRamadhani-pp6kg
    @AsiaRamadhani-pp6kg 4 часа назад +9

    Tunateseka na Anna kwann anahangika na wanaume kumbe shida imeanzia Kwa mama ake😂😂😂😂 ila vya kurithi vya moto😊

  • @beatricesway5782
    @beatricesway5782 4 часа назад +4

    Patric unajua kuigiza mashallah ❤❤❤❤❤

  • @evergeorge3269
    @evergeorge3269 4 часа назад +14

    Peter na mshangazi wake😂😂😂

  • @ElizabethSiwale-mv5bu
    @ElizabethSiwale-mv5bu 4 часа назад +4

    Peter Peter Peter nimekuita mara tatu nimekaa hapa

  • @user-ny2gf6un4l
    @user-ny2gf6un4l 2 часа назад +2

    Patrick ni bonge Moja la actor...... ni anajua Hadi anakeraa🔥🔥🔥

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 3 часа назад +7

    Ila mama semen anaonekana ndumilakwili sana kwa rejina na mumewe nyie ngoja tuone mchezo😂

  • @WemaCharles-j1e
    @WemaCharles-j1e 4 часа назад +10

    😂😂 mambo yenyewe hujambo glory 😅ila peter bhana nimecheka 😂😂

  • @IbranationMaina
    @IbranationMaina 4 часа назад +3

    Ahahaha kweli iddi Leo umenichekesha sana Leo nimeamini pesa ni Kila kitu

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 4 часа назад +10

    Enzo nawe unayataka watu wanasema wameachana lakini bado wanaishi pamoja WEWE HUOGOPI?🤣🤣

  • @FurahaNgatena
    @FurahaNgatena 4 часа назад +4

    mm sijui hata kwann zinaombwaga

  • @user-wp8pr1gv5h
    @user-wp8pr1gv5h 3 часа назад +3

    sijui na niombe like😂

  • @AminaMtalika-ju3cs
    @AminaMtalika-ju3cs 4 часа назад +3

    We Dj bando la laki moja

  • @DayanaSospeter-sy8wl
    @DayanaSospeter-sy8wl 4 часа назад +5

    Jua kali n raha❤❤❤tyu

  • @Realme-xm3sh
    @Realme-xm3sh 3 часа назад +3

    Dj jmn tunaomba naiyo dosar🙏🙏

  • @theodoradavid2641
    @theodoradavid2641 4 часа назад +16

    Patrick tumeona weng wakali kwenye jua kali ila wamepoa utapoa tu😅

  • @WemaWaksoniKatina
    @WemaWaksoniKatina 3 часа назад +1

    Patriki ipo sawa abilia chunga mzigo wako

  • @sylvia3999
    @sylvia3999 4 часа назад +4

    Patrick 😂😂😂😂 Enzo mtoto jamani ❤❤❤

  • @MariamChime
    @MariamChime 5 часов назад +6

    Wasaba leoo🎉

  • @BarnabasMakenya
    @BarnabasMakenya 5 часов назад +5

    Wa saba

  • @Hot_rod-lies
    @Hot_rod-lies 4 часа назад +2

    Ww pitaa ufekirea jambo kabla hujafanya yatakukuta pabaya nakushaure tu uwachania nahuyo mama tamaa zetakupozaa

