Lavalava alivyomtoa machozi mtangaziji wa redio U-fm

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июн 2017

Комментарии • 698

  • @zubeydahseif129
    @zubeydahseif129 7 лет назад +9

    Jamani me binafsi kuanzia leo ni team lava lava amna kiba amna nani lava lava nimekukubali sijawah kubal msanii yoyote bongo zaid ya diamond sasa leo umemngoa kiti kaa baba mablessing nakupa utafanikiwa sana sana in shah allah na mwezi huu mtukufu.

  • @safiyasafiya1522
    @safiyasafiya1522 6 лет назад +4

    Asante lavalava hira kaka pole hii nyimbo aijamuacha mtyu salama kwakweli

  • @agsags4209
    @agsags4209 2 года назад +1

    Anae msikiliza lava lava ! Your voice kills my brother love 💖💖 from Lubumbashi DRC

  • @victormwakandana3143
    @victormwakandana3143 6 лет назад +7

    This's why Bongo music is on another level, the lyrics always have a true and touching story and this is just one of the best productions by WCB. CEO DP is currently the best in the world, nurturing talent and bringing great teamwork and making money too. Tudd Thomas naye hatubwagi naminyambuliko....Lava lava kama alivyosema, nangoja kuona kipaji

  • @silvanusokumu8256
    @silvanusokumu8256 7 лет назад +10

    I hope this boy makes it. He seems like a good person and I Love the song...
    Kwa kweli waafrika tunastahili tuzidi kuungana na kuinuana.. mimi nliupenda sana wimbo wake

  • @usherfaheem545
    @usherfaheem545 7 лет назад +21

    huu wimbo huacheni tu, yakikufika utaelewaa tu manaake ukiongea sna utaonekana mnafki Mara ooh team WCB

  • @victordeekenya3539
    @victordeekenya3539 Год назад +1

    Wow,.. Lavalava kweli anakipaji. The way he is coming up with a song is amazing 🔥 🔥 👏

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia4140 7 лет назад +4

    Very toacheble song. Big up.👍 Lava Lava from WCB.

  • @edmondjr17
    @edmondjr17 6 лет назад +4

    huyu mtangazaji kalia na sheria kabisa hata na Mimi nyimbo imenifika kbs big up lavalava

  • @officialbennyflavour4006
    @officialbennyflavour4006 6 лет назад +4

    Big up sana Lava Lava hii hata mimi nimelia kwa 7bu umeimba uhalisia wa life linavyo songa @iamlavalava big up bro

  • @ss-pl6yo
    @ss-pl6yo 5 лет назад +1

    Lalva lava wamuliza mwenzako jamani nyimbo Kali Sana hasakama umetendwa walia

  • @essiedavid9760
    @essiedavid9760 7 лет назад +18

    jamaniiii hicho kilio it's like a drama lol,,mapenzi yanauma dah😂😂😂

  • @basharimilar5297
    @basharimilar5297 6 лет назад +14

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Dah pole mtangazaji najua yamekukuta pole

  • @ashazaharan1750
    @ashazaharan1750 6 лет назад +1

    pole saana kaka mungu atakusaidi lnsha allah yataisha tuu

  • @annahockson1427
    @annahockson1427 6 лет назад +2

    kazi nzur, nimeupenda huu mwimbo, kupitia uyo mtangaji anaelia. nimeuckiliza kwa umakini.
    nimeelewa kwann amelia

  • @halimambwego8287
    @halimambwego8287 7 лет назад +3

    Ujue nyimbo kama nyimbo hutokana na mazingira tunayoishi... Mmakonde kanikumbusha mbali huyu mie nimependa nyimbo za mond kitambo sana.... Utasikia eti huyu naye nyimbo zinaujumbe gani.... Mie huwajibu tu ukijua kupenda au nn maana ya kupenda na ukatendwa nyimbo za diamond utazijua tuu zina ujumbe upi wa kuliza au kubembeleza... Sasa huyu Dogo naye anatambaa mule mule... Pole sana mmakonde utakuwa umeguswa kiaina ila yote maisha... Hongera sana Dogo kwa kutoa hisia ya mtu kutumia kuimba.... Mashairi yamesimama na sauti kinanda.... Continue....

  • @boscow9380
    @boscow9380 6 лет назад +4

    dogo unatisha sauti niyilele kwenye wimbo ,nilipo achana nademu wangu nilizmia kusikia huu wimbo,nilipomtumia hii wimbo ilimubidi anywe sumu ili mungu ngamjalia uzima.
    lava endelea kufanya kazi na wcb ili uwe nawatu wenye wanajuwa kufanya kazi.

