Show ya ALIKIBA na MARIOO ni somo, wapiga LIVE ya viwango, hawa jamaa wana sauti za DHAHABU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • #alikiba #marioo
    Sasa unaweza kujiunga na SnS VIP Family ili kupata mambo mengi exclusive kwaajili yako tu. Bonyeza link hii ili kujiunga na kufahamu zaidi kuhusiana na SnS VIP Family membership
    / @simulizinasauti

Комментарии • 201

  • @bmaproduction6329
    @bmaproduction6329 Год назад +107

    King kiba number One full package 📦 Anaga mpinzani Kwenye Live Performance Anaga mpinzani Kama una mkubali Mfalme wa Bongo Flever king dondosha like

    • @sebajaybrand
      @sebajaybrand Год назад

      Umewai sikia live za barnaba na aslay pia

    • @ramamtanga3482
      @ramamtanga3482 Год назад +1

      @@sebajaybrand nimeshasikiza sana tu ila Ali ni habari nyengine

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 Год назад +1

      Sawa tunamkubali ila hiyo Anaga ndiyo kiswahili cha wapi eti🤷‍♀️sema hanaga

    • @salimjumaa8180
      @salimjumaa8180 Год назад

      Ume2wakilisha vyema bro, big up!

    • @youngbabylon9094
      @youngbabylon9094 Год назад

      Unaelewa maana yafull package?

  • @stevenckanumba7
    @stevenckanumba7 Год назад +54

    King kiba hana mpinzani kwenye Live performances tuwenasema ukweli ❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @yassinmiraji2921
    @yassinmiraji2921 Год назад +26

    Nani kaona km alipewa hela iliyodondoka na Baunsa alafu naye akampa zote za Mkononi mwake Baunsa km mimiii, like zenu hapa km mmeona jamaniii ama King Ally Kiba hana shida na vijihela daaah!!!

  • @m___ck799
    @m___ck799 Год назад +48

    Yaani ukiangalia hii ndio unajuwa Marioo bado mchanga sana kwenye kuimba live! Kiba is a proffessional kwenye haya mambo😁 lakini pia he's been in the industry for 15+ years

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Год назад

      sa marioo anamiaka mingapi kwenye game na allikiba anamiaka mingapi kwenye game hapo ndio utapata utofauti

    • @hamzamohammed2535
      @hamzamohammed2535 Год назад

      Tatizo anajilinganisha nawakubwa wake. Ndomana jamaa kaongea hivi

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Год назад +3

      @@hamzamohammed2535 Marioo hana baya mwenye hizo pigo ni konde Marioo ajilinganishi na Ali wala Simba yupo Humble tu kijana wa watu

    • @khafydhwindkibawindkiba617
      @khafydhwindkibawindkiba617 Год назад +1

      Umeongea point mzaz

    • @audaxmlowa9953
      @audaxmlowa9953 Год назад +2

      Shida sio kuwa kwenye game kwa muda mrefu inshu ni kwamba ana ukaribu gani na BAND tatizo wasanii wa Bongo wamekuwa wasanii wa studio sana Yan anashindwa studio kurekodi anasahau kuna live band... tuwe wakweli wasanii wetu wengi hawana muda na live band pia wafanye mazoezi leo tumesikia sauti ya ali kiba tuliyokuwa tukiitarajia unadhan ni kwa nn? anatumia muda mwingi kufanya mazoezi yanamsaidia kupata pumzi inayompa nguvu ya kutoa sauti inayomdhihirisha kuwa amejipanga na amebadilika....

  • @karaniomoit5259
    @karaniomoit5259 Год назад +3

    Level ya kiba ni international

  • @yusufulimo5737
    @yusufulimo5737 Год назад +12

    Alikiba ni kama kinyonga anaweza kukubadilikia sehem yeyote na kua tofauti na wengine hi ndio maana halisi Alikiba Ni mfalme was bongoflever uwezowake binafsi na sio rahisi wengi kulijua hili ndio maana wabishi hawaishi kusema Kiba kaishiwa mbinu:

  • @kymbassyl2410
    @kymbassyl2410 Год назад +11

    Kama unaona alikiba hanang baya like love from kigali 🇷🇼🇷🇼🇷🇼💚💚

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 Год назад +4

    King of sweet melond kiba hana mpixani yeeee bb

  • @mimokassim1887
    @mimokassim1887 Год назад +18

    All the way from South Africa just for alikiba…. Tanzania like zenu please

  • @emmalohay6812
    @emmalohay6812 Год назад +5

    Alikiba is the best male singer in Tanzania haina ubishi.

