- Видео 1 166
- Просмотров 12 572 782
UKUU WA MWAFRIKA (IBM)
Танзания
Добавлен 31 июл 2019
CONTACT US +255 787 694 242 OR EMAIL US moseskaleba@gmail.com
KATI RWANDA NA AFRIKA KUSINI NANI ATASHINDA VITA WANAVYOANZA KUPIGANA
KATI RWANDA NA AFRIKA KUSINI NANI ATASHINDA VITA WANAVYOANZA KUPIGANA
Просмотров: 9 312
Видео
TRAORE KUTOKUJA TANZANIA KUMBE HII NDIYO SABABU MWAMBA ANASEMA WAAFRIKA MNISAMEHE
Просмотров 51 тыс.20 часов назад
Mpenzi mtazamaji wa UKUU WA MWAFRIKA & IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
RAIS WA BURUNDI AMESEMA KAGAME TUMUONDOE HARAKA ANAIHARIBU CONGO ATAKUJA BURUNDI
Просмотров 47 тыс.21 час назад
Mpenzi mtazamaji wa UKUU WA MWAFRIKA & IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
KAGAME AMEAMURU JESHI KURUDI KULINDA KIGALI JE AMEIOGOPA AFRIKA KUSINI?
Просмотров 78 тыс.2 часа назад
Mpenzi mtazamaji wa UKUU WA MWAFRIKA & IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
TRUMP RASMI SASA ANARUDISHA WAHAMIAJI HARAMU AFRIKA WATANZANIA PIA WAMO
Просмотров 7 тыс.4 часа назад
Mpenzi mtazamaji wa UKUU WA MWAFRIKA & IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
MCHINA ANAIFILISI MAREKANI DEEPSEEK IMETIKISA UCHUMI WA MAREKANI
Просмотров 6 тыс.4 часа назад
Mpenzi mtazamaji wa UKUU WA MWAFRIKA & IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
PUTIN AMEJIBU MIKWARA YA TRUMP NAKUSUBIRI BRO NITAIFANYA MAREKANI IRUDI KWENYE UMASKINI
Просмотров 8 тыс.4 часа назад
Mpenzi mtazamaji wa UKUU WA MWAFRIKA & IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
MIAMBA WAMEJITOA RASMI ECOWAS UMOJA WA MANYANG'AU SASA WAKO HURU AES
Просмотров 5 тыс.7 часов назад
Mpenzi mtazamaji wa UKUU WA MWAFRIKA & IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
TRUMP: SIWAPI PESA WAVIVU NINYI JIFUNZENI KWA TRAORE KUJITEGEMEA
Просмотров 32 тыс.7 часов назад
Mpenzi mtazamaji wa UKUU WA MWAFRIKA & IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
MWAMBA AMEUNGURUMA KINACHOENDELEA CONGO UMOJA WA AFRIKA UMENYAMAZA
Просмотров 137 тыс.7 часов назад
Mpenzi mtazamaji wa UKUU WA MWAFRIKA & IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
MAANDAMANO YA KUMUOMBA TRAORE ASIJIUDHURU BURKINA FASO.
Просмотров 14 тыс.9 часов назад
Mpenzi mtazamaji wa UKUU WA MWAFRIKA & IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
CONGO WANATEMEBEZA KICHAPO KIKALI KWA M23 VIJANA WA KAGAME
Просмотров 46 тыс.9 часов назад
Mpenzi mtazamaji wa UKUU WA MWAFRIKA & IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
VIJANA WA KAGAME M23 WANACHEZEA KICHAPO CONGO TSHISEKED AMEAMUA SASA
Просмотров 53 тыс.9 часов назад
Mpenzi mtazamaji wa UKUU WA MWAFRIKA & IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
MWAMBA TRAORE HAJAJA TANZANIA KWA SABABU ZA USALAMA
Просмотров 14 тыс.9 часов назад
Mpenzi mtazamaji wa UKUU WA MWAFRIKA & IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
TRUMP AMESEMA KWA NINI ALIMUALIKA TRAORE PEKE YAKE AFRIKA NA KUWAACHA VIONGOZI WOTE
Просмотров 153 тыс.12 часов назад
Mpenzi mtazamaji wa UKUU WA MWAFRIKA & IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
KWA NINI MWAMBA TRAORE HAJAJA TANZANIA?
