Jamani me binafsi kuanzia leo ni team lava lava amna kiba amna nani lava lava nimekukubali sijawah kubal msanii yoyote bongo zaid ya diamond sasa leo umemngoa kiti kaa baba mablessing nakupa utafanikiwa sana sana in shah allah na mwezi huu mtukufu.
This's why Bongo music is on another level, the lyrics always have a true and touching story and this is just one of the best productions by WCB. CEO DP is currently the best in the world, nurturing talent and bringing great teamwork and making money too. Tudd Thomas naye hatubwagi naminyambuliko....Lava lava kama alivyosema, nangoja kuona kipaji
I hope this boy makes it. He seems like a good person and I Love the song... Kwa kweli waafrika tunastahili tuzidi kuungana na kuinuana.. mimi nliupenda sana wimbo wake
Ujue nyimbo kama nyimbo hutokana na mazingira tunayoishi... Mmakonde kanikumbusha mbali huyu mie nimependa nyimbo za mond kitambo sana.... Utasikia eti huyu naye nyimbo zinaujumbe gani.... Mie huwajibu tu ukijua kupenda au nn maana ya kupenda na ukatendwa nyimbo za diamond utazijua tuu zina ujumbe upi wa kuliza au kubembeleza... Sasa huyu Dogo naye anatambaa mule mule... Pole sana mmakonde utakuwa umeguswa kiaina ila yote maisha... Hongera sana Dogo kwa kutoa hisia ya mtu kutumia kuimba.... Mashairi yamesimama na sauti kinanda.... Continue....
dogo unatisha sauti niyilele kwenye wimbo ,nilipo achana nademu wangu nilizmia kusikia huu wimbo,nilipomtumia hii wimbo ilimubidi anywe sumu ili mungu ngamjalia uzima. lava endelea kufanya kazi na wcb ili uwe nawatu wenye wanajuwa kufanya kazi.
kweli nyimbo nizuri sana Kama himeingia kwenye moyo wamwezako lazima uliye usimwabiye mwezako anayeliya nipumbavu siyokila mtu ana yeliya kunasabab zakufanya my aliye labda na yeye ameshawahi kupitia so unampa pole siyokumtusi ♥♥♥ I love music very good
Kwakweli huwa sina tabia ya kutoa comments kwenye interview kama hizi lakini kwa huyu msani,imenilazimu tu niandike. Lavalava hongera sana, nimeikubali kazi yako yaani hadi nimeona kwamba ulivyoimba hapa ni bora zaidi kuliko kwenye video yako licha ya ukweli kwamba kwenye video huwa tayari kuna mixing ishafanyika tayari.
Daah...kwakwel ndugu yangu Lavalava wew ni mwalimu wa wasanii yaan hii nyimbo na nyimbo zako zote aisee ni za hali ya juu na wewe una kipaji na unajua ndivyo ulivyo. unachokifanya kipo moyoni mwako pia una discipline sana maana nmekuangalia sana you tube katika interview zako na majibu yako ndio haswaaaa yanayotakiwa hutukwazi pia. hii ni comment yangu ya kwanza tangia nmezaliwa hapa you tube. Mungu akujaalie Lavalava.
Jamani me binafsi kuanzia leo ni team lava lava amna kiba amna nani lava lava nimekukubali sijawah kubal msanii yoyote bongo zaid ya diamond sasa leo umemngoa kiti kaa baba mablessing nakupa utafanikiwa sana sana in shah allah na mwezi huu mtukufu.
zubeydah seif hahahaha
Asante lavalava hira kaka pole hii nyimbo aijamuacha mtyu salama kwakweli
Anae msikiliza lava lava ! Your voice kills my brother love 💖💖 from Lubumbashi DRC
This's why Bongo music is on another level, the lyrics always have a true and touching story and this is just one of the best productions by WCB. CEO DP is currently the best in the world, nurturing talent and bringing great teamwork and making money too. Tudd Thomas naye hatubwagi naminyambuliko....Lava lava kama alivyosema, nangoja kuona kipaji
I hope this boy makes it. He seems like a good person and I Love the song...
