Uhuru umezidi Sana na umaarufu unalevya ila kaeni mkijua kama watoto wa kiislamu mnakosea Sana kuimba imbeni lakini mambo ya kuanza kuimba matusi hasa kwa mwezi wa toba tunaouendea na mtajitia kufunga loh,Mimi naona hii kufungiwa fungiwa haifai Bora kufutiwa leseni ya usanii ukarudi kuwa mwananchi wa kawaida.
Shida angelikanya yeye mwenyewe kwenye tamasha sababu asingeruhusu kuonesha kwa vitendo ndioshida ila hata hiyo nakojoa si nihatari kweli ila Allah ashike swaumu yangu
Hongera Bi Khadija Kopa, Kwa malezi mema ya Sifa, Zuchu Mustaarab, Akili Timamu, anasubra Na Adabu. Mgu atamstiri,Amjaaliye kila la kheri Duniani Na Akheri
POLE SANA ETI HESHIMA NA ADABU ANACHOKIFANYA HAPO NI HESHIMA?AU NI ADABU?AKHERA MTAFIKA MMECHOKA KUSAPOTI USHETANI AFU UNAMSHIRIKISHA MUNGU KWA MAMBO YA KISHETWAN
Hakuna chamalezi hapo wewe ndugu mwanai wakike utakubali kitovu chake kitazamwe dunia mzima muunguja yupo hivoo mamaake Alisema yeye kazaa Sisi wengine tumeenda kujisaidiatu Mimi sioni malezi hapo
Mmmhhhh dunia simama nishuke zenji hiyo wafanye wao tukifanya dunia nzima jer huyo ni mbara? Kwamaana tabia zoote mbaya wanaambiwa wabara jee huyoo na mbara kila balaa huko zenj lipo tena wazenj wenyewe ndio wafanyajii huyoo anamalezi ganii hapoo
😢😢😢Hilo choko tu hakuna msanii Apo basata iko wap sasa Kama wanailuhusu hiyo nyimbo, wanaacha iingie mtandao pia kupaform live hata hachukuliwi hatua, wao wameshakalilishwa kuwakamata wakina Ney wamitego, pamoja na Roma aise hii ndio Tozo Nia
Mm naona iyo music nitamu sana jameni 🫦🇰🇪
Kabsa
Your comment is understandable to me a Zambian 🇿🇲🇿🇲
We are bantus indeed 😅
Who's the real Queen,,,,
Is it ZUCHU , QUEEN SHEEBA , SPICE DIANA, SHAKIRA SHAKIRAA, pls someone tell me,,,
From Zambia 🇿🇲🇿🇲✔️
Iyimbo nitam sana juya mini muna tufungiya iyi nyimbo mk aiko matusi
Mtoto mstarabu ❤️mtoto mwenye akili 🌹nc kwakazi zako mpendwa ❤️ tunajielewa dada mapenzi hayan fundi ukiachana na Diamond hata wanaume wengine tabia nikama izo izo dada sasa fany yako unarizishwa nayo mpenzi ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Thanks for the comment.
Very true
Matusi si mtaji
Halafu inaonekana huyo hata marinda hana
Kamahana marinda nikwa raha zake wewe pia unayo kwaraha sako
Uko vizuri dada
What a good video❤
Your voice beautiful zuchu ❤❤
Wachatuuu nidikilize nyimbo za tundä mani na halikiba wanatosha kwaburydani kwangu
Akiachana na matusi zuuu anaweza nyieee mmmh
Thanks for the comment.
Umemjibu vizuri sana yeye anauhakika na mume wake au mpenzi wake
Ila yupo vizuri sana
Naungana na ww❤
Show Kali ❤
Shoo na eneo sio sahihi kuimba hivyo zenj hata Kama n Kali keep silence zuchu
Kazi zuri sana❤❤
Thanks for the comment.
Mtoto wa nyoka ni nyoka mwenyewe ❤❤❤🎉🎉
Thanks for the comment.
HUO MTUMBO BADO UJAZAA NA TEYARI UMESHUKA-SIJUI ITAKUWEJE?
Zuchu, anaheshima Kwa Malezi aloyapata.❤❤❤❤
Thanks for the comment.
