One of my favorite rapper.. Uyu jamaa ni noma... Sio mtu wa social light lkn mtu aki mchana nayeye anamjibu na maisha ya naendelea na hii reply yake ni kali sana kati ya zote zilizo toka... Ni maoni yangu tu.. Hii sasa ndio hip hop ninayoipenda personally.. Big shout out to young killer
Umemsahau Chid Benz amepigwa Dongo. Ila inatosha tusiendelee kumjibu tutampa kichwa aone kuwa amefanya watu waingie studio japo yeye alichukua muda mrefu kuandika hiyo diss yake mpk nguo akatengeneza na video katoa alafu akasema Tz tumjibu ndani ya masaa 24 na watu wamejibu ndio ajue kuwa tupo na mistari kichwani sio yeye aliyeandaa kisha akasema anatoa masaa 24
Huyu Omolo mpaka aeleze ni nani alimtuma aisee we are not Nigerian alivyo kawava tulimsaidia sana kumpa tag sio Kwasababu mkali sana no ila ilituingia tu ni mu East Africa mwenzetu ila saa tunakwenda kuzika 🔥🔥🔥🔥
Mimi ni mkenya but bongo hip hop kenya hawataweza, Roma mwenyewe akimjibu khaligraph atajinyonga,kenya tunajisifu na khali,hana shairi rap tu,kizungu enda ulaya fanya na rickross tukutambue wacha kujificha EA
Khali yuadhani kizungu ndo kujua ku rap, his so shallow .umeskia creativity hapo . A good hip hop arstist is not to be ditected what is going to say , that's what bongo hip hop artist are capable of . Msodokiii !!!
The problem with Tz's rappers don't understand that Khali was just sending a wake up call to Bongo Flava music to b revived. Sadly you guys have taken it personally and emotionally! 😂 That wasn't even a disstruck from Khali. What if Khali release a diss? Si mtaacha shughuli mkaomboleze. 😂 Hamna chuki Tz we love you guyz! 😂
Amejipendekeza tu baadae lakini interview ya wali khali aliongea mbovu kuhusu tz ( the whole music industry) acheni madharau mazee, hakuja kistaarabu, AACHE KUTAFUTA AMANI WAKATI WA VITA
Sns tusaidie kwmwambia dizasta tunajua hatotoa diss kwenda kwa khali sababu hajatajwa ila tanzania 🇹🇿 imetajwa tuna subiri diss track ya tanzania kwenda kenya kutoka kwa dizasta vina
Mi bimafsi simchukii Khali ila naona nikama mistali imemuishia akaamua atafute kiki kwa wabongo ila angechezea hao wado na sio Roma na Stamina Rostam maana hawa wakiliamsha sidhani kama mishale yao ataiepuka bora wamuuie radhi mchizi hajielewi. Kwanza mziki wa Kenya ndo haupo na haueleweki, kwa hiyo sasa ajipange la sivyo moto wa Rostam ukimpata itakula kwake yangu ni hayo tu.
One of my favorite rapper.. Uyu jamaa ni noma... Sio mtu wa social light lkn mtu aki mchana nayeye anamjibu na maisha ya naendelea na hii reply yake ni kali sana kati ya zote zilizo toka... Ni maoni yangu tu.. Hii sasa ndio hip hop ninayoipenda personally.. Big shout out to young killer
Kweli kabisaa
Msukuma mjanja😁🇹🇿..hakuna mbuzi akagoma kuchinjwa na young killer muuza supu 😋😋
Huyu dogo nilishamkubali pamoja na nikimbishi
yani katika rappers walioreply na dis track aliekill ni Motra the future aisee hawa wengine bado sana
Wote wataimba hapa bongo ila namngojea chidi benzi
Chid benz hawezi kufanya ivyo, wadogo zake wapo wanamtosha 😂😂😂
😂😂😂 huyo akufa na pressure maana anahasira mjuba yule😁😁
Co kweli Kali aliwai kulitwq na dj d ommy
Wakaz n ndeziiiiiiiiiiiii
Natamani kumsikia nikki mbishi au p mawenge wakimwadabisha khali
Wakazi hana mziki
Mbona hii umeichambua kisela sana! Kwamba humo ndani katamba tu. Ok
Sky anazingua
tafuta ya motraaa kauwa kuliko woteeee mzeee
Naomba mnipe link ya wimbo 1 tu ya wakazi, sijawai kumsikia 🥸
Hakuna mbuzi akagoma kuchinjwa na Young killer 😁😁..og kafia kwa muuza supu😂😂
Wakazi hana kazi ya mziki..... Majungu tu. Bora akachimbe chumvi Uvinza 😂😂
Umemsahau Chid Benz amepigwa Dongo. Ila inatosha tusiendelee kumjibu tutampa kichwa aone kuwa amefanya watu waingie studio japo yeye alichukua muda mrefu kuandika hiyo diss yake mpk nguo akatengeneza na video katoa alafu akasema Tz tumjibu ndani ya masaa 24 na watu wamejibu ndio ajue kuwa tupo na mistari kichwani sio yeye aliyeandaa kisha akasema anatoa masaa 24
Huyu ni og si rapper tu upooo😅
@@yasminoluoch169 OG kwenu huku TZ huyo ni mwanafunzi wetu tu
Young killer umeuwa yani wewe katika hip hop ni young legendary
@@nasibuahmedy2438 Niambie Tanzania Nani ako na award ya best rapper in Africa hapa Karibuni.Wabongo mwapiga mdomo sana.
