KWELI DIAMOND NI BABA LAO ATHIBITISHA UBABA WAKE JUKWAANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 окт 2024

Комментарии • 256

  • @mtawaahmad7994
    @mtawaahmad7994 4 года назад +30

    Kama unairudia kucheki hii show July2020 tujuane kwa like

  • @rmags8654
    @rmags8654 5 лет назад +91

    Performance kama hii huwa wanafanya watu kama kina JZ Beyoncé and now our own Diamond brings it home!! We love you Diamond Platnumz!! Mti unaopondwa mawe ni ule wenye matunda!! Keep moving!! They will catch up if they have speed!!

    • @BilleBigBoy
      @BilleBigBoy Год назад

      Modistrong is the Next Simba Dogo Anakuja na Kasi sana Na Kaanza Juzi tu.

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.9466 5 лет назад +37

    Jana hadi wana YANGA walisema Simba Baba laooo 😂😂😂kweri huyu ni #Diamondplatnumz

  • @moodychanday9220
    @moodychanday9220 5 лет назад +152

    Sijutiii kuwa shabiki wa Simba /wangapi wapo kama mimi like zenu niwajue

  • @mwajumabulugu4115
    @mwajumabulugu4115 5 лет назад +97

    Huyo aliedai penseli bora angesema spido,yani penseli amemshusha sana babalaooooo wetu.MFA maji haishi kutapatapa.gonga like km unamkubali simbaaaaa

    • @benbrast6256
      @benbrast6256 4 года назад

      0754472181 nicheki

    • @ab3ab313
      @ab3ab313 4 года назад

      Mwajuma Bulugu simba ni simba

    • @tatudijah6773
      @tatudijah6773 4 года назад

      Mwajuma Bulugu hahahahahahahahahah

    • @daimually4865
      @daimually4865 4 года назад

      Hakuna cha pensel wala kalamu simba hana deni na mtuuu

    • @alexaiddan979
      @alexaiddan979 4 года назад

      SimbAa

  • @dullahbarca3279
    @dullahbarca3279 4 года назад +26

    Yaani kila nnapoweka bando lzm nirudie rudie kucheki hii show asee

  • @amosimniko4001
    @amosimniko4001 4 года назад +11

    Uyu jamaa anabeba nchi co wcb I am proud of this guy (baba lao)

  • @preciousbenedict5142
    @preciousbenedict5142 5 лет назад +40

    Huyo jamaa mwenye penseli🤣🤣🔥🔥

  • @muhammedyussuf8406
    @muhammedyussuf8406 5 лет назад +42

    Dah jamaa hatari sanaaa.....sijawahi kukuchukia hata siku moja dah....

  • @djgthehotstepper
    @djgthehotstepper 5 лет назад +32

    Dahhhhh huyu jamaaa ni motooo 💥💥💥💣💣💣💣💣💣💣

  • @agun_machine
    @agun_machine 5 лет назад +31

    African Michael Jackson 🔥🔥🔥

    • @josephchacha9871
      @josephchacha9871 4 года назад

      African Michael Jackson? U gotta find a unique make up name dude this one exists man wtf

  • @georgemallya4311
    @georgemallya4311 5 лет назад +11

    This is simba one and only in Tanzania.hatakaa hatokee mwingine.yani roho inaniuma sikuwa wasafi festival.dar mmenjoy kushinda hata sisi wamikoani.big up simba one and only in Tanzania.one and there shall be no more.

  • @maseke9999
    @maseke9999 4 года назад +6

    2020 hii gongeni like za nguvu

  • @muhammedyussuf8406
    @muhammedyussuf8406 5 лет назад +57

    Hyo jamaa mwenye penseli na mwenye daftari sasa.....duh

  • @salvatoryjohn7015
    @salvatoryjohn7015 5 лет назад +91

    Wamarekani wametuma maombi ya diamond apimwe DNA wanahisi huyu ni michel jackson aliyechangamka

    • @fednandnews2240
      @fednandnews2240 5 лет назад +1

      😂😂😂😂😂

    • @jordanjonas4921
      @jordanjonas4921 5 лет назад +2

      Salvatory John umetisha

    • @samgamba2806
      @samgamba2806 5 лет назад

      ..hahahahahahaha

    • @fbr5113
      @fbr5113 5 лет назад +2

      KILA NIKIRUDIA KUANGALIA. SICHOKI YAANI HAO WAMEREKANI WAKAJAMBE 😂😂😂😂😂WANAONA SIE NDIO HATUFAI KUWA NA VIPAJI VIKUBWA NA VIZURI VYA SANAA KAMA HIVI

    • @janemwanjibili9236
      @janemwanjibili9236 5 лет назад +2

      Salvatory John hahaha nimecheka

  • @benjaminsemwenda9035
    @benjaminsemwenda9035 4 года назад +6

    Tuweke u team pembeni Tanzania hakuna kama Diamond..

