Wakenya nawapenda Sana huwa wana uzarendo na hawabagui viongoz wa Africa nzima ukifanya vizur hata kama ni rais wa Tanzania lazima wakupe maua yako 💉✍️✍️
Mungu akulinde kamanda Ibrahim,maana watu wazuri kama wewe hawadumu kabisa,namkumbuka sana baba Magufuli,angekwepo mpaka sasa Tz ingekuwa kama Ulaya, Ibrahim mungu akulinde sana 🙏
Hongera sana ukuu wa mwafrika huyu mwamba ni zawadi tuliopewa na Mwenyezi Mungu Africa nzima twajivunia kuwa Ibrahim Traore.Endelea kuamusha wafrika wote katika lugha zote ili tuweze kukomboa bara letu teule bustani la Edeni tulilo zawadiwa na Mungu . Africa nzima tuombee muheshimiwa amri jeshi mkuu Rais wa Afrika Ibrahim Traore Mwenyezi Mungu amupe maisha marefu. Afrika nzima waeke mabango yake kwenye mabarabara ,matatu ama(daladala) wenye nguo nakadalika 🇧🇮
Nilipata nafasi kusafiri kwenda Kenya kipindi ambacho Magufuli ndio yuko moto sana katika utawala wake! Nilishuhudia hivyo hivyo hayo Matatu (Daladala) za Nairobi zina picha za Magufuli mwanzo mwisho. Kama Mtanzania nilijisikia raha na faraja isiyoelezeka. RIP MAGU!
Aksante Kwa kazi hii unayofanya Isaya, Mungu akubariki, Mungu ambariki Simba Traore na Sahel movement iunganishe Afrika yote kuwa na msimamo Mmoja wa kujikomboa 🇹🇿🇷🇼
Huyu ni kiongozi na simba wa Afrika na kama mtu anataka kuwa Kiongozi anwe kwenye kikombe kimoja na Traore na ndie Kiongozi wa kweli ndio nembo na sura ya Afrika kumekucha sasa Kenya tunampenda sana kwa mapenzi ya Mungu. 🇰🇪🇰🇪🤲🤲🤲
Sio kenya tu africa nzima anakubalika nilikata tamaa alivokufa gadafi mugabe kwame mkuluma nyerere sankara na magufuli jambo jema mungu katujali wapo hawajaisha 10:41
Mungu amlinde Mungu atuinilulie viongoze wengine kama huyo, viongozi wanaojua thamani ya watu wao na rasilimali zetu. Tunautajiri mwingi Africa ila hao manyang'au😖 wanautumia vibaya
We are proud of him... Our African leader. May God give him long life. Much❤❤❤❤ from 🇰🇪
I'm A Kenyan but soooo proud of Ibrahim, with lots of,❤❤❤❤❤❤❤
Wakenya nawapenda Sana huwa wana uzarendo na hawabagui viongoz wa Africa nzima ukifanya vizur hata kama ni rais wa Tanzania lazima wakupe maua yako 💉✍️✍️
Kabsa ata mimi naona ni raisi wangu❤❤❤❤❤#mungu tunakuomba umlinde ibrahimu
Mkuu tunampenda Simba wa afrika mungu amlinde milele amiin
Mungu with capital M
MY PRESIDENT IBRAHIM TRAORE🎉🎉 KEEP UP MUCH LOVE FROM KENYA,,MAY GOD PROTECT YOU
Traore yes ❤
Huyo Jamaa Traore anatambaa afrika nzima ❤❤❤😂😂😂
Umeleweka vyema kaka kwa ufumbuzi wako,❤Traore Ibrahim kiongozi bora Africa
Mungu amlinde na kumtunza Traore wetu
May God protect him ...much love from 🇰🇪 ❤❤❤❤❤❤
We love you man of God 💗💗💗💗🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Endelea nakutuletea hizi habari ubarikiwe ndugu , from kenya with love
Am a Kenyan 🇰🇪 bt I lve TRAORE more than.........!! I can't even explain my lve kwake ,my Lord bless you with unstoppable blssng and long life ❤❤❤❤
Mungu ampe maisha marefu awatumikie watu sote kwa jumla tunampenda kweli Ana onyesha uzalendo wa nchi yake na sio tamaa zake binafsi binafsi.
