YOUNG KILLER amjibu KHALIGRAPH kwenye ‘Stress Free: Khali Majonzi’

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

Комментарии • 137

  • @Zaidiyanusumedia
    @Zaidiyanusumedia Год назад +41

    One of my favorite rapper.. Uyu jamaa ni noma... Sio mtu wa social light lkn mtu aki mchana nayeye anamjibu na maisha ya naendelea na hii reply yake ni kali sana kati ya zote zilizo toka... Ni maoni yangu tu.. Hii sasa ndio hip hop ninayoipenda personally.. Big shout out to young killer

    • @johnsilima1629
      @johnsilima1629 Год назад +3

      Kweli kabisaa

    • @soundmale
      @soundmale Год назад +1

      Msukuma mjanja😁🇹🇿..hakuna mbuzi akagoma kuchinjwa na young killer muuza supu 😋😋

    • @sevenssevendee8693
      @sevenssevendee8693 Год назад +1

      Huyu dogo nilishamkubali pamoja na nikimbishi

  • @kubewaiddy9690
    @kubewaiddy9690 Год назад +7

    yani katika rappers walioreply na dis track aliekill ni Motra the future aisee hawa wengine bado sana

  • @idrisatv5540
    @idrisatv5540 Год назад +7

    Wote wataimba hapa bongo ila namngojea chidi benzi

    • @lughanojohn4211
      @lughanojohn4211 Год назад

      Chid benz hawezi kufanya ivyo, wadogo zake wapo wanamtosha 😂😂😂

    • @soundmale
      @soundmale Год назад

      😂😂😂 huyo akufa na pressure maana anahasira mjuba yule😁😁

  • @josephatSwai
    @josephatSwai Год назад

    Co kweli Kali aliwai kulitwq na dj d ommy

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha6755 Год назад

    Wakaz n ndeziiiiiiiiiiiii

  • @immaabukuku7180
    @immaabukuku7180 Год назад +1

    Natamani kumsikia nikki mbishi au p mawenge wakimwadabisha khali

  • @mussacharlescharles3329
    @mussacharlescharles3329 Год назад +3

    Wakazi hana mziki

  • @geewara2846
    @geewara2846 Год назад

    Mbona hii umeichambua kisela sana! Kwamba humo ndani katamba tu. Ok

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 Год назад +2

    tafuta ya motraaa kauwa kuliko woteeee mzeee

  • @falialaelende
    @falialaelende Год назад +1

    Naomba mnipe link ya wimbo 1 tu ya wakazi, sijawai kumsikia 🥸

  • @soundmale
    @soundmale Год назад +1

    Hakuna mbuzi akagoma kuchinjwa na Young killer 😁😁..og kafia kwa muuza supu😂😂

  • @EzzyK438
    @EzzyK438 Год назад +2

    Wakazi hana kazi ya mziki..... Majungu tu. Bora akachimbe chumvi Uvinza 😂😂

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 Год назад +11

    Umemsahau Chid Benz amepigwa Dongo. Ila inatosha tusiendelee kumjibu tutampa kichwa aone kuwa amefanya watu waingie studio japo yeye alichukua muda mrefu kuandika hiyo diss yake mpk nguo akatengeneza na video katoa alafu akasema Tz tumjibu ndani ya masaa 24 na watu wamejibu ndio ajue kuwa tupo na mistari kichwani sio yeye aliyeandaa kisha akasema anatoa masaa 24

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 Год назад +2

      Huyu ni og si rapper tu upooo😅

    • @nasibuahmedy2438
      @nasibuahmedy2438 Год назад

      @@yasminoluoch169 OG kwenu huku TZ huyo ni mwanafunzi wetu tu

    • @asiamerey9081
      @asiamerey9081 Год назад

      Young killer umeuwa yani wewe katika hip hop ni young legendary

    • @jaffarymbembe4188
      @jaffarymbembe4188 Год назад

      @@nasibuahmedy2438 Niambie Tanzania Nani ako na award ya best rapper in Africa hapa Karibuni.Wabongo mwapiga mdomo sana.

