UNABII MZITO WA KUHANI MUSA KWA BINT 'ANAYEJIGEUZA KUWA NYOKA'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 дек 2021

Комментарии • 230

  • @stephanojoseph7403
    @stephanojoseph7403 15 дней назад

    Yesu wa kuhani Musa usie shindwa naomba nijifungue salama na mtoto wangu acheze tumboni jacklne kalebi kutoka zanzibar

  • @rehemaabinelynyagawa2878
    @rehemaabinelynyagawa2878 2 года назад +7

    Jina la Yesu peke yake linaweza kutoa mapepo sasa hayo anayo mpulizia, mimi ndiyo huwa sina imani nayo Mungu atusaidie tujue kutofautisha ngano na magugu

    • @isayleonard6267
      @isayleonard6267 2 года назад

      Kamaa hunaaa IMAN unafatiliaa ya Nini mahubr hayaa!! Twachieeh tunao Amin na tunaponaaaaa Zaid.

    • @bivensofficial8866
      @bivensofficial8866 2 года назад

      Msipigane nyinyi kwanyinyi ,mkaiaciye MUUMBA mkiombeana.simlaumu yeyote,ninacyo amini nguvu za MUNGU wa milele zinashangaza sana kwanjia ya majibu ya kutisha,kuliko muonekana wakuvuta tishio latendo linalo leta jibu.kupitia nguvu zake.hata usifahamu limetokea ao limeanjia wapi nakushikwa namshangao mkuuu tena kwanjia usiozania.nikama vile haikukuwepo kbsa.mtegemeeni MUUMBA kuliko watu,hatawakibeba jinalake angalisho maana uharibifu namatisho yakuvutia kwanjia yaujanja ya muovu imetawala sana

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia 2 года назад

      Unamfundisha YESU namna ya kufanya kaz, na kwanzia ln ukazifaham njia za BWANA usimkram wala kumkariri maana maandiko yanasema njia zake hazichunguziki, au hujasoma biblia Petro aliwaponya watu kupitia kimvuli, vitambaa, Sasa unakaririje njia za AMIRI JESHI MKUU za utendaj kaz wake

  • @raymondotieno8637
    @raymondotieno8637 Год назад +1

    Bwana yesu asifiwe Mimi kwa majina naitwa Richard otieno postor naomba uniombe niwe na yota ya uchungaji Kama wewe⭐🌟🌟🕊️🕊️🕊️🕊️🇹🇿

  • @PreciousZawadi-sn6ig
    @PreciousZawadi-sn6ig 2 месяца назад

    Amen ubarikiwe mtumish wa bwana

  • @rosekilawe786
    @rosekilawe786 5 месяцев назад

    Acheni Mungu aitwe Mungu nyoka anatesa Sana Mimi nilikuwa na nyoka bila kujua kwa ajili ya kuuwa mtoto Mungu alinihurumia aliniondolea Madhabahu ya Safina Atukuzwe Mungu anayeona vitu visivyoonekana kwa macho Yetu Atukuzwe Mungu.

  • @salmamohd8202
    @salmamohd8202 2 года назад +4

    Huyu binti kaona Ile movie ya naagin imemvutia hahahhaha

  • @aminafuraha1645
    @aminafuraha1645 Год назад

    amen mubarikiwesana

  • @joshuabahati4799
    @joshuabahati4799 Год назад

    Kupitia mathabau haya namwomba mungu niweze kupata kazi kiraizi

  • @estherfaidamalkia4021
    @estherfaidamalkia4021 2 года назад +2

    Amen amen aman

  • @vailetlyimo6780
    @vailetlyimo6780 Год назад

    Vaileth lyimo barikiwe sana baba nimeona mkono wa mungu ukinipiga nia takanimefika hapa kimara temboni

  • @user-pe2fz8ko3j
    @user-pe2fz8ko3j 5 месяцев назад +1

    Kumtukana mpakwa mafuta wa bwana ni sawa na kumtukana yesu mwenyewe kama hauna cha kupost vuta shuka ulale

