Performance kama hii huwa wanafanya watu kama kina JZ Beyoncé and now our own Diamond brings it home!! We love you Diamond Platnumz!! Mti unaopondwa mawe ni ule wenye matunda!! Keep moving!! They will catch up if they have speed!!
This is simba one and only in Tanzania.hatakaa hatokee mwingine.yani roho inaniuma sikuwa wasafi festival.dar mmenjoy kushinda hata sisi wamikoani.big up simba one and only in Tanzania.one and there shall be no more.
Yan hii show ilivyoanza tu kwa shangwe hilo huyo wizkid tiwa na inossb walikuwa wanajiuliza wakipanda watakuja kufanya nini wakati jamaa kashasepa na kijiji
Moto wakuotea mbali kwani nani asiejuwa kwamba mond ni moto twajuwa sana kwamba watu wanaumia ndani kwa ndani haaaaahaaaa jiangalieni msijetumbuka bure mond huyooo azidi kupaaaaa mtalitutuuuuuu
Kama unairudia kucheki hii show July2020 tujuane kwa like
Performance kama hii huwa wanafanya watu kama kina JZ Beyoncé and now our own Diamond brings it home!! We love you Diamond Platnumz!! Mti unaopondwa mawe ni ule wenye matunda!! Keep moving!! They will catch up if they have speed!!
Modistrong is the Next Simba Dogo Anakuja na Kasi sana Na Kaanza Juzi tu.
Jana hadi wana YANGA walisema Simba Baba laooo 😂😂😂kweri huyu ni #Diamondplatnumz
Sijutiii kuwa shabiki wa Simba /wangapi wapo kama mimi like zenu niwajue
Safi
Show za kibabe hizo higa ufe
@@tukaemkipande3575 .xx
Ushabiki wa mimi kwa simba nahisi nimewazidi wooote
Mimi hapa
Huyo aliedai penseli bora angesema spido,yani penseli amemshusha sana babalaooooo wetu.MFA maji haishi kutapatapa.gonga like km unamkubali simbaaaaa
0754472181 nicheki
Mwajuma Bulugu simba ni simba
Mwajuma Bulugu hahahahahahahahahah
Hakuna cha pensel wala kalamu simba hana deni na mtuuu
SimbAa
Yaani kila nnapoweka bando lzm nirudie rudie kucheki hii show asee
Uyu jamaa anabeba nchi co wcb I am proud of this guy (baba lao)
Huyo jamaa mwenye penseli🤣🤣🔥🔥
Dah jamaa hatari sanaaa.....sijawahi kukuchukia hata siku moja dah....
Dahhhhh huyu jamaaa ni motooo 💥💥💥💣💣💣💣💣💣💣
African Michael Jackson 🔥🔥🔥
African Michael Jackson? U gotta find a unique make up name dude this one exists man wtf
This is simba one and only in Tanzania.hatakaa hatokee mwingine.yani roho inaniuma sikuwa wasafi festival.dar mmenjoy kushinda hata sisi wamikoani.big up simba one and only in Tanzania.one and there shall be no more.
2020 hii gongeni like za nguvu
Hyo jamaa mwenye penseli na mwenye daftari sasa.....duh
Muhammed Yussuf 😂😂😂😂😂
Jomon daftar sijaona
Amanda Seleman wewe hujaelew kipi amemanisha
Amanda Seleman aaaaaaaahhhh
@@nduwimanavovobi8433 kweli mwaya
Wamarekani wametuma maombi ya diamond apimwe DNA wanahisi huyu ni michel jackson aliyechangamka
😂😂😂😂😂
Salvatory John umetisha
..hahahahahahaha
KILA NIKIRUDIA KUANGALIA. SICHOKI YAANI HAO WAMEREKANI WAKAJAMBE 😂😂😂😂😂WANAONA SIE NDIO HATUFAI KUWA NA VIPAJI VIKUBWA NA VIZURI VYA SANAA KAMA HIVI
Salvatory John hahaha nimecheka
Tuweke u team pembeni Tanzania hakuna kama Diamond..
Yan hii show ilivyoanza tu kwa shangwe hilo huyo wizkid tiwa na inossb walikuwa wanajiuliza wakipanda watakuja kufanya nini wakati jamaa kashasepa na kijiji
Kweki kbs
duuuuuuh hatari...hzo ni baraka za wakongwe uliowapa nafasi...busara kubwa umezifanya mr chibu ubarikiwe
Ilikuwa hatari 🔥 🔥🔥 🔥🔥 🔥
Huyu jamaa ni jini mm nawaambiaga,,kiufupi #Diamond unajua haswaa
eeeeeeeeeeeeeeeeeeeehhhhhhhh!!!!!!! walllaaaaash, nibakubali sana. Huyu ndo msani wa kweli tulikuwa tunategemeye baada ya Michael Jackson
🔥🔥🔥🔥🔥baba Lao wamuache hata wawe 1000 watachemka tu chapa kazi watasubili 31 kigoma wataona 🔥🔥🔥
Yan raha mziki watu wacheze hivyo sio mnakaa kam mko kwenye arusi ata arusi watu wanajitikisa, diamond yuko vizuri yan
Simba anaamsha popoo watu hawapo kwenye hudhuni wapo kwenye kuamsha damu
Just imagine mond alogwe tena aisee ucjarbu jamaa yuko on fire💥💥💥💥 if u believe in dis just like here
Damn!!! Unforgettable
Next level diamond plantnumz ,chibu dangote, WCB chama letu Amen
Kila nikiweka bando nakuja kwanza kuchek hii kitu roho inapenda halaf moyon najiuliza et huyu wanamshindanisha na akina mwafulan
😂😂😂😂😂😂 eti wanamfananisha na kina nani?