  • @شاميمشاميم-ر9ت
    @شاميمشاميم-ر9ت 4 часа назад +4

    Pita mtu mzima yuwautaka huyo mnyooshe hebu 😂😂😂😂😂

  • @Maria-bo1fy
    @Maria-bo1fy 3 часа назад +3

    Idi ana ambiwa asante sana anajibu insh-allah 😂😂😂😂

  • @tabithaeleneduard-ej2bt
    @tabithaeleneduard-ej2bt 4 часа назад +6

    Glory e, utaacha lin umalaya mama?🥱😂

    • @rehemandomba3210
      @rehemandomba3210 4 часа назад

      Tatizo proo hampi faraja anatafuta furaha ya moyo

  • @evergeorge3269
    @evergeorge3269 5 часов назад +4

    Weweeeee Leo wa 9

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 3 часа назад +9

    😂😂 ila ukichunguza kwa makini mama Semeni anakijiunafki fulani ivi😂😂

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 4 часа назад +3

    Mimi nachekwa mwili mkubwa matiti madogo mbona Regina yupo ivo

  • @user-tc1bk5qc3y
    @user-tc1bk5qc3y 4 часа назад +27

    Hii tabia ya kuangalia movie uku nasoma comment cjui ntaacha ln

  • @LilianAchieng-bo9xo
    @LilianAchieng-bo9xo 4 часа назад +12

    Enzo nenda tu lakini kiporo ntaipasha nimependa hio mafumbo,😂😂😂

  • @VailethJohn-c4u
    @VailethJohn-c4u 4 часа назад +10

    Ila peter et hujambo groly nyie watoto wa 2000 khaa😂😂😂

  • @rilianwillium
    @rilianwillium 4 часа назад +3

    Tunao angalia kwanza tujuane ... izo likes mtatupa ikiisha 😂

  • @victoriaferdinand885
    @victoriaferdinand885 3 часа назад +2

    Glory anatupa mistari kama yeye ndo mwanaume😂😂😂😂

  • @elianacastorymgoba4533
    @elianacastorymgoba4533 4 часа назад +2

    Don't worry just relax alaaaa Glory

  • @PendoWilliam-v6f
    @PendoWilliam-v6f 4 часа назад +10

    Groly angekuwa mama angu namununia mwezi mzima😂😂

  • @bonifacekilaviri9698
    @bonifacekilaviri9698 4 часа назад +2

    Huyu mama na huyo Anna wake wote wanashida

  • @NaomyPoul
    @NaomyPoul 4 часа назад +2

    Peter unavyojifanya unaheshimu wake za watu jamani🙆 vipi kuhusu wake wa rariki yako Idd😂😂😂aisee wee kiboko🙌

    • @MburaMbura-t4y
      @MburaMbura-t4y 4 часа назад

      Glory si mke wa boss anaweza akapigwa risasi ya kichwa

  • @user-xi8ll6ub4j
    @user-xi8ll6ub4j 4 часа назад +4

    Nimejikuta nimeach mdomo wazi kumuon ma ana gelegi😅

  • @agnessbahamu3931
    @agnessbahamu3931 42 минуты назад

    Mnakera yaani kila mmoja yuaomba like kama hamna chakucomment nyamazeni ivyo ivyo

  • @KsaVip-dw7um
    @KsaVip-dw7um 4 часа назад +5

    Akun mtu nanifurahishag kam pita😅😅😅

  • @modesterjulius7625
    @modesterjulius7625 4 часа назад +5

    Hya matangazo yote ya nn jmn

    • @floradamas
      @floradamas 4 часа назад +1

      Mitangazo kama yote,kero tupu yani

  • @VailethJohn-c4u
    @VailethJohn-c4u 4 часа назад +4

    Wamama mnao wa rubuni vijana kama peter ndo mnawafanya hao vjana hawatuwowi😂😅

  • @rachelgunagujemedan2082
    @rachelgunagujemedan2082 4 часа назад +2

    Kenzo nawe unaboa hukanyiki mpk huyo mzee akunyonye macho ndio uelewe

  • @PendoWilliam-v6f
    @PendoWilliam-v6f 5 часов назад +6

    Ivi nyie kwan like zinaongeza unene au isije kuwa watu wanapata shep hum kwa like na hamsemi😂😂

  • @RahmaAbdalla-v7f
    @RahmaAbdalla-v7f 3 часа назад +3

    Glory ana htr huyu mama 😂😂

  • @monicakiwia5649
    @monicakiwia5649 4 часа назад +3

    Ila Peter Glory kwake sumu ila wake wa Iddi rafiki yake Aaaaahhh.....😂😂😂

  • @rabielfadhili994
    @rabielfadhili994 3 часа назад

    We sema unataka hela...buku kwa watu buku ni tsh...wabongo bana..