Mmmh
HAPO KUNA MALEZI GANI?AU NAWEWE NDO ULIVYOLELEWA
😢 heshima gan ya umalaya
achen wivu zuchu yupo vizur sana
Song tamu sana😮😮
Kwakwel napnd hii nymbo
Love your songs even though haters speak nonsense dadangu keep it up waonyesha😊
Thanks for the comment.
Zuchu katuzalilisha visit wa zanzibari
Vraiment que des haineux et des jaloux contre une fille 😂
Yule anaye. Mwamb.ia zuchu ..aolewe...
.kwani..kuolewa..ni..lazma...hebuu...pambana..na.hali.yako....achana..na.zuchu...kabsa......mwanzo...cku.hizi..ndoa..ni..hiari..ya.mtu...akipenda....ujue.hivooo....mwanzo..cku.hizi...ndoa...hamna...mitume....waliondoka...na.mambo..ya.ndoa..duniani...yalio.salia...ni..zinguano...majumbani..kila..kukijaa...mitihani..tele....dada..zuchu..usi.lazimishwe..kukimbilia..ndoa...hiari...ya..moyo..wako.dadangu.zuhura..bin..osman....kwa..ali..nado..kijijini
Wangapi wameacha na kama mwanamke kweli akuoe basi
Thanks for the comment.
Angekuwa rais wa kitaa hangemaliza show angeshikwa
Thanks for the comment.
Shoo tamu. Zuchu, Nandy, Maua Sama hawa watu wanajua sanaaa
Thanks for the comment.
Mungu akujaalie upate mtoto wa kike aje avae uchi kama hivi
Uyo zuchu ajitambuwi atabakiya tu ivyo kuchezewa wala aholewi
Thanks for the comment.
Ajifunze kuandika kwanza
Michezo mizuri Kwa afya Alf zuu Bora ashikilie apo apo huwez kutoka
Zuchu usimuache Diamond Platnumz,mnapendeza Sana.Luna mijitu humu unawaonea wivu mpaka inataka kuzimia.
Inakuhusu
Ati. Hasidi..mwengine..kasema..zuchu..atupwe..kando...kama...wengine......hilooo..utangoja..saana...atupwe.kando.....plz....elewa...risiki..ya..paka..sio..ya..mbwa...kila..kiumbe..kina..riski..yake....atii..atupwe..kandoo..kama..wenzake...maanake....dada..zuchu.usiofu..ya.waja.....siwajua..nyani..haoni..kundule...yakwake..yamulemea...anapambana..namambo...yawenzake...umbeya.punguza...achana....na..dada.zuchu...pia.wewe..jaribu..riski.yako...zuchu..hooye...ndani.ndani..wasafi..fm.❤
Kuna muziki sio kwa ajili ya watoto na maneno haya yote yapo kweny kiswahili.....ilibd uwe na lesen kutamka aya maneno basata wangepiga ela.
Thanks for the comment.
Lamwishoo...kila.mbuzi..hula..kwa..erefu...wa.kamba..yake....hata..vipi...cha.msingi...maisha..yaenda...haibi..chamtu.....usharp..wake.....hatumii.nguvu..kupata.riski..unjanja.na.kujiongeza.kiakili...mpunga...unaingia.benki..wewe.baki..ukivimba....jelous.never.win...kina...kipaji..kajaliwa...kujituma...❤
Unajua zuuh ❤❤
Thanks for the comment.
❤
Acha.kumwita.zuchi.mbwa...kwa...kasha.kuja.kwenyu..kuomba..mifupa.....plz.heshimu..mwana.wamwenzio...bambana.na.hali.ya.famiia.yako..maisha.yakikulemea..kwa..uhasidi..mwingi..ulio.ubeba..rohoni...jitie.kitanzi..watu.wale..pilau...
Uhuru umezidi Sana na umaarufu unalevya ila kaeni mkijua kama watoto wa kiislamu mnakosea Sana kuimba imbeni lakini mambo ya kuanza kuimba matusi hasa kwa mwezi wa toba tunaouendea na mtajitia kufunga loh,Mimi naona hii kufungiwa fungiwa haifai Bora kufutiwa leseni ya usanii ukarudi kuwa mwananchi wa kawaida.
