Promo ya kipindi Maalum cha Mafanikio ya Serikali katika kipindi cha mwaka mmoja awamu ya sita.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 мар 2022
  • Usikose kipindi Maalum cha GPSA cha Mafanikio ya Serikali katika kipindi cha mwaka mmoja cha Awamu ya sita ya Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan katika sekta ya Ununuzi kitakachorushwa katika kituo cha TBC1 siku ya Ijumaa 11/03/2022 saa 3.05 usiku.
    #GPSATanzania #BohariKuuYaSerikali #Kaziiendelee #GIMIS #GPSAIntegratedManagentInformationSystem

Комментарии •