Paschal Cassian ASIMULIA ALIVYO JIUNGA NA FREEMASONI SEHEM YA 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 61

  • @lcgltd4336
    @lcgltd4336 4 года назад +6

    Jaman unafk so mzur Yan mtu akiumwa hatumsaidii ili akifa ndo tnashoboka kutoa msaada Kama unatabia hyo acha mama sku yja cjui utajibu nn mbele za mungu na umwogpe mungu Kama umeikubariana na Hilo gonga like

  • @sarahpetro4418
    @sarahpetro4418 4 года назад +23

    Mwenye kusikia na asikie mwenye kuelewa na elewe ila kaka uamzi wako hujakosea mwaibishe shetani nasi tunajifunza kupita wewe MUNGU akusimamie sana katika kazi zako napenda sana wimbo wako ule ulio imba ona wanavyo mwabudu huwa sichoki kuutazama

  • @virginiamunka2304
    @virginiamunka2304 4 года назад +18

    Heri kumkimbilia yesu Kristo, mambo mengine yatapita.

  • @zionembassytv5672
    @zionembassytv5672 2 года назад +1

    Pole sana mtumishi wa Mungu,lakini nikushauri jambo moja usiwachukie watu kisa hujasaidiwa..mtegemee Mungu

  • @mariamsharia2062
    @mariamsharia2062 4 года назад +6

    Ubarikiwe Sana mtumishi MUNGU aendelee kukupa afya njema nimejifunza kitu mimi😢😢umeendelea kuinua Imani yangu mimi🙏

  • @francismtela4967
    @francismtela4967 2 года назад +2

    Bwana alikujua toka ukiwa tumboni mwa mama yako. Bwana atusaidie kuyaishi maisha matakatifu.

  • @denicmsigwa5199
    @denicmsigwa5199 4 года назад +6

    Duh mtumishi umegusa moyo wangu aiseee

  • @silvesterryaga7365
    @silvesterryaga7365 2 года назад +1

    Hakika unazidi kutuonesha uweza wa Mungu uokoao. Ndugu zangu mnaosoma posti hizi nikushauri Umkabidi Yesu maisha yako, YEYE AWEZA KUKUOKOA Zaburi 23. Mungu akubariki Na azidi kukutia nguvu na Afya njema, ili uzidi kulitanganza Injili.

  • @halimageorgesanga1018
    @halimageorgesanga1018 4 года назад +6

    Ashukuriwe Mungu kwaajili yako

  • @mecktildatushabe7898
    @mecktildatushabe7898 4 года назад +9

    Kweli Kuna kitu nimejifunza Mtu wa Mungu Binadamu wanakupenda ukiwa uzima

  • @bugaleriziki5633
    @bugaleriziki5633 3 года назад +2

    Pole sana kabisa Mungu nimukubwa kabisa

  • @petersonwiliamchachapeterw6144
    @petersonwiliamchachapeterw6144 3 года назад +2

    Mungu akutie nguvu mtumoshi wa mungu

  • @samuelbalume3066
    @samuelbalume3066 3 года назад +1

    Mungu akufiche na macho ya wabaya mtumishi wa Bwana ilo ndo watu wa dunia ukitaka kuwa adui ya watu uwaambia ukweli ila mimi na kupenda kwa ukweli kwako ☝☝☝☝

  • @kahoribonga9280
    @kahoribonga9280 4 года назад +5

    Amen kubwa mungu ni mwema kweli

  • @mebraazzam2120
    @mebraazzam2120 4 года назад +7

    God is great who rescued you from that evil people

  • @michaelmbezi7927
    @michaelmbezi7927 4 года назад +4

    Mungu akupiganie

  • @sarahogama9540
    @sarahogama9540 4 года назад +5

    Wacha nimsifu yesu siku zote za maisha yangu shetani hana budi kwa maisha yangu

  • @faridashaban8853
    @faridashaban8853 4 года назад +2

    Mungu atuepushe

  • @vailethchamlulu8063
    @vailethchamlulu8063 2 года назад

    Mungu aendelee kukutia nguvu Ili uwaonyeshe kweli vijana

  • @uwimananadia6066
    @uwimananadia6066 3 года назад +5

    💔😭Mungu ni mwema

  • @florensjames3866
    @florensjames3866 2 года назад

    Mungu ni mwema kwakwel

  • @elicywabikemungutendailiyo7244
    @elicywabikemungutendailiyo7244 3 года назад +1

    Ubarikiwe kaka mungu akutunze

  • @gaudencemwambungu3807
    @gaudencemwambungu3807 2 года назад

    Mhkaka hongela

  • @gerishombarasa1693
    @gerishombarasa1693 3 года назад

    Asante mungu akupariki Sana unazemaukweli sana

  • @frereidrisshommesage9231
    @frereidrisshommesage9231 2 года назад

    Mungu ni mkuu

  • @luhekelondelwa9714
    @luhekelondelwa9714 4 года назад +2

    Ainuliwe mungu atuteteaye

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco2567 2 года назад +2

    duu hivi kumbe huko ni kubaya vile.mmmmh nimekoma

    • @janekanini6323
      @janekanini6323 2 года назад

      Ndungu yesu amekuokoa kile unahitaji ni ukombozi uteganishwe na kila viapo ulifanyishwa free Mason napia ifujiwe madhabahu ya kuzimu na hapo dipo utaona utofauti mungu ni mwenye nguvu kupita shetani

