Yaani huo si mchezo mzuri kabisa. Kuna vijana wapo vitandani na watawapatisha shida wazee. Kwa wenzetu wanakuwa na wataalamu ili kama kuna emergency yoyote wapate huduma haraka. Pia taratibu ya kupiga makachu wakati mwengine hajatoka chini na kusababisha ajali. Nashauri kuwa apatikane mtaalamu na pia kuwepo kituo cha afya.
Nashauri kikundi chenu kimuombe raisi muwe na bima maalumu kabisa itasaidia sana....Kila mchezo una negative impact ...rais mwinyi hashindwi kufanya hivyo...ili endapo itatokea dharura mpate huduma Kwa haraka sana ....
Wajiangalie tu maana hapo Kuna watu walifikia kichwa mpaka Leo hapo kitandani
Yaani huo si mchezo mzuri kabisa. Kuna vijana wapo vitandani na watawapatisha shida wazee. Kwa wenzetu wanakuwa na wataalamu ili kama kuna emergency yoyote wapate huduma haraka. Pia taratibu ya kupiga makachu wakati mwengine hajatoka chini na kusababisha ajali. Nashauri kuwa apatikane mtaalamu na pia kuwepo kituo cha afya.
Napenda rafudhi Yao jaman
Kweliee
Labda Serikali Ingeboresha Mazingira Yamchezo Wenyewe
Mm nahisi kuwa iyo sehemu iboreshwe zaidi na iwe sehemu ya kipekee
Nzuri
Kwani lazima jamani
Nashauri kikundi chenu kimuombe raisi muwe na bima maalumu kabisa itasaidia sana....Kila mchezo una negative impact ...rais mwinyi hashindwi kufanya hivyo...ili endapo itatokea dharura mpate huduma Kwa haraka sana ....
Yan huyu kaka anajitahdi Sana kuchekesha isee namkumbuka tukiwa entebe chukwani mess
🤝🙏
💪🇹🇿🇦🇪
Hakuna michezo Duniani ambao hauna madhara ukiondoa
BAO na TENES
KIPENGELE ndio amekusudia nini?
KIPENGELE ( kituchochote unachotaka kufanya na inakuwangumu kufanyika
Yaani kama neno changamoto,, kikwazo ndio ivo
Asante benard
Hilo neno kipengele kalitumia pahala sipo😃
Ilikuwa aseme kikwazo
Huyu hana ishuu bana mshamba tu
Amkosagi watu kama nyie wa kukandia ulikuwa unataka akakae maskani yenu pale ya malindi achome ngada ndio aonekane mjanja sio 💪🇹🇿🇦🇪
Asante mjanja
Choyo icho na hasad
Choyo hicho ndio mwanzo wa uchawi
Labda Serikali Ingeboresha Mazingira Yamchezo Wenyewe
On process
@@utofyorozanzibar1622 🤝