  • @mariamsaidi896
    @mariamsaidi896 6 лет назад +5

    wooow mashallah uko powa bro yangu yani ajab

  • @dazuuhmd819
    @dazuuhmd819 6 лет назад +1

    Nakupenda sana lava lava ndugu yangu ipo siku titakutana kwetu kuvuka maji

  • @assesorjoeofficial9704
    @assesorjoeofficial9704 6 лет назад +6

    lavalava kwangu nambari moja toka kenya 254hongera

  • @abuumkuruma5255
    @abuumkuruma5255 7 лет назад

    Daaaah weacha tu makonde sio pekeake at a Mimi lava respect pambana utafika mbali inaniumiza sana hiyo nyimbo

  • @official_msororo_liker_tz3793
    @official_msororo_liker_tz3793 7 лет назад +1

    nice song
    kwel wcb kuna waimbaji
    👏👏👏
    i appricate to u all
    salute👮👆👆👆

  • @mercydoreenachieng5719
    @mercydoreenachieng5719 7 лет назад +3

    woie hahahaaaaa pole mtangazaji .....mpendapenda uko vizuri kabisa

  • @sarahlithoqueen495
    @sarahlithoqueen495 7 лет назад +20

    😂😂😂😂😂😂Huu mchezo wa mapenzi haukuwai kumuacha mtangazaji salama 😂😂daaah unalia kiasi icho .....kweli yashakupata

  • @shununamtoni9145
    @shununamtoni9145 6 лет назад

    Great song kwa kweli inagusa kila MTU wa umri wowote big up DOGO

  • @chusematheo5893
    @chusematheo5893 7 лет назад +14

    ngoma kaliii imepenyaaaaaaaa

  • @shaonaomary5398
    @shaonaomary5398 7 лет назад

    kweli nyimbo nizuri sana Kama himeingia kwenye moyo wamwezako lazima uliye usimwabiye mwezako anayeliya nipumbavu siyokila mtu ana yeliya kunasabab zakufanya my aliye labda na yeye ameshawahi kupitia so unampa pole siyokumtusi ♥♥♥ I love music very good

  • @maxnzarombi5972
    @maxnzarombi5972 7 лет назад +13

    mtangazaji vepeeee? hhaaaaaaa pole sana bro labda yamekukuta

    • @epasinda9980
      @epasinda9980 6 лет назад

      Hakuna mtu ambae hajaumizwa kimapenzi hapa duniani.

  • @jamesjwasai1107
    @jamesjwasai1107 6 лет назад +4

    daaaaah uyuuu mmakondeee jmn khaaa kashndwa kujizuia bt kawakilsha kondez wotee😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @tricenaftaly3153
    @tricenaftaly3153 5 лет назад

    Ujumbe huu upo ktk Hanoi hongera sana lavalava mungu akupeitaji LA moyo wako

  • @magrethkomba5125
    @magrethkomba5125 7 лет назад +4

    hiyo nyimbo noma sana ikukute umetokw kubwaga unawez omb dunia ipasuke

  • @ibrahimmatage4021
    @ibrahimmatage4021 6 лет назад +2

    Kitakacho kubeba kaka nje ya kpaj chako n nidham salute kwako utafka mbal

  • @kingdyzo4516
    @kingdyzo4516 6 лет назад +1

    Hahaha yan cjawah kucheka hvi...ngoma kalii 😆

  • @hudamohamhed4897
    @hudamohamhed4897 3 года назад

    Nani anawatch 2020.. lava lava akiwa wcb. Lavalava tunakupenda sana. Saaaannaaaaa... you are doing well

  • @jemedary6271
    @jemedary6271 6 лет назад +11

    kwa mtu asiyejua hisia za kweli ni vgumu sana kumuelewa huyu Mmakonde, lakin iunderstand him, yupo real

  • @martinlucas7875
    @martinlucas7875 7 лет назад +1

    kaka,,,nakuamin sana,,,nakutakia kila jema,,,Unajua sana bro,,wimbo wako mzuri sana,,, nzowa hapa

  • @maryshancy8035
    @maryshancy8035 7 лет назад +7

    Dah😭I'm in tears tooo..! That nigga made me to....! All in all be blessed

  • @paulomizingo1971
    @paulomizingo1971 7 лет назад +1

    Kwakweli huwa sina tabia ya kutoa comments kwenye interview kama hizi lakini kwa huyu msani,imenilazimu tu niandike.
    Lavalava hongera sana, nimeikubali kazi yako yaani hadi nimeona kwamba ulivyoimba hapa ni bora zaidi kuliko kwenye video yako licha ya ukweli kwamba kwenye video huwa tayari kuna mixing ishafanyika tayari.