Thanks for the comment.
WOTE MNAOSAPOTE UCHAFU HUWO MBINGUNI MTAFIKA HOI BIN TAABANI SANA.
Naomba connection namba ya zuchu nataka maongezinae
Utapata tu, usijali
Thanks for the comment.
Msameheni bur❤
Umenipa raha sana Zuchu…” Nawaona nawaona….huyo Bwana humpati….yallah! Msg sent. 😃
Thanks for the comment.
Now Zuu this outfit is very perfect not the rest like for Babies...😊
Thanks for the comment.
ndio michezo yake uyo
Big talent❤🎉 huku ndio kuforce
Thanks for the comment.
Our zuhuraaaà, hongera
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤l miss you
Thanks for the comment.
Nakukubali zuuuu❤
Mi namkubali sana aisee
Zuchu..miaka.mia..twakuombeya.dada.zuhura.osman..hivyo...ndio.utazidi..kudumu.daima...wivu.wao.kwako..ndio..bahati..znaongezeka.kwa..mambo.yako..
Wewe. Haujui. Mipango. Ya mungu. Usipangie mtu. Ivo
Thanks for the comment.
Zuchu ako sawa pure talent
Ila kimevurugwa😂😂😂😂😂
Rabda binaadam kakosea
Hajui kucheza
Ati mwengine..kasema zuchu..kifua kimekaula..mbee..na
Nyuma... .....bwana.hee...kukauka....ahaahaa...basi..kuna..wenzako...hupenda..fga.hizo..spring.chicken..kama.hujui.....habari..ndio..hizo...nyama..yakuku..wewe..ukila..yakuthuru....basi...bambana.na.ya..bata.mzinga....achia...watalamu...fata.nyama..bata...achana.na.walio.kauka.vifua...kila.mtu...na..fga.yake....mapishi..to.fauti...ila..mpunga..ni.uleulee....pishori...rice.....kuna...mchele.mwembamba......
NA.ZUCHU SASA ANAANZA KUWA MSANII MATUSI.
KAMA ATAENDELEA KUWA NA MATUSI HATOFIKA MBALI.
MATUSI YANA SEHEMU ZAKE SIO KILA MAHALA.
Thanks for the comment.
et nawanaume wanakataviuno navidolejuu haondomashoga
Thanks for the comment.
Mtoto wa nyoka ni nyoka cheki istoria inasemaa
Saiv naelewa why mond kabak hapa😂😂😂
Anapewa jicho
Shida angelikanya yeye mwenyewe kwenye tamasha sababu asingeruhusu kuonesha kwa vitendo ndioshida ila hata hiyo nakojoa si nihatari kweli ila Allah ashike swaumu yangu
Yan umetoa mpaka mkuu
Thanks for the comment.
Walio ludia mala 4 tuseme
Thanks for the comment.
Shida basata wanataka kiki mtoto haelewi hapo sababu hata mu mpe mku,,,, watoto waelewe nini hapo jamani...
Ovyooo kijuso
Kuna msemo chaguwachsguwä mwisho uwambulia koroma napita
Subuhanlilah 😢
Thanks for the comment.
Nyumbo tamu
Thanks for the comment.
Ata mumpe mkuu si umalizie tu ndugu
sie watu wa mungu ata atuelew kitu🙄
Matus sasa
Mwingine..kasema..ati..ukimwi...utamua.zuchu..kwani..wasema.hivyo..wewe..ndio.mungu..kupangia.wenzako..mautii..hebuu...mwanzo..wewe..ushapimwa...pengne..wakalia..diposit....aacha..kutabilia..mwana.wamwenzio..mauti...hakuna..atakae..dumu..duniani..zote..niwapita.njia..achana....tabira.mbovu..kwa.wenzako..umuzma.wewee.
i love your songs
❤❤❤❤❤
Thanks for the comment.
Ana kitambi siku hizi
Thanks for the comment.
Love. You from Miami boo so beautiful girl
Kumbe Simba sio mtu mzr
Thanks for the comment.