    • @RichardRutembesa-ns1kn
      @RichardRutembesa-ns1kn Год назад

      ​@@yasminoluoch169Ni duplicate kwa Wabongo OG uko kwenu!!! blessed

  • @khamisramadhan5133
    @khamisramadhan5133 Год назад +2

    Katika yeye na nikkimbishi nani alikua wa kwanza kumleta Papa Jones?

  • @AfricaMsafiri
    @AfricaMsafiri Год назад +1

    We killer chunga usikanyage waya

  • @chibodee447
    @chibodee447 Год назад +2

    ruclips.net/video/PLdJbureboI/видео.htmlsi=4rYIT1dhEGnMbFbS
    *RAPPER CHIBO DEE APEANA ONYO KWA TANZANIAN RAPPERS*

  • @ommyjay4622
    @ommyjay4622 Год назад +1

    Hawamuwezi wa kaushe tu mwamba kaongea ukweli

  • @Sumuni-h3m
    @Sumuni-h3m Год назад +1

    Wakazi ni noxyyyyyyyy

  • @webbydanagu9667
    @webbydanagu9667 Год назад +2

    Huyu Omolo mpaka aeleze ni nani alimtuma aisee we are not Nigerian alivyo kawava tulimsaidia sana kumpa tag sio Kwasababu mkali sana no ila ilituingia tu ni mu East Africa mwenzetu ila saa tunakwenda kuzika 🔥🔥🔥🔥

  • @IbrahDeDonny-lv2lo
    @IbrahDeDonny-lv2lo Год назад +1

    Wakazi hana kitu chakujib, hana kabxa huyo Wakazi ni blogger tu

  • @gb-one6435
    @gb-one6435 Год назад +2

    Hii umeichambua kisela sana mkuu

  • @allykirunginyamka9171
    @allykirunginyamka9171 Год назад +1

    Young Killer na Rosa Ree wametisha.
    Natamani niskie Rostam inajibu.

  • @mitchblack.gi.7945
    @mitchblack.gi.7945 Год назад

    Hawa majamaa wako emotional...but anyway khaligraph Baba Yao...

  • @celifpower4993
    @celifpower4993 Год назад +4

    Ila tuseme ukweli OG ameamsha ma rapp cs kwahiv kinacho zungumziwa sana nihii miraruo

    • @MassoudAlly-c9e
      @MassoudAlly-c9e Год назад +1

      Sasa kaamsha vipi wakati hao walio amka ni wame mjibu tu yeye au ndio kuamka kwenyewe huko?

  • @LPBRANDSTUDIO
    @LPBRANDSTUDIO Год назад +4

    Kumbe anatuchokoza akijua anatuweza☺️.. sasa kayakanyaga naona alikua anatafuta kiki achangamshe RUclips yake😂😂

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 Год назад

      Hataki kiki rap tz iko dwn ni tarabu tu na tarabu

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 Год назад +1

      NASEMA HIVI OG OG WABURUZEEEEEEEE😂😂😂😂😂😂😂 WEWE NI THE BEST RAPPER AFRICA 😂😂😂😂😂 AM FROM TZ BUT HUYU NI MKALIII

    • @MassoudAlly-c9e
      @MassoudAlly-c9e Год назад

      ​@@yasminoluoch169kwa hio rap ya Kenya iko juu?

  • @bakarmsangi963
    @bakarmsangi963 Год назад +1

    Katiyaaaa huuurumaaa duuur msamehenii khalii jamaani hana jipya

  • @ahmedhamisi6257
    @ahmedhamisi6257 Год назад

    Kuna ngoma ya chindo man inaitwa huwezi battle dis ya khali majonzi

  • @jamesshamsi-o2w
    @jamesshamsi-o2w Год назад +1

    Mm nahitaji fid Q ajibu japokuwa hajatajwa

  • @NiraSaire
    @NiraSaire Год назад

    Hakuna kitu kinanikera kama Mkenya kujaribu kuongea lafudhi ya Kitanzania kisha kuishia kusound Kimombasa

  • @beavaneomwenga1987
    @beavaneomwenga1987 Год назад +11

    Mimi ni mkenya but bongo hip hop kenya hawataweza, Roma mwenyewe akimjibu khaligraph atajinyonga,kenya tunajisifu na khali,hana shairi rap tu,kizungu enda ulaya fanya na rickross tukutambue wacha kujificha EA