Просмотров 156 тыс.12 часов назад
KWA NINI MWAMBA TRAORE HAJAJA TANZANIA?
TRAORE ALIMKATAA TRUMP AMEJENGA HOSPITAL YA KISASA
Просмотров 7 тыс.12 часов назад
TRAORE ALIMKATAA TRUMP AMEJENGA HOSPITAL YA KISASA
TRAORE AMEFUNGUA TV YA UKANDA WA SAHEL BAADA YA KUWAFUKUZA BBC NA VOA
Просмотров 9 тыс.14 часов назад
TRAORE AMEFUNGUA TV YA UKANDA WA SAHEL BAADA YA KUWAFUKUZA BBC NA VOA
PUTIN AMEMJIBU TRUMP UKICHEZA NITAANGUSHA UCHUMI WA MAREKANI
Просмотров 52 тыс.14 часов назад
PUTIN AMEMJIBU TRUMP UKICHEZA NITAANGUSHA UCHUMI WA MAREKANI
TRAORE AMEJENGA BANK KUBWA KUONDOKANA NA UKOLONI WATAWEKA PESA ZAO WENYEWE
Просмотров 16 тыс.14 часов назад
TRAORE AMEJENGA BANK KUBWA KUONDOKANA NA UKOLONI WATAWEKA PESA ZAO WENYEWE
TOGO KUJIUNGA SAHEL PIGO KUBWA KWA UFARANSA NA ECOWAS
Просмотров 11 тыс.14 часов назад
TOGO KUJIUNGA SAHEL PIGO KUBWA KWA UFARANSA NA ECOWAS
TRAORE ANAKUJA TANZANIA KARIBU SANA BONGO MWAMBA
Просмотров 75 тыс.19 часов назад
TRAORE ANAKUJA TANZANIA KARIBU SANA BONGO MWAMBA
TRUMP AMESHANGAA TRAORE KULIPA DENI LOTE LA TAIFA HUYU JAMA NI GENIUS
Просмотров 78 тыс.21 час назад
TRUMP AMESHANGAA TRAORE KULIPA DENI LOTE LA TAIFA HUYU JAMA NI GENIUS
TRUMP AMEUNGANA NA TRAORE NA MUSEVENI KUKATAA USHETANI MAREKANI
Просмотров 17 тыс.21 час назад
TRUMP AMEUNGANA NA TRAORE NA MUSEVENI KUKATAA USHETANI MAREKANI
PUTIN ANAISAIDIA MALI KUTENGENEZA KIWANDA CHA SILAHA KAMBI ZA SYRIA AMEZIHAMISHIA MALI
Просмотров 6 тыс.21 час назад
PUTIN ANAISAIDIA MALI KUTENGENEZA KIWANDA CHA SILAHA KAMBI ZA SYRIA AMEZIHAMISHIA MALI
MWAMBA KASEMA ALIENDA NA BASTOLA GHANA HAMUAMINI AKUFO NI KIBARAKA ANGETUMIKA KUMDHURU
Просмотров 16 тыс.21 час назад
MWAMBA KASEMA ALIENDA NA BASTOLA GHANA HAMUAMINI AKUFO NI KIBARAKA ANGETUMIKA KUMDHURU
BBC WAMEONYESHA JINSI MANYANG'AU WANAVYOMUOGOPA TRAORE WANAMUONA MTU HATARI KWAO
Просмотров 8 тыс.День назад
BBC WAMEONYESHA JINSI MANYANG'AU WANAVYOMUOGOPA TRAORE WANAMUONA MTU HATARI KWAO
TRAORE AMETENGENEZA MAGARI YA UMEME HAWATAHITAJI MAGARI KUTOKA NJE YA AFRIKA TENA
Просмотров 19 тыс.День назад
TRAORE AMETENGENEZA MAGARI YA UMEME HAWATAHITAJI MAGARI KUTOKA NJE YA AFRIKA TENA
BAADA YA MAJARIBIO 21 YA KUUAWA KWA TRAORE AMESEMA SIOGOPI KUFA NJOONI TUTAPAMBANA
Просмотров 19 тыс.День назад
BAADA YA MAJARIBIO 21 YA KUUAWA KWA TRAORE AMESEMA SIOGOPI KUFA NJOONI TUTAPAMBANA
TRUMP AMETIA SAINI RASMI USHOGA MARUFUKU MAREKANI NA WHO AMEITOA NI WAHUNI
Просмотров 7 тыс.День назад
TRUMP AMETIA SAINI RASMI USHOGA MARUFUKU MAREKANI NA WHO AMEITOA NI WAHUNI
Sasa mwalimu Israel Ndo inashinda au USA Ndo inashinda😅😅😅😅 Israel simatakotu yamarecani
Ndg zangu tusishabikie vita na kusema nani atashinda vita vina madhara makubwa sn kwa raia wasiokuwa na hatia na pia kiuchumi.mimi naomba wazugumze waepushe umwagaji wa damu za raia wasio na hatia.