  • @abdallahmchange1370
    @abdallahmchange1370 4 года назад +14

    Yan hii show ilivyoanza tu kwa shangwe hilo huyo wizkid tiwa na inossb walikuwa wanajiuliza wakipanda watakuja kufanya nini wakati jamaa kashasepa na kijiji

  • @athumanyusuph1099
    @athumanyusuph1099 5 лет назад +4

    duuuuuuh hatari...hzo ni baraka za wakongwe uliowapa nafasi...busara kubwa umezifanya mr chibu ubarikiwe

  • @herifredrickson2040
    @herifredrickson2040 5 лет назад +24

    Ilikuwa hatari 🔥 🔥🔥 🔥🔥 🔥

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.9466 5 лет назад +7

    Huyu jamaa ni jini mm nawaambiaga,,kiufupi #Diamond unajua haswaa

  • @annizomaestro4023
    @annizomaestro4023 5 лет назад +3

    eeeeeeeeeeeeeeeeeeeehhhhhhhh!!!!!!! walllaaaaash, nibakubali sana. Huyu ndo msani wa kweli tulikuwa tunategemeye baada ya Michael Jackson

  • @selemandickson7763
    @selemandickson7763 4 года назад +2

    🔥🔥🔥🔥🔥baba Lao wamuache hata wawe 1000 watachemka tu chapa kazi watasubili 31 kigoma wataona 🔥🔥🔥

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 5 лет назад +10

    Yan raha mziki watu wacheze hivyo sio mnakaa kam mko kwenye arusi ata arusi watu wanajitikisa, diamond yuko vizuri yan

    • @daimually4865
      @daimually4865 3 года назад

      Simba anaamsha popoo watu hawapo kwenye hudhuni wapo kwenye kuamsha damu

  • @cherisepaul9882
    @cherisepaul9882 4 года назад +2

    Just imagine mond alogwe tena aisee ucjarbu jamaa yuko on fire💥💥💥💥 if u believe in dis just like here

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 5 лет назад +18

    Damn!!! Unforgettable

  • @ibrahimrevocatus9888
    @ibrahimrevocatus9888 5 лет назад +9

    Next level diamond plantnumz ,chibu dangote, WCB chama letu Amen

  • @respiciuserickdaniel7294
    @respiciuserickdaniel7294 4 года назад +3

    Kila nikiweka bando nakuja kwanza kuchek hii kitu roho inapenda halaf moyon najiuliza et huyu wanamshindanisha na akina mwafulan

    • @bakaribakari_
      @bakaribakari_ 4 года назад +1

      😂😂😂😂😂😂 eti wanamfananisha na kina nani?

  • @rjbbenten9739
    @rjbbenten9739 4 года назад +4

    Kama ulikubali hii show na unapenda kuirudia kuangalia kama Mimi like zenu tafadhali SIMBA motoo

    • @daimually4865
      @daimually4865 4 года назад

      Moto wakuotea mbali kwani nani asiejuwa kwamba mond ni moto twajuwa sana kwamba watu wanaumia ndani kwa ndani haaaaahaaaa jiangalieni msijetumbuka bure mond huyooo azidi kupaaaaa mtalitutuuuuuu

  • @jasminalex3816
    @jasminalex3816 4 года назад +3

    Kweli Simba umetisha,mpinzani kwa bongo bado aujampata..

  • @qareemsweetbert4730
    @qareemsweetbert4730 5 лет назад +2

    Simba siku zote huogopwa zaidi mbugani japokuwa Kuna wakubwa zaidi yake,xo baba lao ni motoooooo!!!!!!👍👍👍👍

  • @emmanuelyjoseph2957
    @emmanuelyjoseph2957 5 лет назад +7

    Naona wana imebidi watinge na penseli ya kibaa kisaa hawataki kumuludishia tena hakuna anaedai penxeli2 bila daftari wana wameriona hilooo

  • @goodellychombe3145
    @goodellychombe3145 5 лет назад +28

    Daaaaah huyu jamaaaa sio mtu wa kawaida

    • @zakyahya4645
      @zakyahya4645 5 лет назад

      @Change Mindset mmh ni atari hii

  • @marshialmarshah9032
    @marshialmarshah9032 Год назад +1

    That energy,,2023 we here

  • @lucylameck2975
    @lucylameck2975 5 лет назад +4

    Asa pencil yako hapa ilihucka vp???? Ahahahaaaa,,,simba hajakuchukulia pencil yako bhana... !!huyu amechukua ubongo wa mzungu broo. !!!

