Комментарии •

  • @msafirlaizer2368
    @msafirlaizer2368 4 года назад +90

    Mimi ni Mkristo lakini napenda sanaa mafundisho ya Kiislam. Asante sanaa Sheikh 🙏😍

  • @rahimahaji4813
    @rahimahaji4813 4 года назад +5

    Asante shekh kwa mafundisho mazur, maana wengi wetu waislam hatujui haya mambo na wazito kufatilia, Allah azilainishe nyoyo zetu ili tuisome dini yetu

  • @asiaa6573
    @asiaa6573 Год назад

    Shukran sheikh wetu kwa kutuelikisha Allah akupe kheri

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 5 лет назад +42

    SHUKRAN sana Allah awajalieni kwawote MASHEIKH WETU umri wenye afya njema mzidi kutuelimisha

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 3 года назад +1

    Shukrani sheikh kwa mafundisho mazuri Allah akulipe kheri

  • @hamisijuma7378
    @hamisijuma7378 4 года назад +1

    Naam asante sana mafundisho safi kabisa

  • @aminasaidi773
    @aminasaidi773 4 года назад

    Shukran sana sheikh nimejifunza mengi sana

  • @nassramohammed5374
    @nassramohammed5374 4 года назад +1

    Shukrani shekhee🙏

  • @fatmaa.mohammed6027
    @fatmaa.mohammed6027 3 года назад

    Sheikh Allah akupe kheri na barka. Mm mengi nimejuaa nilokua siyajui.

  • @rehematuga9906
    @rehematuga9906 4 года назад +1

    Shukran Shekhe,nmejifunza mambo kadhaa niliyokuwa siyafahamu.Allah akuepushe na Shari Insha Allah

  • @sakinat2527
    @sakinat2527 3 года назад

    Maa shaa Allah shukran sheikh jazakallah khayra

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 4 года назад +3

    Shukran Sheik Hamisi, nimepata ufumuzi sahihi hapo maji wanapo rudi ndani ya ndoo.ALLAH akupe umri🤲🤲🤲🇰🇪

  • @rashidahmed8071
    @rashidahmed8071 4 года назад

    Dini yetu ya kiislam nyepesi shukrani shekh

  • @muhamaddjuma9133
    @muhamaddjuma9133 4 года назад +23

    Namuomba Allaah alietukuka mola wa arshi tukufu amridhie sheikh wetu Khamis gharib na amsamehe yeye na wazazi wake na anufaishe uislam kupitia yeye na waislam wote

  • @jamilamunisi1480
    @jamilamunisi1480 4 года назад +1

    Shukrani sana

  • @bayaanhumud4328
    @bayaanhumud4328 4 года назад +5

    Maashaallah Msafir raizel Allah akujaalie iman zaid uingie katika dini ya hakki ili ukastarehe katika maisha ya milele aaammmmiiin Yaa rabby

  • @rmdn9879
    @rmdn9879 4 года назад

    Shukrani sana.

  • @ghaniyajaffar9587
    @ghaniyajaffar9587 4 года назад +1

    shukran, Allah atakulipa kwa kutufundisha.

  • @sifatmashaka6752
    @sifatmashaka6752 4 года назад +1

    Mashaalkah shekhe , ni halal kusema nawaitutwaharat minnal janab au hedh kwa kila kopo unalojimwagia ???

  • @aishaissa2691
    @aishaissa2691 3 года назад

    Naam shukran wajakumullahu kheir

  • @ashurarugarabamu5214
    @ashurarugarabamu5214 4 года назад

    Maashallah, shukran kwa elimu nzr

  • @shamimunkungunkungu5144
    @shamimunkungunkungu5144 4 года назад

    Nice message

  • @ibrahimhassan5141
    @ibrahimhassan5141 3 года назад +1

    Natasha allows hats Mimi nimejifunza mengi

  • @jujuomega1506
    @jujuomega1506 4 года назад

    jazaakallahu khair yaa shekh jamiiir jamiir jiddan watuwengi huwawanatembea najanaba zidisha kutoa darsahizi nimuhimu sana wengi hawaendi vyuoni

