Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Kwakweli mumenigusa mnooo
Wimbo mzuri sana huu.Unanifariji.Abarikiwe mtunzi na wasaidizi wake.
Huu wimbo huwa UNANIBARIKI❤❤❤❤❤ hakuna kama MUNGU ALIYEUMBA MBINGU NA DUNIA❤❤❤❤❤
Mmetisha sana wimbo mzuri sana sichoki kuusikiliza.Mungu awabariki mzidi kuinjilisha vizuri zaidi.
Hakika hakuna kama Mungu🙏🙏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Ni nani kama Mungu hakuna 🙏 Hongereni sana
Nyimbo nzuri...ujumbe mzuri
Wimbo mzuri nakumbuka uliimbwa na kwaya ya Moyo Mt wa Yesu Singida hakika hakuna kama Mungu hongereni
Alikiwe Sana huu wimbo ulinifundisha na kunishawishi niipende huduma hii ya uuimbaji
Mumeimba vizuri
Hongereni. Kwa hakika hakuna kama Mungu.
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Hongera
Vyombo vya mziki vimetulia kristu atukuzwe sana
Nice Song and nice Fipas melod❤❤
Mbarikiwe sana
Amina amina
Hakuna kama Mungu hakuna na hajawahi kuwapo na hatakuwepo mwingine kama yeye
Ukuu mwingi sana, production nzuri. Ingawa percussions mmezifinya kidogo kuliko vocals
Uwiiii hakuna zaidi ya MUNGU nitamsifu usiku na mchana
Kazi nzuri ❤❤
Hakuna zaidi ya mungu nyimbo nzuri, ujumbe mzuri na uimbaji mzuri mbarikiwe sana kwa kumsifu mungu katika ukubwa huu🙏🏾🙏🏾
Amina. Tubarikiwe sote ndugu
Wimbo mzuri sana.. Hongereni snaaa
Ashukuriwe Mungu wetu. 🙏🏿🙏🏿
Huu wimbo waliimba pia kwaya ya moyo Mtakatifu wa Yesu Singida. Mwenye album hii please share
Haaaaaaaleluyaaaaaaaa. Hakuna Kama Mungu...
Hongereni mnoo
Asante
Hakika hakuna Kama Mungu.. Hongereni Sana
Hakika hakuna anayestahili kusifiwa, kuabudiwa, kutukuzwa, kupendwa, kushukuriwa , kukimbiliwa, kuheshimiwa na kutumainiwa "kama Mungu". Ni mwenye huruma nyingi. Hongera kwa mtunzi, waimbaji na mpiga kinanda. Mbarikiwe
Amina mama🙏🏿
Fantastic
🎉🎉
Hongereni mmetulia sana, hakika mmemsifu mungu vyema
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏H O N G E R E N I . Hakika, hakuna kama Mungu.
Hongereni sanaa ❤️👎👏👏👏
🙏🏿🙏🏿🙏🏿Karibu sana ndugu Felix.
Nitakaribia ndugu japo nipo mbali sana nipo mwanza natamani sana ningekuwa karibu nikatoe sapot yangu Kwa dadaangu kipenzi dativa silayo🥰❤️👎👏👏
@@felixsilayo6292 ooooh... atakutunzia flash yako
Jamani mmetisha sana asanteni
Tumetisha kwa wimbo huu unaujumbe unaobariki sana
Kwakweli mumenigusa mnooo
Wimbo mzuri sana huu.Unanifariji.Abarikiwe mtunzi na wasaidizi wake.
Huu wimbo huwa UNANIBARIKI❤❤❤❤❤ hakuna kama MUNGU ALIYEUMBA MBINGU NA DUNIA❤❤❤❤❤
Mmetisha sana wimbo mzuri sana sichoki kuusikiliza.Mungu awabariki mzidi kuinjilisha vizuri zaidi.
Hakika hakuna kama Mungu🙏🙏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Ni nani kama Mungu hakuna 🙏 Hongereni sana
Nyimbo nzuri...ujumbe mzuri
Wimbo mzuri nakumbuka uliimbwa na kwaya ya Moyo Mt wa Yesu Singida hakika hakuna kama Mungu hongereni
Alikiwe Sana huu wimbo ulinifundisha na kunishawishi niipende huduma hii ya uuimbaji
Mumeimba vizuri
Hongereni. Kwa hakika hakuna kama Mungu.
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Hongera
Vyombo vya mziki vimetulia kristu atukuzwe sana
Nice Song and nice Fipas melod❤❤
Mbarikiwe sana
Amina amina
Hakuna kama Mungu hakuna na hajawahi kuwapo na hatakuwepo mwingine kama yeye
Ukuu mwingi sana, production nzuri. Ingawa percussions mmezifinya kidogo kuliko vocals
Uwiiii hakuna zaidi ya MUNGU nitamsifu usiku na mchana
Kazi nzuri ❤❤
Hakuna zaidi ya mungu nyimbo nzuri, ujumbe mzuri na uimbaji mzuri mbarikiwe sana kwa kumsifu mungu katika ukubwa huu🙏🏾🙏🏾
Amina. Tubarikiwe sote ndugu
Wimbo mzuri sana.. Hongereni snaaa
Ashukuriwe Mungu wetu. 🙏🏿🙏🏿
Huu wimbo waliimba pia kwaya ya moyo Mtakatifu wa Yesu Singida. Mwenye album hii please share
Haaaaaaaleluyaaaaaaaa. Hakuna Kama Mungu...
Hongereni mnoo
Asante
Hakika hakuna Kama Mungu.. Hongereni Sana
Hakika hakuna anayestahili kusifiwa, kuabudiwa, kutukuzwa, kupendwa, kushukuriwa , kukimbiliwa, kuheshimiwa na kutumainiwa "kama Mungu". Ni mwenye huruma nyingi. Hongera kwa mtunzi, waimbaji na mpiga kinanda. Mbarikiwe
Amina mama
🙏🏿
Fantastic
🎉🎉
Hongereni mmetulia sana, hakika mmemsifu mungu vyema
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
H O N G E R E N I .
Hakika, hakuna kama Mungu.
Hongereni sanaa ❤️👎👏👏👏
🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Karibu sana ndugu Felix.
Nitakaribia ndugu japo nipo mbali sana nipo mwanza natamani sana ningekuwa karibu nikatoe sapot yangu Kwa dadaangu kipenzi dativa silayo🥰❤️👎👏👏
@@felixsilayo6292 ooooh... atakutunzia flash yako
Jamani mmetisha sana asanteni
Tumetisha kwa wimbo huu unaujumbe unaobariki sana