  • @mpuwanyahamza9762
    @mpuwanyahamza9762 4 года назад +3

    Nan anataman featuring ya simba na Chris Brown alafu wanaperfom pamoja.

  • @danielsamwel4432
    @danielsamwel4432 5 лет назад +28

    6;4 @liyeona penseli kubwa Kama mita moja ivi kwa urefu apige like hapa

  • @esthernyabuto3845
    @esthernyabuto3845 5 лет назад +21

    Kanyaga zarii kanyaga mobeto kanyaga wema kanyaga

  • @kelvinchaula7431
    @kelvinchaula7431 5 лет назад +6

    Aaahh huyu jamaa kashashindikana banaaaa...

  • @tongzzystar7447
    @tongzzystar7447 4 года назад +3

    Simba tá faser as coisa dele gente nunca falha🐶✌✌✌

  • @tanaphamayunga9924
    @tanaphamayunga9924 3 года назад +1

    Huyu mwamba alishushwaa na mung syo kuzaliwa so nyom la wa2 ivoooo

  • @almisfahcs8255
    @almisfahcs8255 5 лет назад +6

    Hivi bado kuna watu wanakata ukweli kuhusu huyu jamaa baada ya hiki

  • @nkunzurwandakatibu9694
    @nkunzurwandakatibu9694 4 года назад +3

    He is a n amazing performer

  • @calvincaleb8851
    @calvincaleb8851 4 года назад +2

    Waaaaaa so good keep it up

  • @officialmrtop1018
    @officialmrtop1018 4 года назад +1

    Hahahahah hi kanyaga ili kanyaga kweli hapana mzaaa

  • @dieudonnebigirimana8083
    @dieudonnebigirimana8083 5 лет назад +20

    Simba 🤔🤔🤔michel Jackson wa africa

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 4 года назад +2

    Diamond platnumz🔥🔥🔥

  • @adijaadija8339
    @adijaadija8339 5 лет назад +23

    Eti mtashindana namtu wa ivo mtamuweza🤔🤔🇧🇮kwele

  • @marshcira262
    @marshcira262 3 года назад

    We invite you Kenya ...hiyo energy ni Kali ....I love you simba

  • @akulininjau2602
    @akulininjau2602 4 года назад +1

    Huyu jamaa msije mfananisha na msanii yoyote tanzania mnamkosea sana

  • @thamiyuucute7098
    @thamiyuucute7098 4 года назад +1

    Hili pencel😂😂😂😂😘😘😘😘

  • @bagavumbi9171
    @bagavumbi9171 4 года назад +2

    Mond nakukubal brother akuna kama ww bro

  • @caylacsuyu5979
    @caylacsuyu5979 5 лет назад +12

    Nan kaiona pencel YA KIBA🤣🤣🤣

  • @joyceisaya9393
    @joyceisaya9393 4 года назад +1

    Michel Jackson wa bongo

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 5 лет назад +1

    Jukwa zuri kam wako southafrica kumbe Tanzania, big up kwa Diamond na timu nzima

  • @bengfrik8472
    @bengfrik8472 5 лет назад +3

    Super ⭐ 😍😍😍diamond

  • @kaburaakbar4838
    @kaburaakbar4838 4 года назад +1

    Simbaaaa wey ni baba lao

  • @simonpadon6458
    @simonpadon6458 5 лет назад +6

    Simba atabak kuwa simbaaa!

  • @esabelfadhili8432
    @esabelfadhili8432 5 лет назад +5

    Ana influence ya maana huyu jamaaa

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 5 лет назад +92

    Kama umeona big ✏️,gonga likes hapa,!!!

    • @geofreymilinga2965
      @geofreymilinga2965 5 лет назад +2

      Siwezi kumtofautisha moond na Maicle Jakson

    • @nduwimanavovobi8433
      @nduwimanavovobi8433 5 лет назад

      Saidi Ali wallah kumbe ni big penseli nilikuwa bado munaelewa icho kitu ni kinini 😂😂😂😂

    • @rosepodi4127
      @rosepodi4127 4 года назад

      Duh kweli wabongo noma!🤣🤣siyo kwa lipenseli hilo!