  • @Salama-iv4bl
    @Salama-iv4bl 5 лет назад +8

    Jazakallah'shekh Allah akulinde

  • @omarbokoko624
    @omarbokoko624 4 года назад

    Shukran sheikh jazakallahu kheir

  • @ahmedabry3508
    @ahmedabry3508 3 года назад

    Mashallah dini ya uislamu ni dini ya haki raha Sana mafunzo yake

  • @hadijaseif329
    @hadijaseif329 4 года назад

    Asante sheikh

  • @babytii8808
    @babytii8808 4 года назад

    Shkran kwa kutujuza Allah akujalie heri

  • @abutalibomar6182
    @abutalibomar6182 4 года назад +5

    Asante Sana shkh Khamis Kharib... nakukumbuka sana Masjid Sunnah Rahaleo...

  • @isihackismail726
    @isihackismail726 4 года назад +1

    Nimekuelewa vzur Shekh mambo meng watu wanayafanya kuwa magum kumbe ni rahsi tu mungu akujarie shekh

  • @faridabakari4376
    @faridabakari4376 4 года назад +1

    Shukran Shekhe nifaidika sana kwa darasa lako👏

  • @salummkwepu5940
    @salummkwepu5940 4 года назад

    Shukrani sheikh kwa mawaidha

  • @raomy82
    @raomy82 3 года назад

    Shukran jazakallh lkheyr🙏

  • @shixeoshxs7276
    @shixeoshxs7276 3 года назад

    Shukran shekhe jazaka llahu kheri inshaallah

  • @patriciaomarigezza6414
    @patriciaomarigezza6414 3 года назад

    Je bada ya kukoga ,kwa sie wanawake na kujipaka mafuta ama lotion je unahondosha Udhu?

  • @maimunaathman4664
    @maimunaathman4664 4 года назад

    Shukran sheikh

  • @kidotikidoti157
    @kidotikidoti157 4 года назад +5

    Jazakallah kher shekh nimefaham meng wallah🙏

  • @sultansaleh6333
    @sultansaleh6333 4 года назад +3

    Mashallaa hakika shke unatoa elimu mungu akueke malipokwake aminn

  • @mariamshabani769
    @mariamshabani769 4 года назад

    Shukran

  • @shemsakhamis3755
    @shemsakhamis3755 4 года назад

    Shukran shehe kwa mafundisho Allah akubarikiiiiii

  • @faju4real800
    @faju4real800 4 года назад +1

    Shukran shekh Alalh akulinde

  • @iyadaud1033
    @iyadaud1033 4 года назад +1

    Hv shekhe kwa wale waliooa na waliolewa inajuzu kufanya tendo la jimai baada ya funga (usiku) swali langu je unaweza kukoga janaba asubuhi ya siku ya pili baada ya tendo au huwezi

  • @fatmaharr3183
    @fatmaharr3183 3 года назад

    Amin amin

  • @zainabrashid769
    @zainabrashid769 4 года назад +1

    Mashaallha

  • @omanseeb8609
    @omanseeb8609 5 лет назад +3

    Shukran shekh kwa dars nzur

  • @mickidadyplanet6476
    @mickidadyplanet6476 4 года назад

    Mungu akuzidishie katka kher

  • @muhammadahmedaliyyu3854
    @muhammadahmedaliyyu3854 5 лет назад +12

    Shukran Jazeelan jazak Allah khayri mengi nilikuwa siyafahamu kamwe nime ya fahamu ALHAMDULILLAHI RabilaAlamina 🙏

  • @ladyfiretz7149
    @ladyfiretz7149 4 года назад +1

    .mashallah

  • @sabrycdy3214
    @sabrycdy3214 5 лет назад +9

    Shukran sana shekh wetu umenipa mwangaza zaid kwa elmu hii inshaallah shukran

  • @shabaninanyata4824
    @shabaninanyata4824 4 года назад +2

    Allah akujaalie afya sheh uweze kutufundsha masomo Kama aya

  • @waidaabduly6230
    @waidaabduly6230 4 года назад +1

    Mashallah

  • @aliommy6396
    @aliommy6396 4 года назад +2

    MashaAllah, mafundisho mazuri sana

  • @veetwiga5861
    @veetwiga5861 4 года назад

    Nimejifunza kitu kikubwa sana leo.Allah akuzidishie kheri

  • @zawadsaidy8558
    @zawadsaidy8558 5 лет назад +4

    Shukrani shekhe wetu.