  • @rizobabe2082
    @rizobabe2082 7 лет назад +20

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭☹️☹️😭☹️😭😭😭😭 hii wimbo bwana ata my mom she's crying when she heard it 😭😭😭😍😍😍😍😍😍😍😭👏👏👏👏👏👏

  • @amirikishoma1312
    @amirikishoma1312 3 года назад

    Mwamba analia kwa hisia sana goma limemgusa penye kidonda 🔥🔥🔥

  • @pendoshamsa9508
    @pendoshamsa9508 7 лет назад +8

    kkkkkkkkkkkkkkkk mtangazaji ananivunja mbavu jamani hahahahahah yaitwa mapenzi

  • @habibakirungikirungihabiba9407
    @habibakirungikirungihabiba9407 4 года назад

    Kwa kweli iko good good ndio maana hata kiba alikubali na kuipenda lava lava nakukubali sana tena sana

  • @ledidii848
    @ledidii848 7 лет назад +5

    bro keep Going n kila la heri na fanaka maishani

  • @rahmaabdulrahmaabdul1781
    @rahmaabdulrahmaabdul1781 7 лет назад

    naipenda sana hii nyimbo mdundo maneno iko poa sanaa keep it's up bro

  • @najibfatma5476
    @najibfatma5476 7 лет назад +10

    huyo nyumbani kwake kuna matatizo duuh pole sana

  • @pendotemu6685
    @pendotemu6685 6 лет назад +1

    Mtangazaji poleee so kwakutendwa huko had lavalava kakumbushaa

  • @abubakarmajata6714
    @abubakarmajata6714 6 лет назад

    Naitwa mfalme abuu majata,dah lava lava hyo nyimbo iko pw sana yan imenitonesha kidonda changu.

  • @mamuuwangu1792
    @mamuuwangu1792 6 лет назад +2

    Huu wimbo ndo ulinifanya nikupende lavalava u hve a piece of heart tho

  • @anuzajmastour6406
    @anuzajmastour6406 7 лет назад +3

    We ni moto bro 🔥

  • @nassirmohamed8666
    @nassirmohamed8666 6 лет назад

    Daah...kwakwel ndugu yangu Lavalava wew ni mwalimu wa wasanii yaan hii nyimbo na nyimbo zako zote aisee ni za hali ya juu na wewe una kipaji na unajua ndivyo ulivyo. unachokifanya kipo moyoni mwako pia una discipline sana maana nmekuangalia sana you tube katika interview zako na majibu yako ndio haswaaaa yanayotakiwa hutukwazi pia. hii ni comment yangu ya kwanza tangia nmezaliwa hapa you tube. Mungu akujaalie Lavalava.

  • @ibrajoel798
    @ibrajoel798 7 лет назад +18

    lava lava aiseeee nisiwe mnafki napenda xana mxaniii anae imba live like u rich rayvany dah nouma

    • @martinmayagila1118
      @martinmayagila1118 6 лет назад

      Naitwa Rashboy dah ni hatari lala nataka kuimba nae mamba xangu hxo apo 0654060800

  • @debymasery4007
    @debymasery4007 6 лет назад +3

    hahhhhaaa huyo mtangazaji kanipa raha kweli😁😁😁😁😁😁

  • @zuuniece6635
    @zuuniece6635 7 лет назад +1

    maskin jmn mtangazaji imemgusa pole sana kkang

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 7 лет назад

    Lava utafanya vizuri ktk live performance maana hiyo vocal ni superb, born to sing

  • @allyhassan3580
    @allyhassan3580 7 лет назад +10

    daaaaah mtangazaji kaliya na na lia hhhhhhh

    • @fatmahharon41
      @fatmahharon41 6 лет назад

      Daaa mtangazaji noma higihihigiiii hahahahaaaa jamani kali

  • @salmamohamed8281
    @salmamohamed8281 7 лет назад +4

    inaliza kwakweli.....nyimbo iko juu ajab

  • @abdulramadhan9928
    @abdulramadhan9928 7 лет назад +89

    inalillah waina illaih rajioun ikisomwa Qur'an MTU hata chozi hatoi ya Allah

  • @andrewmlamba
    @andrewmlamba 7 лет назад +62

    Hii nyimbo isikupate wakati umetoka kuachana na dem wako ambaye ulikuwa wampenda kwa moyo wako wote.