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 5 лет назад +5

    hilo li pensel 😂😂😂

  • @dan_platnumz8790
    @dan_platnumz8790 3 года назад +1

    Simba na vibes hakuna kama ww, yaani balaa huyu jamaa🦁🦁

  • @rosewairimu1126
    @rosewairimu1126 5 лет назад +11

    Truly Babalao weuh🔥🔥🔥🔥

  • @sadamkhan-sy8cm
    @sadamkhan-sy8cm 5 лет назад +11

    Dangote Ni motooo

  • @npnphilemon971
    @npnphilemon971 5 лет назад +11

    That energy ⚡

  • @heriholder2937
    @heriholder2937 4 года назад +1

    Aisee hii wasafi festival dar 🦁 aliuwa balaaa nipo hapa 20/ 10/ 2020

  • @saladiabdi6289
    @saladiabdi6289 5 лет назад +5

    Is lit bro

  • @akibarahamadi5058
    @akibarahamadi5058 5 лет назад +15

    simbaa next level

  • @deejaydeewizafrica
    @deejaydeewizafrica 4 года назад +3

    Wasafi🔥🔥🔥🔥🔥

  • @uwimanauwimana7303
    @uwimanauwimana7303 5 лет назад +3

    Wakuache cloud hawakuwezi na huyo mwinjaku wao anapewa pesa akutusi

  • @ezracharz9798
    @ezracharz9798 4 года назад +2

    Me simba mdogo 😃❤❤❤❤❤❤❤

  • @renatusmisigaro6332
    @renatusmisigaro6332 5 лет назад +4

    Jamaaa kabeba bonge la pensel!!

  • @amonmgaya1123
    @amonmgaya1123 4 года назад +2

    Akuna atakae weza shinda nawe miaka 1000

  • @vintz338
    @vintz338 4 года назад +1

    Lile li penseli co poa😄😄😄

  • @jumamofu9573
    @jumamofu9573 4 года назад +1

    Noma

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 5 лет назад +1

    Ilikuwa poa Nimependa diamond alivyowakumbuka wasanii kam profesa jay, safi sana

  • @stansilauseliasi7883
    @stansilauseliasi7883 5 лет назад +4

    Huyu mtu jini au shetani mh jamani

  • @sephaniaayubu1877
    @sephaniaayubu1877 4 года назад +3

    Chibudeeeee aka simbaaaaaaa

  • @fakhirhamad1273
    @fakhirhamad1273 4 года назад +1

    Hii penseli😆😆😆

  • @filexgallas3562
    @filexgallas3562 5 лет назад +2

    hahahaaa aje abebe lipenseli lake

  • @sadakhamis6684
    @sadakhamis6684 5 лет назад +5

    Unashindwa chakuandika unajuwa kwakeli mpaka unakera

  • @dayorozil
    @dayorozil 5 лет назад +17

    SIMBA BABA LAO

  • @lukaspatrick4117
    @lukaspatrick4117 5 лет назад +4

    Ilikua. hatariii. Natamani ijiludie

  • @dicksonchavallah1226
    @dicksonchavallah1226 4 года назад

    Eeee mungu wangu jamani# upande huo vip mbona kimya?????

  • @ikoziboy4488
    @ikoziboy4488 4 года назад +1

    Show Kali decade hii

  • @britonngale6644
    @britonngale6644 4 года назад +1

    Nimerudi kuangalia hii show natafakari clausi akili zao zafikiri Wawa bkweli

  • @tvukerewe5314
    @tvukerewe5314 5 лет назад +9

    Sujawahi kuona

  • @yusuphujoshua3664
    @yusuphujoshua3664 3 года назад +1

    iko poa

  • @langsonhansuli4273
    @langsonhansuli4273 4 года назад +1

    Nc

  • @nduwimanavovobi8433
    @nduwimanavovobi8433 5 лет назад +2

    jamaniii nimesha choka na ku comment hadi vidole vimeteuka havifanyi kazi tena 😥😥

  • @jonasstephano7680
    @jonasstephano7680 4 года назад +1

    Jamaa anajua mpaka kapitiliza

  • @abdulhaji6708
    @abdulhaji6708 4 года назад +1

    Huyu jamaa anasifa mpak anakera

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 5 лет назад +7

    yaan mambo yako wazi wazi huu ni wakat wa diamond platnumz hilo shangwe n balaa tupu

  • @salummnemwa3927
    @salummnemwa3927 4 года назад +1

    mondi baba lao

  • @saidikilimila8508
    @saidikilimila8508 4 года назад +1

    Mondi noma

  • @روبيروبي-ج2ح
    @روبيروبي-ج2ح 3 года назад +1

    Nobody lky simba fire

  • @dizorking9608
    @dizorking9608 4 года назад +1

    Kwel mond baba lao

  • @ornisirutingabo29
    @ornisirutingabo29 4 года назад +1

    Hiyo ni style ya Micheal Jackson in istory

  • @emidaphoneth8804
    @emidaphoneth8804 4 года назад +1

    Diamond..... Forever and ever....

  • @wistonmlomo631
    @wistonmlomo631 4 года назад +2

    Tuweke mbali ushaniki ally kiba hana kiwango cha kumfikia mond

  • @salvatoryjohn7015
    @salvatoryjohn7015 4 года назад +1

    Bonge moja la show