Kaka mimi nataka kwenda marekani nikatakute maisha kwa sasa nimeshaandaa kiasi kidogo kama Tsh 4 milioni na Passport ninayo hivyo naomba unisaidie kunipa muongozo kwenye swala la kupata visa na gharama zote na niandae kama kiasi gani cha pesa ambacho naweza kuanza nacho Asante. From Tanzania Dar es salaam.
Big gap bro!! Mim nauliza inakuaje mtu anaondoka na visiting viza !!lkn inapoisha harudi Tena kwao !!Inakuaje cku anayotakq kutoka Ughaibuni !! Na Visa yke imeisha mda!!
Mungu akubariki kiongozi kwa elimu yenye manufaa sana zaidi ya sana unayotupatia. Naomba kuuliza kuhusu online flights ticket agents, je hawa wanaaminika kiasi gani kukata tickets kupitia wao hasa hasa multiple tickets (connecting flights)? Asante.
Me nataka kujua mtu anae ondoka na Ethiopian airlines akifika addis ababa atajuaje gate la kwenda kwenye ndege ya kwenda omani masqact kwa shirika hilo hilo
Mbele ya kiti chako kuna screen ile ya kutazama movie bonyeza mahali pameandikwa my flight ✈️ then chagua maps hapo utaona ndege ipo Kwenye Anga la nchi au bara gani .
Amani ya Mungu iwe ju yenu nyote alafu nilikuwa naswali moja mtu kama mimi niko Burundi unawezaje kutusaidiya nasi tuko na ndoto zakufika USA na Passeport tunazo
Nakutazama toka mwanza tanzania
🍾🍾🍾🎉🎉🎉🎉🎉🎉🍾🍾🍾🍾🍾Bravooo bravooo
Asantee kaka kwa kutupa elimu hii mungu akuzidishie na uendelee kutuma mwongozo zaidi
Great job bro
Bro upo sawa
rock city mwanza big up broo
Watching from MombaSa. KAZI poa sana bro.
Mungu akubariki na akuzindishie
Kazi yako ni nzuri kaka. Keep it up
Hongera
Mambo unayotujuza ni kuntu, big up
Asante kwa elimu ,
Na watch from mtwara,Tanzania 🇹🇿,
All the best
New comer here, ✅️✅️✅️
Thank you
Mm nataka kwenda kigoma
Taarifa zimenisadia sana maana najiandaa kupanda ndege kwa mara ya kwanza thanks
Thank
Ahsante sana
Safi sana kutoka geita
Content zako ni nzuri sana Kaka,tuko pamoja,from DR Congo
Thanks alot🙏
asante saana kwakutupa elimu buree
Asante sana. Kwangu mimi tatizo masikio huwa yanaziba sana, hadi nameza mate kila wakati. Yanafunguka ukimeza mate, baadae yanaziba. Nashukuru sana.
Me nakuita #sirdivine
Mimi naitwa gelard erasto makolobela nimekuelewa sana kaka
Ivo vidude vya kueka masikion kuna ndege nyingne wanatoa km turkish air ila 'nilipanda Egypt Air awatoi' nilipata iyo shida ya masikio
Kaka mimi nataka kwenda marekani nikatakute maisha kwa sasa nimeshaandaa kiasi kidogo kama Tsh 4 milioni na Passport ninayo hivyo naomba unisaidie kunipa muongozo kwenye swala la kupata visa na gharama zote na niandae kama kiasi gani cha pesa ambacho naweza kuanza nacho Asante. From Tanzania Dar es salaam.
Sawa unicheki kwa namba hizi za WhatsApp +1(682)3689282 nikupe malekezo
Mdao sijakusahau
👍
Niliiçheķa sana safari yako ya marekani nimejifunza kitu. 🙏
Je ukiwa ujawahi utajuaje kuscan
Mi nipo South Africa na nilikuja na bus kutoka tz naondoka na ndege kwa x ya kwanza please mongozo
Me ninayo safari ya spain 🇪🇸
Big gap bro!! Mim nauliza inakuaje mtu anaondoka na visiting viza !!lkn inapoisha harudi Tena kwao !!Inakuaje cku anayotakq kutoka Ughaibuni !! Na Visa yke imeisha mda!!
Tena saiz saa 6 kassoro ucku
Mungu akubariki kiongozi kwa elimu yenye manufaa sana zaidi ya sana unayotupatia. Naomba kuuliza kuhusu online flights ticket agents, je hawa wanaaminika kiasi gani kukata tickets kupitia wao hasa hasa multiple tickets (connecting flights)? Asante.
Nawezaje kupata mizigo wanguu msaadaa jamani uko airport abeid karume umetoka London
Naupataje mizigo wangu
Mm mgeni kwenye hii channel..Leo nmekamia kwel, naangalia video zako zote...aiseeh
Asante sana na karibu sana mgeni
I want to to Washington state.
Me nataka kujua mtu anae ondoka na Ethiopian airlines akifika addis ababa atajuaje gate la kwenda kwenye ndege ya kwenda omani masqact kwa shirika hilo hilo
Nina ndoto za kuenda kuishi na kufanya kazi Seychelles brother nisaidie nipate uelewa juu ya nini natakiwa nifuate!asante.
Ndugu na watu ambao wana shida ya kutapika?? Je ndege ni hivo hivo????
Kutoka Tz mpaka India ni beigani
Kwenye hii video sauti iko chini kidogo
Bro je nikiwa angani nawezaje kujua kwamba nipo kwe anga ya nnchi gani?
Mbele ya kiti chako kuna screen ile ya kutazama movie bonyeza mahali pameandikwa my flight ✈️ then chagua maps hapo utaona ndege ipo Kwenye Anga la nchi au bara gani .
Namba yako ya simu ili kwa maulizo zaidi maana nasafir kwenda California mwezi march
Karibu na ticket za ndege pia tunafanya kwenye kampuni yetu +14253642418
Amani ya Mungu iwe ju yenu nyote alafu nilikuwa naswali moja mtu kama mimi niko Burundi unawezaje kutusaidiya nasi tuko na ndoto zakufika USA na Passeport tunazo
Yes popote ulipo Duniani tunaweza kukusaidia
@@ArrivalTv oo yes muda ukifika lazima niceki tusaidiyane kwa sasa nitaendeleya kutazama vidéo zako ili nipate kujifunza mengitu
Niko Wisconsin
Divine hivyo vidude vya kuingiza kwenye masikio vinapatikana je?
Hivi vinauzwa kwenye maduka hasa maeneo ya Airport
@@ArrivalTv vinaitwaje?
@@viousa Vinaitwa 'ear plug'
Kutoka Arusha mjini
Ukiwa ndan ya ndege juu mkojo umekubana unakojoa wap?
Vipo vyoo ndani ya ndege. Huduma hiyo ipo
Natakujua kuusu kwenda china garama na masharti
Masharit yapo nadhani Hivi karibuni tutafanya video ya kiangazia viza ya china
Broo tupige kampani bc na ss wenye ndoto za kuja uko utusaidie mana nasikiaga uko kazi ni nying mpk kweny restaurant
P
Nataka kuuliza hasa suala zima la interview Kama hujajuwa kuongea English kwa kina inakuwaje ??
Wanaruhusu mkarimani wa lugha yako ???
Ukitaka kiswaili utahojiwa kiswaili ni wewe tu
Natumia dawa kila mwezi vidonge vya ugonjwa wa kifafa nawezakusafilinazo kwenda china
@@JohnKalibwani-io8vu unasafiri nazo ndio Ila utembee na maelekezo ya dactari wako