#EXCLUSIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 окт 2024

Комментарии • 29

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 2 года назад +2

    Wajiangalie tu maana hapo Kuna watu walifikia kichwa mpaka Leo hapo kitandani

  • @zenj1986
    @zenj1986 2 года назад +2

    Yaani huo si mchezo mzuri kabisa. Kuna vijana wapo vitandani na watawapatisha shida wazee. Kwa wenzetu wanakuwa na wataalamu ili kama kuna emergency yoyote wapate huduma haraka. Pia taratibu ya kupiga makachu wakati mwengine hajatoka chini na kusababisha ajali. Nashauri kuwa apatikane mtaalamu na pia kuwepo kituo cha afya.

  • @faridaissa2588
    @faridaissa2588 2 года назад +5

    Napenda rafudhi Yao jaman

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 2 года назад +2

    Labda Serikali Ingeboresha Mazingira Yamchezo Wenyewe

  • @saidal-hind5338
    @saidal-hind5338 2 года назад

    Mm nahisi kuwa iyo sehemu iboreshwe zaidi na iwe sehemu ya kipekee

  • @utofyorozanzibar1622
    @utofyorozanzibar1622 2 года назад +1

    Nzuri

  • @hafazstanzania5577
    @hafazstanzania5577 2 года назад

    Kwani lazima jamani

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 2 года назад

    Nashauri kikundi chenu kimuombe raisi muwe na bima maalumu kabisa itasaidia sana....Kila mchezo una negative impact ...rais mwinyi hashindwi kufanya hivyo...ili endapo itatokea dharura mpate huduma Kwa haraka sana ....

  • @yvonnerobert572
    @yvonnerobert572 2 года назад

    Yan huyu kaka anajitahdi Sana kuchekesha isee namkumbuka tukiwa entebe chukwani mess

  • @yussufmuhammed576
    @yussufmuhammed576 2 года назад

    🤝🙏

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 2 года назад +1

    💪🇹🇿🇦🇪

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 2 года назад

    Hakuna michezo Duniani ambao hauna madhara ukiondoa
    BAO na TENES

  • @jambo3751
    @jambo3751 2 года назад +1

    KIPENGELE ndio amekusudia nini?

  • @fahadtourszanzibar8244
    @fahadtourszanzibar8244 2 года назад

    Huyu hana ishuu bana mshamba tu

    • @hassanparamana2215
      @hassanparamana2215 2 года назад +1

      Amkosagi watu kama nyie wa kukandia ulikuwa unataka akakae maskani yenu pale ya malindi achome ngada ndio aonekane mjanja sio 💪🇹🇿🇦🇪

    • @utofyorozanzibar1622
      @utofyorozanzibar1622 2 года назад

      Asante mjanja

    • @AliMohamed-gv7nw
      @AliMohamed-gv7nw 2 года назад

      Choyo icho na hasad

    • @mrjaula7769
      @mrjaula7769 2 года назад

      Choyo hicho ndio mwanzo wa uchawi

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 2 года назад +2

    Labda Serikali Ingeboresha Mazingira Yamchezo Wenyewe