MISSION IMPOSSIBLE [3]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 364

  • @MekyArosto-os5gt
    @MekyArosto-os5gt 3 месяца назад +9

    Daah kajichanganya Kwa wahuni so poa big up sana 🙏🙏 chado mastar kitengo nakubali damu yangu inabidi muwe pamoja na Baga mnaendana sana kitengo askari wangu

  • @Kizabayoma
    @Kizabayoma 14 часов назад +1

    Nawakubali kinoma yani chado 🎉🎉

  • @HusnaMasenga
    @HusnaMasenga 3 месяца назад +10

    Napenda sana chado akiwa na uyu mwamba nawapenda ila kunipa laki aaaaah

  • @MartinMartin-z4r
    @MartinMartin-z4r Месяц назад +12

    Mmetisha sana kaz nzur wanang🤙

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 3 месяца назад +5

    Chado kama clam vevo au konde boy nmekuelewa mwanangu . Ila baga mmbea🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ZaitunZaitunsaid
    @ZaitunZaitunsaid 2 месяца назад +5

    Napenda anavyo ongea rafiki wa chado 😂😂😂😂big lo❤ve

  • @AksheyAyubu
    @AksheyAyubu 2 месяца назад +9

    Oy ivii kweli kuna mtu anapenda kupitiliza 😢😢 ninge mpata kam huy ninge mshik san .... Mov nzury ❤

  • @AnithaStiven
    @AnithaStiven 3 месяца назад +11

    Rafiki wa chado kacheza vizuri sana ❤❤

  • @JumaRajabu-o8b
    @JumaRajabu-o8b 2 дня назад

    Daaaah sema chado na baga mmetisha saaaan wanang nakubar saaan brothers zang

  • @AksheyAyubu
    @AksheyAyubu 2 месяца назад +1

    Mapenz hay chaguii 😊😊 respect

  • @FabianExavery
    @FabianExavery 3 месяца назад +6

    Dude kali lakini alie chukuliwa mke amebugi hakutakiwa kua mnyonge ivo amezingua

  • @MohdRashidkassim-rc6ul
    @MohdRashidkassim-rc6ul 3 месяца назад +4

    Oya chado master, baga mtemi nawakubali sana wadau yani sana.. Big up Kwa kaz nzuri...
    Oya mungu barik kazi zenu..

  • @Yakshayaksha-do6tw
    @Yakshayaksha-do6tw 3 месяца назад +14

    Uyu mjinga ana mov Kali kinoma

    • @Jacklinejohn7
      @Jacklinejohn7 3 месяца назад +1

      Kinoma yani chado ni levo ingine kabisa ❤❤😂

    • @seciliamanda
      @seciliamanda Месяц назад

      Nyingne ni ipi aloigiza

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Месяц назад +4

    Chado huyu dogo anajuwa sana❤❤❤

  • @AnithaMartin-n6n
    @AnithaMartin-n6n 28 дней назад +2

    Mmetisha nawakubali sana

  • @MohammedAbbas-xe1eo
    @MohammedAbbas-xe1eo 3 месяца назад +6

    Yhu a the real champion ma young one💪🏽

  • @SamsonLichemba
    @SamsonLichemba 12 дней назад +1

    Kazi mzuli saana👍Mozambique

  • @NasmaAbas-p6o
    @NasmaAbas-p6o Месяц назад +4

    Chado masta kaa nyuma😂😂😂

  • @ashrafchande869
    @ashrafchande869 10 дней назад +1

    Mwanangu chado nkuhelew sna ulvyo mchukuw baga dah ap umeuwa kbsa yan hap pipa na mfuniko😂😂😂

  • @RashidKidume-w8e
    @RashidKidume-w8e 3 месяца назад +5

    Wewe kaka mzima lakini hutumii akili umwamwita mwizi shemegi yako unatakumkanyaga mwenyewe