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Год назад +7

    Big up Mario 👏👏👏👏utafika uko pazuri Sisahau Mwaka mpya Tanga wakati wana test mic ndipo nilipoamini Kiba anakujua kuimba na Mungu amempa sauti ya ajabu.

  • @cletusshallanda7033
    @cletusshallanda7033 Год назад +24

    Yani king akiimba lazima muenjoy , huyu jamaa ni 🔥🔥

  • @sospeterkaponoke3789
    @sospeterkaponoke3789 Год назад +10

    Mfalme kiba haujawahi kuniangusha 🇹🇿👏👏👏👏🙏🙏🙏wafundishe namna ya KUIMBA LIVE BAND 🏆🏆🎖🎖🎧🎤🎵🎶🎼📢🔊🔉🎹🎹🎸🎷💿📀📀🖱📠🔌⌨🥁🎻🎺

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 Год назад +15

    Huyo ndo King" mwengine hamna Bongo nzima tuache kuchezeana hakuna cha kiki wala nini utasema Show" ni yake sio mchezo wacha kina Vanny wamebane na makiki yao watu waongea jukwaanii na life perfomance"😂😂😂😂😂 king ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kairatiswahilli7024
    @kairatiswahilli7024 Год назад +2

    King 👑 kiba ni mmoja tu 🤞💋

  • @ujenezasandrine6854
    @ujenezasandrine6854 Год назад +32

    Alikiba can sing.. waou..

  • @djb2kzer0
    @djb2kzer0 Год назад +15

    Diamond hajafika kwenye shuuli alikimbia izi live performances za king cause wa handishi wa Habari wange muulizia ( ulionaje performance live ya Ali Kiba ??) 😅😅😅
    Anyway kiba fundi sana
    Like zenu

  • @kayjuma2629
    @kayjuma2629 Год назад +13

    Huyu jamaa anaimba aisee, vocals 🔥🔥🔥🔥

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 Год назад +15

    Mie sound quality ndo nimependa... clarity ya sound ipo poa, instruments zinasikika,vocal zinasikika, kelele za mashibiki zinasikika vizuri bila distortion. Safi sana

  • @rashidamohamed9927
    @rashidamohamed9927 Год назад +24

    Wanamuziki wangu Bora a💯🔥🔥🔥🔥❤️❤️😘😘🙏🙏

  • @minjesha
    @minjesha Год назад +4

    Nyieee hawa watu ni balaa la kukata na shoka..ila nani kaskia shabiki anasema konde anakuja🤣🤣 nampenda kiba hadi naumwa..sns tunaomba link za kiba ziwe nyingi humu kama za domo💣💯

  • @praygodmmari5850
    @praygodmmari5850 Год назад +8

    King ndo moto wa kuotea mbali Kwa live music 🎵🎵🎶🎶 #kingkiba

  • @rashidamohamed9927
    @rashidamohamed9927 Год назад +15

    Boss wangu anajuwa hadii anakeraa haana mpizani 💯🔥🔥🔥🔥❤️❤️😘🙏🙏💪💪💪💪

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent3483 Год назад +14

    King kiba nakukubali siku zote hunaga bayaaaa👌👌🙌🙌🙌💥💥💥💥💥💥

  • @mnyamahandsome2142
    @mnyamahandsome2142 Год назад +12

    Alikiba atengwe Kama mbwa kichaa ndani ya mtaa👍👍

  • @kadreenakitchen8098
    @kadreenakitchen8098 Год назад +5

    😂 daimond hawezi live kiba he has talent voice ❤️ salalm hapo aibu na rayvany

    • @zagarinojo4227
      @zagarinojo4227 Год назад

      Yeah ni kweli kabisa lakini kila mmoja amekuwa blessed at a different angle..diamond kwenye acts na video ni noma