  • @cornelytv2839
    @cornelytv2839 6 месяцев назад

    Congratulations 👏

  • @jonisshayo5334
    @jonisshayo5334 2 года назад +1

    Amina baba

  • @user-kq9ye8ow7l
    @user-kq9ye8ow7l 5 месяцев назад

    Huyu ni kuhani aliyetumwa na Mungu namkubali mno. Mungu akutunze sana

  • @user-zz7ep5of2m
    @user-zz7ep5of2m 5 месяцев назад

    Jamani mmmmmmm mungu tusamehe inalilah waina Lilah lajhun mtihani uu mungu unajua ukwel ukowap

  • @williammatondo
    @williammatondo 2 года назад +5

    Acheni swaga acheni swag

  • @hawahawa4713
    @hawahawa4713 2 года назад

    Inategemea na Imani yako unawezakununua mafuta yako ukapela kwa mtumishi akayaombea nayakatokea yakutokea Mimi kwangu mfuta sinawaswas nayooo

  • @lazuruswanjalawaswa8089
    @lazuruswanjalawaswa8089 Год назад +2

    naitua lazarus wanjala waswa kutoka 🇰🇪 mtumishi uniombe sana nko na harusi mwezi wakumi na moja mwanamke anatoka uko Tanzania 🇹🇿

  • @user-oe4cw7nx4h
    @user-oe4cw7nx4h 5 месяцев назад

    Namm natamani kumuona uyu Pastor Mungu akubariki papa

    • @maombezitv3983
      @maombezitv3983 5 месяцев назад

      Dar yupo Ukishuka tu Tendi ya Magufili nauli sh 600 tu Kimara temboni

  • @wanjalacollins3742
    @wanjalacollins3742 2 года назад

    Amen mungu yko

  • @jacklinejackline8607
    @jacklinejackline8607 Год назад

    Ubarikiwe mchungaji

  • @user-dd2en3dk4k
    @user-dd2en3dk4k 6 месяцев назад

    Amina mtumishi

  • @alfredkombe9156
    @alfredkombe9156 Год назад

    amina babaa

  • @ednamwangoka3677
    @ednamwangoka3677 Год назад

    Shalom baba Musa,Mimi Kwa majina naitwa Edna Jackob mwangoka,nisaidie ktk uchumi baba,Niko morogoro shalom

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 2 года назад +2

    Yan ww mchungaj nikikuckia masikio yang huwasha😘😘🙏🙏🙏

  • @user-lt9ql6bq7v
    @user-lt9ql6bq7v 4 месяца назад

    Mungu asifiwe sana

  • @IrenePeter-ts3rk
    @IrenePeter-ts3rk 9 месяцев назад

    Kazi ya mungu yatosha Kwa mwanadamu

  • @kahindominyone8321
    @kahindominyone8321 2 года назад

    Asante Mungu

  • @evansievansi748
    @evansievansi748 2 года назад +2

    Amen

  • @pendoKassian-bi2th
    @pendoKassian-bi2th Месяц назад

    Haya ni mambo ya kiroho huwez kuona Kwa macho ya nyama acha kupuuza kaz za Mungu ww utahukumiwa tubu haraka kuhan Musa tupo nyuma yako baba Mungu anakutumia kwa viwango vya juu nitakuja kanisan kwako nataka wates wangu wakate moto .