Kwa kweli waafrika tunastahili tuzidi kuungana na kuinuana.. mimi nliupenda sana wimbo wake
huu wimbo huacheni tu, yakikufika utaelewaa tu manaake ukiongea sna utaonekana mnafki Mara ooh team WCB
Wow,.. Lavalava kweli anakipaji. The way he is coming up with a song is amazing 🔥 🔥 👏
Very toacheble song. Big up.👍 Lava Lava from WCB.
huyu mtangazaji kalia na sheria kabisa hata na Mimi nyimbo imenifika kbs big up lavalava
Big up sana Lava Lava hii hata mimi nimelia kwa 7bu umeimba uhalisia wa life linavyo songa @iamlavalava big up bro
Lalva lava wamuliza mwenzako jamani nyimbo Kali Sana hasakama umetendwa walia
jamaniiii hicho kilio it's like a drama lol,,mapenzi yanauma dah😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Dah pole mtangazaji najua yamekukuta pole
Hii ngoma inaweza sana
pole saana kaka mungu atakusaidi lnsha allah yataisha tuu
kazi nzur, nimeupenda huu mwimbo, kupitia uyo mtangaji anaelia. nimeuckiliza kwa umakini.
nimeelewa kwann amelia
Ujue nyimbo kama nyimbo hutokana na mazingira tunayoishi... Mmakonde kanikumbusha mbali huyu mie nimependa nyimbo za mond kitambo sana.... Utasikia eti huyu naye nyimbo zinaujumbe gani.... Mie huwajibu tu ukijua kupenda au nn maana ya kupenda na ukatendwa nyimbo za diamond utazijua tuu zina ujumbe upi wa kuliza au kubembeleza... Sasa huyu Dogo naye anatambaa mule mule... Pole sana mmakonde utakuwa umeguswa kiaina ila yote maisha... Hongera sana Dogo kwa kutoa hisia ya mtu kutumia kuimba.... Mashairi yamesimama na sauti kinanda.... Continue....
dogo unatisha sauti niyilele kwenye wimbo ,nilipo achana nademu wangu nilizmia kusikia huu wimbo,nilipomtumia hii wimbo ilimubidi anywe sumu ili mungu ngamjalia uzima.
lava endelea kufanya kazi na wcb ili uwe nawatu wenye wanajuwa kufanya kazi.
Kweli??
wooow mashallah uko powa bro yangu yani ajab
?
Nakupenda sana lava lava ndugu yangu ipo siku titakutana kwetu kuvuka maji
lavalava kwangu nambari moja toka kenya 254hongera
Daaaah weacha tu makonde sio pekeake at a Mimi lava respect pambana utafika mbali inaniumiza sana hiyo nyimbo
nice song
kwel wcb kuna waimbaji
👏👏👏
i appricate to u all
salute👮👆👆👆
woie hahahaaaaa pole mtangazaji .....mpendapenda uko vizuri kabisa
😂😂😂😂😂😂Huu mchezo wa mapenzi haukuwai kumuacha mtangazaji salama 😂😂daaah unalia kiasi icho .....kweli yashakupata
sarahlitho Queen mmmmm
sarahlitho Queen
Great song kwa kweli inagusa kila MTU wa umri wowote big up DOGO
ngoma kaliii imepenyaaaaaaaa
kweli nyimbo nizuri sana Kama himeingia kwenye moyo wamwezako lazima uliye usimwabiye mwezako anayeliya nipumbavu siyokila mtu ana yeliya kunasabab zakufanya my aliye labda na yeye ameshawahi kupitia so unampa pole siyokumtusi ♥♥♥ I love music very good
mtangazaji vepeeee? hhaaaaaaa pole sana bro labda yamekukuta
Hakuna mtu ambae hajaumizwa kimapenzi hapa duniani.
daaaaah uyuuu mmakondeee jmn khaaa kashndwa kujizuia bt kawakilsha kondez wotee😊😊😊😊😊😊😊😊
Ujumbe huu upo ktk Hanoi hongera sana lavalava mungu akupeitaji LA moyo wako
hiyo nyimbo noma sana ikukute umetokw kubwaga unawez omb dunia ipasuke
Kitakacho kubeba kaka nje ya kpaj chako n nidham salute kwako utafka mbal
Hahaha yan cjawah kucheka hvi...ngoma kalii 😆
Nani anawatch 2020.. lava lava akiwa wcb. Lavalava tunakupenda sana. Saaaannaaaaa... you are doing well
kwa mtu asiyejua hisia za kweli ni vgumu sana kumuelewa huyu Mmakonde, lakin iunderstand him, yupo real
kaka,,,nakuamin sana,,,nakutakia kila jema,,,Unajua sana bro,,wimbo wako mzuri sana,,, nzowa hapa
Dah😭I'm in tears tooo..! That nigga made me to....! All in all be blessed
Kwakweli huwa sina tabia ya kutoa comments kwenye interview kama hizi lakini kwa huyu msani,imenilazimu tu niandike.