Kagame amevamia Congo DRC. Huu ni mwanzo wa mwisho wa Kagame! Keshalikoroga!
Kusini itapigwa kwasababu Rwanda nikivulitu majeshi watakaoingia mziki sio Rwanda namabeberutu
Jamani tuanzishe Magufuli day..Mwalimu anzisha mfuko wa magufuli tuchangie tusaidiane wenyewe kwa wenyewe wazalendo..huo mfuko usaidie kunnua hata madawa tujenge mahospital ....
Mwalimu wa neno la Mungu Elimu yetu mpaka leo hii vitabu vya elimu msingi vinasema Almasi na dhambu hutengenezwa mapambo muuuuu!! Wanawake tanz wangekuwa hadi magauni ya madini maana wamechimba muda mrefu hivyo tunaiomba serikali yetu tuelimishwe madini na kazi zake mapema darasa la tatu, na kuendelea, uwekezaji, viwandani yanatumika vipi, maabara za madini toka hulu chini
Kagame anafanya genocide DRC
Amani amani amani
Wewe unatoa stori nawe uonekane kwani kunaulazima gani we kuonekana
Shida unaizungumzia Amerika kijeshi utadhani unazungumzia PANYA ROAD. Jaribu kuchungulia bajeti ya mambo ya ulinzi na usalama ya Amerika, kisha linganisha na bajeti ya hiyo Russia ndipo uzungumzie na kufananisha nguvu za hawa wawili. In nutshell, hakuna kwa sasa kuanzia Afrika hadi kwingineko anayemuweza Amerika kijeshi, mtajifurahisha kwa stori za vijiweni tu mara oooh "KIDUKU", mara PUTTIN lakini wote hao ni wachumba tu kwa Amerika linapokuja suala la kijeshi.
Ramaphotha ni mwenda bazimu hajuwi anacho kisema
Vibamba hawa
Lakini nyinyi wa tz mnajua wanyarwanda kweri? Au mnazani tuko watu wa hovyo hovyo sisi hatuezi kuchokoza mtu lakini ukituchokoza juwa kwamba tutaonana ana kwa ana, hii africa ya kusini mnayoyisema si mara ya kwanza kugombana nawo hatuwezi kuogopa tumaneno twa watu kama hao tutagombana nawo hadi mwisho
Lakini nyinyi wa tz mnajua wanyarwanda kweri? Au mnazani tuko watu wa hovyo hovyo sisi hatuezi kuchokoza mtu lakini ukituchokoza juwa kwamba tutaonana ana kwa ana, hii africa ya kusini mnayoyisema si mara ya kwanza kugombana nawo hatuwezi kuogopa tumaneno twa watu kama hao tutagombana nawo hadi mwisho
You are lying bana
Congo Africa YAKUSINI anakomolewa Apa ,ukubwa Wa NNCHI Sio m'pangilio Wa vita,Rwanda Wako lmara na MAKINI sana UWANJANI,Mtama Kagame Tunamuamini sana ki vita
Ubongo wa wakongomani na tuko tayari kugombana na africa ya kusini ikiendelea kuleta uzozo
Tz bado hatujapata kiongozi bali kuna watawala tu
Rwanda ni takataka tu haina uwezo wowote wajaribu kuitisha Tanzania waone
Kaka umechambua vzr lkn swal mbn m23 ni wachachl liki wanafanya wonders
Ndio South Africa ni ndie kubwa lakini kwenye vita inawezekana daudi kumuhangusha goliyati
Acha kagame apirwe msenge uyo kagame ameangukia chakike
Huna group l wsp
Lakini mbona mnasema sana nyinyi watanzania shida yenu uhutu umewalemea kichwani tena. Jeshi la RDF hamuwezi kujua zana zake uwezo au mengine mengi Rwanda mtakua mnaijua mkingia vitani , tena afrika kusini ijihadhari inaweza kupata hasara kubwa sana izo kilometers 4000 zinaweza kuwa 40 , nawambia mtashangaa.
