HAKUNA KAMA MUNGU || Peter Mboye (Official Music Video - 4K)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Ni nani aliye kama Mungu? Hakuna aliye kama Mungu.
    Wimbo huu utusaidie kutafakari na kutambua Uwepo na Ukuu wa Mungu katika maisha yetu, Karibuni🙏

Комментарии • 42

  • @richardmlay6990
    @richardmlay6990 Месяц назад +1

    Kwakweli mumenigusa mnooo

  • @deotarimo4270
    @deotarimo4270 7 месяцев назад +1

    Wimbo mzuri sana huu.Unanifariji.Abarikiwe mtunzi na wasaidizi wake.

  • @absm8084
    @absm8084 5 месяцев назад +2

    Huu wimbo huwa UNANIBARIKI❤❤❤❤❤ hakuna kama MUNGU ALIYEUMBA MBINGU NA DUNIA❤❤❤❤❤

  • @deotarimo4270
    @deotarimo4270 4 месяца назад

    Mmetisha sana wimbo mzuri sana sichoki kuusikiliza.Mungu awabariki mzidi kuinjilisha vizuri zaidi.

  • @njulumierick
    @njulumierick Год назад +1

    Hakika hakuna kama Mungu🙏🙏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @dativamtaresi1973
    @dativamtaresi1973 Год назад +3

    Ni nani kama Mungu hakuna 🙏 Hongereni sana

  • @onlinetrends1195
    @onlinetrends1195 Год назад +1

    Nyimbo nzuri...ujumbe mzuri

  • @marthambega8707
    @marthambega8707 Год назад +1

    Wimbo mzuri nakumbuka uliimbwa na kwaya ya Moyo Mt wa Yesu Singida hakika hakuna kama Mungu hongereni

  • @petercharles1819
    @petercharles1819 4 месяца назад +2

    Alikiwe Sana huu wimbo ulinifundisha na kunishawishi niipende huduma hii ya uuimbaji

  • @richardmlay6990
    @richardmlay6990 Месяц назад

    Mumeimba vizuri

  • @mkabwamanoko5228
    @mkabwamanoko5228 7 месяцев назад +1

    Hongereni. Kwa hakika hakuna kama Mungu.

  • @CatherinePatrick-o8e
    @CatherinePatrick-o8e Год назад +1

    Hongera

  • @edithakaselekete8577
    @edithakaselekete8577 Год назад +1

    Vyombo vya mziki vimetulia kristu atukuzwe sana

  • @benyjoseph949
    @benyjoseph949 Год назад +1

    Nice Song and nice Fipas melod❤❤

  • @catholicworships
    @catholicworships Год назад +3

    Mbarikiwe sana

  • @paulmthethe1111
    @paulmthethe1111 Год назад +1

    Hakuna kama Mungu hakuna na hajawahi kuwapo na hatakuwepo mwingine kama yeye

  • @emilkawala6563
    @emilkawala6563 Год назад +2

    Ukuu mwingi sana, production nzuri. Ingawa percussions mmezifinya kidogo kuliko vocals

  • @agreygervas7075
    @agreygervas7075 Год назад +1

    Uwiiii hakuna zaidi ya MUNGU nitamsifu usiku na mchana

  • @himerymsigwa9665
    @himerymsigwa9665 5 месяцев назад

    Kazi nzuri ❤❤

  • @deogratiusisaya1094
    @deogratiusisaya1094 Год назад +1

    Hakuna zaidi ya mungu nyimbo nzuri, ujumbe mzuri na uimbaji mzuri mbarikiwe sana kwa kumsifu mungu katika ukubwa huu🙏🏾🙏🏾

  • @marysemufali7011
    @marysemufali7011 Год назад +1

    Wimbo mzuri sana.. Hongereni snaaa

  • @drgeofreymdede3952
    @drgeofreymdede3952 4 месяца назад

    Huu wimbo waliimba pia kwaya ya moyo Mtakatifu wa Yesu Singida. Mwenye album hii please share

  • @athanasyakobo
    @athanasyakobo Год назад +1

    Haaaaaaaleluyaaaaaaaa. Hakuna Kama Mungu...

  • @SafariGurty
    @SafariGurty 6 месяцев назад +1

    Hongereni mnoo

  • @berthajohn2722
    @berthajohn2722 Год назад +1

    Hakika hakuna Kama Mungu.. Hongereni Sana

  • @mariamwaka
    @mariamwaka Год назад

    Hakika hakuna anayestahili kusifiwa, kuabudiwa, kutukuzwa, kupendwa, kushukuriwa , kukimbiliwa, kuheshimiwa na kutumainiwa "kama Mungu". Ni mwenye huruma nyingi. Hongera kwa mtunzi, waimbaji na mpiga kinanda. Mbarikiwe

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 3 месяца назад

    Fantastic

  • @mosesngeleja1482
    @mosesngeleja1482 Год назад +1

    🎉🎉

  • @jamesmsuvahsafisana3212
    @jamesmsuvahsafisana3212 Год назад

    Hongereni mmetulia sana, hakika mmemsifu mungu vyema

  • @damianosemufali4617
    @damianosemufali4617 Год назад +1

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
    H O N G E R E N I .
    Hakika, hakuna kama Mungu.

  • @felixsilayo6292
    @felixsilayo6292 Год назад +2

    Hongereni sanaa ❤️👎👏👏👏

    • @kwayayafamiliatakatifu_mwenge
      @kwayayafamiliatakatifu_mwenge  Год назад +1

      🙏🏿🙏🏿🙏🏿
      Karibu sana ndugu Felix.

    • @felixsilayo6292
      @felixsilayo6292 Год назад +2

      Nitakaribia ndugu japo nipo mbali sana nipo mwanza natamani sana ningekuwa karibu nikatoe sapot yangu Kwa dadaangu kipenzi dativa silayo🥰❤️👎👏👏

    • @kwayayafamiliatakatifu_mwenge
      @kwayayafamiliatakatifu_mwenge  Год назад

      @@felixsilayo6292 ooooh... atakutunzia flash yako

  • @edithakaselekete8577
    @edithakaselekete8577 Год назад

    Jamani mmetisha sana asanteni

  • @agnesndiliwe2862
    @agnesndiliwe2862 Год назад

    Tumetisha kwa wimbo huu unaujumbe unaobariki sana