Hizi qaswida za siqa ni nzuri sana zinanikumbusha ALMADRASAT IPTADAIYA KAWE .Mashaallah..Hapo nasikia dufu zote ..kuanzia KIBAKU..TAHTI...CHANYANYO...DOUBLE BASE...na BASE YENYEWE...hakika hii ilikua vitaaaaaa
Hawawezi kukuelewa ni kuwaombea tu kwa mungu. Unajua niliposikia Sumalee kaacha mziki, karudi kwny dini nikajua dini kweli kumbe bado yuko kwny uzushi. Allah amkamilishie safari yake maana bado Inshaallah
Hizi qaswida za siqa ni nzuri sana zinanikumbusha ALMADRASAT IPTADAIYA KAWE .Mashaallah..Hapo nasikia dufu zote ..kuanzia KIBAKU..TAHTI...CHANYANYO...DOUBLE BASE...na BASE YENYEWE...hakika hii ilikua vitaaaaaa
Allahumaswali wasalimaaleeeeee naam koba
koba da wallah sijui niseme nn khatari
Maashaallah, namuona marehem Omar mung amunondolee Adhab za kabri
Omar ndo yupi hapo?
ALLAHUMA SWALII ALEYH
maa shaa Allah
Mashaallah
Wa2 wa vtta hawa wallah
mashallah
Nice qasda
duuuh hawa watu khatari sana Wallaahi vittaaa
Vchwa vlikutana yahya, sumalee
maalim koba fundi
ni viiiiiiiiiiiiiiiiita
Enzi zangu za Laghwi hizo 😮
nakumbuk mbali cn nikiwa Ali madras Rauf iliop tandal uzuri
koba da yan kama mtiti
hatari
Hivi kweli kamahawa Ukiwambi maulid bidaa watakuelewa kweli? Maana uzushi umewakaa kwenyedam
Hata ww ni uzushi
Hahahahahaha ukiwa mjinga
Unapata tabu sana kasome kaka #saidi mrisho maana una uhaba wa elimu sana
Hawawezi kukuelewa ni kuwaombea tu kwa mungu. Unajua niliposikia Sumalee kaacha mziki, karudi kwny dini nikajua dini kweli kumbe bado yuko kwny uzushi. Allah amkamilishie safari yake maana bado Inshaallah
Hata mamako pia mzushi
ukiona mtu anaongelea enzi ujue amekwisha
Enzi zangu za Laghwi hizo 😮