Jina la Yesu peke yake linaweza kutoa mapepo sasa hayo anayo mpulizia, mimi ndiyo huwa sina imani nayo Mungu atusaidie tujue kutofautisha ngano na magugu
Msipigane nyinyi kwanyinyi ,mkaiaciye MUUMBA mkiombeana.simlaumu yeyote,ninacyo amini nguvu za MUNGU wa milele zinashangaza sana kwanjia ya majibu ya kutisha,kuliko muonekana wakuvuta tishio latendo linalo leta jibu.kupitia nguvu zake.hata usifahamu limetokea ao limeanjia wapi nakushikwa namshangao mkuuu tena kwanjia usiozania.nikama vile haikukuwepo kbsa.mtegemeeni MUUMBA kuliko watu,hatawakibeba jinalake angalisho maana uharibifu namatisho yakuvutia kwanjia yaujanja ya muovu imetawala sana
Unamfundisha YESU namna ya kufanya kaz, na kwanzia ln ukazifaham njia za BWANA usimkram wala kumkariri maana maandiko yanasema njia zake hazichunguziki, au hujasoma biblia Petro aliwaponya watu kupitia kimvuli, vitambaa, Sasa unakaririje njia za AMIRI JESHI MKUU za utendaj kaz wake
Acheni Mungu aitwe Mungu nyoka anatesa Sana Mimi nilikuwa na nyoka bila kujua kwa ajili ya kuuwa mtoto Mungu alinihurumia aliniondolea Madhabahu ya Safina Atukuzwe Mungu anayeona vitu visivyoonekana kwa macho Yetu Atukuzwe Mungu.
Haya ni mambo ya kiroho huwez kuona Kwa macho ya nyama acha kupuuza kaz za Mungu ww utahukumiwa tubu haraka kuhan Musa tupo nyuma yako baba Mungu anakutumia kwa viwango vya juu nitakuja kanisan kwako nataka wates wangu wakate moto .
Duuu? Kuwa na kinywa chenye hekima kwani wewe umewai kuiyona njaa inayo kuuma ata kwa picha .......uwo ni ulimwengu ambao wew uwezi kuona dada....omba Mungu akupe kinywa cha hekima .. usihukumu kwasababu hauna mamhalaka ya kumukumu binadamu mwenzio.....
Nikusaidie ww unayekashifu , hata maandiko yamesema aliye na afya aitaji tabibu bali wasionaafya ndio wanamwitaji tabibu.kwaiyo tulia hata wakati wa Yesu kristo walikuwepo kama wewe
Hawa Jamaa majuzi walikuja kwenye kikundi kimoja cha sanaa waigizaji kukodisha wasanii wa kwenda kuigiza, na wakaweka wazi na maripo ya kila scene kulingana na ugumu wa uhusika utakaopewa, kikweli walifanya nijiulze maswali mengi sana, na wapo wasanii walioenda na wakarudi na pesa nzur tu. Kikweli kama Mungu yupo bc kunawatu wanaenda kuungua moto vibaya sana.
Watu wanapendaguhani Musa wanamutukana lakinimungu yiko watukana mutumishi wamungu Nikama Hawa watu niwachawi sione kamahuyu mutuanachukiya mussa manenomingisana wanamutukana Mungu aliyejuu Baba tunashukuru
Yesu wa kuhani Musa usie shindwa naomba nijifungue salama na mtoto wangu acheze tumboni jacklne kalebi kutoka zanzibar
Jina la Yesu peke yake linaweza kutoa mapepo sasa hayo anayo mpulizia, mimi ndiyo huwa sina imani nayo Mungu atusaidie tujue kutofautisha ngano na magugu
Kamaa hunaaa IMAN unafatiliaa ya Nini mahubr hayaa!! Twachieeh tunao Amin na tunaponaaaaa Zaid.
