Uzinduzi wa Albamu ya Video Toleo la 4 iitwayo Mshukuruni Mungu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Karibuni sana kushiriki nasi katika uzinduzi wa video yetu toleo la 4 inayoitwa Mshukuruni Mungu. Uzinduzi utafanyika Julai 2, 2023 katika ukumbi wa Parokia ya Chang'ombe, Jimbo Kuu Katoliki la Da es Salaam. Karibuni wote Kutuunga Mkono. Uzinduzi huu unalenga kuendeleza juhudi za kwaya kiuinjilishaji, kuitegemeza kwaya kiuchumi na sehemu ya fedha itakwenda kusaidia ukarabati wa ofisi parokia.

Комментарии • 1