Umefanya moyo wangu uumie mpaka basi JPM alikua mtu wa watu kipenzi cha watu mtete wa wanyonge japo binadam hatujawai kukamilika kwa kila idara hila mungu ailaze roho yake mahara pema peponi🙏🏽🙏🏽😭
Hongera sana Kala, wengine wameimba nyimbo wameimba zinao kufa baada ya maomboleze lakini wewe umeimba nyimbo nzuri yenye ujumbe mzuri inayo ishi na inaweza kumfaa yeyote.
Yani ngoma hii nimeitafta sana, niliicheki mara ya kwanza Kwa Wasafi Tv. Napenda hiyo violin Kwa umbaaaali, Bars na Vina mia Kwa mia, heshima kala One Six chorus punch hatari, hizo background vocals zinazama sana. #RiPMagufuli, mziki huu utaishi. More Love from Kenya 🇰🇪
Kaka najua hii umefanya haraka , kuwahi Msiba, But this song ina hitaji Proper video ni nyimbo kubwa sana.ni nyimbo ambayo ni kama maktaba ya vizazi vijavyo. pls shot video yenye kuelezea hayp ulio yaimba. #MyFuturePresident.
Dah Bonge la Ngoma, Huyu mwamba alopiga hii chorus is Dope
One six nouma sana
One six the Best lyricalist
Bonge la chorus
One Six, umesababisha chozi langu litoke jichoni
Ila one six we Jamaa hapana brother ur Jus Killing in every Chorus bro damn
R.I.P Uncle Magu
One six, brother wewe ni hatari, Mungu azidi kukubariki
Hiyo corus hapana yan ndo imeniliza mpka kamas,R.I.P LEGEND PRESIDENT DR.JOHN JOSEPH POMBE MAFUFULI daima tutakukumbuka baba
This is the song that should be trending at number one ,good song
Hii ngoma Kali bonge la kolabo,
One 6 wewe jamaa ni fundi sana koras inaniliza sauti yako hakuna tz
R .l.P Dr john Joseph pombe magufuli pumzika baba
Twajua tutakukumbuka
Daima😭😭😭😭
Vocals za huyu kaka..waaaaah ..klaa kama kawaida umeifanyia mauaji biti
ila one six aliekuloga cjui nan mbona unajua mpaka kero ila dah! kuna m2 kashikilia nyota yako c bure bt one day yes
R.I.P Champ 🙏😥
Hv uy one six kabilagani da mwamba anajua mpka kero duuuuuu ongera broooo
One six uko vzr jmn
Mgogo
Kaka kala the best emcee mwenye alisifiwa na mama samia na anko magu
R. I. P JPM. One six umeliza kwenye corus
Jmn one six saut unatuliza mno mhhh mashair ya kala apana😭😭😭
One six asee Jamaa unajua bonge la ngoma R.I.P magu
One six ninoma Sana anaimba sana
One six mpk Amelia
One six is new king of chorus
jamn hii nyimbo n nzur one six 🙌
Nyimbo zote walizo mwimbia hayati jpm hii nyimbo ni namba moja
Hivi kweli unaenda baba ... Rest in peace jembe , jemedari vita umevipiga ..... 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Umefanya moyo wangu uumie mpaka basi JPM alikua mtu wa watu kipenzi cha watu mtete wa wanyonge japo binadam hatujawai kukamilika kwa kila idara hila mungu ailaze roho yake mahara pema peponi🙏🏽🙏🏽😭
Kama umerudia kuusikiliza zaidi ya mara kumi piga like ya nguvu hapa R I P PREZOO
@Kase Winston it song,hiindo nyimbo yakuomboreza Kwan saut sahh,amen.
RIP to our former president,
Kama mmenotice one six anakuja kwa kas sana amna kiitikio alichoznguaa
Big up kala for the collabo + one6
Dah kaka kalajelemaya huu wimbo unanitoa machozi kila napousikia
Hongera sana Kala, wengine wameimba nyimbo wameimba zinao kufa baada ya maomboleze lakini wewe umeimba nyimbo nzuri yenye ujumbe mzuri inayo ishi na inaweza kumfaa yeyote.
Ipo siku Dunia itatambua uwepo wako kala elewa ww ni zaidi ya msanii
One six by moja ya vocalist wazuri tanzania 🇹🇿
You will always be my favorite Artist,.... Rest in Paradise soldier🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
*Huyu One six ameshindikana dunia mzima kwa kutembea na chorus yaani jamaa anauwa hatari*
One 6 corus imesimama watu wanazimia uko kwa feeling za hiyo corus big up broo
One 6 atari, kala always the best
One 6 sijawain kuona anakosea mwny kiitikio uyu jamaa 🔥🔥🔥🔥
Yani ngoma hii nimeitafta sana, niliicheki mara ya kwanza Kwa Wasafi Tv.
Napenda hiyo violin Kwa umbaaaali,
Bars na Vina mia Kwa mia, heshima kala
One Six chorus punch hatari, hizo background vocals zinazama sana.