  • @tonikatima4977
    @tonikatima4977 2 года назад

    Amina mtukufu

  • @mpendaamannyeho3818
    @mpendaamannyeho3818 10 месяцев назад

    Yesu atukuzwe sana

  • @zenaalex5824
    @zenaalex5824 2 года назад

    Ameen

  • @user-rb9ex7tz2t
    @user-rb9ex7tz2t Год назад

    Eee mwenyenzi mungu mkuu tusaidie familia yetu

  • @jumaabakari3440
    @jumaabakari3440 Год назад +3

    Kuna taarifa nikuwa nazisikia mtaani kuhusu huyu msichana nilikuwa siamini haisee..namuonea huruma na mungu amsaidie

  • @veronicajuma8669
    @veronicajuma8669 Год назад

    Eee yesu kristo anazareth ulie hai nikombe katika vifungo vyote nilivyofungwa tangu nazaliwa

  • @alfaambilikile2901
    @alfaambilikile2901 2 года назад +1

    Mmmh,,,,acheni upuuzi,,,Mungu anawaona,,,,unabii gani huo

  • @atienoatie5076
    @atienoatie5076 2 года назад

    Amen Amen

  • @user-pe2fz8ko3j
    @user-pe2fz8ko3j 5 месяцев назад

    Rahabushadrack. Hakuna haja ya kutukana hulazimishwi kuamin

  • @kulwafulugensi
    @kulwafulugensi 9 месяцев назад

    asante yesu

  • @lazuruswanjalawaswa8089
    @lazuruswanjalawaswa8089 Год назад

    ameeen God is good

    • @moureenkyusa423
      @moureenkyusa423 Год назад

      Duuu? Kuwa na kinywa chenye hekima kwani wewe umewai kuiyona njaa inayo kuuma ata kwa picha .......uwo ni ulimwengu ambao wew uwezi kuona dada....omba Mungu akupe kinywa cha hekima .. usihukumu kwasababu hauna mamhalaka ya kumukumu binadamu mwenzio.....

  • @lama6310
    @lama6310 2 года назад +2

    Tokaaa hapa usitudanyee hapaa,,mbna hajabadilika

  • @maryjoseph1311
    @maryjoseph1311 2 года назад

    Mmh amen

  • @SeverenEdward
    @SeverenEdward 9 месяцев назад +1

    Wimbo umenigusa sana

  • @kalaluwakisaka3211
    @kalaluwakisaka3211 2 года назад

    Aminaaaa

  • @lazuruswanjalawaswa8089
    @lazuruswanjalawaswa8089 Год назад

    ule ambae anamutukana mtumishi wa mungu uyo ndie mchawi tuna sema ama anatoka furi maso

  • @salomemwambungu9907
    @salomemwambungu9907 Год назад

    Shndwa kwa Jina la Yesu

  • @KyungungoyChakirabeton
    @KyungungoyChakirabeton 4 месяца назад

    Bonjour papa de livre mois

  • @jijoaly3946
    @jijoaly3946 2 года назад +1

    Mimi nataka kufunguliwa pamoja na watoto wangu na familia yangu

  • @evasemindu2073
    @evasemindu2073 2 года назад

    Aminaaaaaa

  • @magretimmbaga5717
    @magretimmbaga5717 Год назад

    Hakika wema na fadhili zako nitazifuta mile ehee yesu naomba unisaidie

  • @user-br2kl7zs3v
    @user-br2kl7zs3v 8 месяцев назад

    Aminaaa 🙏🙏👏

  • @fatmamsiliwa8485
    @fatmamsiliwa8485 2 года назад +3

    Uwongo

  • @maombezitv3983
    @maombezitv3983 5 месяцев назад +1

    Nikusaidie ww unayekashifu , hata maandiko yamesema aliye na afya aitaji tabibu bali wasionaafya ndio wanamwitaji tabibu.kwaiyo tulia hata wakati wa Yesu kristo walikuwepo kama wewe

  • @seiflugendo5043
    @seiflugendo5043 2 года назад +3

    Mmmmh najaribu kuangalia nyoka simuoni🤔🤔🤔

  • @fraidymgaya538
    @fraidymgaya538 2 года назад +5

    Utabili wakweli si huu tunapangwa tuu

    • @OleniSanga
      @OleniSanga 17 дней назад

      Mungu alibariki nabii

  • @johnwajuu3810
    @johnwajuu3810 2 года назад +6

    Naludisha kizazi changu kwa jina la yesu

  • @allyshaban4288
    @allyshaban4288 Год назад

    Nyoka wakutengeneza nyie wadanganyine wezenu ila mtakwnda kujutia huo usahinii sk ya umli kiyama nyoka anaongea 😂😂😂😂😂