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Год назад +2

    Alafu new ana 😂😂😂asate 🔥🔥🔥atawasimjibu jibu lamjiga nikumpoteziea

  • @MalikHemed
    @MalikHemed Год назад +2

    Killer noma sana

  • @sosomokobiasharamgaya3020
    @sosomokobiasharamgaya3020 Год назад +1

    Nikki mbishii aingie buth amjibu huyu mtoto

  • @sevystaronedancer1785
    @sevystaronedancer1785 Год назад +2

    Stamina na Roma

  • @talebanistudio4513
    @talebanistudio4513 Год назад

    Sns kuna mtu anaitwa dizasta weeee khali anabahati hakummesheni huyo mazishi yake yange fika hivi kariburi sio kwa ubaya dizasta ni noma

  • @Mosessssss
    @Mosessssss Год назад +5

    Young kill! Ametisha 🔥

  • @GeraldTubu
    @GeraldTubu Год назад +1

    Roma

  • @Sumuni-h3m
    @Sumuni-h3m Год назад

    Roma akimjibu ni sawa na Baba kumjibu mtoto anaye jua jibu na wajibu wake, Roma so level yake uyo

  • @RamadhanRunyange-by6fx
    @RamadhanRunyange-by6fx Год назад

    Hahahaaha uyo mbavu kuhusu game ya bongo watuache tu aisee kenya kuimba hawajui kabisa

  • @youngweezy3846
    @youngweezy3846 Год назад +6

    Young killer kauwaa

  • @NadiaNadiaMohammad-yp4zm
    @NadiaNadiaMohammad-yp4zm Год назад +1

    Wakazi usi mjibu huyo mkenya wajibu hao wanao kazana eti umjibu😅

  • @keishababy-fh2dy
    @keishababy-fh2dy Год назад +1

    Khali yuadhani kizungu ndo kujua ku rap, his so shallow .umeskia creativity hapo . A good hip hop arstist is not to be ditected what is going to say , that's what bongo hip hop artist are capable of . Msodokiii !!!

  • @LPBRANDSTUDIO
    @LPBRANDSTUDIO Год назад +3

    Wajibu wote tu waliotajwa tupate uhondo Zaidi😂.... Twendeleee na Disstruck akuna kumpooza huyu OG

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 Год назад +1

      Hawamuwezi ata mje tz nzimaaaa😂😂😂

    • @Ibuu7000
      @Ibuu7000 Год назад

      Happy kwenyewe Rosa kamtuliza

    • @Ibuu7000
      @Ibuu7000 Год назад

      Khaligraph jones 😅😅 baba

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 Год назад

      Khaligraph ni one man army, Khali vs Tanzania rappers

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 Год назад +1

    Jamaaa ametafuta Kiki sasa ndio anaipata kwa wingi sana

  • @kasimjuma6649
    @kasimjuma6649 Год назад +6

    young mwanza mwanza he always kills

  • @suhailsodeh5444
    @suhailsodeh5444 Год назад +5

    Tafteni unju na khali kwenye track moja ndio mutajua unju is an much..skills wise

    • @raphaelkaswahili323
      @raphaelkaswahili323 Год назад

      Umeongea point saana kwenye Ile Ngoma Nikk alimficha sana khal watu hawafatiliii

    • @suzanhamisi82
      @suzanhamisi82 Год назад

      kwann wanawajibu hao waropokaji bna inshort marimbukeni mnoo

  • @MsodokiSokoine-k2x
    @MsodokiSokoine-k2x Год назад +6

    Kaka wakazi hawezi kufanya upuzi😂😂😂😂

  • @mustafahussein6252
    @mustafahussein6252 Год назад

    Ila alianza na niki mbishi 2017 baba yao

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Год назад

    Young killer anajua sana

  • @Msetitubeti-e8r
    @Msetitubeti-e8r Год назад

    Killer tu anatosha

  • @official_6ixer_
    @official_6ixer_ Год назад +5

    Let it Remain as a Family Tz🩸

  • @mulababaz2232
    @mulababaz2232 Год назад

    Young killer mwanza mwanza saluute yooh,,, natamani kuwasikia,, Nikki mbishii,, Roma, stamina G nako,, waachie mikazi,, young killer katisha kinoma noma

  • @AGREYMWANKENJA-ye5sb
    @AGREYMWANKENJA-ye5sb Год назад +3

    Nikki hawezi jibu alishajibu kabla ya kuanza kwa sigili za huyo og nyimbo inaitwa maneno ya mashabiki..