Lavalava hongera sana, nimeikubali kazi yako yaani hadi nimeona kwamba ulivyoimba hapa ni bora zaidi kuliko kwenye video yako licha ya ukweli kwamba kwenye video huwa tayari kuna mixing ishafanyika tayari.
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭☹️☹️😭☹️😭😭😭😭 hii wimbo bwana ata my mom she's crying when she heard it 😭😭😭😍😍😍😍😍😍😍😭👏👏👏👏👏👏
Rizo babe😌😌😭😭pole kwa mama
Rizo babe 😭😭😭😭
Rizo babe niambie unaikubalia au at
Rizo babe mama ako ana umri gan?
yani huyo mtangazaiji nikomendi ananipa raha Sana jamani
Mwamba analia kwa hisia sana goma limemgusa penye kidonda 🔥🔥🔥
kkkkkkkkkkkkkkkk mtangazaji ananivunja mbavu jamani hahahahahah yaitwa mapenzi
Pendo Shamsa .
Kwa kweli iko good good ndio maana hata kiba alikubali na kuipenda lava lava nakukubali sana tena sana
bro keep Going n kila la heri na fanaka maishani
naipenda sana hii nyimbo mdundo maneno iko poa sanaa keep it's up bro
huyo nyumbani kwake kuna matatizo duuh pole sana
mm nimehamua kutafuta pesa tu siyo mapenzi
Najib Fatma ksbisaa
Mtangazaji poleee so kwakutendwa huko had lavalava kakumbushaa
Naitwa mfalme abuu majata,dah lava lava hyo nyimbo iko pw sana yan imenitonesha kidonda changu.
Huu wimbo ndo ulinifanya nikupende lavalava u hve a piece of heart tho
We ni moto bro 🔥
Daah...kwakwel ndugu yangu Lavalava wew ni mwalimu wa wasanii yaan hii nyimbo na nyimbo zako zote aisee ni za hali ya juu na wewe una kipaji na unajua ndivyo ulivyo. unachokifanya kipo moyoni mwako pia una discipline sana maana nmekuangalia sana you tube katika interview zako na majibu yako ndio haswaaaa yanayotakiwa hutukwazi pia. hii ni comment yangu ya kwanza tangia nmezaliwa hapa you tube. Mungu akujaalie Lavalava.
lava lava aiseeee nisiwe mnafki napenda xana mxaniii anae imba live like u rich rayvany dah nouma
Naitwa Rashboy dah ni hatari lala nataka kuimba nae mamba xangu hxo apo 0654060800
hahhhhaaa huyo mtangazaji kanipa raha kweli😁😁😁😁😁😁
daaa Pole sana
Deby Masery
maskin jmn mtangazaji imemgusa pole sana kkang
Lava utafanya vizuri ktk live performance maana hiyo vocal ni superb, born to sing
daaaaah mtangazaji kaliya na na lia hhhhhhh
Daaa mtangazaji noma higihihigiiii hahahahaaaa jamani kali
inaliza kwakweli.....nyimbo iko juu ajab
Salma Mohamed atar yan duuh
inalillah waina illaih rajioun ikisomwa Qur'an MTU hata chozi hatoi ya Allah
kaka Abdul Ramadhan. umenikosha kwa kweli sijawah ona comment ya maana kaa' hii
saaffii kaka anguu kwelii
Abdul Ramadhan inasikitisha kwa kweli
safi sana imeningusa sana
+Halima Halima.eti dada imekugusa hii clip au Comment ya huyu kaka ?!
òòò
Hii nyimbo isikupate wakati umetoka kuachana na dem wako ambaye ulikuwa wampenda kwa moyo wako wote.
Mlash Chusa real wallahi mbona kama imelenga ivi lazima utalia Tu wallahi
Mlash Chusa ilinipata braza. tumebreak up leo , lavalava ana release song kesho. get what i mean ?