  • @AishaHussein-sv5vk
    @AishaHussein-sv5vk 3 месяца назад +12

    Waoooh nzuri sana

  • @malikaelvis-vn8ry
    @malikaelvis-vn8ry 3 месяца назад +12

    Dude Kali sana

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is Месяц назад +1

    Chado uko vzr sana kaka mungu.azidi.kukupa maisha marefu uzidi kukufurahisha❤❤❤

  • @SelemaniIddy-nc1n
    @SelemaniIddy-nc1n 3 месяца назад +23

    Kazi nzuri lakini dakika chache chado master

    • @Pandeehuncho17
      @Pandeehuncho17 3 месяца назад

      NDIO UZURI WAKITU SKUZZOTE HUA KIFUPI CHENYE MAANA

  • @JacklineAthanas
    @JacklineAthanas Месяц назад +3

    Jamani mbona mnatuonea watoto wa 2000

  • @Sebastian-c1m8l
    @Sebastian-c1m8l 25 дней назад +1

    baga boy noma sanaaa

  • @willyobiike5500
    @willyobiike5500 3 месяца назад +13

    Brother chado unatishaaa sanaaa blood

  • @AhmedMohamed-mw3ev
    @AhmedMohamed-mw3ev 3 месяца назад +2

    Hii kolabo kali sana bagaa unajuwa broo dah chado hapo umepata mtuu

  • @NasraKingazi
    @NasraKingazi 3 месяца назад +3

    Chado nawapenda Kaz yenu nzr ila jmn sehem inayoitaj tusi tumieni ata maneno menginge jmn

  • @gloriasisiko
    @gloriasisiko Месяц назад

    Watching from Kenya this amazing ❤

  • @AhmadChibalula
    @AhmadChibalula 3 месяца назад +2

    😂❤❤ iyo furani siyopowa mumetisha Sana iramunacherewa kutuma

  • @Ibrahim-o4j9z
    @Ibrahim-o4j9z 29 дней назад

    Hongera chado much love from 254 Kenya

  • @GaudenciaMadirisha
    @GaudenciaMadirisha 3 месяца назад +3

    Kumuweka Banga hujakosea kabisa🌹🌹🌹

  • @Jacklinejohn7
    @Jacklinejohn7 3 месяца назад +2

    Kubali sana kazi zako chado🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @IsdoryEssau
    @IsdoryEssau 3 месяца назад +1

    Mmetisha sana chado master bravo, 🤝🤝💪💪

  • @fatumajuma9388
    @fatumajuma9388 3 месяца назад

    Mmbo imechmka 😂😂Ila Chado kaz nzur bro kipaji kiendlee 😊😊🇰🇪🇰🇪

  • @Shakila-pq2gv
    @Shakila-pq2gv 3 месяца назад +2

    Khaaaaaa baga had neti umekata kwa kuchangamkia mboga😂😂😂

    • @jacksoneverlist5073
      @jacksoneverlist5073 3 месяца назад

      mwamba anajuah kuonyesha uitajih wake wa bikra mpaka net😂

  • @ChuxDaniel
    @ChuxDaniel 3 месяца назад

    Baga na chado mmejua kujipata movie Kali sana, Sema Baga oya legend ni legend tu

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 3 месяца назад

    Iloooo chado😂😂😂 wapat nguvu mpya baada ya baga kutokelezea😅 bless...unyama ni mwingi aisee

  • @HappynessJoseph-s1e
    @HappynessJoseph-s1e 3 дня назад

    Jamn chando mbabe 🎉🎉

  • @RashidKidume-w8e
    @RashidKidume-w8e 3 месяца назад +8

    Kadaya ulikosea baada ya kuona hayo ulitakiwa unyamaze kimya ulitakiwa uende kwenye tukio ili ukamkamate

  • @MosesAlly
    @MosesAlly 2 месяца назад +1

    Alahamdulilah mi nakufa 😅

  • @jamesdaudi
    @jamesdaudi 3 месяца назад

    Chado umetisha kwenye hii movis hakika huumda niwako piga kazi mwanangu nakuaminia

  • @VanykhanyKhany
    @VanykhanyKhany Месяц назад

    😂my brother unaweza sema mwambie mwanao apunguze kauli ya matux il kila kila waangalie

