Daa my mentor umeupiga mwingi sana hapa. Mungu aendelee kukutunza. Sijawahi kujuta kumaliza bando langu kwa ajili ya masomo yako. Namshukuru sana Mungu kwa kuniunganisha na mtumishi kama wewe.
1 Timotheo 2:9-11 (KJV) Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani; bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu. Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.
Mithali 7:10-12 (KJV) Na tazama, mwanamke akamkuta, Ana mavazi ya kikahaba, mwerevu wa moyo; Ana kelele, na ukaidi; Miguu yake haikai nyumbani mwake. Mara yu katika njia kuu, mara viwanjani, Naye huotea kwenye pembe za kila njia.
1 Petro 3:1-6 (KJV) Kadhalika ninyi wake, watiini waume zenu; kusudi, ikiwa wako wasioliamini Neno, wavutwe kwa mwenendo wa wake zao, pasipo lile Neno; wakiutazama mwenendo wenu safi, na wa hofu. Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi; bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu. Maana hivyo ndivyo walivyojipamba wanawake watakatifu wa zamani, waliomtumaini Mungu, na kuwatii waume zao. Kama vile Sara alivyomtii Ibrahimu, akamwita Bwana; nanyi ni watoto wake, mfanyapo mema, wala hamkutishwa kwa hofu yo yote.
Kumbukumbu la Torati 22:5 (KJV) Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa Bwana, Mungu wako.
Ameeen pst MUNGU akubariki wana
Long life man of God for that pure truth .Am Stanley Lukuzi from Kenya.
Mungu wa mbinguni akubariki saana mtumishi wa Mungu @apostle mtalemwa.
Very Powerful Sermon,bundle lako tu....
Amen.. Hakika asante. Nimejikubali. Be blessed apostle /Mwalimu.
Istrue MAN OF GOD be blessed
Nafuatilia sana mafundisho ya huyu Apostle..Mungu akutunze
Asante sana Chief Apostle kwa mafundisho haya mazuri.
Asante sn Apostle
Somo nililielewa sn! Mungu akubariki mno
Somo zuri sanaa... asante kwa kunifanya nijitambue mimi ni nani
Nakataaa roho ya nyoka katika jina la Yesu
Barikiwa na bwana
Daa my mentor umeupiga mwingi sana hapa. Mungu aendelee kukutunza. Sijawahi kujuta kumaliza bando langu kwa ajili ya masomo yako. Namshukuru sana Mungu kwa kuniunganisha na mtumishi kama wewe.
Amen baba. nakufatiliya zaidi, asante kwamafunzo pia ushauri.
Amen thanks Apostal .connecting from LEBANON.SO BLESSED . TAMAA YA TO BE LIKE FROM NOW ACAST OUT OF MY LIFE.
Wonderful teaching..am so special..may God bless you and give more sermon to save His people. This is revelation.
asante pastor
Am so special and beautiful before anybody tells me wonderful teachings be blessed 🙏🙏🙏
Aminaaaaaaaaa
1 Timotheo 2:9-11 (KJV) Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;
bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu.
Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.
Asante Apostle kwa somo hili 🙏🏼
Hallelujah
Breaking of the “wanna be “ mentality
Praise God !! Am special because of who God made me in Jesus name . Amen
Asante kwa mafundisho yako Apostle , barikiwa Sana 🙏🙏
Baba Asante kwa hili somo na Asante kwa kutupashaa ukwly mtupuu. I can't be like everyone 💯💯
Mtumixhi upo vzr sana ila wanawake hawapo xawa wapo kixaxa kanxan
Somo zuri changamoto kulikamata likaishi ndani yao maana hawa viumbe nawakubari😂😂
I wish one day I could get far if you are an apostle god is always with you god always gives you a vision to reveal to us the mysteries of heaven 🇹🇿
Andika God na sio god, god maana yake miungu
Mtume Mungu , aku zidishieyr mara helfu ,hii ni dosi inayo faaaaaaa kabisa. Mimi ni mwana ume lakini Nîme barikiwa sana
Ameen ,,asante apostle nmejua zaidi km mwanamke nimeanza kuyatumia sasa
Ahsante baba
Paster uko vizuri kimaandiko mm ninakukubali sana
Hakika nikioa somo hili nitamfundisha mke wangu
Nimekuelewa pastor
Ahahaha eti Beyonce wa Kimara Mwisho 😂🤣
Mithali 7:10-12 (KJV) Na tazama, mwanamke akamkuta, Ana mavazi ya kikahaba, mwerevu wa moyo;
Ana kelele, na ukaidi; Miguu yake haikai nyumbani mwake.
Mara yu katika njia kuu, mara viwanjani, Naye huotea kwenye pembe za kila njia.
Ohooo Yes ,I'm a special
Ubarikiwe sana baba.
Mungu atujalie kwajina layesu christu.
1 Petro 3:1-6 (KJV) Kadhalika ninyi wake, watiini waume zenu; kusudi, ikiwa wako wasioliamini Neno, wavutwe kwa mwenendo wa wake zao, pasipo lile Neno;
wakiutazama mwenendo wenu safi, na wa hofu.
Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi;
bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu.
Maana hivyo ndivyo walivyojipamba wanawake watakatifu wa zamani, waliomtumaini Mungu, na kuwatii waume zao.
Kama vile Sara alivyomtii Ibrahimu, akamwita Bwana; nanyi ni watoto wake, mfanyapo mema, wala hamkutishwa kwa hofu yo yote.
Thank you so much God bless you kw mafundisho 🙏
Haya mafundisho yataponya asilimia 100% ya jamii yetu.
Ah 😅 7 minutes into the sermon. Thank you my Apostle.
❤❤❤❤❤
Thank you Jesus am very special
Nmejifunza kitu hapa Apostle.
Wow powerful!
Kweli pastor
Kumbukumbu la Torati 22:5 (KJV) Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa Bwana, Mungu wako.
Amen connected from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen glory be to God.
Powerful🙌🏼🔥
Watu wanaingia kanxan na xuruali tena wanawake du. Dunia imeixha kweli
Tupone tupone 👏👏🙌🙌😄😄🤸🏋️
Tu est vraiment l'apôtre en chef
My chieeeeeeef Apostleeee
√
🤣🤣🤣 Apostleee 🙌🏼🙌🏼🙌🏼 you nailed it
Oh yes My father mlezi.
Pst kushuka nywele ni dhambi plz help
Deep 🔥🔥🔥
AMEEEEEN na asantii balikiweni
Hallelujah 🙌🙌🙌
AMEN 👏👏👏🙌🙏
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌 bitter truth, thanks dady
The Teacher of Teachers
Natamani yawafikie wanawake wote
Hapo mchungaji ninapo kupenda kuongea ukweli
Asante
Now I know