@@yasminoluoch169Ni duplicate kwa Wabongo OG uko kwenu!!! blessed
Katika yeye na nikkimbishi nani alikua wa kwanza kumleta Papa Jones?
We killer chunga usikanyage waya
ruclips.net/video/PLdJbureboI/видео.htmlsi=4rYIT1dhEGnMbFbS
*RAPPER CHIBO DEE APEANA ONYO KWA TANZANIAN RAPPERS*
Hawamuwezi wa kaushe tu mwamba kaongea ukweli
Wakazi ni noxyyyyyyyy
Huyu Omolo mpaka aeleze ni nani alimtuma aisee we are not Nigerian alivyo kawava tulimsaidia sana kumpa tag sio Kwasababu mkali sana no ila ilituingia tu ni mu East Africa mwenzetu ila saa tunakwenda kuzika 🔥🔥🔥🔥
Wakazi hana kitu chakujib, hana kabxa huyo Wakazi ni blogger tu
Hii umeichambua kisela sana mkuu
Young Killer na Rosa Ree wametisha.
Natamani niskie Rostam inajibu.
Hawa majamaa wako emotional...but anyway khaligraph Baba Yao...
Ila tuseme ukweli OG ameamsha ma rapp cs kwahiv kinacho zungumziwa sana nihii miraruo
Sasa kaamsha vipi wakati hao walio amka ni wame mjibu tu yeye au ndio kuamka kwenyewe huko?
Kumbe anatuchokoza akijua anatuweza☺️.. sasa kayakanyaga naona alikua anatafuta kiki achangamshe RUclips yake😂😂
Hataki kiki rap tz iko dwn ni tarabu tu na tarabu
NASEMA HIVI OG OG WABURUZEEEEEEEE😂😂😂😂😂😂😂 WEWE NI THE BEST RAPPER AFRICA 😂😂😂😂😂 AM FROM TZ BUT HUYU NI MKALIII
@@yasminoluoch169kwa hio rap ya Kenya iko juu?
Katiyaaaa huuurumaaa duuur msamehenii khalii jamaani hana jipya
Kuna ngoma ya chindo man inaitwa huwezi battle dis ya khali majonzi
Mm nahitaji fid Q ajibu japokuwa hajatajwa
Hakuna kitu kinanikera kama Mkenya kujaribu kuongea lafudhi ya Kitanzania kisha kuishia kusound Kimombasa
Mimi ni mkenya but bongo hip hop kenya hawataweza, Roma mwenyewe akimjibu khaligraph atajinyonga,kenya tunajisifu na khali,hana shairi rap tu,kizungu enda ulaya fanya na rickross tukutambue wacha kujificha EA
Umeelewa kumbe
Kojoa ulale wew
Unaogopa kudissiwa pia?? Ukweli usemwe OG no OG
Alafu new ana 😂😂😂asate 🔥🔥🔥atawasimjibu jibu lamjiga nikumpoteziea
Killer noma sana
Nikki mbishii aingie buth amjibu huyu mtoto
Stamina na Roma
Sns kuna mtu anaitwa dizasta weeee khali anabahati hakummesheni huyo mazishi yake yange fika hivi kariburi sio kwa ubaya dizasta ni noma
Young kill! Ametisha 🔥
Roma
Roma akimjibu ni sawa na Baba kumjibu mtoto anaye jua jibu na wajibu wake, Roma so level yake uyo
Hahahaaha uyo mbavu kuhusu game ya bongo watuache tu aisee kenya kuimba hawajui kabisa
Young killer kauwaa
Wakazi usi mjibu huyo mkenya wajibu hao wanao kazana eti umjibu😅
Khali yuadhani kizungu ndo kujua ku rap, his so shallow .umeskia creativity hapo . A good hip hop arstist is not to be ditected what is going to say , that's what bongo hip hop artist are capable of . Msodokiii !!!