  • @MekyArosto-os5gt
    @MekyArosto-os5gt 3 месяца назад +1

    Mna chemistri nzuri mnaendana kinoma

  • @ButoyiRukiya
    @ButoyiRukiya 3 месяца назад +2

    Chado unatisha kabisa ila sasa dakika ndogo saaana 😊

  • @hansboytz7494
    @hansboytz7494 3 месяца назад

    Kaka Chado tuongezee vipande ni vifupi kaka lkn kazi zako ni nzr sana

  • @MilajiShabani
    @MilajiShabani 3 месяца назад

    Oy Chado pamoja sana sema nin mi nimemwelewa sana mchumba huyo

  • @focusnjagala6777
    @focusnjagala6777 3 месяца назад +2

    Uyo dogo ana kipaji kipaji sana

  • @djbngudukwimba5682
    @djbngudukwimba5682 3 месяца назад +5

    Mapema saaa

  • @JohnKims-k2w
    @JohnKims-k2w 3 месяца назад +1

    Good work Mr chado❤

  • @MkasyswallehsaidSwalleh
    @MkasyswallehsaidSwalleh 3 месяца назад

    Baga boy mtu mmbad 🤔ngadaya umpendeza hpa kuliko kule kwa uchawi 😂😂😂ila shemegi yke chado kazingua ana matempa yule🤣🤣🤣

  • @sadakombo-li7yi
    @sadakombo-li7yi 3 месяца назад

    Kwa kweli chado mwenzio nimewahi pambana kaka utafika mbali sana tuko pamoja

  • @nasrinahirwete8111
    @nasrinahirwete8111 3 месяца назад +1

    Mdogo wangu Saidi chine kwenye nyimbo umeua balaaa

  • @OfficialBawa-yn3zn
    @OfficialBawa-yn3zn 3 месяца назад +1

    Nakutambua chado,,,,,ila Baga hana mbambamba na mabishoo

  • @MzeeRaca
    @MzeeRaca 3 месяца назад +1

    Safi sana kazi nzuri 💯

  • @OthumankibabiKocho
    @OthumankibabiKocho 3 месяца назад +1

    Jechi la mtu be❤❤

  • @MaulidAmri-zt2gv
    @MaulidAmri-zt2gv 3 месяца назад +1

    Chado wewe ni familiar respect 🎉🎉🎉

  • @AbdallaNamuna
    @AbdallaNamuna Месяц назад

    Smart balaa

  • @FatmaF-p5k
    @FatmaF-p5k 2 месяца назад +1

    Kazi nzurii 🔥🔥🔥🔥

  • @abdullatif053
    @abdullatif053 3 месяца назад +2

    Oya weee gonna like mm Leo wa kwanzaaa sichekeshi unajua 🤓🤣

  • @Ummy-cr9nf
    @Ummy-cr9nf 3 месяца назад

    Chado ❤ it munawez sanaa 😮 mashallah

  • @johnosoro6033
    @johnosoro6033 3 месяца назад

    Aisee mwizi huyo Chado Masta unatisha sana.

  • @GilbertNovart
    @GilbertNovart 3 месяца назад +1

    Kaz nzuri tatizo fupi xana

  • @zeezain6601
    @zeezain6601 3 месяца назад

    i wasnt a fun...but this series pulled me,u made it boy❤

  • @SalumSalim-l7k
    @SalumSalim-l7k 18 дней назад

    Chadooo ww nom pam1 na bgaaa😅

  • @Kinyoboy-s7x
    @Kinyoboy-s7x Месяц назад

    Nakubali sana bangi mwanangu

  • @MissFreeda
    @MissFreeda Месяц назад

    Chado napenda sana mov zaka aswa hii imekaa poa sana❤

  • @Victusjames
    @Victusjames 3 месяца назад

    ❤mwanangu Dua mwanetu juhud muhim saf sana

  • @Ayshapafyum
    @Ayshapafyum 3 месяца назад

    Muendelez jmn iko motooo❤️❤️❤️

  • @thalesyokim1730
    @thalesyokim1730 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri Sana🎉🎉🎉

  • @JescaFelix-e4x
    @JescaFelix-e4x 3 месяца назад

    Huo mpango wa geto la chado ni 🔥🔥🔥🤣🤣

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 3 месяца назад

    Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥kwa chado master 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @salamaslaim6678
    @salamaslaim6678 3 месяца назад