  • @mrbio48gamingyt
    @mrbio48gamingyt Год назад +2

    utatubu😀💪

  • @agnessnkandi5229
    @agnessnkandi5229 Год назад +1

    Nlitama kumsikia killer na nimeshamsikia, najiskia vzr mnooo

  • @lodricklazaro1013
    @lodricklazaro1013 Год назад

    Mbona nay ajamtaja

  • @AmosSilwimba-bh3in
    @AmosSilwimba-bh3in Год назад

    I need wakazi

  • @Hlatsikhulu
    @Hlatsikhulu Год назад +1

    Wakazi

  • @fredricksabick-hi1fl
    @fredricksabick-hi1fl Год назад

    Nilicho gundua hip pop bila kuchanana bambi. Naisi wasanii wanabidi watengeneze bifu za kimiziki. Ili waweze kutengeneza hela.

  • @official_6ixer_
    @official_6ixer_ Год назад

    Kenya &, Tz let it just remain a FAM🩸

  • @salimjuma8877
    @salimjuma8877 Год назад +17

    The problem with Tz's rappers don't understand that Khali was just sending a wake up call to Bongo Flava music to b revived. Sadly you guys have taken it personally and emotionally! 😂 That wasn't even a disstruck from Khali. What if Khali release a diss? Si mtaacha shughuli mkaomboleze. 😂 Hamna chuki Tz we love you guyz! 😂

    • @kasimjuma6649
      @kasimjuma6649 Год назад +1

      tell him to release a diss if he can who stopped him

    • @paulinewangila-cs6ys
      @paulinewangila-cs6ys Год назад +1

      ❤❤😂

    • @niyakhalid5650
      @niyakhalid5650 Год назад +1

      Hatukatai lakini yeye ndio alianza na videos za matusi

    • @Adeen.1
      @Adeen.1 Год назад +1

      Amejipendekeza tu baadae lakini interview ya wali khali aliongea mbovu kuhusu tz ( the whole music industry) acheni madharau mazee, hakuja kistaarabu, AACHE KUTAFUTA AMANI WAKATI WA VITA

    • @richiefortune3363
      @richiefortune3363 Год назад +3

      Okay na sisi tunatuma go to sleep call😢

  • @karloladislaus45
    @karloladislaus45 Год назад +3

    Watanzania wamechukua hii kitu very negatively badala ya kuona kama ni changamoto. Kusema ukweli Rapp TZ imekufa kwa sasa.

    • @FrankJosephFJ
      @FrankJosephFJ Год назад

      Rap uliiua wewe shabiki kwa kubase sana na Amapiano sana. Sisi bado tuko nayo

  • @talebanistudio4513
    @talebanistudio4513 Год назад

    Sns tusaidie kwmwambia dizasta tunajua hatotoa diss kwenda kwa khali sababu hajatajwa ila tanzania 🇹🇿 imetajwa tuna subiri diss track ya tanzania kwenda kenya kutoka kwa dizasta vina

  • @abdulnurabasi3584
    @abdulnurabasi3584 Год назад +2

    Dizasta vina

  • @lawidaleche9662
    @lawidaleche9662 Год назад +1

    Haha hata kwenye hiyo ngoma OG bado aliwanyosha 😂😂...hiyo jibu ya youngkiller iko chini sana

  • @omarykimamure7656
    @omarykimamure7656 Год назад +1

    Mxodok the xun

  • @almisfahcs8255
    @almisfahcs8255 Год назад

    Wakazi yupo busy twitter 😂😂😂

  • @suhailsodeh5444
    @suhailsodeh5444 Год назад +1

    Kwa unju mumesikia amesema nn..skills wise u are an much.....unju da genius always