  • @DivineFuraha-jo7gd
    @DivineFuraha-jo7gd 17 дней назад

    Amen amen

  • @khalidseif8402
    @khalidseif8402 2 года назад +3

    Hawa Jamaa majuzi walikuja kwenye kikundi kimoja cha sanaa waigizaji kukodisha wasanii wa kwenda kuigiza, na wakaweka wazi na maripo ya kila scene kulingana na ugumu wa uhusika utakaopewa, kikweli walifanya nijiulze maswali mengi sana, na wapo wasanii walioenda na wakarudi na pesa nzur tu. Kikweli kama Mungu yupo bc kunawatu wanaenda kuungua moto vibaya sana.

    • @milkajofley6695
      @milkajofley6695 Год назад

      Hahahaha

    • @rahmakikoti
      @rahmakikoti Год назад

      Ushindwe kwa jina la Yesu na laana ya Mungu haitakuacha salama upigwe na kufa

    • @user-pk2es8eg7z
      @user-pk2es8eg7z 7 месяцев назад

      We unashida siyo bule

  • @jamesmwitapigenio
    @jamesmwitapigenio 10 месяцев назад

    Nahja mzuia mungu kufanya kaz

  • @AMI-ip1lx
    @AMI-ip1lx 2 года назад

    Unabiii mzido kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @issachau
    @issachau Год назад

    Naomba na Mimi uniombee naota ndoto mbaya nanipitia misusuko katika maisha yangu natumbo linawaka moto

  • @vaijacobo5912
    @vaijacobo5912 2 года назад

    Amina

  • @samwa9496
    @samwa9496 Год назад

    kumbe wenye kuwa nyoka wapo wengi duu Mungu tusaidie

  • @maureenadhiambo-ie6tw
    @maureenadhiambo-ie6tw 6 месяцев назад

    Na isetanie ako too kwa waschana peke seone ata baba nie wamama too wako too na shetanie😢😢😢 mungu nie samehe

  • @user-sw2fx2he9j
    @user-sw2fx2he9j 4 месяца назад

    Ahxante yesu

  • @AMI-ip1lx
    @AMI-ip1lx 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mnatuona Sisi Watoto Au

  • @hadijamduda5545
    @hadijamduda5545 Год назад

    Mungu awabariki Sana kutukoboa wanadamu

  • @bahatevagre933
    @bahatevagre933 Год назад

    We Mungu wa ezraeli nilinde na uniokoe,mama bikiria maria unioko

  • @bernadetachaula9047
    @bernadetachaula9047 2 года назад

    AMINA

  • @user-to5uh2xz6c
    @user-to5uh2xz6c 8 месяцев назад

    Usiamm ng u vu ya siku yesu akikutokea utakil kuwa mungu anafanya

  • @neemavehaelimosi6662
    @neemavehaelimosi6662 Год назад

    Kitapikwe kwa jina la yesu

  • @DefroseMasika
    @DefroseMasika 9 дней назад

    Nyoka ohere

  • @mishwanwanmish8803
    @mishwanwanmish8803 2 года назад +1

    Alijua ndo mana akavaa ixo nguo

  • @adisabetty2173
    @adisabetty2173 Год назад

    Watu wanapendaguhani
    Musa wanamutukana lakinimungu yiko watukana mutumishi wamungu
    Nikama Hawa watu niwachawi sione kamahuyu mutuanachukiya mussa manenomingisana wanamutukana Mungu aliyejuu
    Baba tunashukuru