    • @salmazena1932
      @salmazena1932 7 лет назад +3

      Mlash Chusa real wallahi mbona kama imelenga ivi lazima utalia Tu wallahi

    • @suthnr3igns992
      @suthnr3igns992 7 лет назад +3

      Mlash Chusa ilinipata braza. tumebreak up leo , lavalava ana release song kesho. get what i mean ?

    • @lizmellissa7954
      @lizmellissa7954 7 лет назад +9

      mlash Chusa hivyo pia sisi madem yaani ukishatemwa ndio hivyo

    • @bettylozie9038
      @bettylozie9038 7 лет назад +2

      Champ Ahmed Umeona nikama amekuona 😂😂😂😂😂 pole ndo maisha hayooo

    • @irenemayala4020
      @irenemayala4020 7 лет назад

      yan acha kabisa

  • @eliuthamangula1791
    @eliuthamangula1791 6 лет назад +3

    Hahaha mtangazaji unanifurahisha

  • @shymotta5132
    @shymotta5132 7 лет назад +20

    Naitwa shy motta watanzia na wakenya mm baada ya lavalava m ndo nae fuatia 😰😰

    • @shadiaali1394
      @shadiaali1394 7 лет назад +1

      CHATU TV hahahaaa aya bhana

    • @nurloy510
      @nurloy510 7 лет назад

      CHATU TV nimetuma ombi langu

    • @shadiaali1394
      @shadiaali1394 7 лет назад

      Ombi gan my

    • @nurloy510
      @nurloy510 7 лет назад +1

      Nimependa huyu comedian. Nitafutie shandy

    • @shadiaali1394
      @shadiaali1394 7 лет назад

      Ila mpenzi io so comedi ni station ya radio

  • @claudineangel2283
    @claudineangel2283 6 лет назад

    woow very very nice song big up saana lavalava

  • @mariamallyahmadi5895
    @mariamallyahmadi5895 4 года назад

    Nyimbo inaleta huzuni kwel achen tuu mmakonde alie labda yamemkuta kiukwel lavalava anaimba kwahisia sana ongera brother

  • @laylarashid4899
    @laylarashid4899 6 лет назад +5

    hiii nyimbo jmn duuuu😥😥😥😥😥😥

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 Год назад

    Am tz Whow listening 2022 lava lava ❤big bro UMEMLIZA mmakonde😅😅 BORA TUACHANE 😭😭😭💯

  • @thoyarashid5782
    @thoyarashid5782 6 лет назад +3

    Mtangazaji ana matatizo ya mapenzi

  • @wabogojo
    @wabogojo 7 лет назад +60

    Mapenzi Hayajawahi Kumwacha Mtu Salama

  • @mathewkusulakusula2537
    @mathewkusulakusula2537 6 лет назад +2

    love feelings will not totally be perished simply bcoz love is flower DAT grow wthn a person to someone .,.. daaaa choz mzee bb hataree

  • @aminarashid4474
    @aminarashid4474 6 лет назад +1

    pole sana ndug mtangazaji

  • @khadijawendomwachirenje3513
    @khadijawendomwachirenje3513 7 лет назад +14

    hii nyimbo inaliza kwa kweli huyo mmakonde analia kwa hisia Hadi kaniliza haki ,,

  • @salumchuma7762
    @salumchuma7762 7 лет назад +3

    DAAH! MMAKONDE KANILIZA...NIMEMUONEA HURUMA

  • @thomasjoseph1390
    @thomasjoseph1390 6 лет назад

    Mungu akuongozee kaka anguu nkupend buree unamkumbuka allah

  • @jamilajamaljj7976
    @jamilajamaljj7976 7 лет назад +7

    tobaaa! jamani analia kwa uchungu kabisa

  • @morrismurithi6669
    @morrismurithi6669 3 года назад

    Ni tourching ukweli 254 🇰🇪 love!

  • @barakajpilly6900
    @barakajpilly6900 6 лет назад +16

    Mtangazaj inaonekana kidonda chako bado kibich,mapenz hayana adabu bab

    • @immaculatecute4884
      @immaculatecute4884 6 лет назад

      Baraka Jpilly hahaaa...umenichekesha sana eti mapenzi hapana adabu hahahaaa... niokote chini pu!!!

    • @barakajpilly6900
      @barakajpilly6900 6 лет назад

      kwel immaculate we mwenyewe c unaelewa yalvo au bado hayakuadabisha?