Msipigane nyinyi kwanyinyi ,mkaiaciye MUUMBA mkiombeana.simlaumu yeyote,ninacyo amini nguvu za MUNGU wa milele zinashangaza sana kwanjia ya majibu ya kutisha,kuliko muonekana wakuvuta tishio latendo linalo leta jibu.kupitia nguvu zake.hata usifahamu limetokea ao limeanjia wapi nakushikwa namshangao mkuuu tena kwanjia usiozania.nikama vile haikukuwepo kbsa.mtegemeeni MUUMBA kuliko watu,hatawakibeba jinalake angalisho maana uharibifu namatisho yakuvutia kwanjia yaujanja ya muovu imetawala sana
Unamfundisha YESU namna ya kufanya kaz, na kwanzia ln ukazifaham njia za BWANA usimkram wala kumkariri maana maandiko yanasema njia zake hazichunguziki, au hujasoma biblia Petro aliwaponya watu kupitia kimvuli, vitambaa, Sasa unakaririje njia za AMIRI JESHI MKUU za utendaj kaz wake
Bwana yesu asifiwe Mimi kwa majina naitwa Richard otieno postor naomba uniombe niwe na yota ya uchungaji Kama wewe⭐🌟🌟🕊️🕊️🕊️🕊️🇹🇿
Amen ubarikiwe mtumish wa bwana
Acheni Mungu aitwe Mungu nyoka anatesa Sana Mimi nilikuwa na nyoka bila kujua kwa ajili ya kuuwa mtoto Mungu alinihurumia aliniondolea Madhabahu ya Safina Atukuzwe Mungu anayeona vitu visivyoonekana kwa macho Yetu Atukuzwe Mungu.
Huyu binti kaona Ile movie ya naagin imemvutia hahahhaha
🤣🤣🤣salama mungu anakuona
🤣🤣🤣🤣🤣
amen mubarikiwesana
Kupitia mathabau haya namwomba mungu niweze kupata kazi kiraizi
Amen amen aman
Vaileth lyimo barikiwe sana baba nimeona mkono wa mungu ukinipiga nia takanimefika hapa kimara temboni
Kumtukana mpakwa mafuta wa bwana ni sawa na kumtukana yesu mwenyewe kama hauna cha kupost vuta shuka ulale
Congratulations 👏
Amina baba
Huyu ni kuhani aliyetumwa na Mungu namkubali mno. Mungu akutunze sana
Jamani mmmmmmm mungu tusamehe inalilah waina Lilah lajhun mtihani uu mungu unajua ukwel ukowap
Acheni swaga acheni swag
Inategemea na Imani yako unawezakununua mafuta yako ukapela kwa mtumishi akayaombea nayakatokea yakutokea Mimi kwangu mfuta sinawaswas nayooo
naitua lazarus wanjala waswa kutoka 🇰🇪 mtumishi uniombe sana nko na harusi mwezi wakumi na moja mwanamke anatoka uko Tanzania 🇹🇿
Namm natamani kumuona uyu Pastor Mungu akubariki papa
Dar yupo Ukishuka tu Tendi ya Magufili nauli sh 600 tu Kimara temboni
Amen mungu yko
Ubarikiwe mchungaji
Amina mtumishi
amina babaa
Shalom baba Musa,Mimi Kwa majina naitwa Edna Jackob mwangoka,nisaidie ktk uchumi baba,Niko morogoro shalom
Yan ww mchungaj nikikuckia masikio yang huwasha😘😘🙏🙏🙏
Aminaa
Mungu asifiwe sana
Kazi ya mungu yatosha Kwa mwanadamu
Asante Mungu
Amen
Haya ni mambo ya kiroho huwez kuona Kwa macho ya nyama acha kupuuza kaz za Mungu ww utahukumiwa tubu haraka kuhan Musa tupo nyuma yako baba Mungu anakutumia kwa viwango vya juu nitakuja kanisan kwako nataka wates wangu wakate moto .
Amina mtukufu
Yesu atukuzwe sana
Ameen
Eee mwenyenzi mungu mkuu tusaidie familia yetu
Kuna taarifa nikuwa nazisikia mtaani kuhusu huyu msichana nilikuwa siamini haisee..namuonea huruma na mungu amsaidie
mmmh!
Eee yesu kristo anazareth ulie hai nikombe katika vifungo vyote nilivyofungwa tangu nazaliwa
Mmmh,,,,acheni upuuzi,,,Mungu anawaona,,,,unabii gani huo
Amen Amen
Rahabushadrack. Hakuna haja ya kutukana hulazimishwi kuamin
asante yesu
ameeen God is good
Duuu? Kuwa na kinywa chenye hekima kwani wewe umewai kuiyona njaa inayo kuuma ata kwa picha .......uwo ni ulimwengu ambao wew uwezi kuona dada....omba Mungu akupe kinywa cha hekima .. usihukumu kwasababu hauna mamhalaka ya kumukumu binadamu mwenzio.....
Tokaaa hapa usitudanyee hapaa,,mbna hajabadilika
Mmh amen
Wimbo umenigusa sana
Aminaaaa
ule ambae anamutukana mtumishi wa mungu uyo ndie mchawi tuna sema ama anatoka furi maso
Shndwa kwa Jina la Yesu
Bonjour papa de livre mois
Mimi nataka kufunguliwa pamoja na watoto wangu na familia yangu
Iwe kama utakavyo.