mlash Chusa hivyo pia sisi madem yaani ukishatemwa ndio hivyo
Champ Ahmed Umeona nikama amekuona 😂😂😂😂😂 pole ndo maisha hayooo
yan acha kabisa
Hahaha mtangazaji unanifurahisha
Naitwa shy motta watanzia na wakenya mm baada ya lavalava m ndo nae fuatia 😰😰
CHATU TV hahahaaa aya bhana
CHATU TV nimetuma ombi langu
Ombi gan my
Nimependa huyu comedian. Nitafutie shandy
Ila mpenzi io so comedi ni station ya radio
woow very very nice song big up saana lavalava
Nyimbo inaleta huzuni kwel achen tuu mmakonde alie labda yamemkuta kiukwel lavalava anaimba kwahisia sana ongera brother
hiii nyimbo jmn duuuu😥😥😥😥😥😥
Am tz Whow listening 2022 lava lava ❤big bro UMEMLIZA mmakonde😅😅 BORA TUACHANE 😭😭😭💯
Mtangazaji ana matatizo ya mapenzi
Mapenzi Hayajawahi Kumwacha Mtu Salama
Wabogojo Ford ni kweli
Wabogojo Ford nakuunga mkono maneno yako
😂😂😂😂😂
love feelings will not totally be perished simply bcoz love is flower DAT grow wthn a person to someone .,.. daaaa choz mzee bb hataree
pole sana ndug mtangazaji
hii nyimbo inaliza kwa kweli huyo mmakonde analia kwa hisia Hadi kaniliza haki ,,
Mambo
Togora haliyo?
Yan ww acha tuu
DAAH! MMAKONDE KANILIZA...NIMEMUONEA HURUMA
Mungu akuongozee kaka anguu nkupend buree unamkumbuka allah
tobaaa! jamani analia kwa uchungu kabisa
Ni tourching ukweli 254 🇰🇪 love!
Mtangazaj inaonekana kidonda chako bado kibich,mapenz hayana adabu bab
Baraka Jpilly hahaaa...umenichekesha sana eti mapenzi hapana adabu hahahaaa... niokote chini pu!!!
kwel immaculate we mwenyewe c unaelewa yalvo au bado hayakuadabisha?
Baraka Jpilly hapo umegonga ndipo mwenzangu.Mapenzi yameniadabisha mara nyingi hadi adabu ninayo mkononi
hii ngoma mm naikuba sana ina message moja nzito sana kwenye mapenzi GOOD JOB
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂lakini huyo comedian ana mambo🙌🙌🙌🙌😂😂😂
Ebwana noma sana aman sana unaweza sana mtu wangu blessed
ohh my ..nakubali hii song. .just bring more better then this
😂😂😂😂😂😂makonde aliachwa siku zakaribun inawezekana sema nn nimara yakwanza kumsikia makonde jamaaa anauwezo
Lee Martin 😂😂😂😂maskin amelia sana
Huyu alishatendwa itakuwa maan MTU mzima akitoa choz ujue kuna kitu pole
Oyeh oyeh njuguna from Kenya 😂😂
lava lava ni mwisho mzee big up mkuu I can see kitu kikubwa in you boss
Tz vipaji vipo nimekapenda ka wimbo you soud good nimeupe mstari unao sema "wanini mshikaki nitatafuta boda yangu"
😁😁😁 nimecheka san mwisho wasiku nikamuonea huruma kuona analia anamaanisha Analia nn
😂😂😂😂woooiii uyu mtangazaji ngai wakwa ...Labda ashaaumizwa kimapenzi akiii..haram
Sheilah Baby 😂😂😂😂😂 wooi
mashalla mtoto sauti hiyo unatuliza tumetendwa sana lavalava jamani
hahaaaaaaaaaaaa.nimecheka
namkubali kinyama,Iam sister lavalava
Nakufeel kaka mtangazaji. Mwenyewe ninayo sehemu ya kipekee ndani ya moyo wangu kwa ajili ya huu wimbo...#tuachane
Aky mapenzi kwanza ya bongo huwa haichi mtu salama
pole sana dogo madem watakumalizia chooni
mapenz kweli ovyo 😂😂😂😂😂 pole kaka najua umekumbka past BT worry
HHahahhahhaa nimecheka kwanguvu wallahi
Mm mwenyew maneno yamenichoma yote mvurugano wa mapenz
mapenz yanatesa sana wazee jama inawezea katendwa nao u wimbo unachoma sana
Mapenzi ni Nyoooko thana aiseeee.Nimelia thana enz hizo .Mungu mkubwa nw nadekezwa
Uyo alichapwa tukia ndugu mtangazaji😁😁😁😁
ongera iko wazi bila backvocal unaweza
Tanzania Christ Brown Lava lava
Mapenzi yatamuacha mtu salama kweli?😂😂😂😂
kilio mliza nn huyu mtangazaji sio mzima hahahhah
Umm Ali
ashatedwa wacheza na kuumizwa na mapenzi yaumiza mimi mwenyewe ilipotoka nililia
Ulikosea sana kutoweka hiyo mistari.kwa nini haukuiweka kwenye wimbo?ila poa hata hivyo bado huu wimbo ni fire 💟