Mungu akulinde kamanda Ibrahim,maana watu wazuri kama wewe hawadumu kabisa,namkumbuka sana baba Magufuli,angekwepo mpaka sasa Tz ingekuwa kama Ulaya, Ibrahim mungu akulinde sana 🙏
Kwa kweli mm ni mama lakini mampenda sana huyu mwanangu mwamba
Tupo wengi dada. Me naambiwaga si uhamie uko. Wengine wanauliza iyo plofil picha Yako ndo mme wako😂 Yani status what's up ni Kila siku nampostigi
Shukuran sana IBM & UKUU wa MWAFIRIKA kwa kutujulisha yanayo jili dunian na ELIMU mnayotoa MUNGU AWABARIKI SANA🙏🏽. AFRIKA NI DAMU MOJA
Tunampenda ❤❤❤❤Baba yetu
Mungu alinde Traole, ingewezekana kua na rais moja barani...
Pamoja sna mkuuu TRAORE
Ibrahim you are the king all African we love so much may God protect you
Nakupenda sana brother dah Asante sana yaani unamtambulisha vizuri sana
Hongera sana ukuu wa mwafrika huyu mwamba ni zawadi tuliopewa na Mwenyezi Mungu Africa nzima twajivunia kuwa Ibrahim Traore.Endelea kuamusha wafrika wote katika lugha zote ili tuweze kukomboa bara letu teule bustani la Edeni tulilo zawadiwa na Mungu . Africa nzima tuombee muheshimiwa amri jeshi mkuu Rais wa Afrika Ibrahim Traore Mwenyezi Mungu amupe maisha marefu. Afrika nzima waeke mabango yake kwenye mabarabara ,matatu ama(daladala) wenye nguo nakadalika 🇧🇮
Nampenda sana TRAORE
God bless him and protect him
Hongera ndugu mtangazaji unaelezea vzr
Asante kwa kutujuza habari traore,respect
Ibrahim traore nampenda sana mungu akubariki atawale vyema asinje akadanganywa na walimwengu from kenya 🇰🇪 mombasa
Uyo mkaka wageli kutana namakoda tanzaniya igempitisha makoda urahisi wagechapa kazi african ❤❤🎉🎉
Kijana mwenye hanamazarau munyenyekevu anapenda waraira wake amekataa ukoroni mungu amurinde mirere amepakwa mafuta namungu
May God protect him day n night in my prayers always, God's His shield, defender n protector
Nampenda sana Ibrahim Traore my president keep it up kijana mdogo and may God bless you.
Nilipata nafasi kusafiri kwenda Kenya kipindi ambacho Magufuli ndio yuko moto sana katika utawala wake! Nilishuhudia hivyo hivyo hayo Matatu (Daladala) za Nairobi zina picha za Magufuli mwanzo mwisho.
Kama Mtanzania nilijisikia raha na faraja isiyoelezeka.
RIP MAGU!
Much respekt Captain Ibrahim Traore,,,,you deserve honour 🫡🫡🫡
Am from kenya his Excellency my president triore
Mimi nampendasana kwa uwamziwake wakujitoa kukomboa taifa ❤🎉
Viva Ibrahim 🔥🔥
Big up kamanda Traore
May God continue to protect him 🙏 much love from Kenya
Hongera sana kaka kwa uchambuzi nakufuatilia sana hata mimi asa ivi nigetamani kuzaliwa BUKINABE we acha tu ❤
Safi mwalimu 💚💚💚
Wish you life long Captain,,
Mungu akuongezee umri mrefu Simba wa Africa kenya tunakupenda ❤
🇰🇪🇰🇪we are proud of Hon Traore🥰🥰
From 🇧🇮 ata mimi na mpenda ❤❤🎉san
Mimi ni mkenya lakini Ibrahim traore ndio rahis yangu
Sio wewe tu Bali ni Afrika nzima ❤❤❤❤❤❤
Kabisa
huyo ni rais wafrica sio wa burkinafaso ...muriti wa magufuli
As a kenyan, so proud of Commander Traore ✊✊✊
I’m burkinafaso now❤i was congolaise but now ouagadougu 🇨🇩🇧🇫❤❤
Moi je veux change 🇨🇩🇧🇫
I'm Burkina Faso now😅😅😅🎉
Huyo magufuli wa pili yuko vizuri.