  • @vasboy-tz2442
    @vasboy-tz2442 Год назад +3

    King kiba ni fire 🔥

  • @morishoissa4155
    @morishoissa4155 Год назад +6

    Alikiba Bana yani sijui nimuiteje jama ni Noma katika uimbaji Hana mpinzani tz 🔥🔥🔥

  • @gchisunga
    @gchisunga Год назад +15

    Utiifu King salute marioo 🤝🤝

  • @mnyamahandsome2142
    @mnyamahandsome2142 Год назад +17

    King Kiba is firee

  • @arafajabir3194
    @arafajabir3194 Год назад +26

    Best parfamace 🔥🔥🔥🔥💯

  • @johnrogas7183
    @johnrogas7183 Год назад +3

    Marioo kuna kitu cha kujifunza kwa king 👑 anavyo perform hiii ndiyo show nzuri zaidi kwenye show yako kwa ajili ya uwepo wa king👑 lakini nenda ukarudie show ambazo mario ameperform mwenyewe kuna improvement kubwa inahitajika kwa marioo hakuperform vizur ....but hongera show imeandaliwa vizuri superb international level

    • @georgeburchard4872
      @georgeburchard4872 Год назад

      Hakika! Hili limeonekana bila shaka! Ila ndio mwanzo kwake! Atajifunza!

  • @allanizoo1678
    @allanizoo1678 Год назад +3

    Sema uyu mbwa Ali ana kipaji kuliko msanii yeyote bongo ila saa juud ndy chenga👑👑👑👑😂

    • @salma9390
      @salma9390 Год назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ,ila wa Bongo jamaniiii 😂😂😂 eti uyu mbwa Ali 😂😂😂 love u from Burundi 🇧🇮🇧🇮

    • @allanizoo1678
      @allanizoo1678 Год назад +2

      @@salma9390 anajua ad anakera

    • @adamhashimu4462
      @adamhashimu4462 Год назад

      Hakuna mwenye ,talent kumfikia Kiba

  • @ibrahimhumanamicroscopic6515
    @ibrahimhumanamicroscopic6515 Год назад +15

    The voice so amazing 👏 😍 😭 🙌 💖

  • @idrisashelimo307
    @idrisashelimo307 Год назад +5

    Only one King fundiiii kama Fundiiii King 🤴 🙌 the King 🤴

  • @frankbonfils2435
    @frankbonfils2435 Год назад +6

    I have never heard how this guy performing live 🙆🙆

  • @sheruajafari1676
    @sheruajafari1676 Год назад +7

    Uyo ndo 👑 kiba bwana kwenye live umwambii kitu

  • @sadikihamad9770
    @sadikihamad9770 Год назад +19

    Alikiba Live anajua sanaaaaa!!

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 Год назад +5

    Very true, Ali Kiba & Marioo hii ni habari nyingine mno, hawa jamaa wpo sayari tofauti.

  • @sandraechiveraya8570
    @sandraechiveraya8570 Год назад +2

    Ali jamani🔥🔥❣️✌️

  • @bosslilyg4390
    @bosslilyg4390 Год назад +12

    Dadeki, Ali Kiba anajua hadi anaudhi ❤❤❤

    • @tatukingi2543
      @tatukingi2543 Год назад +4

      Alf mahaduwi wako hapo pia wanamsikiliza mwamba akifanya mambo yake kiba ni moto wa kuotea mbali