Aminaaaaaa
Hakika wema na fadhili zako nitazifuta mile ehee yesu naomba unisaidie
Aminaaa 🙏🙏👏
Uwongo
Nikusaidie ww unayekashifu , hata maandiko yamesema aliye na afya aitaji tabibu bali wasionaafya ndio wanamwitaji tabibu.kwaiyo tulia hata wakati wa Yesu kristo walikuwepo kama wewe
Mmmmh najaribu kuangalia nyoka simuoni🤔🤔🤔
😁😁
Utabili wakweli si huu tunapangwa tuu
Mungu alibariki nabii
Naludisha kizazi changu kwa jina la yesu
Nyoka wakutengeneza nyie wadanganyine wezenu ila mtakwnda kujutia huo usahinii sk ya umli kiyama nyoka anaongea 😂😂😂😂😂
Amen amen
Hawa Jamaa majuzi walikuja kwenye kikundi kimoja cha sanaa waigizaji kukodisha wasanii wa kwenda kuigiza, na wakaweka wazi na maripo ya kila scene kulingana na ugumu wa uhusika utakaopewa, kikweli walifanya nijiulze maswali mengi sana, na wapo wasanii walioenda na wakarudi na pesa nzur tu. Kikweli kama Mungu yupo bc kunawatu wanaenda kuungua moto vibaya sana.
Hahahaha
Ushindwe kwa jina la Yesu na laana ya Mungu haitakuacha salama upigwe na kufa
We unashida siyo bule
Nahja mzuia mungu kufanya kaz
Unabiii mzido kweli🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Naomba na Mimi uniombee naota ndoto mbaya nanipitia misusuko katika maisha yangu natumbo linawaka moto
Amina
kumbe wenye kuwa nyoka wapo wengi duu Mungu tusaidie
Na isetanie ako too kwa waschana peke seone ata baba nie wamama too wako too na shetanie😢😢😢 mungu nie samehe
Ahxante yesu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mnatuona Sisi Watoto Au
Mungu awabariki Sana kutukoboa wanadamu
We Mungu wa ezraeli nilinde na uniokoe,mama bikiria maria unioko
AMINA
Usiamm ng u vu ya siku yesu akikutokea utakil kuwa mungu anafanya
Kitapikwe kwa jina la yesu
Nyoka ohere
Alijua ndo mana akavaa ixo nguo
Watu wanapendaguhani
Musa wanamutukana lakinimungu yiko watukana mutumishi wamungu
Nikama Hawa watu niwachawi sione kamahuyu mutuanachukiya mussa manenomingisana wanamutukana Mungu aliyejuu
Baba tunashukuru
God
Nyinyi wenyewe ndo mapepo makubwa
Mung anawaona nyie watumish mnaotumia mafuta,, angalien jehnum isiwe halali yenu
Hayo yote mwenyezi mungu amesha yaandika kwenye biblia takatifu kwaio mwachie mungu hayo
Pasua kwa jina la yesu vua vua
Mnatia aibu kwakweli njaa mbaya sana
Kupuliza nipumzo yauhai yakumtoa mtu mahali hata mungu alitulizia ndani yetu pumzi yauhai hii sio ajabu kupuliza
Hata mimi
Munatumikish mguvu za mashetan mutuendey UK watumishi washitan wa iz Siku
Natapika vyote vilivyomezwa na shetani kwa jina la Yesu aliye hai Aminaaaaa
Wapo kazini wanao garagara
Mmmh sina imani kama kweli
Aleluya
Acha zalaundugu unatafuta kupigwa na mungu
Kupitia Maombi Haya Namuomba Mungu Anirudishie Amani Ya Ndoa Yng Eeeh Mungu Nisaidie Iwe Ilivurugwa Kwa Uchawi Au Kishirikina😢
Ameeeeeeen
Naomba mni ombee nipate mme katika jina yes alikuwa ngomeni
Wewe Amina hayajakukuta usiongee hivyo acha kabisaa wewe
Narudisha baraka alizomeza kwa jina la yesu tapika uchumi
😂tena
A cheni kudanganya watu
tapikaaaaa
Theys Powe in the blood of the holy ghost
nieri ukose kusikiza ama kutazama lakini sio kutukana watumishi wamungu
Mbn wanawake tu sasa
Natamani nimuone huyo nyoka jmn mungu hatu hurumiye kweli
Na mimi ndicho nilichokuwa nasubiri
Upuuzi kabisa huo mnapotosha watu kumbe mnawakodi nyoko nyie
Hayaja kupata ww ndy mana unatukana kuw niungo