    Bonge Moja la muvi mzuli sana ❤❤

  • @indexchitanda4477
    @indexchitanda4477 3 месяца назад

    Mwizii😂😂😂😂😂Safi sana tem chado Like nyigi kwa tem chado

  • @ChukuwaChako4
    @ChukuwaChako4 3 месяца назад

    Chando kazi xafi sana

  • @jacksoneverlist5073
    @jacksoneverlist5073 3 месяца назад

    baga umeuwa sana action uliochukua kwa ako kademu yaan unyama mwingi😂😂

  • @arimtekerdivalwamadush7517
    @arimtekerdivalwamadush7517 3 месяца назад

    Masta kweli movie genje👊👊👊

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 3 месяца назад +1

    Next plz 🎉🎉❤

  • @MburahatiBonta
    @MburahatiBonta 3 месяца назад

    Mwanangu baga ndan noma

  • @EurickMwangunda-wb9wo
    @EurickMwangunda-wb9wo 3 месяца назад

    Baga ... Mi Ndo napenda bikra 😅😅sema muuni unafeli wanaume hatuishi ivo😢😢

  • @MWANAJUMABOKOKO
    @MWANAJUMABOKOKO Месяц назад +1

    Chado umecheza 😂😂😂

  • @YusuphHobokela
    @YusuphHobokela 3 месяца назад

    nakubali mwanang chado 🎉🎉🎉

  • @RadhiaMalleta
    @RadhiaMalleta 2 месяца назад

    Kaz nzur mashallah❤❤❤

  • @ZuenaChabani
    @ZuenaChabani 3 месяца назад

    Chado nakubali kwakumuweka bags uyo ni mnyamwezi kaka

  • @TUNUMBWANAMZAMO
    @TUNUMBWANAMZAMO 2 месяца назад

    Me nampenda Baga michezo yake❤❤❤❤❤❤

  • @VailetiKalomba
    @VailetiKalomba 26 дней назад

    So enjoyable chezea mapenz wew

  • @NdaisengaZainabu-vn6hk
    @NdaisengaZainabu-vn6hk 2 месяца назад

    Uyu mama namsapoti mtoto akipenda amependa tu

  • @mahmoudnajad217
    @mahmoudnajad217 3 месяца назад

    BONGE 1 LA DUBWANA AISEE WEKA MBALI NA WATOTO....KUBABABAKE BAGA💪💪💪

  • @feyplanet5719
    @feyplanet5719 3 месяца назад

    uyo ndo mwanangu aina kutili tili

  • @KolojeloEdes
    @KolojeloEdes 3 месяца назад

    Bagga Home Boy Umeznguaaa Mkulu 🤣🤣😳

  • @EllyellyZabron
    @EllyellyZabron Месяц назад

    Noma sana

  • @FitinaWilondja-m7c
    @FitinaWilondja-m7c 3 месяца назад

    Nc job kk

  • @ModiHamisi-m9x
    @ModiHamisi-m9x 3 месяца назад

    Bagaa nkukubali sanaa

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 3 месяца назад

    Kilanga komo shenzi typ ndo na kiherehere kiishe mtoto bado kinashoboka ila bora aingie chado kabla hajaanza au mjomba na kaka waingie😅

  • @muhidiniramadhani9319
    @muhidiniramadhani9319 3 месяца назад

    Chado umeua sana mwanangu

  • @AshaRamadhani-eg4bz
    @AshaRamadhani-eg4bz 3 месяца назад

    Jamani naomba iendelee season 4 please 👏👏👏👏

  • @Walawi_Movie_Official
    @Walawi_Movie_Official 3 месяца назад +1

    Bro chado ❤❤❤❤

  • @TausiMokiwa
    @TausiMokiwa 3 месяца назад

    Kazi nzur sana ❤❤

  • @FrancoisElesambo
    @FrancoisElesambo 3 месяца назад

    Mapenzi ahichaguwi umbri, inaomba umakini tu mukubwa kwa sababu anaye kupenda ni mdogo sana