    • @daudichristopher9460
      @daudichristopher9460 2 года назад

      Pole

  • @jdsanty4304
    @jdsanty4304 Год назад +1

    Yaani umesema ukweli kabisa

  • @nurukapoja7759
    @nurukapoja7759 4 года назад +2

    Ni kweri anaumwa hata kwenda kunuona ni shida ila ukifa wanakuja namagari nagari yamatangazo hawana aibu hawa binadamu .kweri nitakufa najiona

  • @sylussdenniss9203
    @sylussdenniss9203 4 года назад +5

    oya dar umenikumbusha mbali alikujaga tabora

  • @user-en6vo1lh7y
    @user-en6vo1lh7y 9 месяцев назад

    Tb

  • @raghadmubarak553
    @raghadmubarak553 4 года назад +3

    Sehemu ya pili

  • @gaudencemwambungu3807
    @gaudencemwambungu3807 2 года назад

    Kwahiyokaka naitajiujeufungue nawengine hukukwetu lungwemkoa wambeya mm gaudencc samsoni

  • @peterkilongosi2573
    @peterkilongosi2573 4 года назад +3

    Wataje tuwajue.

  • @evashayo5914
    @evashayo5914 4 года назад +3

    Mnajua, kuharibiasana

  • @lazarodaudi1689
    @lazarodaudi1689 4 года назад +3

    Mungu atuhurumie sana

  • @bornthagylife3802
    @bornthagylife3802 3 года назад

    mungu akubariki

  • @eliakimrichardkyaruzi4985
    @eliakimrichardkyaruzi4985 Год назад

    Na mm naomba nikutane naye anifundishe utume wa haki

  • @amidojeni3232
    @amidojeni3232 2 года назад +1

    Nitaka kujiungu vp

  • @shabanikidawa6403
    @shabanikidawa6403 2 года назад +1

    Munq aendelee kutuonqoza Kwa mema

  • @estasage5506
    @estasage5506 4 года назад +6

    Rais mwenyewe fremacon, wewe ilikuwa fremacon wa degree ya chini Yaani haujuwi kuwatambua.

    • @sarahogama9540
      @sarahogama9540 4 года назад

      Kwani Magufuli pia ni freemason kumbee duuuuh!!!

    • @shukurusyriack3504
      @shukurusyriack3504 4 года назад

      Wewe Dada unauhakikaa au unakurupuka tuu kuongea

    • @yusuphfesto1931
      @yusuphfesto1931 2 года назад

      Acha kuongea madudu wewe,kwan Marais mbona wengi walio freemason? Kwan hadi Magufuli tu? Msimpakazie Jpm wetu

  • @alexijonas9868
    @alexijonas9868 4 года назад +6

    Sasa mbona hataki kunyosha meelezo vizuli ili watu waokolewe anaongea kwa kuogopa

  • @shabanikidawa6403
    @shabanikidawa6403 2 года назад +1

    Munq mwema wakat wote

  • @elizafumbuka9377
    @elizafumbuka9377 2 года назад +1

    Mbona anakwepa kutuambia alifanya maovu gani?

    • @faridakigava4904
      @faridakigava4904 Год назад

      Akueleze maovu kwani wewe ni Mungu? Mbona kaongea mambo mengi sana mfuate akakueleze

  • @edwardnia7537
    @edwardnia7537 4 года назад +3

    Waogo hao sio kasin huyo

  • @estasage5506
    @estasage5506 4 года назад +5

    You need to know that the devil is capable to stop even the most fearing God person from assisting you.

    • @aganzemukongomani272
      @aganzemukongomani272 3 года назад

      Akika kuna majanga inayo tokeya Na huenda ni mahubiri kwa mioyo ya watu! Kweli matukio kwako akika nime jifunza mengi mpaka nime mpenda mungu

  • @tanunewstz
    @tanunewstz 4 года назад +2

    Africans sisi itakua kuchelewa kwetu ku advance kumefanya kua na akili finyu kwa baadhi ya watu hii ni mambo za uongo na za kutengenezwa apo ulipo Kuna sababu nyingi za kukuaminisha ukweli wa mungu tuache kufutana na sanaa za Kiki kizembe.

    • @shukurusyriack3504
      @shukurusyriack3504 4 года назад +1

      Shindwaa kabisa pepo wewe,itakuwa wewe ndio free masson mwenyewe kabisaa

    • @Chibago-xx2xy
      @Chibago-xx2xy 4 года назад +1

      Ebu toa hoja kamil how unapinga hizo ushuhuda

  • @evashayo5914
    @evashayo5914 4 года назад +2

    Huyosiyeye kasian

  • @michaelmbezi7927
    @michaelmbezi7927 4 года назад +2

    Mungu akupiganie