Amelewa isee 😎😎
Zuchu waja kucheza na mganda wewe,zari kashamnaza mond,hyo sio wako
Innan lahhi lajiun 🙏🙏
Thanks for the comment.
Zuchu yuko juuuu sana
Thanks for the comment.
Mnaosapot huu upumbavu kumanina zenu
Huyu dada so mzima hata kdg
Upuuz tu!
mama Ake hakuimba matusi hata siku 1
Zuchu mshenzi tu na uyo mm ako nyote washenzi watabiaa
Love you so much ❤❤❤😂
Thanks for the comment.
Muito linda minha querida
Thanks for the comment.
Hongera Bi Khadija Kopa, Kwa malezi mema ya Sifa, Zuchu Mustaarab, Akili Timamu, anasubra Na Adabu. Mgu atamstiri,Amjaaliye kila la kheri Duniani Na Akheri
Thanks for the comment.
Amen. Mtoto mzuri kila hali mashallah
POLE SANA ETI HESHIMA NA ADABU ANACHOKIFANYA HAPO NI HESHIMA?AU NI ADABU?AKHERA MTAFIKA MMECHOKA KUSAPOTI USHETANI AFU UNAMSHIRIKISHA MUNGU KWA MAMBO YA KISHETWAN
Ukiona mtu anasapoti ujinga ujue naye. Mshenzi hajitambui@@stevensosipita
Hakuna chamalezi hapo wewe ndugu mwanai wakike utakubali kitovu chake kitazamwe dunia mzima muunguja yupo hivoo mamaake Alisema yeye kazaa Sisi wengine tumeenda kujisaidiatu Mimi sioni malezi hapo
zuchu usimuache simba ukimuacha unapoteya
kumbe kana tiwa dudu nyuma mana kunya mara kukojoa mara mkuuuuu dah😢
Thanks for the comment.
Mali ya 🦁
Penda wee
zuchu kunyanyuka kwake ni diamond Platnumz akimuacha anapoteya
Jina la wimbo ni gani
Kiasi umefungiwa coz so kwa wimbo huo nyoooooo
Mziki haufai
Thanks for the comment.
Shida aseee duh maisha aya tanzania aya
Thanks for the comment.
Mmmhhhh dunia simama nishuke zenji hiyo wafanye wao tukifanya dunia nzima jer huyo ni mbara? Kwamaana tabia zoote mbaya wanaambiwa wabara jee huyoo na mbara kila balaa huko zenj lipo tena wazenj wenyewe ndio wafanyajii huyoo anamalezi ganii hapoo
Thanks for the comment.
Domaa tanzania mabos wako kumi2 unataka aimbe kaswida wakati sio kaziyake
Thanks for the comment.
Yani.ww zuch huna akili mbwa ww
Thanks for the comment.
Huo ni mziki sio Ibada Athenian ushamba
Maji hufuata mkondo ameona ni heri awatukane wote waliokuwepo hapo. Huyo ndo staa!
😢😢😢Hilo choko tu hakuna msanii Apo basata iko wap sasa Kama wanailuhusu hiyo nyimbo, wanaacha iingie mtandao pia kupaform live hata hachukuliwi hatua, wao wameshakalilishwa kuwakamata wakina Ney wamitego, pamoja na Roma aise hii ndio Tozo Nia
Thanks for the comment.
Hii wimbo unaitwaje
Thanks for the comment.
Mtoto amuimba zari but one day kitakuramba pia wewe waja imbwa
Thanks for the comment.
Yule mama yake ndio alisema yeye kazaa wengine wamekunya. 😅😅😅 Kuzaa kwenyewe ndio mtoto kafiri kama huyu mwezi wa toba anaimba upuuzi.
Mamake zuzu
Hakika hapo hapana mtt
Kwani wewe sio kafiri una zuri gani mpk useme mwenzio kafir kwasababu ya kuomba mbona wewe ni shoga unafilwa na hatusemi
Yeye ndo alikunya sasa izo fungo zamotoni Allah awajamiye watubu
1:46
Noma sana
Wa pikipiki ana chit sembuse wa range zuuuu tupa huko angalia nn wataka kama ndoa poa ni bora ukae tu