    • @immaculatecute4884
      @immaculatecute4884 6 лет назад

      Baraka Jpilly hapo umegonga ndipo mwenzangu.Mapenzi yameniadabisha mara nyingi hadi adabu ninayo mkononi

  • @mohamedswaleh4673
    @mohamedswaleh4673 7 лет назад

    hii ngoma mm naikuba sana ina message moja nzito sana kwenye mapenzi GOOD JOB

  • @emanlovelbae0078
    @emanlovelbae0078 7 лет назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂lakini huyo comedian ana mambo🙌🙌🙌🙌😂😂😂

  • @abrahamsimba3315
    @abrahamsimba3315 5 лет назад

    Ebwana noma sana aman sana unaweza sana mtu wangu blessed

  • @emeranceheri1090
    @emeranceheri1090 7 лет назад +3

    ohh my ..nakubali hii song. .just bring more better then this

  • @leemartin1419
    @leemartin1419 6 лет назад +4

    😂😂😂😂😂😂makonde aliachwa siku zakaribun inawezekana sema nn nimara yakwanza kumsikia makonde jamaaa anauwezo

  • @fareda1847
    @fareda1847 6 лет назад +2

    Huyu alishatendwa itakuwa maan MTU mzima akitoa choz ujue kuna kitu pole

  • @iamnjugunanjuguna5231
    @iamnjugunanjuguna5231 6 лет назад +1

    Oyeh oyeh njuguna from Kenya 😂😂

  • @officialnuh7217
    @officialnuh7217 6 лет назад +1

    lava lava ni mwisho mzee big up mkuu I can see kitu kikubwa in you boss

  • @samwelelisha8044
    @samwelelisha8044 7 лет назад

    Tz vipaji vipo nimekapenda ka wimbo you soud good nimeupe mstari unao sema "wanini mshikaki nitatafuta boda yangu"

  • @vsngavb173
    @vsngavb173 6 лет назад +4

    😁😁😁 nimecheka san mwisho wasiku nikamuonea huruma kuona analia anamaanisha Analia nn

  • @sheilahbaby2347
    @sheilahbaby2347 7 лет назад +31

    😂😂😂😂woooiii uyu mtangazaji ngai wakwa ...Labda ashaaumizwa kimapenzi akiii..haram

  • @talhaahmad7793
    @talhaahmad7793 6 лет назад

    namkubali kinyama,Iam sister lavalava

  • @oscartvonline2382
    @oscartvonline2382 7 лет назад

    Nakufeel kaka mtangazaji. Mwenyewe ninayo sehemu ya kipekee ndani ya moyo wangu kwa ajili ya huu wimbo...#tuachane

  • @elisawangare3296
    @elisawangare3296 6 лет назад +5

    Aky mapenzi kwanza ya bongo huwa haichi mtu salama

  • @Manu-gi4gn
    @Manu-gi4gn 5 лет назад

    pole sana dogo madem watakumalizia chooni

  • @husnahjohnsonhusnah4945
    @husnahjohnsonhusnah4945 7 лет назад +1

    mapenz kweli ovyo 😂😂😂😂😂 pole kaka najua umekumbka past BT worry

  • @oceantv5382
    @oceantv5382 6 лет назад +2

    HHahahhahhaa nimecheka kwanguvu wallahi

  • @aishaaisha18
    @aishaaisha18 5 лет назад

    Mm mwenyew maneno yamenichoma yote mvurugano wa mapenz

  • @hemedypck6944
    @hemedypck6944 7 лет назад +5

    mapenz yanatesa sana wazee jama inawezea katendwa nao u wimbo unachoma sana

  • @angelokihaka8363
    @angelokihaka8363 3 года назад +1

    Mapenzi ni Nyoooko thana aiseeee.Nimelia thana enz hizo .Mungu mkubwa nw nadekezwa

  • @multazramazan4665
    @multazramazan4665 Год назад +1

    Uyo alichapwa tukia ndugu mtangazaji😁😁😁😁

  • @leilasam9380
    @leilasam9380 7 лет назад +3

    ongera iko wazi bila backvocal unaweza

  • @juniorborbo
    @juniorborbo 6 лет назад +3

    Tanzania Christ Brown Lava lava

  • @ziziladuchess3749
    @ziziladuchess3749 7 лет назад +2

    Mapenzi yatamuacha mtu salama kweli?😂😂😂😂

  • @ummali7942
    @ummali7942 7 лет назад +6

    kilio mliza nn huyu mtangazaji sio mzima hahahhah

    • @janejames1899
      @janejames1899 7 лет назад +1

      Umm Ali
      ashatedwa wacheza na kuumizwa na mapenzi yaumiza mimi mwenyewe ilipotoka nililia

  • @rizikinash5187
    @rizikinash5187 6 лет назад

    Ulikosea sana kutoweka hiyo mistari.kwa nini haukuiweka kwenye wimbo?ila poa hata hivyo bado huu wimbo ni fire 💟