Huyu nizaid yamagufuri huyu had vita anaweza sio maneno tu shekhe
@ ni kweli
Simba
Simba
Ibrahim traure
My love for you Ibrahim traure bravo
Thomas Sankara juu
Ubarikiwe sana
Mungu akupe maisha marefu piga kazi isaya kwa kutuelumisha kuhs ukuu wa mwaafrica
Uyo ni Simba wa África ✊✊✊✊
TUPONAE SIMBA WETU WA AFRICAN MUNGU AMLINDE AMEEN☝️☝️☝️🤲🤲🤲♥️
Aksante Kwa kazi hii unayofanya Isaya, Mungu akubariki, Mungu ambariki Simba Traore na Sahel movement iunganishe Afrika yote kuwa na msimamo Mmoja wa kujikomboa 🇹🇿🇷🇼
MUNGU akubariki the best present of Africa
God protect our son Ibrahim Traore Amen 🙏
My favourite president I love you ❤❤❤
Mungu akubariki
Kazi nzuri
Am kenyan🇰🇪🇧🇫🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇧🇫🇧🇫🇧🇫❤️❤️❤️
Huyu ni kiongozi na simba wa Afrika
na kama mtu anataka kuwa Kiongozi anwe kwenye kikombe kimoja na Traore na ndie Kiongozi wa kweli ndio nembo na sura ya Afrika kumekucha sasa Kenya tunampenda sana kwa mapenzi ya Mungu. 🇰🇪🇰🇪🤲🤲🤲
Sio kenya tu africa nzima anakubalika nilikata tamaa alivokufa gadafi mugabe kwame mkuluma nyerere sankara na magufuli jambo jema mungu katujali wapo hawajaisha 10:41
Mungu amlinde kampten Ibrahim Traore
Rais wa afrika ❤❤❤
Hata kwenye Gari yangu nimemuweka TRAORE
Waouh 🎉.
Mimi tamchongesha kweny kikombe cha maji maman sin uwezo wa gari . Akija mgeni atamwona😂
Allah amlinde tuna mpenda sana
Very true we love traore
Mungu amlinde
Mungu atuinilulie viongoze wengine kama huyo, viongozi wanaojua thamani ya watu wao na rasilimali zetu. Tunautajiri mwingi Africa ila hao manyang'au😖 wanautumia vibaya
Ibrahim tunakupenda bure ❤❤ from Kenya
Kazi njema asanate kwakijuwa kama haya makundi hayahusiani na usilamu
Nikweli tunapenda sana❤❤❤❤
Tunakuelew sana kak
Kaka pokea hongera kutoka kenya
Huyu ni shujaa bana napenda sana Ibrahim ❤❤❤❤
Wewe jamaa Mungu akusaidie upate redio ili hata raia asiyekua na simu kubwa apate elimu hiyo safi sana
Is the king 👑 of Africa
Ibrahim traore karibu Tanzania
Kweli tunampenda sana simba wa Afrika
Kweli Ibrahim Traore ni Rais wa Afrika Nzima Watake Wasitake Ibrahim Traore Ndoa Kusema Bro
Traore , the president of Africa ❤🎉🎉🎉
Simba wa Africa. Bila shaka.
Mungu.akulinde.ibrahim.uwe.mkubwa.wa.africa.utetee.heshima.ya.africa
Traore is hero of Africa and world history
Mungu ampe maisha marefu asaitie watu
Traore 🦁 of Africa
Great leader
Hata mimi kuna siku nimepanda daladala ina picha ya Traore hapahapa Bongo
KING OF AFRICA🌍🌍🌍 CAPTAIN IBRAHIM TRAORE 👑👑👑
Wazi
Traoure ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kutoka Kenya,hapo ni ukweli.Captain Traore siku zote.🙏🏻🙏🏻
Mimi.ni.mkenya.na.ninampenda.sana.ibrahim.raisi.wa.b
Ni kweli
Wengine wana hofia uhai wao 😂😂
Binafsi yangu nampenda Sana Simba huyu wa Afrika
😂😂😂amekasirika kisa hajaalikwa Marekani kwenye kiapo ameona ajiunge tu na mwamba wa Africa👏👏🙌
Saf sana huyu kiongoz ipo siku na kwetu atapatkana🇹🇿
wow
Komera cane
Kenya tunatambua Ibrahim Traore🎉🎉🎉🎉