KIPINDI MAALUM CHA WAKALA KATIKA MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA SABASABA 2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 июл 2023
  • Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA) Bw. Mwakiselu Mwambange akitoa maelezo kuhusu ushiriki wa Wakala katika maonesho ya biashara ya kimataifa maarufu kama 'Sabasaba' unavyotoa elimu na huduma zake kwa wananchi wote wanaotembelea na watakaotembelea katika kipindi chote kuanzia tarehe 28 Juni-13 Julai,2023.
    Karibu tuwahudumie.
    GPSA;Ununuzi unaozingatia thamani halisi ya fedha.

Комментарии •