    • @adamhashimu4462
      @adamhashimu4462 Год назад

      Anajua sanaaaa

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv Год назад +4

    Kumbe kiba hatumii out tune effect aisee 🤣🤣🤣 anaiimba hadi unasisimka

  • @mzeemkaidi5337
    @mzeemkaidi5337 Год назад +3

    Huyo ndio king mzee wa only 1

  • @gchisunga
    @gchisunga Год назад +13

    King 👑💪💪

  • @arafajabir3194
    @arafajabir3194 Год назад +9

    Only one King nice song I like 👍 👌

  • @kingcheater2554
    @kingcheater2554 Год назад +3

    The Kingkiba is hamble

  • @fzlcomrajabu9514
    @fzlcomrajabu9514 Год назад +5

    Only one king 🤴

  • @ramakapesa1110
    @ramakapesa1110 Год назад +9

    🇺🇸 good King kiba

  • @sendaalexandre9078
    @sendaalexandre9078 Год назад +3

    King Kawa mbogo ,,,anajua Tena anajua I appreciate him

  • @baysadam235
    @baysadam235 Год назад +3

    Namkubari sanaaa brother Kiba Always and you bro🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 Год назад +6

    Chezea kiba wewe😍😍😍😍

  • @halimaamani4095
    @halimaamani4095 Год назад +1

    Hakuna kama king jamaniiiiiiiii

  • @faridamwaka5555
    @faridamwaka5555 Год назад +2

    I like it,,, alikiba ww n fundi

  • @dngmusic5675
    @dngmusic5675 Год назад +3

    Huyu n mwanamuzik ndio tofaut yake na wengne kwa Zaid ya miaka 19+

  • @benmkare1095
    @benmkare1095 Год назад +4

    Jamani @SnS huyu KIBA ajengewe sanamu🔥🔥🔥🔥🔥

  • @savanny_music
    @savanny_music Год назад +4

    This is called a gift not talent. #King is from another world Duuuh. in this song is #imissyou King anaskika karelax vyema. Wanaongoja King aende retire watangoja sana 😂😂

  • @marieiradukunda9298
    @marieiradukunda9298 Год назад +2

    Diamond na Mchepuko wake hawana hata Sauti ya kuimba live honestly 🤣🤣

    • @georgeburchard4872
      @georgeburchard4872 Год назад

      Ukiongea unakuja kutukanwa na mambumbu! Zuchu haingii hata kidogo kwa Ruby, nandy au Maua sama kwa sauti achilia mbali kuimba live ambapo Ile show Yake ya mlimani city ulikuwa unaona kabisa kwenye live anasafari ndefu Sana! Diamond ameimprove! Ni tofauti alivyokuwa nyuma akiimba live! Ingawa bado hajafikia hii level ya kiba! Bado Sana!

  • @inesfaustinochamanangacham6057
    @inesfaustinochamanangacham6057 Год назад +8

    Kiba te amo 🥰

  • @shavybrand8225
    @shavybrand8225 Год назад +6

    Yess king & bad

  • @yasinichambuso6436
    @yasinichambuso6436 Год назад +6

    King 👑

  • @johnhanga7583
    @johnhanga7583 Год назад +8

    M ni wcb but hawajamaa nawakubali kinyama

  • @frankmkanula5042
    @frankmkanula5042 Год назад +6

    Yoooh king💯

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana7735 Год назад +2

    Goat 4ever KingKiba like Messi usipime utapotea💥💥💥

    • @beltahbelta6331
      @beltahbelta6331 Год назад +2

      Walai umengoga ndipo ,i love those 2 guys #Messi and king kiba

  • @kinggibe928
    @kinggibe928 Год назад +5

    Kibaaaa

  • @dianamoraa5043
    @dianamoraa5043 Год назад +6

    Kiinggggg😜alikiba

  • @shazzywakingsmusic8672
    @shazzywakingsmusic8672 Год назад +1

    KINGKIBA 👑👍

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano3495 Год назад +1

    Kingkiba Salute

  • @gchisunga
    @gchisunga Год назад +13

    Good music 🎶👏👏👏

  • @mohamedjama5152
    @mohamedjama5152 Год назад +8

    King kiba

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah3644 Год назад +1

    King kiba 🤴 what show 🔥🔥🔥❤️

  • @naima5737
    @naima5737 Год назад +1

    Anaimb

  • @kwilasajunior5367
    @kwilasajunior5367 Год назад +1

    The only one king UKIBISHA bisha tu

  • @sadarungwe3746
    @sadarungwe3746 Год назад +5

    🥰🥰🥰🥰🇨🇩🇨🇩🇨🇩king

  • @saidimandala8342
    @saidimandala8342 Год назад +3

    Hawa watu WA mikamera wanakera kama wao ndiyo wanafanya show.

