Maisha Kardinali Rugambwa Ep5: Kardinali alipofariki Dunia ilisimama/ Nilishindwa kujizuia nililia
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Ni sehemu ya mwisho ya Maisha ya mwana mtukuka wa Afrika na Kardinali wa Kwanza wa Afrika Kardinali Laurean Rugambwa , simulizi inayotolewa kwako naye Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba Askofu Method Kilaini. Kutazama sehemu zilizopita tafadhali fuata viunga hivi.
Sehemu I- www.youtube.co....
Sehemu II- www.youtube.co....
Sehemu III- • Maisha ya Kardinali Ru...
Sehemu IV- • Maisha Kardinali Rugam...
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja
Ni vizuri ukaanzishwa mchakato wa ku.fanya mtumishi wa mungu ili baadae atangazwe mwenyeheri.
Viva Kardinali Rugambwa..
Asante kwa Historia, Mungu awabariki
Ubarikiwe
JE Kuna mchakato wowote wa kumtangaza kuwa Mtakatifu
Kadinal wa kwanza Mwafrika, pumzika salam
Amina sana Radio Mbiu Mungu azidi kuwabariki kuendelea kutupa maisha ya Baba Cardinal Rugambwa.
Karibu sana
Mwenyezi mungu ampumzishe kwa amani
Amina