#RiPMagufuli, mziki huu utaishi.
More Love from Kenya 🇰🇪
Kaka kala hii ngoma ina ujumbe kuliko zote zilizo tangulia
Huyu ONE SIX ana roho mbaya sana, kamfanyia unyama Kala jeremiah, kamnyang'anya wimbo
🇹🇿💔🙏Rest In Peace Our President
One Six Chorus imenigusaa sana😢
Hata Mimi jamani kaimba kwa hisia kubwa sana
So much pain men!!! This song is killing us Softly ....Bonge moja la ngoma ...Rest Easy King Magu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🇿🇼🇿🇼🇿🇼🇻🇺🇻🇺🇻🇺🇩🇪🇩🇪🇩🇪🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Chorus hii usipojikaza inakutoa machozi sanaa
Good Music speaks to the soul. I like this song so much.
Wosia wako baba unanichoma adii rohoni ivi kweliiii unaenda aaaaaaaa baba unaendaaaaaa🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Jamani One six mbna kama vile ben paul....enway mr.storytaler wa bongo kazi nzuli
Dah i feel this song too damn much... Listening to it now. Touching.. r.i.p to all our loved ones..
Kaka najua hii umefanya haraka , kuwahi Msiba, But this song ina hitaji Proper video ni nyimbo kubwa sana.ni nyimbo ambayo ni kama maktaba ya vizazi vijavyo. pls shot video yenye kuelezea hayp ulio yaimba. #MyFuturePresident.
One six wewe Ni mnyama, Jeremiah tunakujua kitambo hatunashida..... Maaana kitambo madini unatema.
RIP JPM
One six, chorus killer
Vocalist @onesix. Rest easy champ
Fam
The best song of its era
killig chorus one six
R I P Magu
One six kafanya nilie duuuh #rip mguuuu
One six ,the chorus killer
Nyimbo bora ya maombolezo,heart touching 💔
#like kama imekugusa👍
Jiwe limeondoka daaaah, Rest internal easy Magufuli😔😔
Nyimbo nzuri na inauzunisha ! chorus iko vizuri sichoki kuisikiliza
Shukrani!
Rest easy Baba daima tutakukumbuka
Daah.... Basi tu kwakweli.... 🥺🥺
Kala nakuomba kitu, naomba ufanye naye tena ngoma nyingine One six mbali na hii maana uyu jamaa ni Tanzanite yetu yaan thamani ya Tanzania.
Rest in Power JPM
Like kwake one six
Daaah wimbo wa hisia hadi machozi yanatoka kwa kweli big up kala jeremaya
Damn one six, chorus zako ni 🔥🔥🔥
Dah Kala NAKUBALI KINOMA kaka
Daa One six umeimba corus kali sn
Nice kalla,,,you killed it bro
Daah one six brother umeuwaa hyoo chorus
Chorus Kubwa Sana Chorus Killer Moja Sita📌
Kilio cha msukuma to his fellow, qmamake, nafki.
Daaa gani kalla na One six hatariiii,weka like kama unawakubari hawa jamaaa
one six you good man...... umetuliza bro dah
Duh! Karajeremiah hakika unaweza kuimba
Rest In Peace Magufuli
One 6 mwanangu wa dom umeua mbaya salut jesh
Very touching brother.nakukubali sana
Nan kaskia kama mm... Sauti ya one six inaanza kufanan na ya jux kwa mbaali
Daah umetisha kinoma mpaka saivi namkumbuka sana
Bonge la chorus
Mama kashafeli huku, rip Magufur😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Kalajeremiah umeweza rest in peace JOHN POMBE MAGUFULI 🙏
1_6=Kaua kinyama alaf kinyamwezi sana
Mungu akulinde sana my brother
This is a very nice song. Well done!
One six daaa unanizidishia machozi
Wakwanza ku watch GONGA like
ameee nakukubali Sana kalajelemih
unajua kaka unnatural sana
unajua sana kaka, RIP JPM.
kala j ww unajuw nakubali sana verse zako
Endelea kupumzika kwa amani Hayati John Pombe Magufuli
One 6 Dope! Killied it. Legends!!
Creativity at its highest level 🔥🔥🔥🇰🇪
Huyu Six kwann hapewi heshima!😩😩😩
Kala & Onesix mnajua R. I. P Dkt Pombe Magufuli John
One six!! 🔥
R.I.P Magu
Ivi kweli unaendaaaaah
R.i.p #JPM 😭😭😭😭😭......... Wosia
Kala u're the living LEGEND ⚔️
Bro unajuwaa had unakeraaaah onesix
Nyimbo Kali ya maombolezo tukiacha unafiki
One six umetisha Sana brother 😘
😭😭ivi kweli unaenda
One six
Ngoma kali asanten kwa utunz wen.
Umetishaa sanaaaaa haishi laza mpaka kesho brother we ishi tu huna bayaaa
ONE SIX KING OF CHORUS
Dar. one six unajua mpaka BA's mpaka machozi
One six Nouma sana na niliplay nikusikie wewe ,hujawah niangusha one