Wajibu wote tu waliotajwa tupate uhondo Zaidi😂.... Twendeleee na Disstruck akuna kumpooza huyu OG
Hawamuwezi ata mje tz nzimaaaa😂😂😂
Happy kwenyewe Rosa kamtuliza
Khaligraph jones 😅😅 baba
Khaligraph ni one man army, Khali vs Tanzania rappers
Jamaaa ametafuta Kiki sasa ndio anaipata kwa wingi sana
young mwanza mwanza he always kills
Tafteni unju na khali kwenye track moja ndio mutajua unju is an much..skills wise
Umeongea point saana kwenye Ile Ngoma Nikk alimficha sana khal watu hawafatiliii
kwann wanawajibu hao waropokaji bna inshort marimbukeni mnoo
Kaka wakazi hawezi kufanya upuzi😂😂😂😂
Wakazi nan kwan😂
Wakazi hana mistari
Ila alianza na niki mbishi 2017 baba yao
Young killer anajua sana
Killer tu anatosha
Let it Remain as a Family Tz🩸
Young killer mwanza mwanza saluute yooh,,, natamani kuwasikia,, Nikki mbishii,, Roma, stamina G nako,, waachie mikazi,, young killer katisha kinoma noma
Nikki hawezi jibu alishajibu kabla ya kuanza kwa sigili za huyo og nyimbo inaitwa maneno ya mashabiki..
utatubu😀💪
Nlitama kumsikia killer na nimeshamsikia, najiskia vzr mnooo
Mbona nay ajamtaja
I need wakazi
Wakazi
Nilicho gundua hip pop bila kuchanana bambi. Naisi wasanii wanabidi watengeneze bifu za kimiziki. Ili waweze kutengeneza hela.
Kenya &, Tz let it just remain a FAM🩸
The problem with Tz's rappers don't understand that Khali was just sending a wake up call to Bongo Flava music to b revived. Sadly you guys have taken it personally and emotionally! 😂 That wasn't even a disstruck from Khali. What if Khali release a diss? Si mtaacha shughuli mkaomboleze. 😂 Hamna chuki Tz we love you guyz! 😂
tell him to release a diss if he can who stopped him
❤❤😂
Hatukatai lakini yeye ndio alianza na videos za matusi
Amejipendekeza tu baadae lakini interview ya wali khali aliongea mbovu kuhusu tz ( the whole music industry) acheni madharau mazee, hakuja kistaarabu, AACHE KUTAFUTA AMANI WAKATI WA VITA
Okay na sisi tunatuma go to sleep call😢
Watanzania wamechukua hii kitu very negatively badala ya kuona kama ni changamoto. Kusema ukweli Rapp TZ imekufa kwa sasa.
Rap uliiua wewe shabiki kwa kubase sana na Amapiano sana. Sisi bado tuko nayo
Sns tusaidie kwmwambia dizasta tunajua hatotoa diss kwenda kwa khali sababu hajatajwa ila tanzania 🇹🇿 imetajwa tuna subiri diss track ya tanzania kwenda kenya kutoka kwa dizasta vina
Dizasta vina
Haha hata kwenye hiyo ngoma OG bado aliwanyosha 😂😂...hiyo jibu ya youngkiller iko chini sana
Sana Sana
Mxodok the xun
Wakazi yupo busy twitter 😂😂😂
Kwa unju mumesikia amesema nn..skills wise u are an much.....unju da genius always
OG must be respected 💯
Respected 4 being fat or rapping🤣
Uyu kama millard ayo
Huyu isingetakiwa kujibiwa wagekaaa kimia
Kiukwel Khali kayakanyaga kinoma, huwez sema hip hop imelala akat watu wapo wanapga kazi kila leo, aliongea maneno ya kejeli sana kwa watz
I was waiting for this killer
Kwer kwa hii diss ya #youngkiller kamchinja kinoma noma mamae 🤣🤣
Stamina
Wakwanza
Mi bimafsi simchukii Khali ila naona nikama mistali imemuishia akaamua atafute kiki kwa wabongo ila angechezea hao wado na sio Roma na Stamina Rostam maana hawa wakiliamsha sidhani kama mishale yao ataiepuka bora wamuuie radhi mchizi hajielewi. Kwanza mziki wa Kenya ndo haupo na haueleweki, kwa hiyo sasa ajipange la sivyo moto wa Rostam ukimpata itakula kwake yangu ni hayo tu.
Niki
OG..😂 ameamsha hip hop ❤🇹🇿🇰🇪🤝
msodok 😂😂🙌
Unjuuu😂❤
Na nyi waTz mkumbuke OG Bado hajafanya diss track😂😂Diss track ya OG Inaeza wafanya mtoroke tz
Stamina
Kweri namekubali og ni og yani kasimamisha ichii nzima daah wa bongoo mmegusa pabaya 😅
Hii ni utoto
Dada waKAZI amna kitu 😂😂😂😂
Young killer ni hatariiii
OG one time I gonna work with ma G
Mistari mibovu, flow mbovu, msodoki kazingua tu saivi mtu kila siku anavizia diss track 😂😂😂
Stamina amjib
Angalau OG amefanya tupumzike na amapiano
Wabongo yani sijawahelewa tunataka challenge na si maneno mbona mnatiya imani wa tz kumsaidia mtu nivingine kazi ngo mumeshindwa
Shida Wath waelewe hakuna ugomvi 😂😂
Hakika hakuna ugomvi ni miongoni mwa nguzo za hip hop ijapokuwa mara nyingi ukweli unafikishwa kwa njia za utani