  • @WadahKalumna-gs2kd
    @WadahKalumna-gs2kd 10 месяцев назад

    Amiiin...

  • @allyismail3927
    @allyismail3927 4 года назад +1

    Asante mwalim

  • @Mondoonegeneraltreders
    @Mondoonegeneraltreders 4 года назад +7

    Assalam alaykum! Naomba kuuliza baada ya kukoga janaba ni lazima kutia udhu na km ni lazma inakuwaje kwa yule anaetia udhu akiwa anakogea choon!! Naomba kujibiwa

    • @alizahranmohd4095
      @alizahranmohd4095 4 года назад

      choon unawez kutia udhu.ila choon ni makruhu

    • @mtumwahaji5971
      @mtumwahaji5971 4 года назад

      Hutakiwi kutamkaa neno LA Allah tu Ila udhu unatiy

    • @omar96-tz
      @omar96-tz 4 года назад +4

      Mtume (saw) amesema Allah haukubali udhu ambso mtu hakusema bismillah..
      Kwaiyo Ni lazima kusema bismillah unapoanza kutia udhu lkn ukiwa choon ndani usisome bismillah coz hairuhusiwi kutajwa jina la Allah choon so utasema bismillah nje kabla ya kuingia choon ndani

    • @mohamediismail8477
      @mohamediismail8477 4 года назад +1

      Chooni unatia udhu na unafaa pia kwajili ya kwenda kufanya ibada

  • @mariamaaa4949
    @mariamaaa4949 4 года назад

    Shukran saaaana sheh

  • @fetymwinyi2191
    @fetymwinyi2191 4 года назад

    Asante sana

  • @akidasalim3859
    @akidasalim3859 4 года назад +1

    Alhamdulillahi nimejifunza.Allah akubarik

  • @chuserkibavu2215
    @chuserkibavu2215 4 года назад +2

    inshallah shekhee

  • @zabibunduwimana4612
    @zabibunduwimana4612 4 года назад

    Shukrani

  • @chunaamina8719
    @chunaamina8719 4 года назад +5

    Mashaallah nmejifunza mengi, Allahu abariq

  • @bicheatijafaqui6817
    @bicheatijafaqui6817 4 года назад

    Muito obrigado pela mensagem

  • @fatmaismail13
    @fatmaismail13 4 года назад

    shukran sana

  • @nasranasra7241
    @nasranasra7241 4 года назад +2

    Shukran chehe Allah akupe kila la heri

  • @khadijaally3681
    @khadijaally3681 4 года назад

    Shukrani shekhe Leo nimeelewa vizuri sana

  • @hajiissa9200
    @hajiissa9200 4 года назад +1

    Ma sha allah

  • @halimakoi6262
    @halimakoi6262 4 года назад

    Shukran kathir

  • @zaynabkalombi1579
    @zaynabkalombi1579 4 года назад

    Ma sha lla h shekh

  • @mwaminiwivine2840
    @mwaminiwivine2840 4 года назад

    Uyu anajuwafudisha sana

  • @aishaissa6028
    @aishaissa6028 4 года назад

    Shukrani sana shekhe nimejifunza mengi

  • @musitemusite4316
    @musitemusite4316 3 года назад

    Shukrulani

  • @nesmaakhy2778
    @nesmaakhy2778 4 года назад +6

    Mashaallah Allah ibarik 💆

  • @rilkabuya6519
    @rilkabuya6519 4 года назад

    Mashaallah tabarak allah kweli kabisa shekh wangu mungu akupe kila la wema

  • @hassanjuma5229
    @hassanjuma5229 4 года назад +2

    Pia naomba darsa full ya namnaya kumswalia mait

  • @sihamjuma6734
    @sihamjuma6734 4 года назад +1

    Asalam alaykum.sasa uwo udhuu utaingia wakat bado hujakoga janaba ?