Wa Afrika waelewe kwamba wanachochewa na marikani baadaye wanawatusi,hongera sana kwa mheshimiwa Traoré.
Kweli trampo kazi Uzi viongozi wetu hawana uzalendo
Nakupata vizuri mwl. Na Mungu aendelee kukulinda ili uendelee kutupa mambo mengi na mazuri.
Tunamuombea kwa muumba wake ampatie ulinzi wake mzazi mtakatifu popote pale alipo, amuongoze na kumsimamia katika majukumu yake Amina
HATUTISHWEE,, NAILEEIRAGE YENUU,, WATAPIGWAA SAAANAA
TUTAAWAAPIGAA VIKALII,, SAANAA HATAA WACHANGANEE WOTEE NANYINYI WATANZANIA,,TAPIGWAA KAMAA WAJINGAA,, NAKUKAMATAA,, VILEE VIDAA VYOTEE VITABAMBWAA
Watanzania naombeni mnijibu uyu si alikuwa Rais badae akashindwa amekuaje rais tena naombeni mniambie
Kama watu wanauliza au wewe ndie una jiuliza, basi fahamu kwamba kwa vita vyovyote vile Rwanda uwezi linganisha na S.A, iwe ki technologie iwe intelligence South Africa iko mbele na hata kwa Bagt. S.A
Walishambuliwa ni ma rais Juvenali Habyarimana pammoja na Sindyamira(sio Ndadaye)
Kama hawezi kufanya uzalishaji wa bidhaa zake mwenyewe basi hizo zote ni mbwembwe za muda tu.
Huyo kqgame anacheza na akili za S.A
Mwalimu, kumbuka A.kusini hipo pamoja na Congo na Burundi.Hendapo vita hita kuwa juwa kwamba, Congo D.R.C,na Burundi wata saidiya A.Kusini.
Jeshi kubwa la south ,mbona Goma wameshindwa waache vitisho hizo baristic Kagame anazo pia ,sema tu hiyo Vita Haina faida
Mrusi Asingojee Ampelekee Ibrahim Manuari Moja Pale.
Rwanda Wana uwezo wakupiga mbari zaidi ya km 3000 hapo utaniambia siwatamaliza miji Yao ? SEMA ote wanaweza kupata hasara , Tumwombe Mungu aepushe ghasiya hii
Utukumbusha bali sana mungu mlase sehemu pena peponi
Kaka Africa kusini warituma jeshi Kongo kupigana waridhani hawatakufa? Kutoka mpakani ,kwani Africa ya kusini wanapeana mipaka na Rwanda ? Wataogopa Nini sasa ? Sema Goma imekamatwa wanaamini hakuna mashamburizi Tena nadhani hivo Mtangazaji nakupenda kwa uchambuzi
Safi bro
Good mungu akuongeze miaka
Ulimi kitu kizuri sana mpaka kuongea na yale ambao hayana matokeo...
Kama ujui Kirundi unajuaje kile anatamka
Mujinga wewe
Wewe Wacha kudanganya Rwanda ijafanya chochote Africa kusini awezi kushambulia Kigali Rwanda wanaweza
Kagame wanamuonea Sheked ndiye mwenyeshida aishi vizuli na wananchiwake nchi imemshinda.😮
Ukweli mchungu ila ndiyo tulivyo africa
Nasisi watu wa burundi tunawapenda saaaana kuwafwatiriya saaaana