  • @Lyricsamazingtv-sg8qb
    @Lyricsamazingtv-sg8qb Год назад +18

    OG must be respected 💯

    • @popyoung5606
      @popyoung5606 Год назад

      Respected 4 being fat or rapping🤣

  • @anoldjefsta177
    @anoldjefsta177 Год назад

    Uyu kama millard ayo

  • @goodluckchacha5037
    @goodluckchacha5037 Год назад

    Huyu isingetakiwa kujibiwa wagekaaa kimia

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx Год назад

    Kiukwel Khali kayakanyaga kinoma, huwez sema hip hop imelala akat watu wapo wanapga kazi kila leo, aliongea maneno ya kejeli sana kwa watz

  • @kasimjuma6649
    @kasimjuma6649 Год назад +1

    I was waiting for this killer

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Год назад

    Kwer kwa hii diss ya #youngkiller kamchinja kinoma noma mamae 🤣🤣

  • @Jose-ut5hg
    @Jose-ut5hg Год назад

    Stamina

  • @eliasl1011
    @eliasl1011 Год назад +3

    Wakwanza

  • @salimomarmkapa
    @salimomarmkapa Год назад +2

    Mi bimafsi simchukii Khali ila naona nikama mistali imemuishia akaamua atafute kiki kwa wabongo ila angechezea hao wado na sio Roma na Stamina Rostam maana hawa wakiliamsha sidhani kama mishale yao ataiepuka bora wamuuie radhi mchizi hajielewi. Kwanza mziki wa Kenya ndo haupo na haueleweki, kwa hiyo sasa ajipange la sivyo moto wa Rostam ukimpata itakula kwake yangu ni hayo tu.

  • @realswahilicultural8140
    @realswahilicultural8140 Год назад

    Niki

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 Год назад +1

    OG..😂 ameamsha hip hop ❤🇹🇿🇰🇪🤝

  • @msodokidasilva6739
    @msodokidasilva6739 Год назад

    msodok 😂😂🙌

  • @yasser7717
    @yasser7717 Год назад

    Unjuuu😂❤

  • @giftmbogho3542
    @giftmbogho3542 Год назад +1

    Na nyi waTz mkumbuke OG Bado hajafanya diss track😂😂Diss track ya OG Inaeza wafanya mtoroke tz

  • @Gabriel_MB
    @Gabriel_MB Год назад +2

    Stamina

  • @TuyageComcast
    @TuyageComcast Год назад +3

    Kweri namekubali og ni og yani kasimamisha ichii nzima daah wa bongoo mmegusa pabaya 😅

  • @Lyricsamazingtv-sg8qb
    @Lyricsamazingtv-sg8qb Год назад +2

    Hii ni utoto

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Год назад +2

    Dada waKAZI amna kitu 😂😂😂😂

  • @DEOGRATIUSJEREMIA
    @DEOGRATIUSJEREMIA Год назад

    Young killer ni hatariiii

  • @BarberJaymoeMckronicali
    @BarberJaymoeMckronicali Год назад

    OG one time I gonna work with ma G

  • @Oldskulgemini9991
    @Oldskulgemini9991 Год назад +1

    Mistari mibovu, flow mbovu, msodoki kazingua tu saivi mtu kila siku anavizia diss track 😂😂😂

  • @silamnyama1642
    @silamnyama1642 Год назад

    Stamina amjib

  • @frankmare1708
    @frankmare1708 Год назад

    Angalau OG amefanya tupumzike na amapiano

  • @kisaujibabou9436
    @kisaujibabou9436 Год назад

    Wabongo yani sijawahelewa tunataka challenge na si maneno mbona mnatiya imani wa tz kumsaidia mtu nivingine kazi ngo mumeshindwa

  • @chingaboy1149
    @chingaboy1149 Год назад +6

    Shida Wath waelewe hakuna ugomvi 😂😂

    • @AGREYMWANKENJA-ye5sb
      @AGREYMWANKENJA-ye5sb Год назад

      Hakika hakuna ugomvi ni miongoni mwa nguzo za hip hop ijapokuwa mara nyingi ukweli unafikishwa kwa njia za utani