Namsifu Makacha - Tumaini Liko

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Follow us on Twitter, click / princeamos

Комментарии • 21

  • @eliasluwela8498
    @eliasluwela8498 8 лет назад +4

    sifa zimrudie Mungu kwa ajili ya Dada huyu Mungu ampe maisha marefu tuzidi barikiwa na nyimbo zake

  • @leahohalo6377
    @leahohalo6377 5 лет назад +3

    Wonderful song....amen

  • @mcumbelusambya9660
    @mcumbelusambya9660 4 года назад +1

    Ammmmmmmmmmmmmen

  • @nyutwaclassic
    @nyutwaclassic 5 лет назад +2

    Melody tulivu mpaka leo mwaka 2019 bado ipo kwenye chati

  • @theaidanny753
    @theaidanny753 Год назад

    All time favourite❤

  • @alphoncearmony1632
    @alphoncearmony1632 5 лет назад +1

    Amina mpendwa

  • @zawardmdolo4957
    @zawardmdolo4957 4 года назад

    Dada yangu nyimbo zako zinanibariki sana

  • @tumainimasunga545
    @tumainimasunga545 4 года назад

    Hakika ni wimbo makini! Hata mwonekano wako ni makini sana

  • @anthonyominde230
    @anthonyominde230 8 лет назад

    Wimbo wako wa tumaini limenibariki sa na mungu akubariki sana nakukupa hekima huzidi kutangaza makuu yake alie kutuma, amen

  • @simonnzombe5089
    @simonnzombe5089 8 лет назад +2

    let us strive to enter in God's kingdom

    • @nicolauskalebi2939
      @nicolauskalebi2939 6 лет назад

      Mungu akubaliki nina jua hata mimi iposiku nitaketi nae.

  • @aseweodulajakanyadoto8145
    @aseweodulajakanyadoto8145 7 лет назад

    wimbo wenye ujumbe wa kubariki sana. Mwenyezi azidi kukufariji na usife moyo ukimtukuza kwa nyimbo zako

  • @eliasluwela8498
    @eliasluwela8498 7 лет назад

    "pamoja na machungu, taabu, huzuni, vilio, kuumizwa, kukatishwa tamaa na kupita katika majaribu mengi lakini ninajua siku moja nitakaa pamoja na Yesu na atanifuta machozi, Hilo ndilo tumaini langu siku zote, na wimbo huu ni mpya kila iitwapo Leo Bwana azidi kukubariki na kukutetea dada kwa huduma hii.

  • @neemamashauri9165
    @neemamashauri9165 6 лет назад

    Mungu azd kukutumia katika uimbaji usonge mbele

  • @laban2552
    @laban2552 8 лет назад +2

    amen

  • @mariampaul7789
    @mariampaul7789 6 лет назад

    Barikiwa sana dada

  • @mariampaul7789
    @mariampaul7789 6 лет назад

    Barikiwa sanaaa

    • @georgemashauri4657
      @georgemashauri4657 4 года назад

      Dada nakuomba kwa neema ya mungu mtafute dada namsifu mwita mfanye wimbo itakuwa poa sana.

  • @shijjasunday6363
    @shijjasunday6363 7 лет назад

    very. nice. song

  • @amoschaina8190
    @amoschaina8190 6 лет назад

    Inakonga nyoyo