  • @rachaelkiwango1991
    @rachaelkiwango1991 4 часа назад +2

    Mama semn anachokonoa yaliyomooo

  • @anicetamajura8284
    @anicetamajura8284 3 часа назад

    Naombeni likeee jaman 😂😂😂😂😂

  • @Rahima-kv6mn
    @Rahima-kv6mn 4 часа назад +2

    Mama semeni yatakushinda umbea tu sasa unashangaa nini eti mpk kazini 😂😂😂😂😂😂

  • @MeshackNelisan-vi8fj
    @MeshackNelisan-vi8fj 4 часа назад +1

    Pitaaaaaa ety mke wa mtu sumu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @salmasalmarian504
    @salmasalmarian504 Час назад +1

    Ila Patrick 🤣😂😂 m nampenda bana😂😂

  • @GloryLubango-tv4hd
    @GloryLubango-tv4hd 4 часа назад +3

    Shangazi kamwambia piraa relax......😂😂😂😂

  • @user-bp6br5yo1l
    @user-bp6br5yo1l 4 часа назад +4

    Peter ,ata aibu haoni wala hapati kigugumizi ety gloryy😂😂😂😂

    • @ummycheedy2809
      @ummycheedy2809 3 часа назад

      tenaaaa😂😂😂😂 glory kwanini ukose aman😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @LillyMaige-vd4jr
    @LillyMaige-vd4jr 3 часа назад +3

    Devs anajitahidi sana kuigiza

  • @pendolema2743
    @pendolema2743 3 часа назад +1

    Ana analipiza kisasi kwa Diba ila njia anayoenda kuitumia atajiabisha sanaa

  • @ZaynabadamZaymzur
    @ZaynabadamZaymzur 3 часа назад

    Unazingua we dj movie haifiki mwishoni

  • @elvinakalu6991
    @elvinakalu6991 4 часа назад +2

    Leo Anna ,Vivian na Mr focus wamevyaa sare😂😂😂😂

  • @Maymuna-wc8lz
    @Maymuna-wc8lz 2 часа назад +1

    Ila Huyu Enzo Nae Kazidi Kutwa Upo Na Regina Office Haitoshi Mpk Nyumbani,, Mimi Mwanafamiliy Wa Jua Kali Patrick Mtimuwe Enzo Kama Kimbunga Halima

  • @شاميمشاميم-ر9ت
    @شاميمشاميم-ر9ت 4 часа назад +1

    Pita pita mshangazi yuwautaka huyo 😂😂😂😂😂😂

  • @Haithankel_01
    @Haithankel_01 4 часа назад +2

    Enzo badala atafute vijana wenzake kazi kumendea mishangazi😂

  • @NgajahNgajah
    @NgajahNgajah 3 часа назад

    Na mm wa kwanza naombeni like

  • @lydianguma1212
    @lydianguma1212 5 часов назад +5

    Hellow

  • @BimkubwaMohamed
    @BimkubwaMohamed 4 часа назад +1

    Piter punguza uongo mke wa mt sumu wkt unamlia iddi wake zake

  • @VfhDgjjv
    @VfhDgjjv 4 часа назад +1

    Alihamdulillah cjaona anna na diba wake

  • @FloraMahamba
    @FloraMahamba 2 часа назад

    anayependa couple ya regina na enzo like hapa

  • @Khairath-c3x
    @Khairath-c3x 4 часа назад +3

    Jmn enzo pol😢😢😢😢😢😢

  • @LihanaMkemwa-p8l
    @LihanaMkemwa-p8l 4 часа назад

    Nampenda sana devs

  • @queensiku
    @queensiku 4 часа назад +4

    Mama semeni 😂kumbe had ofisini😂

  • @eldrednkya1458
    @eldrednkya1458 3 часа назад

    Ungejua profesa aliua hadi vilema iweje wewe Peter mwenye viungo vyote

  • @victoriasanga7704
    @victoriasanga7704 2 часа назад

    Haujambo groly
    Salami yahoo imenifurahisha😢😂😂😂duuu ila Peter nyie

  • @BabyvoiceDaprincipal-dm6xu
    @BabyvoiceDaprincipal-dm6xu 4 часа назад +3

    Vishunuuuuu vya mie😅😅

  • @catrinavampire8547
    @catrinavampire8547 3 часа назад +1

    Haujambo glory😂😂😂njaa mbaya jamani

  • @stellahsimon4460
    @stellahsimon4460 Час назад

    Hamjambo wapenzi watazamaji wa jua kali😂😂 Peter 🎉🎉

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 2 часа назад

    😂😂😂😂 eti glory hujambo ila peter jichukulie mshangazi yuwataka peace of mind ila mama semeni kana kaunafki flani enzo wangu jaman ❤❤🎉🎉