    • @RiyadhTvOnlineZnz
      @RiyadhTvOnlineZnz 4 года назад

      Waaleykum ssalaam warahmatullahi wabarakaatuh naam unaingia kwani nn kitakachouzuia udhu kuingia??? Lakn zaidi ya hilo pia udhu ni katka hatua za ukogaji wa janaba

  • @salmakey601
    @salmakey601 5 лет назад +3

    Shukran shekhe nauliza hivi hayo maji machache waweza kuroanisha nywere zote Mana twambiwa kila unywere unajanaba plz naomba nijibiwe

    • @RiyadhTvOnlineZnz
      @RiyadhTvOnlineZnz 5 лет назад +1

      naaam inawezekana, maana wahitajika kutumia mikono yako kuhakiki maji yanafika uzuri

    • @rehemajuma2671
      @rehemajuma2671 5 лет назад +1

      Naomba kuuliza ukimaliza tendo la ndoa inabidi ukaoshe chini naalafu uchukue udhu ndio ukaoge janaba au

    • @RiyadhTvOnlineZnz
      @RiyadhTvOnlineZnz 5 лет назад

      @@rehemajuma2671 naaam ndiyo

    • @rehemajuma2671
      @rehemajuma2671 5 лет назад +1

      Kwenye kuoga inalazima kunuia au nia moyoni

    • @RiyadhTvOnlineZnz
      @RiyadhTvOnlineZnz 5 лет назад +1

      @@rehemajuma2671 nia moyoni

  • @kwastembayetu7649
    @kwastembayetu7649 4 года назад +2

    برك الله فيك

  • @fahardintangazo7884
    @fahardintangazo7884 4 года назад

    Thanks

  • @abdallahiddi2151
    @abdallahiddi2151 4 года назад

    manshaallah shekh nimekuelewa

  • @yahyaog1175
    @yahyaog1175 4 года назад

    Ok nice

  • @kidotikidoti157
    @kidotikidoti157 4 года назад +8

    👌swadakta shkh hapo ndio nilikuwa nataka kufaham asa kumbe maji yakirud kwenye ndoo ayachafuki🤔wallah miye nilikuwa najuwa ukae mbali asa mana yakirud mule kila kitu cha haribika

    • @mtumwahaji5971
      @mtumwahaji5971 4 года назад +1

      Tusome dini yetu iko waz tusifuate mikumbo

    • @shifaaabdulla6703
      @shifaaabdulla6703 4 года назад +1

      Ata mm nlijua kua yanakua mustaamal yaani yaliotumika

    • @muniruselemani4026
      @muniruselemani4026 4 года назад

      Kher shekhe

    • @2mbatutv.698
      @2mbatutv.698 4 года назад

      @@shifaaabdulla6703 jaman ndug zang tusome dini tuach Kufatilia Dini kiujanja ujanja. Tafuta kitabu kimeandikwa TWAHARA,
      AU JANABA. Utaelew kwa nin nakwambien hivy

    • @2mbatutv.698
      @2mbatutv.698 4 года назад

      @@shifaaabdulla6703 maji ambay hayatok twahar ni maji ya mito ziwa ma way, sofa yawe mfano huo wa wingi hayawez chafuk Ila katk ndoo shekh, ? Tumia akil kifog tu kwa nin maji ya udhu hun ruhus ya kutia Mkon mpak unawe? Tusom dini

  • @fatmaharr3183
    @fatmaharr3183 3 года назад

    Subhanllah Allahmdhullillah Allahu akbar

  • @athumanmashanga304
    @athumanmashanga304 4 года назад +2

    Mashaallah

  • @saadaabdullah9981
    @saadaabdullah9981 4 года назад +1

    Mashallah jazakha llah

  • @hassanjuma5229
    @hassanjuma5229 4 года назад +3

    Asalam alaykum Shehe darsa ni zur Sana ka sis waislam pia naulizia Ina faa kukoka kwanza kawaida ukimaliza ndio ukoge janaba????