  • @aginessmgaza9899
    @aginessmgaza9899 2 года назад

    God

  • @albertmokori2905
    @albertmokori2905 2 года назад +1

    Nyinyi wenyewe ndo mapepo makubwa

  • @elliceylameck8268
    @elliceylameck8268 2 года назад +4

    Mung anawaona nyie watumish mnaotumia mafuta,, angalien jehnum isiwe halali yenu

    • @yohana0090
      @yohana0090 2 года назад

      Hayo yote mwenyezi mungu amesha yaandika kwenye biblia takatifu kwaio mwachie mungu hayo

  • @neemavehaelimosi6662
    @neemavehaelimosi6662 Год назад

    Pasua kwa jina la yesu vua vua

  • @Bashitetako
    @Bashitetako Год назад

    Mnatia aibu kwakweli njaa mbaya sana

  • @user-uq9uy1fl6f
    @user-uq9uy1fl6f 10 месяцев назад

    Kupuliza nipumzo yauhai yakumtoa mtu mahali hata mungu alitulizia ndani yetu pumzi yauhai hii sio ajabu kupuliza

  • @hawaissah8069
    @hawaissah8069 2 года назад

    Hata mimi

  • @nzeyimanaalielicha5057
    @nzeyimanaalielicha5057 5 месяцев назад

    Munatumikish mguvu za mashetan mutuendey UK watumishi washitan wa iz Siku

  • @dorothymoshy1920
    @dorothymoshy1920 2 года назад +4

    Natapika vyote vilivyomezwa na shetani kwa jina la Yesu aliye hai Aminaaaaa

  • @GastoYahana
    @GastoYahana Год назад

    Wapo kazini wanao garagara

  • @benjaminichanga
    @benjaminichanga Год назад

    Mmmh sina imani kama kweli

  • @bahatevagre933
    @bahatevagre933 Год назад

    Aleluya

    • @pstnyundo1189
      @pstnyundo1189 Год назад

      Acha zalaundugu unatafuta kupigwa na mungu

    • @zawadkilume-lh1ie
      @zawadkilume-lh1ie 8 месяцев назад

      Kupitia Maombi Haya Namuomba Mungu Anirudishie Amani Ya Ndoa Yng Eeeh Mungu Nisaidie Iwe Ilivurugwa Kwa Uchawi Au Kishirikina😢

  • @Rodahpaschal
    @Rodahpaschal 11 месяцев назад

    Ameeeeeeen

  • @user-vt3mo2gy1t
    @user-vt3mo2gy1t 9 месяцев назад

    Naomba mni ombee nipate mme katika jina yes alikuwa ngomeni

  • @Mariamumbarka-nn5iz
    @Mariamumbarka-nn5iz Год назад

    Wewe Amina hayajakukuta usiongee hivyo acha kabisaa wewe

  • @neemavehaelimosi6662
    @neemavehaelimosi6662 Год назад +1

    Narudisha baraka alizomeza kwa jina la yesu tapika uchumi

  • @abdulkhamis1170
    @abdulkhamis1170 2 года назад +1

    A cheni kudanganya watu

  • @user-pb6xg1iz8x
    @user-pb6xg1iz8x 11 месяцев назад

    tapikaaaaa

  • @williamsakeri4398
    @williamsakeri4398 2 года назад

    Theys Powe in the blood of the holy ghost

  • @lazuruswanjalawaswa8089
    @lazuruswanjalawaswa8089 Год назад

    nieri ukose kusikiza ama kutazama lakini sio kutukana watumishi wamungu

  • @musampanda3643
    @musampanda3643 2 месяца назад

    Mbn wanawake tu sasa

  • @happinessclementine4707
    @happinessclementine4707 2 года назад +1

    Natamani nimuone huyo nyoka jmn mungu hatu hurumiye kweli

    • @expert5898
      @expert5898 2 года назад

      Na mimi ndicho nilichokuwa nasubiri

  • @nasmaomary1857
    @nasmaomary1857 2 года назад +1

    Upuuzi kabisa huo mnapotosha watu kumbe mnawakodi nyoko nyie

  • @jamesmwitapigenio
    @jamesmwitapigenio 10 месяцев назад

    Hayaja kupata ww ndy mana unatukana kuw niungo