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 Год назад +2

    King kiba unajua adi unakera💞💞💞💞💞💞

  • @maxomari3542
    @maxomari3542 Год назад +2

    King👑✔️duuuuh

  • @benedictomb
    @benedictomb Год назад +6

    Uyu jamaaa mwamba

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Год назад

    This king you knw

  • @westchugagang5323
    @westchugagang5323 Год назад +5

    HIZO HELA DAH

  • @adamhashimu4462
    @adamhashimu4462 Год назад +1

    Kibaa shikamoo, we ndo mfalme wa bongofleva 🔥,he is so talented

  • @victoriatwinzi252
    @victoriatwinzi252 Год назад +7

    Amazing 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @aminakazogolo2229
    @aminakazogolo2229 Год назад +4

    King🎉🎉❤❤❤❤

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 Год назад +1

    Kiba ni mzuri kwenye mziki ila si mzuri kibiashara..
    Yaan kiba yupo kwenye music industry as an entertainer wakati Diamond yupo kwenye music industry as business man...
    So kiba yupo oriented na quality ya mziki, wakati diamond yupo busy na quantity (number) with a lot of showbiz for business purposes...(he makes himself popular to have big number of followers in which business-wise kwa mazingira ya dunia ya sasa ni advantage kwake dhidi ya peers wake.

  • @kingcole60
    @kingcole60 Год назад +4

    Fundi 🔥🔥🔥

  • @naufalmustafa565
    @naufalmustafa565 Год назад +6

    sema mario bad hajakomaaa sana kweny stageee

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 Год назад +1

    Ni Barnaba tu anayeweza kukupa standard inayokaribia na hii ya kiba! Ogopa matapeli hakuna mwingine kwa hapa bongo! Kina jux huwa wanajaribu jaribu!

  • @MaczuLofficiaL
    @MaczuLofficiaL Год назад +1

    Dah Hii Live performance sijawai ona joh
    Hawa wawili Fundi sana kwa Live💯

  • @hajiali8820
    @hajiali8820 Год назад +4

    Mfalme ni Moja wengine wot vijakazi

  • @justinemasweta2877
    @justinemasweta2877 Год назад +5

    Kiba anasauti nzuri sana ila hiyo kapelo dah

  • @foodbasiccourt2028
    @foodbasiccourt2028 Год назад +8

    Mario bado akomaae ila kiba humfikii

    • @m___ck799
      @m___ck799 Год назад +1

      Yaani Marioo bado sana.King ni King tu!!

  • @emmanuelbarakajunior7482
    @emmanuelbarakajunior7482 Год назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Mr4Real
    @Mr4Real Год назад +2

    Kingkiba x totobad

  • @lettysalala2504
    @lettysalala2504 Год назад +5

    Kiba anajua mpaka anakela

  • @mis2ra766
    @mis2ra766 Год назад +2

    King

  • @juhudishadrack8173
    @juhudishadrack8173 Год назад +2

    Macamera man mnalo la kujifunza kwa video zote za show mlizo upload sns colour mmeumiza sana nyie ni number one

    • @juhudishadrack8173
      @juhudishadrack8173 Год назад

      Ila kidogo video mwanzoni ima shake sana but ni nzuri sana sijui mmeniroga sns nawapenda sana sky kaza mzee baba

  • @maryamkhatib4327
    @maryamkhatib4327 Год назад +6

    Nice

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Год назад +2

    That meaning of word King

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Год назад +2

    King kama king

  • @mrlyricsstar7881
    @mrlyricsstar7881 Год назад +5

    The King Kiba Fundi na Useng

  • @foodbasiccourt2028
    @foodbasiccourt2028 Год назад +6

    Ila videographer wanatakiwa wakasome khaa