    • @bisadakhalidy1111
      @bisadakhalidy1111 4 года назад +3

      Naaam nivinzur kukoga kwanza na sabuni kijisafisha uchafu uliopo katika mwili kuna sehemu zingin watak wa tendo la ndoa baazi ya mania hurukia sehemu usiyo tengemea so ni vyema kujisafisha kwanza ndo ujitwaharishe

    • @salama2625
      @salama2625 4 года назад

      Jazakallah qaylah mana hata nilikuwa nataka kujua kuhusu ili

    • @hassanjuma5229
      @hassanjuma5229 4 года назад

      @@salama2625 sawa usijali

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 года назад

    Asante sana jazakallahu khayra

  • @mohamedally8663
    @mohamedally8663 4 года назад +1

    Mashaallah shekh khamic kwa kutupa darsa tamtam zenye manufaa kwetu

  • @rehemambogo2685
    @rehemambogo2685 4 года назад +1

    Maashaallah

  • @salehkhalfan1473
    @salehkhalfan1473 4 года назад

    Asalamu alaykum nauliza suali unasema upokoga janaba Maji yakirudia ndooni hayajachafuka je yale yanayomwagika chini na yakarudia ndooni pia itakuwa hayajachafuka?

    • @ramamtetu2327
      @ramamtetu2327 4 года назад +1

      Nhv ndugu;
      Kuna Maji Machafu na Maji yenye Najisi
      Kila Najisi ni Uchafu lakini Si kila Uchafu ni najisi
      Mf; Makamasi ni Uchafu lakini Sio najisi
      Hivyo Ukioga Maji yakirudi tena ndooni Kutoka Katika Mwili wako wakati wa Harakati za Kuoga basi Maji ya ndooni hayo hatakuwa na unajisi Kwa Sababu Muislam (yaani muogaji) Sio najisi.
      Au yakiingia Uchafu kama Kamasi za muogoji kwa bahati mbaya pia Maji yatakuwa na uchafu tu Sio najisi
      Maji yatanajisika kwa Kuingia ndani yake Kitu najisi kama Kinyesi mkojo na nk

  • @adamysmaina8296
    @adamysmaina8296 4 года назад

    Shukurani kwa yakini Sheikh umenifungua ufahamu

  • @misslatabdallah3123
    @misslatabdallah3123 4 года назад +1

    A/alaikum.shekh me nina swal hapa Je nguo ulizovaa ikiwa ni pamoja na mashuka kipind ukiwa na hedh hazifai kuswaliwa au kutumiwa tena mpka zifuliwe hata kama hazijaingia rang ya damu na wala hazinuki harf ya uchafu ???Na pia kuna mda unajikuta wakt una hedhi kuna nguo umevaa hata lisaa 1 halijafika ukaivua ,mfano kanga au mtandio au baibui lkn baadh wat.wanasema nguo ile haifai tena kutumiwa ukiwa msaf mpka uifuie , nataka ufafanuz juu ya hili 👆👆

    • @umukurthumomar4804
      @umukurthumomar4804 2 года назад

      Hili suali umejibiwa na mm ninataka ufanuzi juu ya hili

  • @salehamour5981
    @salehamour5981 5 лет назад +3

    Asant xna sheikh wetu

  • @sleyummoo7795
    @sleyummoo7795 4 года назад

    Ustadh asante sana nimefrahishwa na hili

  • @mahmoudhaji7965
    @mahmoudhaji7965 4 года назад

    Shekhe pana swali hapa huu udhu wa janaba unaweza kuswalia nao au ukimaliza utie mwengne?

    • @RiyadhTvOnlineZnz
      @RiyadhTvOnlineZnz 4 года назад +1

      Unaweza kusalia ila kwa shati baada ya kutia udhu huu hakikisha hutojikamata sehem zinazotengua udhu

  • @hassancoddy6713
    @hassancoddy6713 4 года назад

    Kheir ama kweli tumeelewa

  • @sharifaselemani4608
    @sharifaselemani4608 4 года назад +1

    Mimi sina mume nakuomba niombee dua nipate mume mwenye ofu ya mungu

  • @mussaally5423
    @mussaally5423 4 года назад

    Shukran Yaa Shekhe Jazakallahu kheir