Kama ulikubali hii show na unapenda kuirudia kuangalia kama Mimi like zenu tafadhali SIMBA motoo
Moto wakuotea mbali kwani nani asiejuwa kwamba mond ni moto twajuwa sana kwamba watu wanaumia ndani kwa ndani haaaaahaaaa jiangalieni msijetumbuka bure mond huyooo azidi kupaaaaa mtalitutuuuuuu
Kweli Simba umetisha,mpinzani kwa bongo bado aujampata..
Simba siku zote huogopwa zaidi mbugani japokuwa Kuna wakubwa zaidi yake,xo baba lao ni motoooooo!!!!!!👍👍👍👍
Naona wana imebidi watinge na penseli ya kibaa kisaa hawataki kumuludishia tena hakuna anaedai penxeli2 bila daftari wana wameriona hilooo
Daaaaah huyu jamaaaa sio mtu wa kawaida
@Change Mindset mmh ni atari hii
That energy,,2023 we here
Asa pencil yako hapa ilihucka vp???? Ahahahaaaa,,,simba hajakuchukulia pencil yako bhana... !!huyu amechukua ubongo wa mzungu broo. !!!
Nan anataman featuring ya simba na Chris Brown alafu wanaperfom pamoja.
6;4 @liyeona penseli kubwa Kama mita moja ivi kwa urefu apige like hapa
Kanyaga zarii kanyaga mobeto kanyaga wema kanyaga
Aaahh huyu jamaa kashashindikana banaaaa...
Simba tá faser as coisa dele gente nunca falha🐶✌✌✌
Huyu mwamba alishushwaa na mung syo kuzaliwa so nyom la wa2 ivoooo
Hivi bado kuna watu wanakata ukweli kuhusu huyu jamaa baada ya hiki
He is a n amazing performer
Waaaaaa so good keep it up
Hahahahah hi kanyaga ili kanyaga kweli hapana mzaaa
Simba 🤔🤔🤔michel Jackson wa africa
That is true
Diamond platnumz🔥🔥🔥
Eti mtashindana namtu wa ivo mtamuweza🤔🤔🇧🇮kwele
Kabissaaaa
Adija Adija wanajichosha tu
We invite you Kenya ...hiyo energy ni Kali ....I love you simba
Huyu jamaa msije mfananisha na msanii yoyote tanzania mnamkosea sana
Hili pencel😂😂😂😂😘😘😘😘
Mond nakukubal brother akuna kama ww bro
Nan kaiona pencel YA KIBA🤣🤣🤣
Aydid Mansour p
Michel Jackson wa bongo
Jukwa zuri kam wako southafrica kumbe Tanzania, big up kwa Diamond na timu nzima
Super ⭐ 😍😍😍diamond
Simbaaaa wey ni baba lao
Simba atabak kuwa simbaaa!
Ana influence ya maana huyu jamaaa
Kama umeona big ✏️,gonga likes hapa,!!!
Siwezi kumtofautisha moond na Maicle Jakson
Saidi Ali wallah kumbe ni big penseli nilikuwa bado munaelewa icho kitu ni kinini 😂😂😂😂
Duh kweli wabongo noma!🤣🤣siyo kwa lipenseli hilo!
hilo li pensel 😂😂😂
Simba na vibes hakuna kama ww, yaani balaa huyu jamaa🦁🦁
Truly Babalao weuh🔥🔥🔥🔥
0754472181 nicheki
Dangote Ni motooo
That energy ⚡
penda sana mond
Aisee hii wasafi festival dar 🦁 aliuwa balaaa nipo hapa 20/ 10/ 2020
Is lit bro
simbaa next level
Wasafi🔥🔥🔥🔥🔥
Wakuache cloud hawakuwezi na huyo mwinjaku wao anapewa pesa akutusi
Me simba mdogo 😃❤❤❤❤❤❤❤
Jamaaa kabeba bonge la pensel!!
😂😂😂😂😂😂
Akuna atakae weza shinda nawe miaka 1000
Lile li penseli co poa😄😄😄
Noma
Ilikuwa poa Nimependa diamond alivyowakumbuka wasanii kam profesa jay, safi sana
Huyu mtu jini au shetani mh jamani
Chibudeeeee aka simbaaaaaaa
Hii penseli😆😆😆
hahahaaa aje abebe lipenseli lake
Unashindwa chakuandika unajuwa kwakeli mpaka unakera
SIMBA BABA LAO
Ilikua. hatariii. Natamani ijiludie
Eeee mungu wangu jamani# upande huo vip mbona kimya?????
Show Kali decade hii
Nimerudi kuangalia hii show natafakari clausi akili zao zafikiri Wawa bkweli
Sujawahi kuona
iko poa
Nc
jamaniii nimesha choka na ku comment hadi vidole vimeteuka havifanyi kazi tena 😥😥
Jamaa anajua mpaka kapitiliza
Huyu jamaa anasifa mpak anakera
yaan mambo yako wazi wazi huu ni wakat wa diamond platnumz hilo shangwe n balaa tupu
mondi baba lao
Mondi noma
Nobody lky simba fire
Kwel mond baba lao
Hiyo ni style ya Micheal Jackson in istory
Diamond..... Forever and ever....
Show za kiumeni hizo
Tuweke mbali ushaniki ally kiba hana kiwango cha kumfikia mond
Bonge moja la show